Ninauza kiwanja changu
kwa dharura, kipo kibaha kina sq merter 514
Bei 6M kimeshapimwa tayari,na kuhuduma zote kama makazi ya watu,
Afya,shule,maji n.k na majirani wapo na mduka yapoo na misikiti ipo na makanisa yapo. Kiwanja kipo kwa mfipa upande wa mama anna mkapa kipo sehemu inaitwa...