kiwanja

  1. Mtego wa Noti

    JamiiForums Tanzania Kiwanja cha sqm 520 kiko Mbopo Kinondoni kinauzwa Mil 19

    Wakuu kiwanja kizuri chenye ukubwa wa mita za mraba 520 kilichopo Mbopo Wilaya ya Kinondoni kinauzwa kwa bei ya shilingi milioni 19. Kiwanja kipo eneo zuri na ni jirani kabisa na barabara inayotoka Madale kuelekea Mabwepande. Kiwanja hakina kipengere kabisa. Karibu DM tuyajenge ujipatie kiwanja...
  2. Sonship

    JamiiForums Tanzania Kiwanja Mbezi Mpigi Magoe -kwa mzungu

    KIWANJA KINAUZWA – MBEZI MPIGI MAGOE (KWA MZUNGU) Unatafuta kiwanja kwenye eneo zuri la makazi au uwekezaji? Hiki ni fursa yako! ✅ Ukubwa: Mita 20 × 20 ✅ Kiwanja kimepimwa ✅ Hati inatolewa moja kwa moja kwa jina la mnunuzi ✅ Kimezungukwa na fensi ya ukuta pande mbili ✅ Maji na umeme...
  3. Sonship

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa Mbezi Makabe-kwa Paulo

    KIWANJA KINAUZWA – MBEZI MAKABE (KWA PAULO) 📍 Mita 150 kutoka Barabara Kuu ya Mbezi Makabe, kimepakana na barabara kuu ya mtaa. 📐 Kiwanja kimepimwa Ukubwa: 4,333 m² (Takribani Ekari 1.07) ✅ Eneo Kuu: 3,131 m² ✅ Swamp: 1,202 m² ⭐ Sifa za Kiwanja ✔️ Eneo ni tambarare, halina mabonde wala...
  4. Mung Chris

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa Bunju B kina nyumba za self

    Kiwanja chenye nyumba kinauzwab Bunju B Beach maeneo ya kwa Mjeshi. Kina hati. Sqm 600. Kuna self 3 double na single 2 zina vyoo nje. Wapangaji wapo. Kuna pagala halijaisha. Bei ya mwisho mil 90. Kwa anaye hitaji apuge simu 0796538437 mmiliki wa kiwanja
  5. Mung Chris

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa Arusha Sanawari

    Ni kiwanja kiluchopo Sanawari chapili kutoka Lami ya bara bara kuu ya Arusha Moshi. Kiwanja kipo jirani na Redio mbingu duniani kinauzwa Milioni 110 top. Ukubwa ni 20x20. Kinafaa kujenga apartments za ghorofa au mahitaji mengine. 0785931267 kelvin kwa maelezo zaidi na kupelekwa site kilipo
  6. Mr_positive

    JamiiForums Tanzania Nauza kiwanja changu mwenyewe kigamboni kisarawe II LINGATO

    Tajiri wahi kiwanja hiki utanishukuru badae..Nimepata shida tu ukubwa 20 kwa 20 kikubwa kizuri sana bei milion 10 nicheki 0756038510 Kimepimwa ila hakina HATI bado
  7. M

    JamiiForums Tanzania Serengeti imekuwa ikiinufaisha Arusha kwa miaka mingi, Ujenzi wa uwanja wa ndege unawapa hofu kubwa sana ndio maana hoja haikauki bungeni

    Baadhi ya watu wanadhani fursa za huu utalii tena wa mikoa mingine unatakiwa kunufaisha kwao tu Ni vita kubwa sana hii, kwa sasa tunasikia milio kila muda panaposikika habari za ujenzi wa uwanja na imeonyesha haijaanza leo bali ni ya muda mrefu sana kupiga sabotage uwanja huu, ila kwa sasa...
  8. Forrest Gump

    JamiiForums Tanzania Zipi ni hatua za kufuata ili kujiokoa katika songombingo katika ununuzi wa kiwanja?

    Karibuni thinkers! Kuepuka na kiwanja chenye migogoro, kuepuka utapeli, kuepuka kuingilia mipaka na mengine mengi , tupeane mbinu wakuu
  9. MaweSaba

    JamiiForums Tanzania Kiwanja Kinauzwa, Usagara Mwanza

    Habari wadau? Kiwanjq kizuri, gentle slope, eneo la makazi 45/23m 1km from Main road Bei 4M tu Njoo tuzungumze
  10. Mhandisi Mzalendo

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kinahitajika kiwanja kuanzia sqm 1200

    Habari wana jamvi. Mdau mmoja anahitaji kiwanja kuanzia sqm 1200 katika moja ya maeneo haya. 1. Kinyerezi 2. Kifuru 3. Segerea 4. Goba 5. Mbweni 6. Madale Sifa ya kiwanja/eneo 1. Tambarare au kama mlima usiwe mkali sana slope yake. 2. Kinafikika kwa barabara vizuri 3. Neighborhood nzuri au...
  11. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Nimepunguza bei kiwanja kutoka mil 60 hadi mil 45 heka 1 kipo kivule wilaya ya ilala Dsm

    Nimepunguza bei kiwanja kutoka mil 60 hadi mil 45 heka 1 kipo kivule heka 1 kina fensi pande 3 kimepakana na barabaran kubwa za mtaa pande 3 piga 0718 408 733 hati ya serikali za mtaa mauziano kwa mwanasheria na ngazi zozote utazotaka za kiserikari nyaraka zipo kiwanja sio cha urithi
  12. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa bagamoyo kidomole kimegusa lami heka 10

    Kiwanja kinauzwa bagamoyo kidomole kimegusa lami heka 10 zinauzwa zote nipigie 0743257669 bei ya kuanzia mil 600
  13. Mr_positive

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Nauza Kiwanja Mwanza

    Nauza kiwanja changu hapo Mwanza Buswelu mtaa wa kahama ukubwa ni 28 kwa 18 Nipe 2.5M uchukue mali ...0756038510...nicheki nikujnganushe na sister hapo Mwanza uchukue mali mie nipo Dar
  14. Dalali_wa_kimataifa

    JamiiForums Tanzania House4Sale Kiwanja na nyumba ya kubomoa, ipo Victoria Dar es Salaam, bei Tsh billioni 5.2

    KIWANJA chenye NYUMBA ZA KUBOMOA KINAUZWA KIPO VICTORIA KINONDON KIWANJA KIKUBWA Sana! KINA (SQM 4250) ni SAWA na (HEKARI MOJA) Ndani ya FENSI MITAA ya KISHUA SANA Inafaa kwa -APARTMENTS -SUPER MARKET -YADI ZA MALORI -SHULE KANISA -VYOVYOTE VILE -au hata MALL Kumbuka KIWANJA ni (HEKARI...
  15. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Hati ya Kiwanja imebadilishwa bila ridhaa yetu, TAKUKURU wamebaini ‘mchezo’, aliyepewa hati na Ardhi Dodoma anakuja kutuvunjia nyumba

    Naomba niwasilishe taarifa hii tukiwa na uchungu mwingi kama familia, hapa tunapoandika ujumbe huu tunajiandaa nyumba yetu kubomolewa Jumamosi hii Juni 13, 2026. Sababu kubwa ikiwa ni dhuluma, mbinu chafu za baadhi ya maafisa wa ardhi kuhusu kiwanja na nyumba yetu iliyopo Image - Kikuyu Kusini...
  16. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Nauza kiwanja Ilala DSM center kabisa mil 60

    Nauza kiwanja kivule center kabisa Heka 1 Mil 60. Maongezi kidogo yapo Mark ukifika Kivule Muungano pub eneo linaitwa mnarani ndio kiwanja kilipo ni eneo lililojengwa nyumba za kifahari ukipaona utapapenda. Pako tambarare, eneo limekamata barabara kuu. 0743 257 669
  17. Sonship

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kiluvya Gogoni

    Kiwanja Kiluvya Gogoni Eneo Gogoni upande wa kituo cha polisi Kiwanja ni tambarare Bei milioni l4 tu Ukubwa wake mita 20*22 Kipo umbali wa km 3 tu kutoka Moro road 0675 065906
  18. Sonship

    JamiiForums Tanzania HILI BOMA LENYE KIWANJA LIMESHUKA BEI -MBEZI MSAKUZI MWISHO

    HILI BOMA NA KIWANJA LIMESHUKA BEI HAPA MBEZI MSAKUZI MWISHO Ni Kiwanja chenye Boma la vyumba 2 sasa MILIONI 14 TU! 📍 Location: Mbezi Msakuzi ✔ Dakika chache tu kwa miguu kutoka daladala zinapogeuzia ✔ Nauli ni Tsh 700 tu kutoka Mbezi mwisho hadi site 📐 Ukubwa wa Kiwanja: 20x23 (460 sqm)...
  19. Sonship

    JamiiForums Tanzania KIWANJA KINAUZWA KIBAMBA KWA MANGI

    KIWANJA KINAUZWA – KIBAMBA KWA MANGI 📍 Wilaya ya Ubungo, Dar es Salaam 📐Ukubwa ni SQM 460 💰 Milioni 15 tu (Mazungumzo kidogo) ✅ Umeme upo ✅ Maji ya DAWASCO yapo ✅ Mtaa uliostaarabika ✅ Boda boda Tsh 1,000 tu hadi site 🏠 Eneo zuri kwa makazi na uwekezaji. 📞 0675 065906
  20. radhiya

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa Kimara temboni

    Kiwanja Kinauzwa, kina msingi wa ukuta. Mahali: Kimara Temboni. Kipo km 1 kutoka barabara kuu ya Morogoro, Mita 300 kutoka barabara ya lami ya kuelekea kwa Mfugale. Ukubwa wa Eneo: SQM 308. Bei: Tzs Milioni 35. Nyaraka: Hati ya mauziano ya Serikali ya mtaa. Gharama ya kwenda kuona Eneo...
Back
Top Bottom