mwendokasi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    JamiiForums Tanzania Mwendokasi Mwendokasi Mwendokasi

    Nimewaita mara tatu , hivi nyie umbwa mwezi wa tatu sasa Kimara na Kivukoni hakuna huduma ya choo na mnasafirisha watu wa aina mbalimbali wakiwemo wagonjwa watoto etc, hivi kwenye nchi hiyo mnaweza nini? Kusimamia hata choo mnashindwa, then kuna matakataka utayasikia Sijui serikali ya mama nani...
  2. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kuna Askari wanatuambia tupite njia ya Mwendokasi Kimara, tukifika Kona wanatukamata na kutoza faini Sh 30,000

    Naweza kusema kuwa kwa ninavyoamini kutokana na mazingira, Askari wa Barabarani wanatengeneza foleni njia ya Kimara kwa Makusudi wanaanza kuwaambia watu wapite mwendokasi kipande cha Baruti then ukifika Kona wanakamata magari yote. Wakiaambiwa kuwa “tumeruhusiwa huko nyuma kupita” wanasema...
  3. A

    JamiiForums Tanzania KERO Utaratibu wa abiria kupanda Magari ya Mwendokasi kituo cha Ilala-Boma sio mzuri unahatarisha usalama wa abiria

    Katika kituo cha Ilala-Iboma amabacho ndo cha mwisho kwa 'Route' ya Mbagala-Ilala BOma kumekuwa hakuna utararibu mzur wa kuwapanga abiria kwenye foleni ili kusubiri kupannda magari, hali hiyo imekuwa ukisababisha vurugu wakati wa kupanda kwani kila abiria anataka kuwahi kukakaa kwenye siti hii...
  4. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kadi za Mabasi ya Mwendokasi ziboreshwe, lamination ikitoka, namba zinapotea

    Hizi Kadi za Mwendokasi inabidi ziboreshwe, unakuta ikiwa mpya au haijapata shuruba zozote inaonesha Namba ya Card ambayo Imeprintiwa juu ya lamination... Sasa lamination ikitoka Namba ya Kadi nayo inaondoka, hali hiyo imekuwa kesho hasa kwa sisi ambao wengi tunatembea nayo mfukoni muda mwingi...
  5. A

    JamiiForums Tanzania KERO MWENDOKASI MBAGALA – UHALISIA WA WANANCHI

    🚍 KERO MWENDOKASI MBAGALA 1. Mfumo wa kupanda 🚫 Mwendo kasi za Mbagala hairuhusiwi kugeuza. Ukifika mwisho, lazima ushuke halafu upange mstari upya ili upate siti. 👉 Hii inalazimisha baadhi ya watu kulipa nauli mara mbili, hasa wazee na wenye changamoto za kusimama muda mrefu. 2. Nauli iko juu...
  6. A

    JamiiForums Tanzania KERO App ya Mwendokasi haifanyi kazi siku ya nne leo, tunashindwa kununua tiketi ilihali kuna hela ndani ya App

    App ya mwendokasi haifanyi kazi siku ya nne leo, tunashindwa kununua tiketi ilihali kuna hela ndani ya app. Ukiwapigia wanasema wanarekebisha
  7. Jul

    JamiiForums Tanzania Mkanganyiko wa matumizi ya barabara mpya za Mwendokasi na kukunja kulia, Nyerere road (Barabara ya Airport)

    “Napenda kuwasilisha hoja kuhusu utekelezaji wa alama za barabarani katika maeneo yenye miradi mipya ya miundombinu, hususan BRT. Kwa sasa, magari ya kawaida yameruhusiwa kutumia barabara ya mwendokasi kutokana na huduma ya mabasi ya BRT kutokuwa imeanza rasmi. Hata hivyo, inaelezwa kuwa alama...
  8. A

    JamiiForums Tanzania KERO Malalamiko juu ya wahudumu Cashiers wa Mwendokasi Kimara

    Kiukweli Mimi hii hali ya wakatisha tiketi wa mwendokasi kituo cha kimara kuweka salio kwenye kadi tofauti na kiasi cha fedha inanikata sana. Mara ya kwanza nilidhani ni bahati mbaya lakini mpaka sasa ninathibitisha kua ndo michezo yao, kwanza hawatoi risiti, Mara ya pili nilitoa elfu tatu...
  9. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Serikali ipongezwe kwa kuongeza Mabasi Mwendokasi ruti ya Kimara tena yasiyo na rangi ya kijani maana Ruti hiyo haipendezwi na rangi ya kijani

    Hamjambo wote! 1. Mapema wiki hizi kumekuwa na ongezeko la mabasi ya Mwendokasi Ruti ya Kimara Mbezi. 2. Mabasi ni mapya na mazuri. 3. Kiyoyozi na WiFi kama zote. Password utajua pakuipata. 4. Serikali kwa hilo ipongezwe kwa sababu kama yakiwa hayapo watu wanalalamika na kukosoa. Basi yakiwepo...
  10. R

    JamiiForums Tanzania Prof. Mbarawa: Serikali kuanzisha Mwendokasi Maalum kwa ajili ya wanafunzi

    Serikali kupitia Wizara ya Uchukuzi imetangaza hatua mbalimbali za kuboresha usafiri wa wanafunzi katika maeneo ya mijini, kufuatia malalamiko ya wanafunzi kuhusu kunyanyaswa na baadhi ya wahudumu wa mabasi ya daladala. Akizungumza na vyombo vya habari, Jijini Dodoma Tarehe 04 Februari, Waziri...
  11. D

    JamiiForums Tanzania Ufafanuzi mwendokasi mbezi

    Jamani, naomba ufafanuzi. Kwa nini vituo vya BRT (mwendokasi) barabara ya Bagamoyo Road kuanzia Mbezi Beach vimejengwa virefu sana, na pia vimekaa karibu karibu kiasi kwamba hata mita 400 havifiki kutoka kituo kimoja hadi kingine? Kuna sababu maalum ya kiuhandisi au mipango ya usafiri...
  12. mirindimo

    JamiiForums Tanzania Mwendokasi bado shida , Kimara/Gerezani , Maji nalo jipu

    Pamekua na magari machache ya Kimara Gerezani na Mbezi Gerezani tofauti na tunavyo aminishwa kwa picha za mabasi mtandaoni. Hali ya usafiri ni Mbayaaaaa, Mbezi Kimara hali ya Maji ni Mbayaaaaa. MAANDAMANO yanayofuata ni juu ya HUDUMA ZA JAMII wala sio wizi wa kura CCM
  13. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kuelekea AFCON 2027: Kuanzishwe dalaladala na Mwendokasi VIP

    Usafiri wa umma wa daladala katika Jiji la Dar es Salaam ni mbovu sana na haujawahi kuwa wa kistaarabu, sehemu ya kwenda kwa dakika 45 yanatumika hadi masaa mawili tena huku abiria wamebambiana kama ndizi pamoja na kuvujiana jasho. Sasa tusiwafanyie hivyo wageni wa AFCON ikiwa...
  14. A

    JamiiForums Tanzania KERO Mchakato wa utoaji wa tenda ya kujaza gesi kwenye Mabasi ya Mwendokasi kwa Lake Oil ulikuwaje?

    Kampuni ya Lake Oil inatajwa kuwa mshindi wa tenda ya kujaza gesi kwenye magari yote ya mwendokasi yatakayotumia nishati ya gesi asilia. Tayari kampuni hiyo imeanza ujenzi wa vituo vya kujazia gesi katika maeneo mbalimbali ya Jiji, ikiwa ni maandalizi ya kuhudumia mabasi ya mwendokasi...
  15. Just Pray

    JamiiForums Tanzania SGR hali mbaya, imeanza kuzidiwa abiria kama mwendokasi tu

    Tanzania ni sehemu pekee ambapo biashara inaweza kufa kutokana na uwepo wa wateja wengi. Kama hali ilivyo kwenye mabasi ya mwendokasi, ndicho kinachoonekana hapa SGR.
  16. Bawabu wa pili

    JamiiForums Tanzania Boda aliyegongwa na Mwendokasi kulipwa Milion 88 kama fidia

    Mahamana Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam imeamuru Kampuni ya UDA Rapid Transport Ltd kumlipa fidia ya Sh. milioni 88.8 Frank Zebaza, baada ya kugongwa na basi la mwendokasi, ambapo pia imebainika kuwa Dereva Hafidhi Ally alikuwa akiendesha basi hilo kwa mwendo hatarishi ambaye pia...
  17. SSH2025_2030

    JamiiForums Tanzania Mabasi ya Mwendokasi (DART) yakihudumia abiria gereji (kazi na utu)

    Mabasi ya Mwendokasi yakiwa yamejipanga tayari kuhudumia abiria huko gereji Ubungo Terminal. Kazi na utu.
  18. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania LATRA: Serikali imeridhia ongezeko la nauli za Mwendokasi, kufikia Tsh. 1,000

    Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imesema kwa sasa nauli ya mpito kwa mabasi ya mwendokasi kwa baranara ya BRT 1 Kimara, Morocco pamoja na ile ya BRT 2 inayohusisha Mbagala hadi Kivukoni itakuwa ni shilingi elfu moja baada ya mapendekezo yaliyoletwa na DART. Akizungumza baada ya...
  19. JAYJAY

    JamiiForums Tanzania KERO Responded LATRA: Nauli Mwendokasi (DART) kwanini imepandishwa bila taarifa?

    Kama inavyosomeka hapo juu, jana na_scan kadi yangu pale Ubungo Maji naona 1000 imekatwa. Nauliza mhudumu inakuaje ananiambia nauli 1000. Abiria mwingine naye ananiambia tangu usafiri umerudi ndio nauli wanayokatwa. Naambiwa hiyo haijawahi hata tangazwa. Sasa Hawa LATRA wanafanya kazi gani...
  20. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania DART yasitisha vibali njia ya mwendokasi, kuanzia leo Desemba 10, 2025

    Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) umetoa taarifa ya kusitisha vibali vyote vya usafiri isipokuwa Mabasi Yaendayo Haraka kutumia njia maalum za Mabasi Yaendayo Haraka (BRT). DART imesisitiza kuwa vibali vyote vilivyowahi kutolewa vimesitishwa kuanzia leo Desemba 10, 2025. DART imesema...
Back
Top Bottom