Siiweki picha yake ni mtu maarufu mtamsumbua, kaja leo amataka akae weekend Mzima wakati nina ratiba Nyingine kesho
Mpaka week inaisha itakuwa Powa
Ila sijui wanataka nini hadi nimechoka ,
Awali ya yote ashukuliwe Mungu Mkuu atoaye pumzi na afya.
Wadau najua wataalamu na wafanyabishara wamo humo ndani naombeni ushauri kama nilivyoeleza hapo juu kuwa kipato changu na nahitaji kufungua biashara ya kuuza juisi je hiyo pesa inatosha kwa mtaji na ni vitu gani hasa vinahitajika ili...
Tuchukulie mfano wa mtu anayesafiri km 30 hadi 35 kila siku ndani ya mji.
Kwa mwezi (siku 30), atakuwa amesafiri takribani km 900.
Petrol - 4000 kwa lita
Gesi - 1545 kwa Kg
Sasa tuangalie upande wa gesi.
Kwa gari la CC 1900, mfano Nissan X-Trail, kwa mafuta inaweza kukulamba lita 1 kwa km...
gari
gesi
gharama
gharama za mafuta
kila mwezi
kubadili
kuokoa
kutumia
mafuta
matembezi
matumizi
mbili
mfumo
mjini
msingi
muhimu
mwezi
naomba
naweza
sababu
sababu za
shilingi
wakati
yangu
zaidi ya
Shikamoni wakubwa.............
.leo tena mnaobeti mpeni England uhakika.
Sasa nimekuja na swali dogo ivi kiafya nichakate mbususu mara ngapi kwa mwezi?
Nimeona nilete huu huzi maana kuna binti kwa sasa tunaenda wiki ya tatu tunakulana ila jana nilianza kuwa na hali ya kukinai, Yaani...
Mkuu wa Mkoa wa Njombe Anthony Mtaka amesema ni muhimu Wafanyabiashara kuwa na maisha yanayoendana na kipatao chao .
Mtaka amesema hayo leo Julai 13, 2026 wakati akizungumza na Wakulima wa Parachichi watakaoenda nchini India kujifunza Soko la Parachichi India ambapo amesema wapo Wafanyabiashara...
Huyu mzanzibari alikua kama anko wangu nadhani jamii forum ndo iliyo tufanya tuwe kama ndugu, mi nilikua nimeajiriwa na mdogo wake wa kike, ndo tulipo fahamiana hapo.
Alikua anafanya kazi smz kama si ardhi, basi mambo ya ujenzi sijui sikumchinguza sana, alikua akiishi stone town, mwaka Jana...
Mfano mke wako au mchumba anakwambia anataka afanye kazi ya online live streaming kwenye majukwaa ya watu wazima.hakuna kukutana na mteja yeyote ana kwa ana anafanya kila kitu akiwa chumbani nyumbani kupitia kamera. Wateja wote ni wa nje ya nchi na atakuwa analipwa takribani 70k kwa siku masaa 4...
EWURA Hakuna excuse sahivi. Petrol na Diesel ziwe under 3,500 Tsh kwa July, hafu August ndio isivuke 3,000 Tsh. Masaa machache yajayo tunasubiria mkeka wenu.
Mambo ya kuitana switii, bebiii, asaliii...sitaki, najua mnavizia hiki kimshahara kangu.
Mshahara ni wa kwangu, nimeupata baada ya kuchomwa na jua pamoja na kumaliza soli ya kiatu kwa kutembea; achilia mbali manyanyaso ya huko kazini.
Sasa ni muda wa kujipongeza mimi mwenyewe na nafsi yangu...
Jana nimewasema vijana kutopiga kazi na wengine kutojishughulisha na kuomba omba pesa
Kwanini nilisema Kuomba omba pesa na ilinikera
Mtu Ana bando Ana simu Ana contact kibao za kuwezo kumpa kibarua hata cha kufyeka apate angalau sh 4000 kwa siku ye anakuja Mtanzanoa kuomba 1000 ya kula ? Huo...
Duh, kama ni ukweli basi tumekwisha, kuna vitu hapa Tanzania ni bora usivijue tu, maana ukivijua utapata pressure ya bure, imagine nchi maskini, Raia wanashindwa kuafford vitu vya msingi, lakini kuna mtu mmoja pale bungeni anakunja zaidi ya mamilion, bunge la budget ni siku 90, laki nane kwa...
Kila siku nilikuwa nakimbia 10km
Mpaka leo nimetimiza mwezi kwa kutembea km 25
Sasa mwezi ujao nataka kuhamia Gym
Ndugu msomaji una ushauri gani kwangu?? Karibuni
Watumishi wa serikali ajira ya 2021 mwezi wa 7, tunazungunshwa kuhusu kupandishwa madaraja.
Mikataba inadai mtumishi atapandishwa daraja baada ya miaka 4 kazini, lakini sisi tumemaliza miaka minne mwaka 2025 tukaambiwa bado hatujakidhi vigezo hadi mwaka 2026, ambapo inakuwa ni miaka mitano...
Anonymous
Thread
ajira
baada
daraja
kuhusu
kupandishwa madaraja
madaraja
mikataba
mtumishi
mwezi
serikali
watumishi
watumishi wa serikali
kuna vifaa au shughuli za mitandaoni zinahitaji mb chache sana, mfano gps ya gari inahitaji mb 60 tu kwa mwezi, kusoma emails maybe mb 80 tu kama hakuna attachments, kuna vingamuzi navyo vinahitaji mb chache kwajili ya updates, mashine za pos za miamala huhitaji kiasi kidogo cha data, n.k. ?
je...
Sisi wataalamu wa maabara(certificate hadi degree) nchini Tanzania ambao tulifanya Mtihani wa Leseni kuanzia march 15 hadi april 01(certificate hadi degree) tumecheleweshewa kupewa matokeo kwa zaidi ya miezi miwili sasa, hali ambayo inatukosesha fursa nyingi ikiwemo ajira zinazotangazwa...
Anonymous
Thread
baraza
leseni
maabara
machi
madaktari
march
matokeo
mitihani
mwezi
wapi
wataalamu
Ukisikia gari ni liability basi ndio hii
Mafuta yamepanda bei, kuna watu wamo matabaka flani ya kiuchumi ambayo bei za mafuta zimewaathiri sana bajeti zao lakini bado wanakaza kulinda brandi
Bei za mafuta zimefanya hata wenye ist, Vitz , Premio, n.k. kutumia 20K kila siku,
Sasa imagine mtu...
Wakuu katika hali ya kujikwamua kimaisha kwa sisi waajiriwa saving ni muhimu sana.
Kwa sisi ambao hatuna posho yeyote ni mshahara tu ni changamoto kwa kweli, sasa mimi katika dodoso zangu nimeonelea ili niweze japo kufikia malengo japo kwa 40% ninahitaji kusave 700k kila mwezi kwa muda wa miezi...
Waziri wa Maji, Jumaa Hamidu Aweso
Waziri wa Maji, Jumaa Hamidu Aweso ameiagiza Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mjini Iring (IRUWASA) kuhakikisha katika kipindi cha mwezi mmoja inatekeleza mradi wa muda mfupi kuhudumia Kaya zipatazo 23 zinazokosa maji katika Vijiji vya Luhindo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.