NYUMBA ya KUBOMOA
🔥INAUZWA🔥
Ipo KAWE karibu na MAGHOROFA ya SAMIA hapo
Inatazama
OLD BAGAMOYO
Ipo MAIN ROAD
Umiliki L/MAKAZI
ENEO. (SQM 732)
Price Mill 700 maongezi
🇹🇿Call/WhatsApp +255758844717
Nilikuwa naona kama watu wa bandari walafi tu wa eneo. Ila ukilinganisha na bandari zingine, bandari ya Dar ina eneo dogo sana. Bandari kubwa(kwa mizigo) zaidi Afrika ni ya Tangier, Morocco. Ina eneo la ardhi la ekari 2,500. Bandari ya Mombasa, Kenya ina jumla ya eneo la ekari 3,000. Ban mydari...
Umoja wa Mataifa umepiga kura ya kupitisha ramani mpya rasmi ya dunia iliyobuniwa kuonyesha ukubwa halisi wa kijiografia wa bara la Afrika na maeneo mengine ya kanda ya ikweta.
Mabadiliko haya yanalenga kuchukua nafasi ya "Mercator projection" (ramani ya kale ya Mercator), ambayo imekuwa...
Wanajeshi wa IDF kutoka Kikosi cha 36 wameweka udhibiti wa operesheni katika eneo la Ali al-Taher Ridge, juu na chini ya ardhi, baada ya wiki kadhaa za operesheni za kusafisha na kutuliza njia 2 za chini ya ardhi. Magaidi waliokuwa wakiendesha shughuli zao kutoka kwenye mtandao huo waliuawa au...
Wadau, naomba uzoefu wenu kuhusu TRA.
Nimeona niwashirikishe jambo ambalo nimekuwa nikikutana nalo katika shughuli zangu za biashara. Kuna baadhi ya watumishi wa TRA ambao, wakati wa kushughulikia masuala ya kikodi au ukaguzi, wamekuwa wakinipa hisia kwamba bila kutoa "Rushwa" au “kitu kidogo”...
🏢 ENEO KUBWA LA UWEKEZAJI LINAPATIKANA — MBEZI MWISHO!
Mbezi Mwisho, sio mbali na Stand ya Mabasi ya Mbezi Magufuli
🛣️ Linatazama moja kwa moja Barabara Kuu ya Mbezi–Msigani
📐 Ukubwa: Heka 3
➡️ Sqm 12,300
ENEO BORA KWA UWEKEZAJI WA KIBIASHARA!
Eneo hili linafaa kwa miradi mbalimbali...
Eneo lenye Nyumba ya Kuvunja Linauzwa.
Mahali: Kinondoni Msisiri, Mtaa wa Ndotonadai.
Eneo liko mita chache kutoka barabara ya Kawawa.
Eneo liko karibu na Mahakama ya Kinondoni na kanisa la kkkt Kinondoni.
Eneo liko karibu na Shule ya Sekondari ya Kambangwa.
Ukubwa wa Eneo: SQM 326.
Bei: Tzs...
NB: Nina Akili Ndogo Sana.
Zamani stand ilikuwa kisutu. Palipokuwa mjini sana wakapeleka Ubungo kijijini. Ubungo palivyochangamka, wakapeleka Mbezi kwa Magufuli. Mbezi kwa Magufuli kukichangamka kama Kisutu na Ubungo, watahamishia wapi?? Mile Moja Kibaha?? Na hapo pakichangamka na kuwa mjini...
Huu siyo unabii ila ni uhalisia, ni jambo ambalo limeshafanyika katika mawanda ya kiroho. Mtumishi wa Mungu Askofu Zachary Kakobe atakuwa na nafasi ya kipekee sana katika uamsho huu.
Sina shaka kwa sababu nina uhakika pasi na shaka kuwa na nilichokiona. Kazi ni kwetu tunaosubiria uhalisia...
Mkuu wa Wilaya ya Chake Chake ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya hiyo, Zuhura Mgeni Othman, amefanya uvamizi katika nyumba inayodaiwa kutumika kama danguro katika eneo la Chanjamjawiri, Kisiwani Pemba.
Katika tukio hilo, DC Zuhura amebaini kuwepo kwa kondomu...
ENEO HOT CAKE SANA LINAUZWA
LIPO DSM VICTORIA
UKUBWA WA ENEO NI EKA 1 AU SQFT 48,500
NI PLOT YA 3 KUTOKA BAGAMOYO RD
FULL DOCUMENTS
BEI NI USD $6m
🇹🇿Call/WhatsApp +255758844717
#beachplotsforsale #tanzaniantiktok🇹🇿 #houseforsale #creatorsearchinsights #viral_video_tiktok_treding
ITOLEWE AMRI, UCHAFU KUKUTWA KWENYE ENEO LAKO, FAINI ELFU 50.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Hii nchi unaweza ukadhani haina viongozi. Unaweza ukadhani haina Wasomi.
Unaweza ukadhani haina Watu wazima. Unaweza ukadhani haina wanawake wanaosifika kwa usafi.
Kuna mambo ukiyafikiria yanaweza...
Mimi ni Mkazi wa Pugu,Ninapokuwa njiani kuelekea kazini/Mjini nilikuwa nikishuhudia kuvunjwa kwa sehemu ya uzio wa shule na ujenzi wa frame za maduka....
Hiyo shule ni ya elimu ya Msingi Pugu Kajiungeni.
1. Je,hili suala ni linaruhusiwa...
2. Kama ni sawa ,mfumo wa uksanyaji pango na faida yake...
Julai 8, 2026 Mdau aliandika kuhusu changamoto ya maji kukosekana Kazamoyo, Kirumba, Ilemela – Mwanza, kusoma andiko lake bofya hapa ~ Kero ya upatikanaji wa maji Kazamoyo, Kirumba, Ilemela – Mwanza, ufafanuzi umetolewa na MWAUWASA.
Majibu ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza...
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) imetoa ufafanuzi kuhusu hoja iliyoandikwa ~ Mwezi wa 4 hatuna maji Kishiri - Mwanza, tunanunua dumu Sh 1,000, tunapewa sababu zisizoeleweka.
MAJIBU YA MWAUWASA...
Habari Mdau wetu, pole kwa changamoto uliyoipata, tafadhali tujuze ni...
Aisee
Hili zee pumbavu limeshachanganyikiwa
Kilichobaki ni kubwabwaja na kulialia kama toto dogo
Donald Trump ametishia kutangaza mlangobahari wa Hormuz kama "eneo la Marekani" huku utawala wake ukipambana kumaliza vita na Iran.
Wakati wa hotuba katika chuo cha polisi huko Long Island, New...
Waafrika tutabaki kuwa waafrika tu raia wa morocco wanaikimbia nchi yao kisa hali ngumu ya maisha walilazimika kuogelea kilometa 2 hadi 5 kutoka pwani ya morocco kuingia ceuta eneo ambalo lipo afrika ila linamilikiwa na Hispania.
Morocco inahadaa watu kuwekeza kwenye mpira lakini hali ya...
NIMEMUAMBIA MZAZI WANGU;KAMA ANABARAKA ANITAMKIE BARAKA ENEO LOLOTE ALAFU MIMI NITAFANYA MAKUSUDI KUZEMBEA ENEO HILO ILI NIONE KAMA NITABARIKIWA. ANACHEKA..
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.
Tangu nikiwa mtoto mdogo nilijulikana kwa kupenda kutodanganywa. Mtu akinidanganya hasa nikiwa najua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.