Kiwanja kina sqm 584,
Bei milioni 14 maongezi kidogo yapo.
Kiwanja kipo mtaa mzuri uliojengeka, barabara inafika mpaka kwenye kiwanja
Kimepimwa kina hati ya wizara
0675 065906
Kiwanja kinauzwa Ubungo Riverside
Kutoka Riverside-Mandela Road ni 1.5 km
Ukubwa ni 1,400 square metre
Bei ni 90m
Piga 0625617565
Kinafaa kwa makazi na kuwekeza apartments sababu kiko mjini na ni kikubwa.
Kiwanja kinauzwa Kigamboni karibu na Hamidu City. Kiwanja kina hati, kimezungushiwa fensi na kina ukubwa wa Square Metres 4000 (Eka moja). Umeme na maji vipo. Bei Milioni 250, maongezi yapo.
Ni inbox au Mawasiliano ya moja kwa moja Whatsapp/Msg 0775880218. Hakuna dalali...
VIWANJA VIPO MBEZI MWISHO MSIGANI
✳️ VINA SQM 700 KILA KIMOJA
✳️ VIMEPIMWA VINA HATI YA WIZARA
✳️ PUNGUZO LA BEI MLN 15 TU
✳️ VIPO ENEO ZURI LENYE HUDUMA ZOTE
WAHI FASTA UCHUKUE CHAKO VIMEBAKI VIWANJA VIWILI 2 TU
0675065906
kiwanja Chenye Nyumba kinauzwa Kipo bahari beach jijini dar es salaam
Kina ukubwa wa sqm 2220 kina Hati miliki safi kabisa kutoka wizara ya Ardhi
Kiwanja kina KIBANDA cha kuanzia maisha pia kimezungushiwa ukuta Pamoja na gei Kipo umbali wa meter 600 kutoka BARABARA ya lami
KINAUZWA TSH 400...
Kiwanja kinauzwa
Kipo mbweni malindi , jijini dar es salaam
WILAYA ya Kinondoni BARABARA ya bagamoyo road kina UKUBWA wa sqm 1495 ni corner plot na kina Hati miliki safi kutoka wizara ya Ardhi kina uzwa TSH MIL 180 mazungumzo yapo kwa muhitaji KARIBUNI sana
Mawasiliano
0712464777 whatsap & call...
Kipo kiwanja mbweni jkt block 5 kina sqm 1020. bei 80milion kina hat
Kipo kiwanja mbweni malindi block c sqm 1100. Bei 80milion kina hat
Kipo kiwanja mbweni mpiji sqm 912 bei milion 55 kina hati
Kipo kingine mbweni mpiji block 13 sqm 1090 kina hat bei 50 milion
Kipo kingine
mbweni...
KIWANJA KINAUZWA KIBAHA LOLIONDO
✳️LOCATION :: KIBAHA LOLIONDO
✳️Kutoka Loliondo stendi mpaka site boda Tsh.1,000
✳️Ukubwa 60x43 bei mln 25 maongezi kidogo yapo
❇️Huduma zote za kijamii zinapatikana
✳️Umeme, Maji vyote vipo
✳️Kiwanja kipo mtaa mzuri opposite na bandari kavu
❇️Kupelekwa site...
Kiwanja kinauzwa kama ifuatavyo:
i: Mahali kilipo: Kwa bibi barabara ya Tabata/Segerea mita 20 toka barabara kuu.
ii: Eneo: Sqm 1,416
iii. Kina hati: Ndio
iv: Bei: 310m
v: Mawasiliano: +255 755 321 562
Kiwanja kinauzwa KITUNDA DAR ES SALAAM, kiwanja hiki ni kikubwa mita 30*40 bei milioni 23 tu...!
Unaweza ukajenga nyumba 2 za wastani... na car parking kidogo ikabaki. Barabara ya mtaa inafika hadi kilipo kiwanja.
Kiwanja hiki kipo karibu kabisa na barabara ya Lami kama hatua 700 hivi kutoka...
Kibaha msangani juhudi.
Kipo karibia na stend ya bajaji
Km 5 KUtoka morogoro road
Ukubwa mita 20 kwa 20
Milioni tatu na nusu.
Barabara nzuri ya lami.
Umeme na maji vimefika.
Habari
Nauza kiwanja Kibaha kwa mfipa chenye ukubwa wa miguu 20 kw 19
Bei ni Tshs 3,500,000 maongezi kidogo yapo
Kiwanja ni changu mwenye, kipo sehemu nzuri na huo mtaa maji, umeme na huduma zote za kijamii zipo
Njoo nikuuzie umiliki kiwanja leo hii mana kadri siku zinavyokwenda ardhi...
Kiwanja kwa bei ya OFA ya kufungia mwaka.
kiwanja kipo Mbezi Msakuzi kwa Lipelanya Shule ya Makamba.
Ukubwa ni 45 kwa 35 metres.
Bei ni million 30 tu.
Umbali kutoka barabarani ni km 2
Mawasiliano 0715128827
Kiwanja kikubwa Cha makazi kiko Maeneo ya shirimatunda- moshi mjini
Mwana apolo amekwama. Biashara zake za madini haziendi
Kiwanja kimezungushiwa fensi ya senyenge kiko karibu na shule ya sekondari maji na umeme vipo hapo jirani
Mwenye kiwanja anahitaji hela ya haraka
Bei million 17
Habari wakuu
Nauza eneo langu lenye ukubwa wa kari 3 liloko Mkoa wa Morogoro, eneo la Wami Luhindo (km 20 toka msamvu stend, Dodoma road) , Kisha unaingia bara bara ya vumbi na gari km 8 hadi eneo la kiwanja.
Eneo liko jirani na kiwanda cha nyama.
Bei ya kuanzia kwa ekari ni laki 8
Kwa maswali...
Kiwanja kipo kibaha kwa Mathias kidenge.vipo viwili
Kila kimoja ukubwa squire meter 400.
Bei kwa kimoja milioni tatu.
Kwa vyote viwili milioni 5.
Km 5 kutoka morogoro road
Barabara nzuri ya lami,bajaji 1000.
Huduma zote za kijamii zipo,umeme na maji ya dawasco.
Mawasiliano :+255766042214
Kiwanja kipo kibaha kwa Mathias kidenge.vipo viwili
Kila kimoja ukubwa squire meter 400.
Bei kwa kimoja milioni tatu.
Kwa vyote viwili milioni 5.
Km 5 kutoka morogoro road
Barabara nzuri ya lami,bajaji 1000.
Huduma zote za kijamii zipo,umeme na maji ya dawasco.
Mawasiliano :+255766042214
Kiwanja kipo eneo la Chonga wilalya ya Chake chake
Kina ukubwa sqm 850
Kipo mita 30 kutoka barabara kuu
*Kiwanja kipo karibu msikiti na hospital ya Chonga
Umeme ushafika hauhitaji nguzo
Madrasa ya Qurani yapo hapohapo
Kuna miti (3) ya mikungu, mshelisheli (1) na muembe ng'ongo (1)
Bei Tsh...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.