Leo naenda kula bata Mbezi - Kimara. Nisaidieni viwanja

sonofobia

JF-Expert Member
Jun 21, 2015
384
2,526
Leo nataka nikale bata mazingira ya Mbezi - Kimara.
Sehemu nzuri classic yenye music na totoz wasafi wasafi sio machangu. Nile na kunywa na kutengeneza connection.

Wenyeji nipeni suggestion ya places nzuri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom