KERO Sehemu za kuvuka Morocco, Ubungo na Mbezi Louis ni mateso kwa Wananchi

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,817
4,566
1707599878853.png

Salaam Wadau,

Kama umewahi kufika Ubungo, Morocco na Mbezi Louis utakutana na kivuko cha watembea kwa miguu kinachopita juu ya barabara. Japokuwa sehemu hizo zilikuwa na nia ya kurahisisha uvukaji kwa Watembea kwa miguu, lakini namna vilivyotengenezwa vimekuwa kama adhabu kwa wavukaji wake.

Sehemu hizo za kuvuka zimekuwa na mzunguko mrefu usio na maana yoyote kwa wavukaji. Utengenezaji wa sehemu hizi haujazingatia ugonjwa na uwezo wa watu kutembea sehemu ndefu.

Baadhi ya watu wanalazimika kushuka kituo kimoja kabla ili kuepuka kupanda sehemu hizo ambazo ni ndefu mno.

Ipo haja ya sehemu nyingine za kuvuka zirahisishwe ili kutowasumbua watu.
 

Salaam Wadau,

Kama umewahi kufika Ubungo, Morocco na bezi Louis utakutana na kivuko cha watembea kwa miguu kinachopita juu ya barabara. Japokuwa sehemu hizo zilikuwa na nia ya kurahisisha uvukaji kwa Watembea kwa miguu, lakini namna vilivyotengenezwa vimekuwa kama adhabu kwa wavukaji wake.

Sehemu hizo za kuvuka zimekuwa na mzunguko mrefu usio na maana yoyote kwa wavukaji. Utengenezaji wa sehemu hizi haujazingatia ugonjwa na uwezo wa watu kutembea sehemu ndefu.

Baadhi ya watu wanalazimika kushuka kituo kimoja kabla ili kuepuka kupanda sehemu hizo ambazo ni ndefu mno.

Ipo haja ya sehemu nyingine za kuvuka zirahisishwe ili kutowasumbua watu.
Asante kwa kuliona hilo
 

Salaam Wadau,

Kama umewahi kufika Ubungo, Morocco na Mbezi Louis utakutana na kivuko cha watembea kwa miguu kinachopita juu ya barabara. Japokuwa sehemu hizo zilikuwa na nia ya kurahisisha uvukaji kwa Watembea kwa miguu, lakini namna vilivyotengenezwa vimekuwa kama adhabu kwa wavukaji wake.

Sehemu hizo za kuvuka zimekuwa na mzunguko mrefu usio na maana yoyote kwa wavukaji. Utengenezaji wa sehemu hizi haujazingatia ugonjwa na uwezo wa watu kutembea sehemu ndefu.

Baadhi ya watu wanalazimika kushuka kituo kimoja kabla ili kuepuka kupanda sehemu hizo ambazo ni ndefu mno.

Ipo haja ya sehemu nyingine za kuvuka zirahisishwe ili kutowasumbua watu.
Ila vimepunguza uwezekano wa ajali kwa almost asilimia 100%
 
Ni mzunguko mrefu kwa ajiili ya walemavu wa vibaiskeli,
Ukitaka kupita haraka pita zile ngazi,
 
Nachukia sana huo mzunguko, hata wa uwanja wa Taifa una afadhali.
Sijui ni nani alikuja na hilo wazo la kijinga, tunapotezeana muda kwa sehemu ya kuvuka chini ya dakika 1.
 
Back
Top Bottom