Habari Wadau
Naomba kujua uwa mnachukua hatua gani za kwenda kuona kiwanja kabla ya kununua au baada ya kununua katika site ya Tausi.
Je unaenda na Afisa ardhi au inakuwaje, maana ramani ya Tausi haiwezi kukupa direction nzuri mpaka kwenda kukiona kiwanja hususani kwenye maeneo ambayo bado ni...
Ninauza kiwanja changu
kwa dharura, kipo kibaha kina sq merter 514
Bei 6M kimeshapimwa tayari,na kuhuduma zote kama makazi ya watu,
Afya,shule,maji n.k na majirani wapo na mduka yapoo na misikiti ipo na makanisa yapo. Kiwanja kipo kwa mfipa upande wa mama anna mkapa kipo sehemu inaitwa...
Kiwanja kinauzwa KIBAHA KWA MFIPA kwa dharura 6M,kina sq merter za mraba 500+
Hizi ni picha kiwanja kilipo, kuna huduma zote muhimu na tayari kuna makazi ya watu.
Kimepimwa tayari na hakina udalali, changu mwenyewe
Kutoka morogoro road hadi site ni km 5
Mawasiliano 0754088347
Kiwanja kinauzwa Nyamhongoro Mwanza, ni sehemu nzuri sana, 502 sqmts, block 5, kuelekea kwa mapadri...Bei 26 mil..maongezi yapo..Hati ipo..
Karibu sana mteja mpendwa..
mercybriella@gmail.com
NYUMBA INAUZWA
Eneo: Ada Estate, Kinondoni (Mbele ya mtaa, eneo tulivu)
Ukubwa wa Kiwanja: SQM 2,950
Umiliki: Hati Safi (Title Deed)
Bei: TZS Bilioni 6.5 (Sawa na USD Million 2.5) — Maongezi yapo kidogo
Ipo Ada Estate, Kinondoni, mbele ya mtaa, katika eneo tulivu
Umiliki: hati safi
Ukubwa wa kiwanja: sqm 2,950
Bei: TSh bilioni 6.5, sawa na USD milioni 2.5
Bei inazungumzika kidogo.
🇹🇿 Call/WhatsApp: +255 758 844 417
Mzee huyu ameongeza mawe na kuyamwaga barabarani kwa madai kwamba barabara imepita kwenye kiwanja chake.
Cha kushangaza ni kwamba mbele kuna nafasi ambayo inaonekana ndiyo mpaka wa kiwanja chake, lakini sasa anaziba barabara kabisa. Swali linajiuliza, kama kweli hiyo ndiyo mipaka ya kiwanja...
KIWANJA KINAUZWA – MADALE MIVUMONI
📍 Mahali: Madale Mivumoni
📐 Ukubwa: SQM 1,600
📄 Kimepimwa rasmi na kina Hati ya Wizara
🌳 Kipo katika mtaa mzuri, salama na unaoendelea kwa kasi
Kiwanja hiki kinafaa kwa:
✅ Ujenzi wa nyumba ya kifahari
✅ Apartments au nyumba za kupangisha
✅ Uwekezaji wenye...
KIWANJA KINAUZWA – KIBAMBA KWA MANGI, UBUNGO
Unatafuta kiwanja kizuri kwa ajili ya makazi au uwekezaji? Hiki ndicho fursa yako!
Mahali: Kibamba Kwa Mangi, Wilaya ya Ubungo
Ukubwa: Meta 20 × 25
Bei: TSh Milioni 14 tu (maongezi yapo)
Umeme upo karibu
Maji yapo karibu
Barabara ya gari inafika...
Beach plot for sale
Country:- Tanzania
City:- Dar es salaam
Location:- Bahari beach
Price:- Billion 5 negotiable (Maongezi)
Plot size:- SQMT 8000
Document:- Clean title deed (Ina hati kitoka wizarani
Note:- Viewing charge 200K
For more information call+255758844717
#beachplotsforsale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.