Leo una nguvu, kesho unaweza kuwa dhaifu. Leo una afya njema, kesho unaweza kuhitaji msaada wa wengine. Leo una mali na madaraka, kesho unaweza kuondoka duniani bila kubeba hata senti moja.
Kifo hakichagui tajiri wala maskini, msomi wala asiye msomi, mwenye afya wala mgonjwa. Kinapofika, hakuna...