nyumba

  1. a sinner saved by Christ

    JamiiForums Tanzania **USIIGEUZE NYUMBA YA MUNGU KUWA PANGO LA WANYANG’ANYI**.

    Neno la Mungu linasema Mathayo 21: 13 “akawaambia, Imeandikwa, Nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala; bali ninyi mmeifanya kuwa PANGO LA WANYANG’ANYI” Umewahi kujiuliza kwanini, kwanini Bwana alitumia huo usemi…. “bali ninyi mmeifanya kuwa PANGO LA WANYANG’ANYİ”. Umewahi kutafakari pango la...
  2. T

    JamiiForums Tanzania Afariki ghafla akiwa na mpenzi wake kwenye nyumba ya wageni "Guest House" huko mkoani Mara

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Mara, limetolea ufafanuzi juu ya tukio la kifo cha Chacha Ryoba (45), mkulima na mkazi wa Kijiji cha Kihumbu kilichopo Wilaya ya Bunda Mkoa wa Mara aliyefariki dunia baada ya kudaiwa kupatwa na shambulio la moyo akiwa nyumba ya kulala wageni na mpenzi wake. Jeshi hilo...
  3. radhiya

    JamiiForums Tanzania Eneo Lenye Nyumba ya Kuvunja Linauzwa

    Eneo lenye Nyumba ya Kuvunja Linauzwa. Mahali: Kinondoni Msisiri, Mtaa wa Ndotonadai. Eneo liko mita chache kutoka barabara ya Kawawa. Ukubwa wa Eneo: SQM 326. Bei: Tzs Milioni 300. Mazungumzo yanaruhusiwa. Nyaraka: Leseni ya Makazi. Kwa maelezo zaidi na kuweza kuona wasiliana nasi...
  4. J

    JamiiForums Tanzania Mnisamehe wote niliowaona hamjitumi kazini hadi mnashindwa kumiliki magari na nyumba nzuri!

    Zamani nilikuwa najua ukiajiriwa basi tayari unakuwa umetoboa kimaisha. Nikawa nikikutana na mtu ameajiriwa tena serikalini halafu anatembea kwa miguu basi namuona hayupo serious na maisha. Wakati nipo chuo, nikajiapiza eti nikiajiriwa tu nitaanza na gari tena kali kisha nyumba. Lakini hadi...
  5. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Tazama hii nyumba tunaijenga Kiluvya Madukani May 2026

    Kwa kazi za kujenga nyumba za kisasa nitafute 0743 257 669 napatikana Dsm. Nyumba ina vyumba 3 vya kulala 1 master 2 self seble jiko dinning jiko store prayer room
  6. Wachatech

    JamiiForums Tanzania Ramani kali ya Nyumba

    Ramani hii ina vyumba vitatu vya kulala Living room Kitchen Store Dining Common toilet Nitafute whatsapp 0678418272
  7. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Yanga yapigwa faini Sh Milioni 30 kwa kutumia nyumba ya mtu kuwa chumba cha kubadilishia nguo

  8. D

    JamiiForums Tanzania Inawezekana kujenga nyumba ya vyuma kwa kipato Cha 800k?!!

    Habarini wadau. Kutokana na udogo wa kipato na changamoto ya kutopatikana kwa miti ya maana ya kupaulia, napata wazo kichwani la kujenga na kupaua kwa kutumia vyuma. Sijajua gharama yake ila hiyo ndo ndoto niliyonayo......nahisi hilo litakuwa nafuu huko mbele (kwa maana nitatulia muda mrefu...
  9. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Usijenge nyumba kwenye mpaka ni kosa kisheria

    MAANA YA SETBACK KWA LUGHA RAHISI Setback ni nafasi ya wazi ambayo lazima uache bila kujenga kati ya nyumba yako na mpaka wa kiwanja chako. Mfano rahisi kama hauna elimu ya ujenzi: Fikiria kiwanja chako ni karatasi. Halmashauri inakuchorea mstari ndani ya karatasi hiyo. Inakuambia: "Jenga...
  10. B

    JamiiForums Tanzania Mapazia ya kisasa, designing and installation kwa ajili ya nyumba, hotel, offices etc

    UNATAKA NYUMBA, HOTEL AU OFFICE YAKO IONEKANE YA KISASA NA YA KIFAHARI? 🏠✨ Watu wengi hutumia fedha nyingi kwenye furniture, rangi na decoration mbalimbali lakini bado room haipati ule muonekano wa “complete luxury look”. Sababu kubwa mara nyingi huwa ni uchaguzi mbovu wa MAPAZIA. Pazia si...
  11. ngara23

    JamiiForums Tanzania Unajenga nyumba ya milion 300 ili upangishe laki 3, ni akili au matope?

    Tubuni njia nyingine za kuwekeza, kwenye mijengo ni kutupa pesa. Ukishapata kimjengo cha kuishi achana na show offs ati unamiliki mijengo mingi Ili kurudishwa milion 300 itachukua muda wa miaka 83. Hapa hujahesabu gharama za ukarabati na muda mwingine wapangaji hakuna Miaka 83 ni mingi mno...
  12. K

    JamiiForums Tanzania Naangalia Nyumba kwa ungalizi

    Mhali Gani wakuu husika na kichwa cha habari pale juu Mimi ni kijana wa kiume natafuta mtu au watu naoweza kuingia nao mkataba wa kumtunzia Nyumba akiwa kasafiri yupo mkoani au nje za nchi usihofu Mimi ipo ndani ya uwezo wangu usiwe na wasiwasi Utaikuta katika Hali nzuri vilevile kama...
  13. radhiya

    JamiiForums Tanzania Nyumba Inauzwa Bahari beach

    Nyumba Inauzwa Bahari beach, Dar es Salaam. Mahali: Mtaa wa Simba/Mugeta. Sifa za Nyumba: *Iko Mita 100 kutoka barabara kubwa ya ununio. *Ina vyumba vitano vya kulala, vyote ni master. *Huduma zote za kijamii zipo. Ukubwa wa Eneo: SQM 1833. Nyaraka: Ina Hatimiliki. Bei: Tzs Milioni 900...
  14. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Nyumba ina hati ya wizara inauzwa 270m Dar kitunda ukonga

    NYUMBA INA HATI YA WIZARA INAUZWA #MILLION_270 MAONGEZI IPO DSM KITUNDA UKONGA VYUMBA VITATU VYOTE MASTER SEBULE DINNING JIKO CHOO CHA PUBLICITY N.K STORE UKUBWA WA ENEO SQM 1,500 KARIBUNI SANA PG AU WHATSAPP 0718408733
  15. Sonship

    JamiiForums Tanzania Inahitajika nyumba ya kununua kuanzia Mbezi, Kibamba na Kiluvya

    Location: Kuanzia Mbezi Mwisho, Kibamba hadi Kiluvya Budget: Isizidi Tsh Milioni 50 Mahitaji ya nyumba: • Vyumba 3 (kimoja kiwe Master Bedroom) • Sitting Room & Dining Room • Jiko kizuri • Public Toilet • Nyumba iwe imekamilika full tayari kwa kuhamia • Iwe na Tiles, Gypsum na Madirisha ya...
  16. stabilityman

    JamiiForums Tanzania House4Sale Inauzwa Tshs. million 160 (mazungumzo) nyumba ipo Kitunda ukonga

    Ina hati ya serikali ya mtaa Inauzwa #million_160 (mazungumzo) Nyumba ipo Kitunda Ukonga Vyumba vitatu- kimoja master) Dinning, sebule, jiko & choo Kiwanja sqm 500 Mawasiliano 0718408733
  17. jamaikatz

    JamiiForums Tanzania Kipi bora kununua nyumba au kujenga mwenyewe?

    Hivi kati ya kujenga nyumba au kununua kipi ni gharama kubwa?
  18. mkenya wa kova

    JamiiForums Tanzania Tunafanya urembo wa nyumba yako kwa gjarama nafuu sana.

    Tanafanya finishing za nyumba kwa gjarama nafuu sana , moulding decorations, ceiling disign na skimming .tupo dar es salaam na tunafika mikoani bila shida kabisa. 0765069058 WhatsApp.
  19. Rafiki Electrical

    JamiiForums Tanzania Umeme na usalama wa nyumba, Kiwanda au mitambo yako

    ⚠️KWANINI UKATE TAMAA NA KUIONA KAZI YAKO CHUNGU? Umechoshwa na: ❌ Cable na Vifaa feki vinavyochelewesha kazi na kuhatarisha usalama site? ❌ MCB zinazokatika bila sababu? ❌ Wasambazaji wasio na uelewa wa kiufundi? ❌Kufanya Biashara na Watu Wasio Waaminifu? ✅SULUHISHO LIMEPATIKANA Rafiki...
Back
Top Bottom