HILI BOMA NA KIWANJA LIMESHUKA BEI HAPA MBEZI MSAKUZI MWISHO
Ni Kiwanja chenye Boma la vyumba 2 sasa MILIONI 14 TU!
📍 Location: Mbezi Msakuzi
✔ Dakika chache tu kwa miguu kutoka daladala zinapogeuzia
✔ Nauli ni Tsh 700 tu kutoka Mbezi mwisho hadi site
📐 Ukubwa wa Kiwanja: 20x23 (460 sqm)...
KIWANJA KINAUZWA – KIBAMBA KWA MANGI
📍 Wilaya ya Ubungo, Dar es Salaam
📐Ukubwa ni SQM 460
💰 Milioni 15 tu (Mazungumzo kidogo)
✅ Umeme upo
✅ Maji ya DAWASCO yapo
✅ Mtaa uliostaarabika
✅ Boda boda Tsh 1,000 tu hadi site
🏠 Eneo zuri kwa makazi na uwekezaji.
📞 0675 065906
Kiwanja Kinauzwa, kina msingi wa ukuta.
Mahali: Kimara Temboni.
Kipo km 1 kutoka barabara kuu ya Morogoro, Mita 300 kutoka barabara ya lami ya kuelekea kwa Mfugale.
Ukubwa wa Eneo: SQM 308.
Bei: Tzs Milioni 35.
Nyaraka: Hati ya mauziano ya Serikali ya mtaa.
Gharama ya kwenda kuona Eneo...
🏡 KIWANJA KINAUZWA – BAGAMOYO MJINI 🏡
📍 Location: Mkuni (BLOCK ALA), Bagamoyo Mjini
✔️ Jirani kabisa na Mahakama Mpya ya Bagamoyo
✔️ Mtaa wa kishua na uliopangwa vizuri
📐 Ukubwa: Square Meter 1,491
✅ Kiwanja tambarare
✅ Kina Hati Safi ya Wizara
✅ Kodi ya ardhi inalipiwa kila mwaka
💰 Bei...
VIWANJA VINAUZWA KIMARA "B"
Eneo la Ukubwa wa sqm 1500
Limekatwa Viwanja 4
Lipo Kimara B unaingilia barabara ya Mbezi Kibanda cha Mkaa
A/.Vipo viwanja vi 3 vya sqm 400 bei
Mln 16.6 kila kimoja
B/.Na Kipo kiwanja 1 cha sqm 300
bei Mln 14
Viwanja viko sehemu nzuri tambarare sana
Unaweza...
KIWANJA KIZURI KINAUZWA !!
Maramba Mawili King'azi B
Kina mita 32x28~sqm 896
Kiwanja kinasifa hizi;
✅️Kinapakana na barabara ya kubwa ya mtaa huo ambapo
Unaweza jenga nyumba ya kuishi na fremu za biashara za kutosha
✅️ Hakiko mabondeni
✅️ Mipaka yake iko wazi inaonekana
✅️ Nyaraka halali za...
Kiwanja chenye Pagale la vyumba 2
Kimeshuka BEI kinauzwa MILIONI 16.5 TU!
Kipo Mbezi Msakuzi ni mwendo wa dk 3 kwa miguu kutoka kituo cha daladala zinazokwenda mbezi mwisho stand
Kutoka mbezi mpaka site unapanda daladala nauli 700 tu!
Ukubwa wa kiwanja ni 20x23(460 sqm)
Vyumba ni 2(Master...
Bibi mwenye umri wa miaka 66 anayefahamika kwa jina Julia Albin mkazi wa Tarafa ya Useri wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro, amedai kuwa amejikuta katika hali ya sintofahamu baada ya eneo lake lenye makazi yakudumu kuuzwa kwa amri ya mahakama, kutokana na mwanae kushindwa kutoa matumizi kwa...
KIWANJA KINAHITAJIKA GOBA
SIFA:
✅️Kiwe Goba maeneo yaliyotulia
✅️Mitaa iliyojengwa vyema
✅️Isiwe changanyikeni au uswazi
✅️Ukubwa uwe sqm 800 au zaidi sio pungufu
✅️Kiwe na hati ya wizara au Mchoro
✅️Bei isizidi Mln 75
Kama unacho chenye sifa hizi ni mmiliki au ni dalali na nitumie ujumbe...
Eneo lipo king’azi maeneo ya mbezi malamba, king’azi Dar es salaam,
Sifa za eneo husika
1. Maji na umeme vipo mpakani
2. Muuzaji ni mimi mwenyewe naishi hapohapo
3. Ukubwa wa eneo upana ni hatua 14 na urefu ni 24
4. Sehemu ni nzuri sana
Nitafute kupitia email yangu Email...
Kiwanja kinauzwa kigamboni kibada kimepimwakina square meter 700 bei milioni 35 kiwanja kipo kibada karibu na tawi la crdb bank block 5 kwa mawasiano simu 0659962452
Kiwanja Kinauzwa, kina msingi wa ukuta.
Mahali: Kimara Temboni.
Kipo km 1 kutoka barabara kuu ya Morogoro, Mita 300 kutoka barabara ya lami ya kuelekea kwa Mfugale.
Ukubwa wa Eneo: SQM 308.
Bei: Tzs Milioni 35.
Nyaraka: Hati ya mauziano ya Serikali ya mtaa.
Gharama ya kwenda kuona Eneo...
Salam ndugu zangu, mimi ni mkazi wa Mwanza ninaomba kwa atakayekuwa na kiwanja kizuri chenye ukubwa wa kuanzia 30 kwa 40 ama squameter kuanzia 1000.
Maeneo yoyote kuanzia Nyegezi uelekeo wa hadi Usagara.
Hatua gani nifuate nimiliki hata 20 kwa 20 hapo zenji, mimi ni mtu wa kupenda sana maeneo, mashamba, vitu kama hivyo yani.
Kwa ukubwa wa 20 kwa 20 meter, zanzibar nnje ya mji inaweza kua shngapi?
Habari ya muda huu ndugu mwanajamii,
Naomba kueleweshwa na anaejua taratibu za kupata hati ya kudumu ya kiwanja alichonunua mzazi akaandika jina langu. Kiwanja kilinunuliwa nikiwa na miaka minne tu, enzi hizo kabla ya uwepo wa NIDA. Miaka 38 baadae, nataka kubadili ile hati ya karatasi ya...
Namtaka bingwa wa kuona Mbali.
Mwenye macho ya Eagle 🦅
Kiwanja Chenye nyumba kinauzwa Goba Kwa Olomi.
Hizo nyumba mbili unazoziona.
Moja ina Rangi ya light blue na nyingine imeezekwa Kwa bati ya Rangi ya maruni zipo ndani ya kiwanja.
Sqm 629.78
Hati Safi
Hakuna mgogoro
Dakika moja Hadi...
"Kupata hati ya kiwanja iwe kama kutafuta Tanzanite au Dhahabu nchi hi? Yaani mtu ambaye amekuja kuomba hati amefuata taratibu na kutimiza vigezo vyote vinavyotakiwa inakuwaje inamchukua miaka miwili kupata hati yake?" - Naibu Waziri wa Ardhi, Kaspar Mmuya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.