KIWANJA KINAUZWA – KIBAMBA KWA MANGI
📍 Wilaya ya Ubungo, Dar es Salaam
📐Ukubwa ni SQM 460
💰 Milioni 15 tu (Mazungumzo kidogo)
✅ Umeme upo
✅ Maji ya DAWASCO yapo
✅ Mtaa uliostaarabika
✅ Boda boda Tsh 1,000 tu hadi site
🏠 Eneo zuri kwa makazi na uwekezaji.
📞 0675 065906
Kiwanja Kinauzwa, kina msingi wa ukuta.
Mahali: Kimara Temboni.
Kipo km 1 kutoka barabara kuu ya Morogoro, Mita 300 kutoka barabara ya lami ya kuelekea kwa Mfugale.
Ukubwa wa Eneo: SQM 308.
Bei: Tzs Milioni 35.
Nyaraka: Hati ya mauziano ya Serikali ya mtaa.
Gharama ya kwenda kuona Eneo...
🏡 KIWANJA KINAUZWA – BAGAMOYO MJINI 🏡
📍 Location: Mkuni (BLOCK ALA), Bagamoyo Mjini
✔️ Jirani kabisa na Mahakama Mpya ya Bagamoyo
✔️ Mtaa wa kishua na uliopangwa vizuri
📐 Ukubwa: Square Meter 1,491
✅ Kiwanja tambarare
✅ Kina Hati Safi ya Wizara
✅ Kodi ya ardhi inalipiwa kila mwaka
💰 Bei...
VIWANJA VINAUZWA KIMARA "B"
Eneo la Ukubwa wa sqm 1500
Limekatwa Viwanja 4
Lipo Kimara B unaingilia barabara ya Mbezi Kibanda cha Mkaa
A/.Vipo viwanja vi 3 vya sqm 400 bei
Mln 16.6 kila kimoja
B/.Na Kipo kiwanja 1 cha sqm 300
bei Mln 14
Viwanja viko sehemu nzuri tambarare sana
Unaweza...
Kiwanja Kinauzwa Mbezi mwisho
Njia panda ya kwenda makabe
Kina ukubwa wa mita 19x20
-kimezungushwa ukuta pande zote
- Mkataba wa mauziano serikali za mitaa
-Kipo mtaa wa Kishua Sana
-Bei ni Milioni 24
- dk chache kutoka Sheli ya Ester
0675 06 59 06
1200 SQM katikati ya Upanga
Unajua hii ina maana gani…?
👉 Potential kubwa sana ya pesa
Fikiria kujenga:
🏢 Apartment ya ghorofa hadi 12
✔ Rentals
✔ Airbnb
✔ Offices
Hii sio kiwanja, ni project tayari kichwani!
Faida zake ni hizi:
✔ Mapato makubwa ya kila mwezi
✔ Demand kubwa ya wapangaji
✔...
KIWANJA KIZURI KINAUZWA !!
Maramba Mawili King'azi B
Kina mita 32x28~sqm 896
Kiwanja kinasifa hizi;
✅️Kinapakana na barabara ya kubwa ya mtaa huo ambapo
Unaweza jenga nyumba ya kuishi na fremu za biashara za kutosha
✅️ Hakiko mabondeni
✅️ Mipaka yake iko wazi inaonekana
✅️ Nyaraka halali za...
Kiwanja kinauzwa kigamboni kibada kimepimwakina square meter 700 bei milioni 35 kiwanja kipo kibada karibu na tawi la crdb bank block 5 kwa mawasiano simu 0659962452
Kiwanja Kinauzwa, kina msingi wa ukuta.
Mahali: Kimara Temboni.
Kipo km 1 kutoka barabara kuu ya Morogoro, Mita 300 kutoka barabara ya lami ya kuelekea kwa Mfugale.
Ukubwa wa Eneo: SQM 308.
Bei: Tzs Milioni 35.
Nyaraka: Hati ya mauziano ya Serikali ya mtaa.
Gharama ya kwenda kuona Eneo...
Habari ya sikukuu wakuu. Kiwanja kinauzwa
🔥Kina ukubwa wa square metres 597
🔥Kinapatikana KISOTA BLOCK 3 Mtaa wa nyuma ya barabara ya Dr Dau.(Ni mtaa ulio oposite na nyumba ya Dr Dau.
🔥Kina hati ya wizara
🔥Ni corner plot yaani kinatazama barabara mbili za mtaa.
🔥Hakina mgogoro wowote kinauzwa...
Kiwanja kina ukubwa robo eka.
Kipo kibaha visiga.
Umbali Mita 300 kutoka morogoro road.
Unatembea kwa miguu kidogo unaingia ndani.
Bei milioni 9.
0678908743
Mahali: Mivule Mipeko – Mkuranga
Ukubwa: 100 × 40 ft
Maji yapo
Umeme upo
Eneo ni tambarare, linapendeza na linafikika kwa urahisi
Lipo sehemu salama, jirani na makazi ya watu.
Linazuri kwa kujenga nyumba au uwekezaji wa baadaye.
BEI: TZS 4,000,000
Hakuna dalali – unawasiliana moja kwa moja...
Kiwanja kipo kibaha picha ya ndege.
Kipo nyuma ya hospital ya wilaya Lulanzi.
Kiwanja kina ukubwa Mita 30 kwa 20
Kutoka morogoro road km 2.
umeme upo hapo hapo wa kuvuta maji yapo karibu.
Bei milioni tatu na nusu.
Kiwanja Kinauzwa Kiluvya Madukani
Ukubwa Heka 1 yani mita 70x70
Huduma zote zinapatikana
Umbali Kutoka Morogoro road km 6
Bei eneo linauzwa Mln 15
0775 179905
KIWANJA KINAUZWA
KILUVYA KWA KOMBA
KIPO MITA 600 TU KUTOKA LAMI
_____________________________
✅ KINA UKUBWA WA 25*30
✅ KIPO KARIBU NA LAMI HAINA
HAJA YA KUPANDA BODA MITA 600
TU KUTOKA MAIN ROAD.
✅ KIPO KWENYE BARABARA YA MTAA
✅ KIPO MTAA ULOCHANGAMKA
✅ HUDUMA ZOTE MUHIMU ZIPO...
Kiwanja Kinauzwa, kina msingi wa ukuta.
Mahali: Kimara Temboni.
Kipo km 1 kutoka barabara kuu ya Morogoro, Mita 300 kutoka barabara ya lami ya kuelekea kwa Mfugale.
Ukubwa wa Eneo: SQM 308.
Bei: Tzs Milioni 35.
Nyaraka: Hati ya mauziano ya Serikali ya mtaa.
Gharama ya kwenda kuona Eneo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.