shule

  1. Sonship

    JamiiForums Tanzania Shule ya Nursery & Daycare inauzwa Kibaha Maili Moja-Mpigi

    ✨ FURSA ADIMU YA UWEKEZAJI KWENYE ELIMU – SHULE INAUZWA KIBAHA! ✨ Je, unatafuta shule tayari kwa kuanza biashara ya elimu mara moja? Hii ni nafasi ya kipekee kwako! 📍 Location: Kibaha Maili Moja – Mpigi 📐 Ukubwa wa eneo: Heka 1 👨‍🎓 Wanafunzi waliopo: 20 💰 Kila mwanafunzi analipa: Tsh 1.2...
  2. Sonship

    JamiiForums Tanzania Shule ya nursery & daycare inauzwa Kibaha Maili Moja-Mpigi

    ✨ FURSA ADIMU YA UWEKEZAJI KWENYE ELIMU – SHULE INAUZWA KIBAHA! ✨ Je, unatafuta shule tayari kwa kuanza biashara ya elimu mara moja? Hii ni nafasi ya kipekee kwako! Bei ni Milioni 160 Tzs. 📍 Location: Kibaha Maili Moja – Mpigi 📐 Ukubwa wa eneo: Heka 1 👨‍🎓 Wanafunzi waliopo: 20 💰 Kila...
  3. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania Millenials walikuwa washamba sana. Sasa kuweka BLUU kwenye mashati ya shule ilikuwa ndio nini?

    Mimi kama Gen Z naomba nianze Hivi Millenials ilikuwaje mkawa yale mashati ya shule mnayatumbukiza kwenye ile mliyokuwa mnayaita BLUU? Kaka yangu alikuwa na huo mtindo kila akirudi shule alikuwa ananunua hiyo bluu anaweka kwenye maji wakati anafua ili kupendeza Unakuta shati halieleweki ni...
  4. Travis Kitengo

    JamiiForums Tanzania HONGERA SANA MKUU WA SHULE YA SEKONDARI DR.NCHIMBI HALMASHAURI YA BUNDA-MJI KWA KUCHAGULIWA KUWA MFANYAKAZI HODARI

    Pongezi sana ndugu Ngassa Benard Mahangila kwa kuchaguliwa kuwa mfanyakazi hodari katika halmashauri ya mji wa bunda kwa kuchaguliwa kuwa mfanyakazi hodari ndani ya halmashauri.Nafikiri pongezi hizi zinastahili kabisa na hazina walakini.Kusimamia mradi wa ujenzi wa shule ya sekondari Nyasura...
  5. Think2

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa: Nimetembea Kilometa 80 kwenda shule

    Kwa uhalisia tu haiwezekani KM 80? Yaani sawa na Mita 80000 kwa miguu huyu jamaa amekubuhu kwa uongo hizo kilometa unafika shule wenzio washatawanyika unarudi nyumbani usiku unafika asubuhi afu tena urudi shule 😂. Gerson huu umbali unaosema wewe sio kweli labda kama umekosa cha kusema. Kwa...
  6. A

    JamiiForums Tanzania KERO Walimu wa kujitolea Shule za Msingi, Sekondari walipwa Sh 100,000 kwa mwezi

    Licha ya mahitaji makubwa ya walimu kwa shule za msingi na sekondari, bado walimu wanaojitolea wanaishi maisha magumu, kwa kukosa posho na wengine wakiambulia kulipwa Sh 100,000 kwa mwezi. Takwimu za BEST (Basic Education Statistics Tanzania) zinaonesha Tanzania inakabiliwa na uhaba mkubwa wa...
  7. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Historia ya Tanzania na Maadili: Shule za Sekondari Kitabu cha Mwanafunzi Kidato Cha Tano

    Kuna ajuaye yaliyomo kwenye kitabu hiki?
  8. T

    JamiiForums Tanzania Chanjo ya Minyoo na Kichocho inayotolewa Shule za Msingi yadaiwa kuua Wanafunzi Jijini Mbeya

    Watoto wa shule ya msingi jijini Mbeya wamepata matatizo ya kiafya ikiwemo kuumwa tumbo na kutapika na wengine kufaliki baada ya kupewa chanjo ya vidonge kwa ajili ya minyoo na kichocho. Miongoni mwa mwanafunzi aliyefaliki ni mwanafunzi wa kike mwenye miaka minne aliyekuwa anasoma Shule ya...
  9. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kero ya Wanafunzi kulazimishwa kusoma tuition shule za Serikali

    Habari wana Jamii Forums, Naomba kuwasilisha hii kero kwa umma na taarifa hizi zifike TAMISEMI na Wizara ya Elimu. Kuna utaratibu mbovu sana kwa wanafunzi wanaosoma shule ya msingi Tandika iliyoko wilaya ya Temeke mkoa wa Dar Es Salaam. Wanafunzi wamekuwa wakilazimishwa kusoma masomo ya...
  10. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kuna kero ya Michango ya Uandikishaji na Chakula Shule ya msingi Mkuza

    Habari, Mimi ni mzazi nawakilisha wazazi wenzangu ambao wamechoshwa na kero hii. Mimi ni Mkazi wa Kibaha Manispaa, mkoa wa Pwani. Tumechoshwa na kero ya michango mashuleni hasa shule ya Msingi Mkuza iliyopo kata ya Picha ya Ndege kituo cha daladala maarufu kwa Mbonde Wamekuwa na utaratibu wa...
  11. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania KATAVI: Shule ya Tulieni ina Wanafunzi 2,509, madawati 169, Walimu 14

    Mwalimu Mkuu Msaidizi wa Shule ya Msingi Tulieni iliyopo Manispaa ya Mpanda, Mkoa wa Katavi amesema shule hiyo inakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo upungufu wa madawati ambapo mpaka sasa shule hiyo ina madawati 169 ikilinganishwa na idadi ya wanafunzi 2,500 ambao wengi wao hawana sehemu...
  12. UTPC

    JamiiForums Tanzania Pengo la uwajibikaji na changamoto ya miundombinu kwa watoto wenye ulemavu katika shule za Mwanza

    Katika shule za msingi na sekondari mkoani Mwanza, watoto wenye ulemavu bado wanakabiliwa na mazingira ya kujifunzia yasiyo rafiki, kutoka vyoo visivyofikika hadi madarasa yasiyo na njia salama za kupita. Hali hii imeendelea kujitokeza licha ya uwepo wa sera na sheria zinazotambua haki ya watoto...
  13. Sonship

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Shule inauzwa Bahari Beach

    ✨Shule nzuri sana inauzwa ✨SQMT 5800 (heka1 na nusu) ✨Bei billion 1.5 maongezi yapo ✨Ina madarasa 14 ✨Wanafunz 110 ✨️Unauziwa na wanafunzi waliopo ✨️Location : bahari beach ✨️ Eneo lake linafaa kwa uwekezaji wowote Hati miliki imenyooka sana Kutoka Wizara ya Ardhi Anahitajika serious buyer tu...
  14. Light Saber Imetosha Sasa

    JamiiForums Tanzania Walinzi wa Malango ya Mafanikio (Gatekeepers): Kwa nini Cheti cha Shule kisikufanye ujione mnyonge

    Katika safari ya maisha, kuna vitu tunaita "Gatekeepers" au walinzi wa malango. Hawa ni pamoja na Cheti cha Kuzaliwa, NIDA, na Vyeti vya Elimu. Wengi wetu tukikosa hicho cha mwisho (Cheti cha Elimu), tunaanza kukata tamaa na kujiona hatuna thamani ("Self-esteem" inashuka). Lakini ukweli ni upi...
  15. Damaso

    JamiiForums Tanzania Uongozi wa Shule ya Pugu mmefeli sana kumuweka Mpoki kuwa mgeni rasmi wa mahafali yenu

    Katika mazingira ya elimu, mahafali si sherehe ya kawaida bali ni jukwaa la maono, msukumo na mwelekeo wa maisha ya wahitimu. Ndiyo maana uchaguzi wa mgeni rasmi hubeba uzito mkubwa kuliko inavyodhaniwa, kuna wakati viongozi waandamizi haswa mkuu wa shule pamoja na wasaidizi wake huzungusha...
  16. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mashirika na Taasisi jengeni Shule za Sekondari za kutwa. Kutakuwa na uhitaji mkubwa Dodoma

    Mashirika hasa ya dini kama KKKT na RC pamoja na wawekezaji binafsi watusikie Wazazi wa Dodoma. Dodoma kuna uhitaji mkubwa sana wa Shule bora za Sekondari za kutwa, kwa sababu Mwakani 2027 Watoto watamaliza shule ya msingi wakiwa wadogo wengi katika wastani wa miaka 10 mpaka 11. Hivyo, wazazi...
  17. REJESHO HURU

    JamiiForums Tanzania Suala la michango shule za serikali ni changamoto kubwa sana serikali litazameni kwa ukubwa sana

    Nimeona leo waziri mkuu akitoa maelekezo mepesi kwenye jambo zito hilo jambo ni zito tena zito kweli mnasema kweli elimu bila malipo na serikali kila mwezi inapeleka pesa mashuleni pesa ambazo matumizi yake na mambo mengine yanaitaji uwazi sasa niwape changamoto tu hizo shule za serikali si zipo...
  18. A

    JamiiForums Tanzania KERO Matosa - Goba (Dar) eneo la Shule ya Msingi More Light hakuna maji mwezi mmoja sasa

    Wakazi wa Matosa - Goba DSM, hususan eneo la Shule ya Msingi More Light, tumekumbwa na changamoto kubwa ya ukosefu wa maji kwa takribani mwezi mmoja sasa. Kila tunapouliza, tunaelezwa kuwa bomba linaloleta maji kutoka Uzalamoni limeharibika, hata hivyo, inashangaza kuona kuwa bomba hilohilo...
  19. M

    JamiiForums Tanzania Mtoto yupo Form 1 na likizo imeisha, Je arudi shule ya boys inayoshuka namba 1 hadi 3 kimkoa au ahamie mchanganyiko inayoshika nafasi ya 4 hadi 6?

    Umri ni miaka 14, Mtoto ana uwezo mzuri darasani wala sina shaka juu ya uwezo wake. ana uwezo wa ziada wa kulisakata gozi (mpira) Shule ya msingi alisoma mchanganyiko ya kutwa. Katika likizo hii ya wanafunzi wa sekondari, nilipata wazo la kumpeleka mtoto kufanya interview katika shule ya...
  20. A

    JamiiForums Tanzania KERO Ubovu wa Barabara unaathiri ratiba ya Wanafunzi wanaoenda Shule Maghweta na Matomondo Mkoani Dodoma

    Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa Mkoa wa Dodoma njia haipitiki, ni hatari jamani warekebishe barabara basi, hata wanafunzi hapo hawawezi kwenda shule. Hali ya ubovu imeongezeka tangu mvua zilipoanza kunyesha takribani mwezi mmoja sasa, Wanafunzi wamekuwa waathirika wakubwa wanashindwa kwenda...
Back
Top Bottom