Wakuu kiwanja kizuri chenye ukubwa wa mita za mraba 520 kilichopo Mbopo Wilaya ya Kinondoni kinauzwa kwa bei ya shilingi milioni 19. Kiwanja kipo eneo zuri na ni jirani kabisa na barabara inayotoka Madale kuelekea Mabwepande. Kiwanja hakina kipengere kabisa. Karibu DM tuyajenge ujipatie kiwanja...
KIWANJA KINAUZWA – MBEZI MPIGI MAGOE (KWA MZUNGU)
Unatafuta kiwanja kwenye eneo zuri la makazi au uwekezaji? Hiki ni fursa yako!
✅ Ukubwa: Mita 20 × 20
✅ Kiwanja kimepimwa
✅ Hati inatolewa moja kwa moja kwa jina la mnunuzi
✅ Kimezungukwa na fensi ya ukuta pande mbili
✅ Maji na umeme...
KIWANJA KINAUZWA – MBEZI MAKABE (KWA PAULO)
📍 Mita 150 kutoka Barabara Kuu ya Mbezi Makabe, kimepakana na barabara kuu ya mtaa.
📐 Kiwanja kimepimwa
Ukubwa: 4,333 m² (Takribani Ekari 1.07)
✅ Eneo Kuu: 3,131 m²
✅ Swamp: 1,202 m²
⭐ Sifa za Kiwanja
✔️ Eneo ni tambarare, halina mabonde wala...
Kiwanja chenye nyumba kinauzwab Bunju B Beach maeneo ya kwa Mjeshi. Kina hati. Sqm 600. Kuna self 3 double na single 2 zina vyoo nje. Wapangaji wapo. Kuna pagala halijaisha. Bei ya mwisho mil 90. Kwa anaye hitaji apuge simu 0796538437 mmiliki wa kiwanja
Ni kiwanja kiluchopo Sanawari chapili kutoka Lami ya bara bara kuu ya Arusha Moshi. Kiwanja kipo jirani na Redio mbingu duniani kinauzwa Milioni 110 top. Ukubwa ni 20x20. Kinafaa kujenga apartments za ghorofa au mahitaji mengine. 0785931267 kelvin kwa maelezo zaidi na kupelekwa site kilipo
Tajiri wahi kiwanja hiki utanishukuru badae..Nimepata shida tu
ukubwa 20 kwa 20 kikubwa kizuri sana
bei milion 10
nicheki 0756038510
Kimepimwa ila hakina HATI bado
Baadhi ya watu wanadhani fursa za huu utalii tena wa mikoa mingine unatakiwa kunufaisha kwao tu
Ni vita kubwa sana hii, kwa sasa tunasikia milio kila muda panaposikika habari za ujenzi wa uwanja na imeonyesha haijaanza leo bali ni ya muda mrefu sana kupiga sabotage uwanja huu, ila kwa sasa...
arusha
biashara
habari
hawapendi
hawataki
kelele
kiwanja
kufanya
kujengwa
kuona
kusikia
maeneo
maslahi
miaka
namna
ndugu
sababu
sababu za
sabotage
sana
serengeti
ubinafsi
ujenzi
ujenzi wa uwanja
uwanja
wabinafsi
wabunge
wanaopinga
wao
zao
Habari wana jamvi.
Mdau mmoja anahitaji kiwanja kuanzia sqm 1200 katika moja ya maeneo haya.
1. Kinyerezi
2. Kifuru
3. Segerea
4. Goba
5. Mbweni
6. Madale
Sifa ya kiwanja/eneo
1. Tambarare au kama mlima usiwe mkali sana slope yake.
2. Kinafikika kwa barabara vizuri
3. Neighborhood nzuri au...
Nimepunguza bei kiwanja kutoka mil 60 hadi mil 45 heka 1 kipo kivule
heka 1 kina fensi pande 3 kimepakana na barabaran kubwa za mtaa pande 3 piga 0718 408 733
hati ya serikali za mtaa
mauziano kwa mwanasheria na ngazi zozote utazotaka za kiserikari nyaraka zipo kiwanja sio cha urithi
Nauza kiwanja changu hapo Mwanza Buswelu mtaa wa kahama ukubwa ni 28 kwa 18 Nipe 2.5M uchukue mali ...0756038510...nicheki nikujnganushe na sister hapo Mwanza uchukue mali mie nipo Dar
KIWANJA chenye NYUMBA ZA KUBOMOA KINAUZWA
KIPO VICTORIA KINONDON
KIWANJA KIKUBWA Sana!
KINA (SQM 4250) ni SAWA na (HEKARI MOJA)
Ndani ya FENSI
MITAA ya KISHUA SANA
Inafaa kwa
-APARTMENTS
-SUPER MARKET
-YADI ZA MALORI
-SHULE KANISA
-VYOVYOTE VILE
-au hata MALL
Kumbuka KIWANJA ni
(HEKARI...
Naomba niwasilishe taarifa hii tukiwa na uchungu mwingi kama familia, hapa tunapoandika ujumbe huu tunajiandaa nyumba yetu kubomolewa Jumamosi hii Juni 13, 2026.
Sababu kubwa ikiwa ni dhuluma, mbinu chafu za baadhi ya maafisa wa ardhi kuhusu kiwanja na nyumba yetu iliyopo Image - Kikuyu Kusini...
Anonymous
Thread
ardhi
ardhi dodoma
bila
dodoma
hati
hati ya kiwanjakiwanja
mchezo
nyumba
ridhaa
takukuru
Nauza kiwanja kivule center kabisa
Heka 1
Mil 60. Maongezi kidogo yapo
Mark ukifika Kivule Muungano pub eneo linaitwa mnarani ndio kiwanja kilipo ni eneo lililojengwa nyumba za kifahari ukipaona utapapenda.
Pako tambarare, eneo limekamata barabara kuu.
0743 257 669
Kiwanja Kiluvya Gogoni
Eneo Gogoni upande wa kituo cha polisi
Kiwanja ni tambarare
Bei milioni l4 tu
Ukubwa wake mita 20*22
Kipo umbali wa km 3 tu kutoka Moro road
0675 065906
HILI BOMA NA KIWANJA LIMESHUKA BEI HAPA MBEZI MSAKUZI MWISHO
Ni Kiwanja chenye Boma la vyumba 2 sasa MILIONI 14 TU!
📍 Location: Mbezi Msakuzi
✔ Dakika chache tu kwa miguu kutoka daladala zinapogeuzia
✔ Nauli ni Tsh 700 tu kutoka Mbezi mwisho hadi site
📐 Ukubwa wa Kiwanja: 20x23 (460 sqm)...
KIWANJA KINAUZWA – KIBAMBA KWA MANGI
📍 Wilaya ya Ubungo, Dar es Salaam
📐Ukubwa ni SQM 460
💰 Milioni 15 tu (Mazungumzo kidogo)
✅ Umeme upo
✅ Maji ya DAWASCO yapo
✅ Mtaa uliostaarabika
✅ Boda boda Tsh 1,000 tu hadi site
🏠 Eneo zuri kwa makazi na uwekezaji.
📞 0675 065906
Kiwanja Kinauzwa, kina msingi wa ukuta.
Mahali: Kimara Temboni.
Kipo km 1 kutoka barabara kuu ya Morogoro, Mita 300 kutoka barabara ya lami ya kuelekea kwa Mfugale.
Ukubwa wa Eneo: SQM 308.
Bei: Tzs Milioni 35.
Nyaraka: Hati ya mauziano ya Serikali ya mtaa.
Gharama ya kwenda kuona Eneo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.