roho

Rohō Yukio (born March 9, 1980 as Soslan Feliksovich Boradzov, Russian: Сослан Феликсович Борадзов, in Vladikavkaz, Republic of North Ossetia–Alania in the Russian Federation) is a former sumo wrestler. The highest rank he achieved was komusubi. His younger brother is also a former sumo wrestler, under the name of Hakurozan. In September 2008 both were banned from the sport for life after testing positive for cannabis.

View More On Wikipedia.org
  1. Chakaza

    JamiiForums Tanzania Anthony Mtaka, Unasubiri Roho wa Bwana Akushukie Kukupa Taarifa "HUTAKIWI"?

    Yaliyotokea katika uchaguzi wa TOC ni Salam LOUD AND CLEAR kuwa ndani ya CCM lile kundi kubwa la wezi, wabadhilifu, watekaji, waongo na kila ubaya hawakutaki kabisa na sisi watu wa kawaida tunajua sababu nini. Unasema ukweli mno! Ona uchaguzi wa chombo tu cha michezo Gazeti la serikali...
  2. MSAGA SUMU

    JamiiForums Tanzania Tukiacha roho mbaya Marangu Kilimanjaro ni kama ulaya

    Mamangi hapa mmejua kutunyoosha, yaani mtu anaweza kutokea Bukoba mjini au Singida akaja kushangaa Marangu. Mikoa mingine uchawi tuwachie mababu zetu sisi tukomae kupendezesha nyumbani. Picha kwa hisani ya Bertin Video nimeattach https://www.facebook.com/share/v/1CQMtL86pJ/
  3. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Tajiri anamsihi mwanae kuwa ngono holela inapelekea magonjwa na nzao za hovyo. Masikini anamsihi mwanae kuwa ngono holela inaua nyota na roho yake

    Akili yako ndio ulimwengu wako.
  4. ShesRise_1

    JamiiForums Tanzania Je, Ndoto Zinazoonyesha Mambo Yajayo Ni Kazi ya Ubongo au Ulimwengu wa Roho?

    Kuna swali huwa ninalojiuliza sana peke yangu, naomba nishare hapa Utasikia watu wakisema ulimwengu wa roho, ulimwengu wa siri. Hivi huo ulimwengu huwa ni upi? Je, mambo ya ulimwengu wa roho au ulimwengu wa siri huwa ni pamoja na ndoto tunazoota usiku au mchana? Au tuseme ndoto huwa ni dunia...
  5. loose Nut

    JamiiForums Tanzania Member Kuni aliyekataa ku cash out mechi ya Ureno najua sasa hivi roho juu

    Huyu member KUNI alileta uzi juzi tumshauri a cash out 2M ama asubiri tu mechi ya Ureno na Uzbekistan mkeka utiki apate 18M. Wengi walimshauri a cash out lakini mwenyewe akakomaa atasubiri. Alibet Ureno atafunga magoli ma3 kabla half time na sasa hivi ureno wanaongoza 2-0 dakika ya 25 najuwa...
  6. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Damu ndio sarafu pekee ya kulipia huduma zote zinazotolewa katika ulimwengu wa roho (Damu ya Yesu ilifanya kazi hiyo)

    Mathayo 26:26–29 Walipokuwa wanakula, Yesu alitwaa mkate, akabariki, akaumega, akawapa wanafunzi wake, akasema, “Twaeni mle; huu ndio mwili wangu.” Akakitwaa kikombe, akashukuru, akawapa, akisema, “Nyweni nyote katika hiki; kwa maana hii ndiyo damu yangu ya agano, imwagikayo kwa ajili ya wengi...
  7. R

    JamiiForums Tanzania Kumbe kufa kunauma, kunaumiza roho, kunaleta majonzi! TUSIUE WENZETU MAANA KUFA KUNAUMIZA WALIOBAKI

    Pole IGP kwa msiba huu mzito. Tarehe 7.7.2026 waache watu waandamane. USIWAUE, KUFA KUNAUMIZA WALIOBAKI. RIP KAMANDA AMBWAO
  8. M

    JamiiForums Tanzania Mwanaume ameumbwa kiasili kukubali kushea mwanaume na wenzake tofauti na sisi Wanaume ukindua unachapiwa roho inakaribia kuchomoka.

    Ndio maana hata sheria ya ndoa ya Tanzania inatambua ndoa ya mume mwenye wanawake wengi lakini sio ndoa ya mwanamke mwenye waume wengi. Hii ni kwa sababu wao wameumbwa kukubali kushea mwanaume. Tofauti na wanaume.
  9. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Hiki kizazi kinachofanya siasa miaka ya sasa bado kina fikra za miaka ya 70's zenye roho ya u Swahili Swahili mostly hata ibada hawafanyi

    Siku wakizeeka hawa wanaofanya siasa sahz ndipo Tanzania tutakuja kuwa na kizazi chenye siasa za malengo na kizalendo (functional politics) Kitakuja kizazi ambacho hakitataka kijue hata historia ya Tanzania kitaanzisha siasa za kisasa ambazo zitajikita zaidi kwenye kulinda heshima ya nchi...
  10. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Viumbe roho wanne wanaotawala dunia

    Viumbe wanne wa kiroho wa asili (spiritual elementals) ni viumbe wa njozi wenye utambuzi na nishati thabiti ambao wanawakilisha na kulinda misingi minne mikuu ya asili ya dunia. Walipata umaarufu katika karne ya 16 kupitia mwanakemia wa Uswisi anayeitwa Paracelsus. Viumbe hawa wa asili...
  11. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Karibu sana Peter Msigwa, Roho yako ni Hai kwa CHADEMA, ila Mwili ndio Ulikua Dhaifu! Akili, Uwezo, Ubunifu, Busara zako sio za kukaa CCM, Pole sana!!

    Kwa Peter Msigwa, Akili, Uwezo, Ubunifu wake ndani ya CCM Ulikua ni 'Umefungwa'. Peter Msigwa nayemfaham yeye hawezi kaa kuvumilia Watu watekwe, Kuuwawa, Kusumbua Kanisa, Kufunga wapinzani Kufungia Chama , Maisha ya Mtanzania kua Juu, Gharama kupanda ,huku Mafisadi wachache wakijineemesha ...
  12. ufalmedigital

    JamiiForums Tanzania Je, Yoga inaweza kubadilisha maisha yako kimwili na kiakili?

    Katika dunia ya sasa yenye stress nyingi, presha za maisha, na uchovu wa akili, watu wengi wameanza kutafuta njia za kupata utulivu wa ndani, afya bora, na balance ya maisha. Moja ya njia zinazozidi kuwa maarufu duniani ni Yoga. Lakini swali kubwa ni: 👉 Yoga ni mazoezi tu ya mwili? 👉 Inawezaje...
  13. a sinner saved by Christ

    JamiiForums Tanzania Matendo ya kipekee matano yanayokuopa nguvu ya ushindi wa Kiroho(vita vyetu sio juu ya mwili huu wa damu na nyama bali ni vita katika ROHO

    1)AMKA MAPEMA alfajiri saa 11 au 12 ,ukiamka mapema KABLA HUJATOKA nje, kitu cha kwanza cha kufanya ITAMKIE MANENO MAPYA SIKU MPYA unayoianza Mungu BABA ninaikabidhi siku hii mpya ninayoianza chini ya mamlaka yako,lisitokee jambo lolote ambalo lipo kinyume na mapenzi yako NENO LA KWANZA...
  14. PLOII

    JamiiForums Tanzania Nipo bado kwenye Ndoto; Kile kilichotokea 29 October, 2025 kina mwelekeo na Maandiko Matakatifu?Kwa Report ya Chande hata Lucifer kanyosha Mikono.

    Umofia Wadau. Nipo ndotoni ndugu zangu kiukweli, hivi watu wamekufa kiasi kile ila Viongozi hawajutii wala kusikitika wanachofanya ni kujipalilia waendelee "KULA" Labda wale wa Rohoni mnipe tafsiri sahihi ya hili bila kujali Imani ya Dini zenu:- 1. Kila mtu aitii Mamlaka iliyo kuu;kwa maana...
  15. Wakusolve

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mungu akikuchagua usaidie watu anakupa Roho wa Bwana(holy spirit)?

    Mathayo 12:18 Tazama, mtumishi wangu niliyemteua; Mpendwa wangu, moyo wangu uliyependezwa naye; Nitatia roho yangu juu yake, Naye atawatangazia Mataifa hukumu. Mungu akikuchagua kuhubiri neno lake au kusaidia jamii(nation/world) anakupa roho wa bwana(holy spirit). kazi ya roho wa bwani nin...
  16. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Ukichunguza deeply, unakuja kugundua hata wasioamini katika Mungu wana roho nzuri kuliko hawa fanatics wanaojitapa kumjua Mungu vizuri

    Ninaamini katika Mungu wa chanzo na balance ya uwepo huu duniani na beyond ila siamini katika idea ya Mungu iliotangazwa karne na karne maana imekuwa twisted na mis-interpreted Idea ya Mungu inayoeleweka sawa sawa na wanadamu inatembea sambamba na mambo ya kufikirika, yasioeleweka na yasio na...
  17. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu wanateseka na roho za madeni?

    🔥 KWANINI WATU WANATESEKA NA ROHO ZA MADENI? Andiko la Msingi: 📖 Mithali 22:7 — “Tajiri humtawala maskini, naye akopaye huwa mtumwa wa akopeshaye.” 1️⃣ Laana au Misingi ya Familia Wakati mwingine madeni yanakuwa kama mzunguko unaopita kwenye familia. Unaweza kukuta vizazi kadhaa vinaishi...
  18. Prof Phraoh AI

    JamiiForums Tanzania Kwanini waislamu wanamuita malaika mtoa roho "Azrael/Israeli ?

    Wakati huohuo kumekua na migogoro ya mara kwa mara tangu zamani kati ya nchi ya Israel na mataifa ya kiarabu na kiislamu ( Arab-Israel conficts ) Kwanini kwenye mapokeo ya kiislam kuna malaika Israel mtoa roho ?
  19. jooohs

    JamiiForums Tanzania Vijana tujifunze kuwa waaminifu. Angalia jinsi Dola 100 ilivyotaka kunitoa roho

    Bila kupoteza muda niende direct kwenye Mada mwaka jana ulikuwa mwaka wa changamoto sana kwenye maisha yangu hii yote ni kwa sababu ya kukosa uaminifu kwenye mambo madogo madogo. Kuna bro ni rafiki yangu lakini kwa sasa ni kama ndugu yangu tupo kwenye urafiki zaidi ya miaka kumi tulisha...
  20. figganigga

    JamiiForums Tanzania Vita ya Urais 2030, itawatoa roho Mwigulu Nchemba na Emmanuel Nchimbi

    Ugomvi au Mwigulu Nchemba na Emmanuel Nchimbi tatizo ni Urais. Mmoja anajitapa ni mtoto wa Masikini. Kwamba aliua fisi na Chui wakati analinda Ng'ombe hivyo hawezi kushindwa kuwalinda watanzania. Anazunguka Tanzania nzima kujijenga kisiasa na kutenegenza pesa za per diem.. Anaongea kwa kufoka...
Back
Top Bottom