Njia kuelekea goba kupitia Milimani then Makong imekuwa ba foleni mbaya sana, inatuumiza sana sisi wa goba haa ukizingatia njii hii inasav wakazi wa makongo, goba, madale, kimara, mbezi na sehemu zingine.
Unaweza kaa kw foleni for 3hours sehemu ya dk25 na mamlaka zipo tuu.
Ukifiatilia ni uzembe...