sehemu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Fbn

    JamiiForums Tanzania Mkishakuwa wahalifu muwezi kupelekana kwenye haki wala kunyoosheana vidole sehemu za wazi.

    Tokea kushika kijiti cha nchi na mpaka kuleta mauwaji October 29 2025. Ni ngumu muhalifu kuwanyooshea vidole wahalifu wenzake. Kwa mambo yanayoendelea haki jaribu kujifanya ana mtumbua basi wakubari siri zao zitakuwa kama zile za marehemu polepole alivyofanya. Ni ngumu kwa raisi kuwa mkali...
  2. Think2

    JamiiForums Tanzania Ukiwa mgeni sehemu yeyote fuata taratibu ili uishi vizuri na wenyeji wako

    Mahali popote mbali na nyumba kutoa mkoa wako wanataratibu zao za kuishi kijamii watu wengi wanashindwa kuishi sehemu nyingine kwasababu wameshindwa kufuata taratibu za mahali huko Iko hivi mfano Mara rorya huku hutaki kula chakula wakazi wakikuangalia hii imewashinda watumishi wengi...
  3. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Umuhimu wa kumwagia maji sehemu iliyojengwa na cement ua zege

    Faida za Kufanya Curing kwenye Ujenzi (Hasa Saruji/Concrete) Curing ni mchakato wa kudumisha unyevu, joto na muda unaofaa ili saruji iweze kuwa na nguvu kamili baada ya kumwaga. Ni hatua muhimu sana katika ujenzi wa zege (concrete). Haya ndiyo faida kuu za kufanya curing vizuri: ### 1...
  4. Top Gun

    JamiiForums Tanzania Wapi ni sehemu sahihi pa kuyapata mafuta ya black seed (BLACK SEED OIL).?

    Karibuni wakuu
  5. N

    JamiiForums Tanzania Unaweza vipi kuishi sehemu ambayo wenyeji wanawapiga vita wageni?

    Habari? Nipo mji wa ugenini kwajili ya utafutaji, na eneo lina frusa kubwa ambazo Mimi ni ndoto yangu kubwa ya mda mrefu na naona nikiwekeza hapo nitafikia Malengo kwa mda mfupi, ila wenyeji wangu nikikwazo kikubwa Wanaamini mgeni kaja kuleta ushindani na tamaduni zingine, na hata ukitaka...
  6. Joshua Mbezi

    JamiiForums Tanzania Nyumba za ibada ndizo sehemu zinazoongoza kwa upigaji

    Ukiachana na serikali kwenye makusanyo ya hela sehemu nyingne wanapokusanya hela nyingi ni nyumba za ibada , ( kanisan &misikitini) Kama ilivyo serikalini kuwa na wadokozi wa hela ndivyo ilivyo kwa nyumba za ibada Viongozi wengi wa dini ni wezi na wahujumu uchumi wa nchi pamoja na washirika...
  7. Papillon 1906

    JamiiForums Tanzania Kujua maisha ni nini tembelea sehemu tatu

    1. Hospital 2. Jela 3. Makaburini Hospitalini utajua afya ni utajiri mkubwa. Jela utajua umuhimu wa uhuru Makaburini utathamini umuhimu wa maisha. Kuwa mtulivu!
  8. majam19

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Acha kujipa umuhimu sehemu usiyostahili

    Vijana,wazee Kunawakati inabidi kujitafakari kwanza na kujiuliza kuwa ninachokifanya ni sahihi Yaan unajipa umuhimu Kwa mtu ambaye hajui thaman ya nafasi Yako Kiufupi tuache kujiingiza kweny kusqidia watu ambao hajatuomba msaada,shida,tatizo n.k Sababu tunahaibishwa Kwa kuzalauliwa mnoo...
  9. Fbn

    JamiiForums Tanzania Kuna siku mtasikia pesa imelipwa kampuni ya META ambayo inashutuma kubwa sehemu nyingi.

    Kwa kuwa mchakato bado ujamalizika na wengine wakisubiri juwa la jioni kuweka misamahaa yao kwenye vitabu. Kuna jambo mtakuja kubaki midomo wazi kuhusu META hii kampuni ya facebook na ubagazaji wa afrika kuficha maovu na nchi zinazo walipa mpaka urusi yupo,USA yupo,israel yupo,afrika ndio...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Kila sehemu kuna unyanyasaji lakini ni kwanini tumezoea kusikia wafanyakazi wa kiafrika wakinyanyaswa zaidi kwa waarabu kuzidi kwa wazungu ?

    Tatizo huwa ni lipi licha ya baadhi ya waarabu kuwa na mioyo safi ila imekuwa kawaida sana kupata malalamiko ya wafanyakazi wengi wakinyanyaswa nchi za waaabu ?
  11. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Tumeugawa mwaka, tuko sehemu ya pili ya mwaka ama sehemu ya kwanza ya kipindi cha pili je unajua tafsiri yake kiroho?

    Kipindi hiki cha mpito kuelekea nusu ya pili ya mwaka kinabeba siri nzito inayotengeneza mstari wa mgawanyiko kati ya yaliyopita na yajayo. Haya sio mabadiliko ya namba kwenye kalenda tu, bali ni lango la kiroho linalofungua madhabahu mapya ya matokeo katika ulimwengu wa roho. Ni majira...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Likizo hii umemuandalia mtoto sehemu ya kujifunza stadi za kazi za kumuandalia ujuzi wa kujiajiri au unaendelea kumkomalia na tuisheni ?

    Likizo ya June inakaribia, watoto watakuwa nyumbani kwa wiki kadhaa hadi mwezi. Swali la kujiuliza ni hili: Je, unamjengea mtoto uwezo wa kuishi na kujitegemea au unaendelea kuamini kwamba kumnoa kwenye ufaulu wa darasani pekee utamtoa kwenye changamoto za maisha? Ukweli mchungu ni kwamba...
  13. BabaMorgan

    JamiiForums Tanzania Kumbe Buza ni sehemu nzuri namna hii

    Kumbe ni sehemu tulivu pazuri kuliko hata Sinza ni watu tu waliamua kutuaminisha ujinga
  14. Fbn

    JamiiForums Tanzania Nitajie nchi za Afrika tokea kupata uhuru au sehemu nyengine urusi ilivyounga mkono nchi zikawa na maendeleo makubwa ya kutisha

    Sawa ni super pawa ila sijawahi kuona sehemu urusi anapounga mkono pakawa salama zaidi ya watu kupitia mateso,vita visivyo kuwa na ukomo,maendeleo yanakuwa kwenye jeshi tu na watawala wala sio wananchi. Tukiwachekea hawa tuna ungana na historia za wengine.
  15. jooohs

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sehemu gani nzuri ya kula bata Igunga (Tabora)

    Habarini ndugu. Kwa wanao pafahamu Igunga vizuri ni sehemu gani nzuri ya kula bata palipo changamka siku za weekend + mziki mzuri . Natanguliza shukran.
  16. S

    JamiiForums Tanzania Ninawapa tahadhari wachama wa MCC ,ni wakati wa kuwa sehemu sahihi kwa wakati sahihi,muda si wenu tena umepinduka na game is over

    MCC ni kwasasa ni kama maluweluwe ni kama mtu,mbuzi,nyoka ,mara kiwiliwili ni joka kubwa na upande wa juu ni binadamu anaye nena maneno ya Makufuru kila muda na kila dakika Kifupi MCC ni monster,liko tayari kusuck blood ya yoyote tena Lina penda fresh blood,lakini linawapambe kibao wanalipwa...
  17. Fbn

    JamiiForums Tanzania Naijeria kuna majimbo inabidi kuitaji ulinzi binafsi na sehemu zengine kufika your own risk.

    Japo tunaelekea huko kwa huu utawala wa tokea kupata uhuru.Leo nchi hii unaogopa watekaji kuliko mungu na kifo. Maisha ya naijeria ni kama serikali iliyojifia siku nyingi ila maisha yapo yana endelea tu. Nchi imegawanyika kuanzia kikabira,udini,kitabaka mpaka kimaovu. Kuna majimbo mengine...
  18. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Kuna sehemu nzuri ya kutunza watu hawa ? Au ni story?

    Habari! Kuna mtazamo mmoja hivi kwamba watu ambao huwa wanaonekana ni wasumbufu lakini ni public figure mfano Balozi polepole na Mdude Nyagali pengine Kuna mahala wanaweza kuwa wamehifadhiwa kwa mda tu huku wanapata huduma muhimu hasa ikiwa watu kama hawa huwa wanahusishwa na serikali. Huu...
  19. M

    JamiiForums Tanzania Waafrika tunajivunia tulivyoumbwa mfano nguvu za mwili au vitu tulivyovikuta kama mito, milima na madini, kwanini hatujisifii vitu tulivyotengeneza ?

    Unajua, sehemu kubwa ya fahari ya jamii yoyote duniani hutokana na vitu walivyovibuni au kuviumba wao wenyewe. Waarabu walitoa mchango mkubwa kwenye mfumo wa namba, wazungu wameunda teknolojia na uvumbuzi usiohesabika, Wachina na Wahindi nao wameacha alama kubwa kupitia kazi na ubunifu wao...
  20. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Nafikiria sehemu ya kwenda kurelax hakuna

    Sema miji ya Tanzania hovyo sana Sasa hivi umekaa zako unataka uende sehemu urefresh akili Option inayokuja ni kwenda bar zama hizi swala la kutembeleana halipo tena kama miaka ya 2000 mwanzoni na kurudi nyuma Miji yetu haina open space ambazo kwenye nyakati za weekends kunaweza kukawa na band...
Back
Top Bottom