kiwanja

  1. Sonship

    JamiiForums Tanzania KIWANJA KINAUZWA BAGAMOYO MJINI -BLOCK ALA

    🏡 KIWANJA KINAUZWA – BAGAMOYO MJINI 🏡 📍 Location: Mkuni (BLOCK ALA), Bagamoyo Mjini ✔️ Jirani kabisa na Mahakama Mpya ya Bagamoyo ✔️ Mtaa wa kishua na uliopangwa vizuri 📐 Ukubwa: Square Meter 1,491 ✅ Kiwanja tambarare ✅ Kina Hati Safi ya Wizara ✅ Kodi ya ardhi inalipiwa kila mwaka 💰 Bei...
  2. Sonship

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Viwanja vinauzwa Kimara 'B'

    VIWANJA VINAUZWA KIMARA "B" Eneo la Ukubwa wa sqm 1500 Limekatwa Viwanja 4 Lipo Kimara B unaingilia barabara ya Mbezi Kibanda cha Mkaa A/.Vipo viwanja vi 3 vya sqm 400 bei Mln 16.6 kila kimoja B/.Na Kipo kiwanja 1 cha sqm 300 bei Mln 14 Viwanja viko sehemu nzuri tambarare sana Unaweza...
  3. Sonship

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Mbezi Maramba Mawili King'azi B

    KIWANJA KIZURI KINAUZWA !! Maramba Mawili King'azi B Kina mita 32x28~sqm 896 Kiwanja kinasifa hizi; ✅️Kinapakana na barabara ya kubwa ya mtaa huo ambapo Unaweza jenga nyumba ya kuishi na fremu za biashara za kutosha ✅️ Hakiko mabondeni ✅️ Mipaka yake iko wazi inaonekana ✅️ Nyaraka halali za...
  4. Sonship

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja chenye Pagale Mbezi Msakuzi

    Kiwanja chenye Pagale la vyumba 2 Kimeshuka BEI kinauzwa MILIONI 16.5 TU! Kipo Mbezi Msakuzi ni mwendo wa dk 3 kwa miguu kutoka kituo cha daladala zinazokwenda mbezi mwisho stand Kutoka mbezi mpaka site unapanda daladala nauli 700 tu! Ukubwa wa kiwanja ni 20x23(460 sqm) Vyumba ni 2(Master...
  5. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Kilimanjaro: EX-Wife auza kiwanja cha mama mkwe baada ya aliyekuwa mumewe kushindwa kuhudumia Watoto

    Bibi mwenye umri wa miaka 66 anayefahamika kwa jina Julia Albin mkazi wa Tarafa ya Useri wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro, amedai kuwa amejikuta katika hali ya sintofahamu baada ya eneo lake lenye makazi yakudumu kuuzwa kwa amri ya mahakama, kutokana na mwanae kushindwa kutoa matumizi kwa...
  6. Sonship

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinahitajika Goba

    KIWANJA KINAHITAJIKA GOBA SIFA: ✅️Kiwe Goba maeneo yaliyotulia ✅️Mitaa iliyojengwa vyema ✅️Isiwe changanyikeni au uswazi ✅️Ukubwa uwe sqm 800 au zaidi sio pungufu ✅️Kiwe na hati ya wizara au Mchoro ✅️Bei isizidi Mln 75 Kama unacho chenye sifa hizi ni mmiliki au ni dalali na nitumie ujumbe...
  7. Bacore

    JamiiForums Tanzania Nauza kiwanja king’azi Malamba

    Eneo lipo king’azi maeneo ya mbezi malamba, king’azi Dar es salaam, Sifa za eneo husika 1. Maji na umeme vipo mpakani 2. Muuzaji ni mimi mwenyewe naishi hapohapo 3. Ukubwa wa eneo upana ni hatua 14 na urefu ni 24 4. Sehemu ni nzuri sana Nitafute kupitia email yangu Email...
  8. Sonship

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kiluvya Gogoni

    Njoo na ml 10 tu upate kiwanja 20*20 kiluvya gogoni boda buku hadi site piga simu 0675 065906
  9. Sacsosanct

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa: kiluvya

    Ukubwa SQM 400 Msingi: tayari Umbali 2km kutoka barabarani Kimepimwa Full docs Kizuri Wahi! Bei! 8mil Njoo inbox:
  10. V

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa Kibada Kigamboni

    Kiwanja kinauzwa kigamboni kibada kimepimwakina square meter 700 bei milioni 35 kiwanja kipo kibada karibu na tawi la crdb bank block 5 kwa mawasiano simu 0659962452
  11. radhiya

    JamiiForums Tanzania Kiwanja Kinauzwa Kimara Temboni

    Kiwanja Kinauzwa, kina msingi wa ukuta. Mahali: Kimara Temboni. Kipo km 1 kutoka barabara kuu ya Morogoro, Mita 300 kutoka barabara ya lami ya kuelekea kwa Mfugale. Ukubwa wa Eneo: SQM 308. Bei: Tzs Milioni 35. Nyaraka: Hati ya mauziano ya Serikali ya mtaa. Gharama ya kwenda kuona Eneo...
  12. N

    JamiiForums Tanzania Natafuta kiwanja cha kujenga Mwanza

    Salam ndugu zangu, mimi ni mkazi wa Mwanza ninaomba kwa atakayekuwa na kiwanja kizuri chenye ukubwa wa kuanzia 30 kwa 40 ama squameter kuanzia 1000. Maeneo yoyote kuanzia Nyegezi uelekeo wa hadi Usagara.
  13. comrade_kipepe

    JamiiForums Tanzania Nataka kununua kiwanja Zanzibar

    Hatua gani nifuate nimiliki hata 20 kwa 20 hapo zenji, mimi ni mtu wa kupenda sana maeneo, mashamba, vitu kama hivyo yani. Kwa ukubwa wa 20 kwa 20 meter, zanzibar nnje ya mji inaweza kua shngapi?
  14. leiya

    JamiiForums Tanzania Hati ya kiwanja kwa watoto chini ya kiaka 18

    Habari ya muda huu ndugu mwanajamii, Naomba kueleweshwa na anaejua taratibu za kupata hati ya kudumu ya kiwanja alichonunua mzazi akaandika jina langu. Kiwanja kilinunuliwa nikiwa na miaka minne tu, enzi hizo kabla ya uwepo wa NIDA. Miaka 38 baadae, nataka kubadili ile hati ya karatasi ya...
  15. Dalali wa Mjini

    JamiiForums Tanzania Kiwanja nyumba kinauzwa Goba Kwa Olomi

    Namtaka bingwa wa kuona Mbali. Mwenye macho ya Eagle 🦅 Kiwanja Chenye nyumba kinauzwa Goba Kwa Olomi. Hizo nyumba mbili unazoziona. Moja ina Rangi ya light blue na nyingine imeezekwa Kwa bati ya Rangi ya maruni zipo ndani ya kiwanja. Sqm 629.78 Hati Safi Hakuna mgogoro Dakika moja Hadi...
  16. Sonship

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja Kiluvya Gogoni

    Kiwanja Kinauzwa Kiluvya gogoni umbali km 1.5 tu kutoka moro road kipo upande wa kituo Cha polisi gogoni Bei ni Mln 13 tu Piga simu 0675 065906
  17. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Naibu Waziri wa Ardhi, Kaspar Mmuya: Inakuwaje kupata Hati ya Kiwanja iwe kama kutafuta Tanzanite au Dhahabu?

    "Kupata hati ya kiwanja iwe kama kutafuta Tanzanite au Dhahabu nchi hi? Yaani mtu ambaye amekuja kuomba hati amefuata taratibu na kutimiza vigezo vyote vinavyotakiwa inakuwaje inamchukua miaka miwili kupata hati yake?" - Naibu Waziri wa Ardhi, Kaspar Mmuya...
  18. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Hivi inakuwaje mtu anauziwa kiwanja/ nyumba bondeni ambako hata bajaji haiingii. Ni matatizo ya akili?

    Dar es salaam ukifika huko mbezi juu kuna mahali mtu kajenga nyumba tena zingine za gharama lakini hawezi kuingia nyumbani kwake na gari . Wengine ni pabaya mno hata pikipiki haiingii. Sasa unajiuliza huyu mtu kichwani zipo timamu kweli? Huko Keko nako nimekaa aisee asubuhi mpaka jioni ni kunusa...
  19. The Eric

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kizuri kinauzwa Tabata kwa Swai 45mil...tu

    Hello Ukubwa wa kiwanja ni 500sqm... Bei Tsh.45mil45mil..... Kina document ya hati miliki .
  20. Bexb

    JamiiForums Tanzania KIWANJA KINAUZWA KIPO KISOTA KIGAMBONI, DAR ES SALAAM

    Habari ya sikukuu wakuu. Kiwanja kinauzwa 🔥Kina ukubwa wa square metres 597 🔥Kinapatikana KISOTA BLOCK 3 Mtaa wa nyuma ya barabara ya Dr Dau.(Ni mtaa ulio oposite na nyumba ya Dr Dau. 🔥Kina hati ya wizara 🔥Ni corner plot yaani kinatazama barabara mbili za mtaa. 🔥Hakina mgogoro wowote kinauzwa...
Back
Top Bottom