Morocco imefanikiwa kutinga hatua ya Robo Fainali ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya wenyeji wenza, Canada, hivyo inasubiri mashindi wa mchezo wa Ufaransa dhidi ya Paraguay.
Ushindi huo unaifanya Morocco kuendelea kuandika historia katika michuano hiyo...
Aliyekuwa kocha wa zamani wa Simba Pablo Martin anaweza kubeba ubingwa wa Botola ligi kama inavyojulikana ligi ya Morocco baada ya kuongoza kwa pointi 56 na wapinzani wake wa karibu RS Berkane na As Rabat wakifuatia kwa pointi 54 kwa 53 ikiwa imebaki mechi moja.
Kocha huyu aliondoka Simba...
Pole Afrika yangu,Yaani timu tisa zimeingia LAKINI zilizio fanya vizuri zile za waarabu tu
Kila kitu kwetu kibaya
1. Magonjwa ya kuambukiza HIV Aids Ebora
2. Vita na ufisadi DRC, sudan,Central africa n.k
3. Udikteta ubinafsi, kungangania madaraka
3. Makanisa ya kitapeli na mashekh matapeli...
Ndugu IGP, siku hizi kila ikifika jioni saa kumi na moja mpaka saa moja jioni kuna foleni ya kutisha njia hii. Watu wanakaa hata masaa mawili.kutoka Morocco kufika Mwenge.
Watu wanakushutumu wewe kuwa Msafara wako wa kutoka kazini, ni sababu mojawapo ya njia kufungwa, ili wewe upite. Hii ni...
Timu ya taifa ya Morocco anasonga mbele katika hatua inayofuata baada ya kumuondoa Uholanzi kwa mikwaju ya penati 3 kwa 2
Morocco linemekuwa taifa la kwanza kutoka Afrika kusongea hatua nyingine
Je watafikia rekodi yao ya mwaka 2022 ya kufika hadi nusu fainali?
======
Uholanzi na Morocco...
Ukiangalia picha iliyo hapo chini, utaona mstari mwekundu uliokatishwa ukimtenga Tunisia chini kabisa akiwa na alama 0 na idadi ya mabao -10 huko kwenye mashindano ya kombe la Dunia.
Ki-soka, unaweza kudhani hili ni janga. Lakini ki-uhalisia, na kwa mtazamo wa Kipan-Africanism na siasa za...
Morocco naona anafunzu kwenda hatua ya 32 bora ya Kombe la dunia 2026, labda wajisaliti wenyewe
=======
Suluhi ya 1-1 ambayo Morocco walipata dhidi ya Brazil kwenye mchezo wa kwanza inamaanisha kuwa kinara wa Kundi C anaweza kupatikana kwa kuangalia idadi ya mabao ya kufunga na kufungwa (goal...
Leo kivumbi kingine kwa Morroco baada ya kumkalia kooni Brazil mechi ya kwanza.
Sina wakumshabikia hapa. Ila nataka wafungane mkeka wangu uendelee kupumua tu
Ingawa mimi ni shabiki mkongwe wa Albiceleste, na bado naimani kubwa sana na chama langu kubeba kombe hili (Back to Back)
Lakini kwa upande wa Afrika nipo na chama langu The Atlas na mabingwa wa Afrika CAF CHAMPIONS LEAGUE 🇲🇦 MOROCCO 💪🏽, niwatakieni kila la kheri katika mchezo wenu wa kwanza...
Salaam to everyone. Hopefully everyone is having a great weekend out there.
Kama inavyojulikana kwamba kila ubaya lazima ulipwe hapa hapa duniani. Na Leo kwenye muendelezo wa mashindano ya FIFA world cup, Brazil atashuka dimbani kucheza na Morocco, saa 7 kamili usiku.
Katika hali...
Experience the top 5 historical sites to experience on Morocco trips, from the ancient Roman ruins of Volubilis to the medieval necropolis of Chellah and the fortified kasbah of Aït Ben Haddou.
A Morocco trip is famous for souks, deserts, and mountains. But the country also holds some of the...
Wakuu salamu,
Wakati timu yetu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 17 (Serengeti Boys) ikielekea nchini Morocco kwenye fainali za AFCON U-17, mchambuzi mahiri wa soka nchini, Miraji Maramoja, alitoa kauli fupi lakini nzito sana: “Tuwaache tusiwaingilie.”
Wakati ule, wengi walichukulia...
Gazeti la Financial Times la Uingereza hivi karibuni limechapisha ripoti kuhusu makampuni ya China kuwekeza na kuanzisha viwanda katika Bustani ya Teknolojia ya Tangier nchini Morocco. Katika ripoti hiyo, Kamishna wa Biashara wa Umoja wa Ulaya Maroš Šefčovič alirudia kauli ya “uwezo wa...
Nimeona mtandsoni waziri Wa Ujenzi, Bw Ulega akijipigia sound at serikali itajenga Flyover Mwenge na Morocco.
Kama mkazi wa Dar, nikikumbuka hizi sinkelele za kwanzankuzisikia.
Zaidi ya miaka mitano iliyopita tulisikia kuwa kuna Flyover tano zitajengwa Dar. Flyover hizo ni Mwenge, Morocco...
Mashindano ya Africa Cup of Nations (AFCON) kwa vijana wa umri chindi ya miaka 17, mwaka 2026 yameanza kutimua vumbi nchini Morocco kuanzia tarehe 13 May, 2026.
Sisi Tanzania, vijana wetu wa Serengeti Boys wako kundi C, pamoja na Mali, Angola na Mozambique.
Tushacheza mzunguko wa kwanza kwenye...
Experience the top 5 activities in Khenifiss National Park with the best Morocco tour company. Birdwatching, flamingos, lagoon views, and desert adventures.
Khenifiss National Park sits on the Atlantic coast between Tan-Tan and Tarfaya. It is the only park in Morocco that combines a huge...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.