kigamboni

  1. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kadi za Sea taxi tunazotumia kuvuka Kigamboni zimekuwa zikikatwa hela bila ya kuwa tumetumia

    Wakazi wa Kigamboni na watumiaji wa Sea Taxi tumekuwa tukikumbana na changamoto ya salio kupotea kwenye kadi zetu. Mara nyingi unaweka, kwa mfano, shilingi 1,000 asubuhi ukitarajia zitakutosha kwa safari ya kwenda na kurudi, lakini unapofika jioni mashine inaonesha huna salio. Tatizo hili...
  2. Dalali_wa_kimataifa

    JamiiForums Tanzania Nyumba inauzwa, bei Tsh. Milioni 800, ipo Kigamboni Kisota

    🏢 GHOROFA INAUZWA | MODERN HOUSE FOR SALE 📍Kibada, Dar es Salaam (Karibu na Barabara Kuu ya CRDB) ✅Nyumba ya 8 kutoka lami) ✅Hii ni nyumba ya kisasa na imara sana, ikiwa imejengwa kwenye msingi imara unaoruhusu kupandisha hadi Ghorofa 5 (Msingi wa Ghorofa 5). 📐 SIFA ZA NDANI (HOUSE DETAILS)...
  3. Dalali_wa_kimataifa

    JamiiForums Tanzania House for sale, located at Kigamboni Kisota, price Tsh 800m

    🏢 GHOROFA INAUZWA | MODERN HOUSE FOR SALE 📍Kibada, Dar es Salaam (Karibu na Barabara Kuu ya CRDB) ✅Nyumba ya 8 kutoka lami) ✅Hii ni nyumba ya kisasa na imara sana, ikiwa imejengwa kwenye msingi imara unaoruhusu kupandisha hadi Ghorofa 5 (Msingi wa Ghorofa 5). 📐 SIFA ZA NDANI (HOUSE...
  4. A

    JamiiForums Tanzania Mrejesho kuhusiana na taarifa kuhusiana na Kituo cha Afya Kigamboni: Hatua zimechukuliwa, asanteni JamiiForums

    Hello wanajukwaa, Nichukue nafasi hii kumshukuru Mungu kwa afya na uzima anaotupa kila siku, pia niwashukuru jamiiforums kwa kuwa karibu na wananchi kwa kupeleka kero zetu mahali husika na utatuzi kutolewa kwa wakati(Asante Team JF). Mwezi wa tatu ilipostiwa kero kuhusu kituo Cha afya Kigamboni...
  5. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kwanini wageni wanaruhusiwa kupiga picha daraja la Kigamboni huku wenyeji wakizuiwa?

    Naomba kuwasilisha malalamiko kuhusu mwenendo wa baadhi ya askari polisi katika eneo la Daraja la Nyerere, Kigamboni, Dar es Salaam. Ndugu yangu alikuwa akielekea Kigamboni kwa bajaji kwa ajili ya kutazama mazingira na alikuwa akijirekodi video akiwa njiani. Alipofika eneo la Daraja la Nyerere...
  6. A

    JamiiForums Tanzania HOJA Serikali Itusaidie Kuboresha Mazingira ya Kazi kwa Mtumishi wa Hospitali ya Vijibweni - Kigamboni

    Naandika nikiwa nawakilisha wenzangu watumishi wa Hospitali ya Vijibweni iliyopo Wilaya ya Kigamboni, ujumbe huu ni kwa niaba ya watumishi wengi, hususan wauguzi, kuomba mamlaka husika zisikilize kilio chetu kuhusu mazingira ya kazi ambayo tunaamini yamekuwa magumu kwa muda mrefu. Changamoto...
  7. radhiya

    JamiiForums Tanzania Plots available for sale at Kigamboni

    Don't miss out this rare opportunity to secure prime real estate in Dar es Salaam. Plots available for sale; Location: Kigamboni. •Kimbiji: 41km from ferry, 3km inside from Kimbiji rd, 18.3 acres, TZS 1.8B, Title Deed. •Kisarawe 2: 12km from Kibada, 2km inside from new mwasonga rd, SQM...
  8. Mr_positive

    JamiiForums Tanzania Nauza kiwanja changu mwenyewe kigamboni kisarawe II LINGATO

    Tajiri wahi kiwanja hiki utanishukuru badae..Nimepata shida tu ukubwa 20 kwa 20 kikubwa kizuri sana bei milion 10 nicheki 0756038510 Kimepimwa ila hakina HATI bado
  9. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Ofisi ya Mikwambe Kigamboni wanachelewesha huduma ya kuunganisha umeme makusudi

    Napenda kuwashirikisha changamoto niliyokumbana nayo wakati wa kuomba huduma ya kuunganishiwa umeme katika ofisi za TANESCO Mikwambe, Kigamboni. Kwa kifupi, ofisi hiyo ni mpya na ina mazingira mazuri, lakini huduma ya kuunganishiwa umeme kwa wateja inaonekana kucheleweshwa kwa muda mrefu...
  10. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mamlaka za Elimu Kigamboni zinaombwa kuchunguza shule hii na kuchukua hatua

    Takriban mwezi mmoja uliopita, katika jukwaa hili kuliripotiwa malalamiko ya wadau wa elimu wa Wilaya ya Kigamboni Mkoa wa Dar es Salaam, wakiwalalamikia wamiliki wa shule ya sekondari ya wasichana ya 'Competence' Girls' Islamic Seminary, kuwa wameweka Mkuu wa Shule anayetuhumiwa kwa vitendo vya...
  11. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kigamboni Dar: Wazazi waendelea kumsihi mmliki wa shule kumuondoa Mwalimu Mkuu anayeelezwa kuwa na historia ya maadili mabovu

    Wadau, wakiwemo baadhi ya wazazi wa wanafunzi katika shule ya sekondari ya wasichana ya 'Competence Girls' Islamic Seminary ' iliyopo Wilaya ya Kigamboni, Mkoa wa Dar es Salaam wameendelea kutoa wito kwa mmliki wa shule hiyo kumuondoa mwalimu mkuu aliyeteuliwa hivi karibuni, kwa madai ya kwamba...
  12. radhiya

    JamiiForums Tanzania Plot For Sale at Kigamboni Kimbiji

    Plot Available For Sale. Location: Kigamboni Kimbiji, Bohari road, Majipoa area. Descriptions: *41km from Kigamboni Ferry, 3km inside from Kimbiji road. *It's 18.3 acre's which is equal to 74,063.54 SQM (Ammended survey plan shows 74,322 SQM). *Suitable for Light industry. *All social services...
  13. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kigamboni, Dar: Wazazi wamsihi mmliki wa shule kumuondoa Mwalimu Mkuu anayeelezwa kuwa na historia ya maadili mabovu

    Wadau, wakiwemo baadhi ya wazazi wa wanafunzi katika shule moja ya sekondari ya wasichana iliyopo Wilaya ya Kigamboni, Mkoa wa Dar es Salaam (jina linahifadhiwa), wametoa wito kwa mmiliki wa shule hiyo kumwondoa mara moja mwalimu mkuu aliyeteuliwa hivi karibuni, wakidai kuwa endapo hatua...
  14. je parle

    JamiiForums Tanzania MANISPAA KIGAMBONI MNATAKIWA KUJITATHMINI KAMA HIYO KAZI MNAIWEZA

    Majuzi katika pita pita zangu mtandaoni nikaona tangazo la viwanja manispaa ya kigamboni huko pemba mnazi kuwa Kuna viwanja wataanza kugawa na black blaa kibao. Basi bwana nikaona kama fursa lakin nikaona ngoja niende kwenye comments nilichokutana nacho nimeona mpaka aibu na comments zote ni...
  15. je parle

    JamiiForums Tanzania Manispaa Kigamboni, mnatakiwa kujitathmini kama hiyo kazi mnaweza kuifanya hapo ofisini

    Majuzi katika pita pita zangu mtandaoni nikaona tangazo la viwanja Manispaa ya Kigamboni huko Pemba Mnazi kuwa Kuna viwanja wataanza kugawa na blaa blaa kibao. Basi bwana nikaona kama fursa lakini nikaona ngoja niende kwenye comments nilichokutana nacho nimeona mpaka aibu na comments zote ni...
  16. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Kigamboni Ilipaswa Kuwa Mji wa Hotels, Malls na Skyline Kubwa ya Dar

    Kigamboni ilikuwa na potential kubwa kuwa mji wa kisasa zaidi Tanzania kutokana na beach nzuri, usalama, nafasi kubwa ya ardhi na ukaribu na city centre. Watu walitegemea baada ya daraja kujengwa ingejaa hotels kubwa, malls, arenas na majengo marefu kama Dubai au Miami. Lakini imebaki local...
  17. radhiya

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Viwanja Viwili Vinauzwa Kigamboni Tundwi Songani

    Viwanja Viwili Vinauzwa. Mahali: Kigamboni Tundwi Songani. -Vipo km 20 kutoka Kibada, Mita 200 kutoka barabara kuu. -Kiwanja namba 509,510 vyote kwa pamoja vinauzwa. Ukubwa wa Eneo: SQM 1378 na SQM 1449. Bei: Tzs Milioni 35 (Vyote Viwili). Mazungumzo yanaruhusiwa. Nyaraka: Hatimiliki. Gharama...
  18. A

    JamiiForums Tanzania KERO Maafisa Utumishi Kigamboni pandisheni Madaraja kwa kufuata Miaka ya Kazi na Sifa za Mtumishi, sio kwa utashi wenu

    Habari za wakati huu! Mimi ni mtumishi wa umma , ambaye nimekuja kuwakilsha watumishi wa chini ya Tamisemi ambao ni Afya na Elimu ambao kwa sasa wapo chini ya Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni. Naleta kilio changu hapa jukwaani nikiwa na majonzi na masikitiko makubwa sana moyoni mwangu...
  19. radhiya

    JamiiForums Tanzania Plot with house For Sale at Kigamboni Gezaulole

    Plot Available For Sale. Location: Kigamboni Gezaulole. •It's on main street, 150m away from beach, opposite Islamic Club. •The plot has fairly used house. Size: SQM 580. Price: Tsh 200 Million. Document: Clean Title Deed. For further details or to arrange a viewing, kindly contact us. A small...
  20. A

    JamiiForums Tanzania KERO Hivi ndivyo wakazi wa Vijibweni Kigamboni tunavyoteseka na barabara mvua ikinyesha

    Hii ni njia ya Vijibweni Kigamboni, kero hii kabla ya uchaguzi na baada ya uchaguzi, mpaka sasa hatujapata utatuzi, mvua ikinyesha huwezi subiri chombo cha usafiri wa umma hapo, unasimama upande upi kusubiria na je, sisi waenda kwa miguu unatoka nyumbani smart tazama njia sasa.
Back
Top Bottom