nyuma

Tom Nyuma (died January 26, 2014) was a Sierra Leonean military commander and the chairman of the Kailahun District council. He was elected as chairman of Kailahun District council on July 6, 2008 with 87% of the vote running on the opposition Sierra Leone People's Party (SLPP) ticket.
Nyuma was born in Kailahun, and was very popular in the Southern and Eastern regions of the country. In March 2012, Nyuma left the SLPP and joined the All People's Congress (APC) of President Ernest Bai Koroma.He was at the rank of Lieutenant Colonel in the Republic of Sierra Leone Armed Forces before he retired. On 29 April 1992, Nyuma was one of the young officers in the Sierra Leonean army who ousted the APC government led by Joseph Saidu Momoh. They established the National Provisional Ruling Council (NPRC) to run the government. During the NPRC administration, Nyuma was the commander of the Eastern Province. He was a member of the Kissi ethnic group and an alum of Ohio State University in Columbus, Ohio U.S.A.

View More On Wikipedia.org
  1. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Rais Museveni; Africa iliachwa nyuma kimaendeleo na Asia kwa sababu ya kutaifisha biashara za sekta binafsi.

    Huyu mzee ana madini hatari. Msikilize https://www.facebook.com/share/v/18Z3GKN5RQ/
  2. X

    JamiiForums Tanzania Je, ulijua kati ya Benki 5 kubwa duniani 4 ni za China? Benki za Marekani zikifuata nyuma ya China

    The top 5 largest banks world largest banks by assets: 1. Industrial and Commercial Bank of China (ICBC) | China Assets: $7.30 trillion 2. Agricultural Bank of China | China Assets: $6.80 trillion 3. China Construction Bank | China Assets: $6.20trillion 4. Bank of China | China...
  3. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Honda wamezindua 4th Gen Insight: Sasa hivi ni full EV sio tena hybrid kama matoleo ya nyuma!

    Najua inawezakua ni habari mbaya kwa wengine. Ila ndio hivyo. Honda wamezindua generation ya nne ya hybrid yake pendwa Honda Insight, ila sasa wameachana na hybrid moja kwa moja wameenda EV. Kwahiyo Insight EV jina jingine itaitwa Honda e:N2 kwa masoko ya China na Thailand. Kwa kuanza...
  4. McLaren

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Chande: Matukio ya Oktoba 29 yalipangwa na kufadhiliwa na watu waliopata mafunzo

    Wakuu, Anazungumza Jaji Chande leo wakati anakabidhi anakabidhi Ripoti ya Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Yaliyotokea Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025, tarehe 23 Aprili, 2026, Dar es Salaam Pasipo na shaka, kuwa matukio ya ghasia ya tarehe 29 Oktoba...
  5. Royal Son

    JamiiForums Tanzania Pata charger simu yako na abiria wako walio seat ya nyuma kwa bei poa

    🔥 CAR USB CHARGER (FAST CHARGING 48W) 🔥 Chaji simu zako kwa haraka na urahisi! Ina ports 6 (Type-C + USB) – unaweza kuchaji abiria wa mbele na wa nyuma kwa wakati mmoja 🚗⚡ Waya mrefu (1.5M) unawafikia hadi waliokaa nyuma Inafaa kwa simu zote na vifaa vingine 💰 OFa: 30,000/= tu 📍 Arusha Town 📞...
  6. H

    JamiiForums Tanzania NYUMA YA PAZIA. Kwanini Heche ni Pandikizi Jipya kwenye upinzani?

    1. Hawezi kuja na hoja zenye uelekeo thabiti wa mabadiliko bali huja na mawazo ya Jumla Jumla tu. 2. Wakati wa kampeni zilitoka tuhuma dhidi yake za hisa kwenye mashimo ya dhahabu. Hazikujibiwa zaidi yaa kuzuia kuchafuana. 3. Hajawahi pata kashkash za kipinzani. 4. Alikuwa sehemu ya Mpango wa...
  7. P

    JamiiForums Tanzania Mbona ripoti ya Hon Chande inapongozwa kabla haijatoka? Kuna nini nyuma ya pazia?

    Kila mtu hasa waandishi kama Salim kikeke maulid kitenge wanaisifia ripoti hata kabla haijatoka n kwamba wenzetu tayari wameiona Ripoti inatolewa leo lakn WATU wanaisifia sijaelewa nn maana yake Hii nchi kuna sehemu imefika kila kitu n kisifia na haya hayaji hvhv laZma kuna WATU wapo nyuma...
  8. F

    JamiiForums Tanzania Dr. Emmanuel Nchimbi anajipambanua polepole nasi tupo nyuma yake.

    Ni mwanamapinduzi mtulivu, hana papara. Tunaomjua kwa undani tunajua tunasema nini. Mheshimiwa endelea hivyo hivyo unaeleweka vizuri sana na watanzania, japo patawaka moto lakini ushindi upo.
  9. itakiamo

    JamiiForums Tanzania Maisha ya wasanii wetu nyuma ya pazia

    🧵 TAFAKURI: Maisha ya Wasanii Nyuma ya Pazia – Kuna Nini Kinaendelea? Kuna jambo huwa linanikaa kichwani kila mara ninaposikia habari za wasanii kufariki katika mazingira ya kutatanisha. Sio kwa lengo la kuhukumu, bali kujiuliza tu… je, tunawajua kweli hawa watu tunaowashangilia kila siku...
  10. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania AFCON 2027 Dates Zimetoka! East Africa Bado Nyuma Kwa Maandalizi?

    Wadau, sasa ni official! Africa Cup of Nations 2027 itachezwa June 19 hadi July 18, 2027. Hii ni big win kwa Kenya, Uganda na Tanzania kushirikiana ku-host! Lakini swali kubwa ni: tuko ready kweli? Reports zinaonyesha stadiums kama Kasarani na Talanta bado hazijakamilika, na hata training...
  11. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Mbona hii mission ya mwezini sijaielewa, ni kweli tuliwahi kutua mwezini miaka ya nyuma?

    Kwanini kama miaka ya nyuma NASA Waliweza kufanya landing mwezini kipindi cha cold war kwanini hii misheni ya Artemis 2 objective ni just kuuzunguka mwezi kitu ambacho naamini hata chombo kingetumwa kufanya hio kazi kingeweza me nilijua tena safari hii tutatua mwezini
  12. Q

    JamiiForums Tanzania Askofu Kinyaiya: Ukistaafu nenda kwako kapumzike, Usitese watu nyuma ya mwingine

    Akitoa salamu za Pasaka kawaasa wasitaafu wapumzike wasitumie viongozi waliopo madarakani kuwaumiza watu. Ujumbe umfikie.
  13. Scars

    JamiiForums Tanzania Kisa cha Lutu: Hivi ni nani aliyegeuka nyuma kuthibitisha Mke wa Lutu amegeuka jiwe la chumvi?

    Hoja yangu; walijuaje kama Mke wa Lutu amegeuka jiwe la chumvi? Kwa sababu wote walikuwa wanatembea na wakiwa ndani ya sharti moja la kutogeuka nyuma. Sasa katika hao ni nani aliyethibitisha kuwa mke wa Lutu kageuka jiwe la chumvi. Swali lingine la nyongeza. Kwanini waganga wanapigwa vita...
  14. A

    JamiiForums Tanzania KERO Walimu wa Kibaha tulioajiriwa 2014 tupo nyuma kwa Daraja moja, Tume ya TSC inatuambia tuwe wapole

    Mimi ni Mwalimu wa Manispaa ya Kibaha, kero yangu kubwa ni kuhusu madaraja ya ngazi ya mshahara, sisi tulioajiriwa Mwaka 2014 tupo nyuma kwa daraja moja. Mpaka sasa kwa muda tuliokaa kazini tungetakiwa tuwe tumefikisha Mwl Daraja G lakini tupo Mwl Daraja F na hii ni kwa Walimu wote Tanzania...
  15. DodomaTZ

    JamiiForums Tanzania Nini kipo nyuma ya pazia mfululizo wa misukosuko ya Chadema?

    Katika siasa, mara nyingi matukio makubwa huanza kama ishara ndogo, lakini zenye ujumbe mzito uliojificha ndani yake. Kwa kipindi cha takribani mwaka mmoja sasa, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimekuwa kikikabiliwa na mfululizo wa matukio mbalimbali hasa misukosuko ya kisiasa na...
  16. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Muamini Mungu na muone Mungu nyuma ya pito lako mpendwa

    Bwana Yesu Asifiwe : Kwa Moyo Mkunjufu Ninakukaribisha Katika Mfululizo Wetu wa 4 wa Kitabu Hiki cha MUONE MUNGU NYUMA YA PITO LAKO. Kumbuka ni katika Mfano wa 3 wa Hamani; lakini mi katika mada yetu ileile ya 1. Jinsi Ambavyo Mungu Anavyoweza Kuwa Nyuma ya Jambo Gumu Linalokukabili. Karibu...
  17. KakaKiiza

    JamiiForums Tanzania Benyamin Netanyahu Kafa? Kama siyo mbona wanajieleza Sana

    Nawasalimu Kwajina la JF! Naweka kiulizo kifupi japo hili swala limeulizwa sana lakini sioni jibu lilolkuwa wazi, Swali nini kipo nyuma ya Uvumi wa mitandao ya kijamii Hasa ya Serikali ya Israel kuhusu uvumi wa Kifo cha Waziri Mkuu wa Israel Benyamin Netanyahau? Kwanini Nguvu kubwa imekuwa...
  18. A

    JamiiForums Tanzania Nyuma ya pazia kufilisiwa kwa Sahara Media Group, na hatma ya RFA, Star TV na Kiss FM

    Taarifa kuhusu mchakato wa kufilisishwa kwa kampuni ya Sahara Media Group imeendelea kuvutia mjadala mpana hasa kwenye mitandao ya kijamii, huku wadau wengi wakibaki na maswali, pengine hata yasiyo na majibu ya moja kwa moja. Kwa mujibu wa taarifa zinazoendelea kufuatiliwa kwa kina, imeelezwa...
  19. Joshua Mbezi

    JamiiForums Tanzania Kipi Kinachoendelea nyuma ya michakato ya ajira katika Utumishi wa Umma?

    Vijana wengi wamekuwa wakipitia msongo mkubwa wa mawazo wanao sababishiwa na hii sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma na haya ni baadhi ya maswali wanayo jiuliza bila majibu 1; Inakuwaje nafasi za kazi zinatangazwa na watu wanajitokeza kufanya usaili lakini zoezi la kuwapangia vituo...
  20. NGAYANIMO

    JamiiForums Tanzania Hard Blasters crew" H.B.C " - Tuko nyuma

    HARD BLASTERS CREW FT. LB GENIUS ( TUKO NYUMA) Chorus. Tuko nyuma kimaendeleo Sababu ya Rushwa , ubadhilifu na upendeleo Tuko nyuma Tuko nyuma Tu na kichocheo Mambo ni ovyo hatuna Dira wala muelekeo... Chorus. Tuko nyuma kimaendeleo Sababu ya Rushwa , ubadhilifu na upendeleo...
Back
Top Bottom