"Ukikimbia kuingia chumbani, wanakichoma moto," anasema Fatima, akielezea shambulio la hivi karibuni katika kijiji chake Zamfara, kaskazini magharibi mwa Nigeria. "Ukitoka nje na kuanza kukimbia, wanakupiga risasi."
Watu hao waliojihami kwa silaha, waliofanya shambulio hilo saa nane usiku (saa...
Fikiria unatembea mtaani, kisha unamwona jirani yako anatoka nje na kuanza kucheza muziki katikati ya barabara. Hakuna spika, hakuna radio, wala hakuna wimbo wowote unaopigwa... lakini anacheza kwa kasi kubwa huku akivuja jasho.
Baadaye jirani wa pili anajiunga naye, wa tatu, na ndani ya siku...
Habari wakuu, naomba msada kujua hii nyumba inaweza kugharimu kiasi gani mpaka ikamilike. Vyumba 3, viwili master na public toilet, laundry, store, prayer room, sitting na dining. Dimensions 17x17 Natanguliza shukrani.
Unazima moto kuzuia moto usiharibu nyumba inayo waka na kuokoa mali zilizomo ndani.
Tatizo walisahau nyumba ya udongo ukimwagia maji mengi inaporomoka na kuta zake zinaharibika, zinaporomoka kabisa. Baadhi ya Mali zinaharibika pia.
Kuna wakati inaonekana afadhali uache nyumba iungue kisha moto...
Katika kitabu cha Ufunuo 13:16-18 tunasoma,
Naye awafanya wote... wapokee chapa katika mkono wao wa kuume, au katika vipaji vya nyuso zao... na hesabu yake ni 666.
Katika maandiko matakatifu inaonyesha kuwa "alama ama chapa" ina maanisha ishara ya utii na mamlaka ya kiroho juu ya wanadamu...
Mahusiano ni jambo zito sana ila ndoa ni nuclear ya mambo mazito mnoo.
Wengi wapo na wenzi wao physically kwa sababu inambidi tu kutokana labda ndoa au watoto wanao share pamoja ila kihisia yupo na mtu mwingine kabisa
mwanamke inamuuma kuwa walivitafuta pamoja na mmewe na hata kuna kipindi...
ardhi
baada
ila
kutokana
labda
lawyer
mdada
msibani
mtu
mtu mwingine
mwingine
ndoa
nyumba
pamoja
sababu
share
wao
wapo
watoto
watoto wawili
wawili
wengi
NYUMBA INAUZWA
Eneo: Ada Estate, Kinondoni (Mbele ya mtaa, eneo tulivu)
Ukubwa wa Kiwanja: SQM 2,950
Umiliki: Hati Safi (Title Deed)
Bei: TZS Bilioni 6.5 (Sawa na USD Million 2.5) — Maongezi yapo kidogo
Ipo Ada Estate, Kinondoni, mbele ya mtaa, katika eneo tulivu
Umiliki: hati safi
Ukubwa wa kiwanja: sqm 2,950
Bei: TSh bilioni 6.5, sawa na USD milioni 2.5
Bei inazungumzika kidogo.
🇹🇿 Call/WhatsApp: +255 758 844 417
Video imepatikana kijana wetu aloewauwa baba yake na baba yake mdogo kisa walikula hela zake za kumjengea NYUMBA alipo kua afrika kusini, huyu kijana ndio yule wa mwananyamala.
Hivi huyu niwakutuma kweli hela Kwa unavo muona
Nyumba hiyo iliyopo katika Mtaa wa Image, Kata Kikuyu Kusini (South extension), Plot no 42 Jijini Dodoma imebomolewa Agosti 18, 2026. Kusoma hoja ya awali bofya hapa ~ Hati ya Kiwanja imebadilishwa bila ridhaa yetu, TAKUKURU wamebaini ‘mchezo’, aliyepewa hati na Ardhi Dodoma anakuja kutuvunjia...
Naomba kuwasilisha kero kuhusu kucheleweshwa kwa mchakato wa usajili wa hati ya nyumba ya marehemu katika Ofisi ya Usajili wa Hati, Wizara ya Ardhi.
Mimi ni msimamizi wa mirathi ya marehemu baba yangu. Nyumba hiyo ipo Kigamboni, Dar es Salaam, ina ukubwa wa SQM 1,122 na hati yake imesajiliwa...
Kwakuwa serikali dhaifu na haramu ya Samia imeshindwa kumtafuta ndugu yetu Humphrey polepole, tutaanza kampeni nyumba kwa ngumba mpaka tumpate ndugu yetu.
Nyumba tunazotilia shaka:
Nyumba zote zinahohusianishwa na Daudi Albert Bashite, nyumba zote zinazo husishwa na Abduli, nyumba ya Muliro na...
Nyumba inauzwa Goba, Dar es Salaam.
Mahali: Lilian Kibo kwa Mwakifulefule.
Sifa za Nyumba:
*Nyumba haijakamilika, imefikia kwenye hatua ya umaliziaji.
*Iko mita chache kutoka barabara ya Goba.
*Iko upande wa kushoto ukitokea mbezi beach, na upande wa kulia ukitokea mbezi stendi ya Magufuli...
Nyumba Ya Gorofa
4 bedroom all ensuite
Swimming pools, GymSolar
Servants quarter
CCTV Camera
Electrical Fence
Plot area 1,800 sqm
With clean title deed
Hati safi ya wizara
Asking Price USD 1.3M
Call/WhatsApp +255758844717
Eneo linauzwa Square meters 371
Location Dar es salaam - makumbusho
Bei Billion 1.5 Maongezi yapo ofisini
Hiyo nyumba ina family house 2 ziko hivi unaingia sitting room, dining, kitchen, choo na store kisha unapanda ngazi juu kuna vyumba vitatu vya kulala vyote master ila chumba kimoja ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.