shule

  1. A

    JamiiForums Tanzania Kwa shule na vyuo binafsi, je umeandaa na kuwasilisha taarifa zako za fedha zilizokaguliwa za mwaka 2025 kwenda TRA?

    Kama umekuwa ukivutana na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) sababu ya kodi inayotokana na uandaaji wa hesabu za shule au chuo chako…Basi soma mpaka mwisho… UKWELI USIOPINGIKA…Zipo shule pamoja na vyuo mbalimbali hadi leo hii wamelemewa na madeni makubwa yatokanayo na kodi kutoka TRA. Hili siyo...
  2. A

    JamiiForums Tanzania HOJA Serikali Iingilie Kati Mishahara Shule Binafsi

    Naomba SERIKALI ifuatilie maagizo kuhusu MSHAHARA KIMA CHA CHINI Kwa TAASISI binafsi hasa Kwa shule mbali mbali MFANO shule ya mchungaji mwema sec iliyoko NGARA KAGERA inalipa Watumishi TSH. 150000 badala ya 350000 Soma Pia Wafanyakazi kwenye Kampuni Binafsi tunapata shida sana kulipwa stahiki zetu
  3. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Kwanini walimu wenye Shahada za elimu katika masomo ya sanaa wasiajiriwe shule za msingi ili kupunguza idadi ya wahitimu wa fani hizo mitaani?

    Huu ni mjadala huru : Wahitimu wa taaluma ya elimu katika masomo ya sanaa nchini Tanzania wanapitia kwenye kaa la moto kwa muda mrefu sasa, watu wamesota miaka zaidi ya kumi lakini hakuna anayehisi maumivu yao. Serikali na mamlaka tatizo si kulimaliza bali hata kulipunguza haijatoa mwelekeo...
  4. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kigamboni Dar: Wazazi waendelea kumsihi mmliki wa shule kumuondoa Mwalimu Mkuu anayeelezwa kuwa na historia ya maadili mabovu

    Wadau, wakiwemo baadhi ya wazazi wa wanafunzi katika shule ya sekondari ya wasichana ya 'Competence Girls' Islamic Seminary ' iliyopo Wilaya ya Kigamboni, Mkoa wa Dar es Salaam wameendelea kutoa wito kwa mmliki wa shule hiyo kumuondoa mwalimu mkuu aliyeteuliwa hivi karibuni, kwa madai ya kwamba...
  5. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Utumishi Fire Tragedy: Serikali Yaagiza Ukaguzi wa Haraka wa Shule Zote za Boarding Nchini

    Baada ya moto uliosababisha vifo vya wanafunzi 16 katika shule ya Utumishi Girls Academy, serikali imeagiza ukaguzi wa haraka wa shule zote za boarding nchini ili kuhakikisha usalama wa wanafunzi. Basic Education Principal Secretary, Julius Bitok, amesema kuwa shule zote za boarding zitafanyiwa...
  6. A

    JamiiForums Tanzania KERO Shule ya Msingi NANJANGA haina nyumba ya mwalimu

    Shule ya Msingi NANJANGA iliyopo kata ya Ngunja Halmashauri ya Tandahimba haina nyumba ya mwalimu kitu ambacho kinalazimika mwalimu mkuu kulala ofisini. Muda wa kazi ukiisha, ofisi inageuzwa kuwa chumba cha kulala. Shule hii ina walimu sita, wanafunzi 150 na imeanzishwa mwaka 2016. Haina...
  7. Mwanongwa

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe hii Shule ya Msingi KIBISI mmeamua kuipotezea?

    Hii ni Shule ya Msingi KIBISI iliyopo katika kata ya Kyimo Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya na hii ndiyo hali halisi ya madarasa wanayosomea watoto wetu. Pia soma ~ Halmashauri ya Rungwe Mkoani Mbeya tupieni jicho Shule ya Msingi Kibisi, hii miundombinu sio rafiki
  8. A

    JamiiForums Tanzania KERO Walimu wa Shule za Msingi Gmhasa Tumaini iliyopo Ilala wanalazimisha Watoto waende wikiendi wakiwa na hela za mitihani

    Wazazi na wanafunzi tunalalamikia tabia ya baadhi ya walimu wa Shule za Msingi Gmhasa iliyopo Ilala, Dar es Salaam kuwashinikiza watoto kuhudhuria shule siku za mwisho wa wiki (Jumamosi), pamoja na kuchangishwa fedha za mitihani. Inadaiwa kuwa baadhi ya mitihani hulipiwa, jambo ambalo linaibua...
  9. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wakuu wa Idara wa Shule za Msingi - Mbulu DC (Manyara) wanatulazimisha kufundisha vipindi vya jioni bila ridhaa yetu

    Kwa niaba ya wenzangu, naomba msaada wenu kuhusu changamoto tunazokutana nazo katika shule za msingi Wilaya ya Mbulu DC. Wakuu wetu wa shule wamekuwa wakitunyanyasa kwa kutulazimisha kufundisha vipindi vya jioni bila ridhaa yetu. Aidha, tunatishiwa kuchukuliwa hatua za kinidhamu na viongozi wa...
  10. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Vyoo vya Shule ya Msingi Miembeni iliyoko Kata ya Msamala Manispaa ya Songea Mkoani Ruvuma vyafanyiwa usafi

    Mei 25, Mdau alipost picha za muonekano wa Vyoo vya Shule ya Msingi Miembeni iliyoko Kata ya Msamala Manispaa ya Songea Mkoani Ruvuma, akaonesha jinsi hali ilivyokuwa mbovu na ya kusikitisha na kwamba mazingira yanatia hofu kwa afya za Wanafunzi. Hoja ya Mdau ~ Vyoo vya Shule ya Msingi Miembeni...
  11. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kero yetu sisi walimu wa kujitolea au mkataba shule ya msingi kupitia mradi gpe ambao tuliletwa na Tamisemi, tupo nchi nzima mpaka sasa hatujalipwa

    Kero yetu sisi walimu wa kujitolea au wa mkataba katika shule za msingi kupitia mradi wa gpe, ambao tuliletwa na tamisemi. tupo nchi nzima, lakini mpaka sasa hatujalipwa. mara ya mwisho kulipwa ilikuwa mwezi februari 2026, tena baada ya kutoa kero yetu hapa jamii forums ndipo malipo yakafanyika...
  12. SAMBOZAM

    JamiiForums Tanzania Sina cha kuandika JF msaada nihudhurie shule gani?

    Sina cha kuandika JF msaada nihurulie shule gani? 1. SHULE YA BUNGE 2. SHULE YA MAHAKAMA 3. SHULE YA MTAANI 4. SHULE YA JAMII 5. SHULE YA MUZIKI 6. SHULE YA RANGI
  13. SAMBOZAM

    JamiiForums Tanzania Sina cha kuandika JF msaada nihurulie shule gani?

    Sina cha kuandika JF msaada nihurulie shule gani? 1. SHULE YA BUNGE 2. SHULE YA MAHAKAMA 3. SHULE YA MTAANI 4. SHULE YA JAMII 5. SHULE YA MUZIKI 6. SHULE YA RANGI
  14. M

    JamiiForums Tanzania Kuota upo shule ya msingi

    Nilipoteza kazi since mwaka jana nipo nyumbani hadi leo hii, Kuna Ile siku unaamka huna hata shilingi mia yaan hii hii shilingi mia moja ya kitanzania🙌🙌 Nimepiga interview nyingi then after hapo no feedback Kuna interview nyingine nilifanya nikaambiwa nitaitwa second interview,hii nilikuwa na...
  15. W

    JamiiForums Tanzania Uingereza yaonya Shule kuchapisha picha za wanafunzi mitandao kutokana na tishio la unyang'anyi wa kimtandao (blackmail)

    Shule nchini Uingereza zinapewa onyo la kuondoa picha za wanafunzi wao kutoka kwenye tovuti na mitandao ya kijamii kufuatia kuongezeka kwa tishio la unyang'anyi wa kimtandao (blackmail). Wataalamu wa usalama wa mtoto na Shirika la Kitaifa la Uhalifu (NCA) wanaonya kuwa wahalifu wanatumia Akili...
  16. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Athari za Kiuchumi Oktoba 29,2025

    Tume ilibaini kwamba sekta ya elimu iliathiriwa kiuchumi pia, hasa shule za binafsi ambazo zilipoteza mapato ya ada wakati shule zilipofungwa. Walimu wa shule hizo hawakupata mishahara yao, na familia zilizowaongoza watoto wao kwenye shule za mbali zaidi pia zilibeba gharama za ziada za...
  17. Sonship

    JamiiForums Tanzania Shule ya Nursery & Daycare inauzwa Kibaha Maili Moja-Mpigi

    ✨ FURSA ADIMU YA UWEKEZAJI KWENYE ELIMU – SHULE INAUZWA KIBAHA! ✨ Je, unatafuta shule tayari kwa kuanza biashara ya elimu mara moja? Hii ni nafasi ya kipekee kwako! 📍 Location: Kibaha Maili Moja – Mpigi 📐 Ukubwa wa eneo: Heka 1 👨‍🎓 Wanafunzi waliopo: 20 💰 Kila mwanafunzi analipa: Tsh 1.2...
  18. Sonship

    JamiiForums Tanzania Shule ya nursery & daycare inauzwa Kibaha Maili Moja-Mpigi

    ✨ FURSA ADIMU YA UWEKEZAJI KWENYE ELIMU – SHULE INAUZWA KIBAHA! ✨ Je, unatafuta shule tayari kwa kuanza biashara ya elimu mara moja? Hii ni nafasi ya kipekee kwako! Bei ni Milioni 160 Tzs. 📍 Location: Kibaha Maili Moja – Mpigi 📐 Ukubwa wa eneo: Heka 1 👨‍🎓 Wanafunzi waliopo: 20 💰 Kila...
  19. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania Millenials walikuwa washamba sana. Sasa kuweka BLUU kwenye mashati ya shule ilikuwa ndio nini?

    Mimi kama Gen Z naomba nianze Hivi Millenials ilikuwaje mkawa yale mashati ya shule mnayatumbukiza kwenye ile mliyokuwa mnayaita BLUU? Kaka yangu alikuwa na huo mtindo kila akirudi shule alikuwa ananunua hiyo bluu anaweka kwenye maji wakati anafua ili kupendeza Unakuta shati halieleweki ni...
  20. Travis Kitengo

    JamiiForums Tanzania Hongera sana mkuu wa shule ya sekondari Dkt. Nchimbi kwa kuchaguliwa kuwa mfanyakazi hodari halmashauri ya Bunda-mji

    Pongezi sana ndugu Ngassa Benard Mahangila kwa kuchaguliwa kuwa mfanyakazi hodari katika halmashauri ya mji wa bunda kwa kuchaguliwa kuwa mfanyakazi hodari ndani ya halmashauri. Nafikiri pongezi hizi zinastahili kabisa na hazina walakini. Kusimamia mradi wa ujenzi wa shule ya sekondari Nyasura...
Back
Top Bottom