Pakistan: Takriban watu 31 wamepoteza maisha, wakiwemo maafisa 16 wa polisi na majeruhi wasiopungui 100, katika shambulio la kujitoa mhanga kwa gari lililokuwa na vilipuzi kwenye msikiti ulioko ndani ya kambi ya polisi ya Kohat (Kohat Police Lines) huko Khyber Pakhtunkhwa wakati wa sala ya...
Kule kijijini kwetu Singida ukijenga nyumba nzuri, lazima ujipange kweli kweli kama ni mlonzi basi loga sana, kama ni mcha Mungu basi omba sana.
Unaweza maliza nyumba yako na ukadanja ukaiacha, husda ni hatari kule.
Nataka ni sake apartment kabisa, hiyo 200k sio shida tena kwangu.
Labda ni waambie tu.
Mazingira unayoishi yanaku shape in subtle ways ambazo wewe mwenyewe huwezi kujua
Nataka ni sake apartment,
Wajuvi ni ipi bei chee kwa DSM na iwe below 300k yaani iwe ghorofani, iwe na air condition, na...
Mwanamke mmoja nchini China, aliyetambulishwa kwa jina bandia la Xiaoli, alizua gumzo mtandaoni mwaka 2016 baada ya kuripotiwa kuwa aliwaomba kila mmoja wa wapenzi wake 20 kumnunulia simu aina ya iPhone 7.
Kwa mujibu wa ripoti zilizochapishwa na vyombo mbalimbali vya habari wakati huo, Xiaoli...
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Bw.Albert Chalamila, ameagiza kila nyumba kuwa na kifaa cha kuhifadhia taka (dustbin) angalau mbili kama sehemu ya juhudi za kuhakikisha Jiji la Dar es Salaam linakuwa safi na mazingira yanatunzwa.
Akizungumza na wahariri wa vyombo vya habari leo Septemba 17...
Wasalaam,
kuna msemo mmoja ambao naamini una nafasi kubwa sana katika mjadala wa siasa za Tanzania.
“Tusibomoe nyumba kwa sababu ina kasoro. Lakini pia tusikatae kuikarabati kwa sababu tu tumeizoea.”
Tanzania ni kama nyumba ambayo imejengwa kwa miaka mingi. Ina historia yake, imepitia vipindi...
Baada ya kumlipa pesa yake ya miezi 6,pamoja na hela za taka na maji..
Naona amenikasirikia sana,
Huwa anajaribu kujenga mazoea na mm ila namkwepa.
Kajaribu mara kibao sana nimkope hela, ila na kataa maana najua ni hatanirudishia na tutasumbuana tu.
Sasa majuzi nimekuja na mtoto mkali...
Habarini za asubuhi wana Jamii Forum
Naomba kutangaza
Nyumba inauzwa Maeneo ya Fadhili Bucha
Kiwanja namba 512 Kitalu C
Nyumba ni Mbili kwa Moja (2 in 1)
Kila upande zinafanana
Sifa ya Nyumba
Master bedroom
Male Room
Female Room
Choo
Jiko
Pande zote nyumba zinafanana
Aidha kuna Nyumba ya...
NYUMBA ya KUBOMOA
🔥INAUZWA🔥
Ipo KAWE karibu na MAGHOROFA ya SAMIA hapo
Inatazama
OLD BAGAMOYO
Ipo MAIN ROAD
Umiliki L/MAKAZI
ENEO. (SQM 732)
Price Mill 700 maongezi
🇹🇿Call/WhatsApp +255758844717
#property #realestate #instagram #tiktok #viral
NYUMBA ya KUBOMOA
🔥INAUZWA🔥
Ipo KAWE karibu na MAGHOROFA ya SAMIA hapo
Inatazama
OLD BAGAMOYO
Ipo MAIN ROAD
Umiliki L/MAKAZI
ENEO. (SQM 732)
Price Mill 700 maongezi
🇹🇿Call/WhatsApp +255758844717
#property #realestate #instagram #tiktok #viral
NYUMBA ya KUBOMOA
🔥INAUZWA🔥
Ipo KAWE karibu na MAGHOROFA ya SAMIA hapo
Inatazama
OLD BAGAMOYO
Ipo MAIN ROAD
Umiliki L/MAKAZI
ENEO. (SQM 732)
Price Mill 700 maongezi
🇹🇿Call/WhatsApp +255758844717
NYUMBA IPO NARUNG'OMBE NA LUMUMBA
PRICE 4 BILLIONS na Milioni 500
Building Ina Floor 5
Ground Kuna Frame Tatu Ikiwemo Restaurant
First Floor ni Godown
Second Floor ni Apartment ya Pande Mbili
upande mmoja ni Vyumba viwili na upande mwingine ni vyumba Vitatu
na iko hivo Floor...
NYUMBA IPO NARUNG'OMBE NA LUMUMBA
PRICE 4 BILLIONS na Milioni 500
Building Ina Floor 5
Ground Kuna Frame Tatu Ikiwemo Restaurant
First Floor ni Godown
Second Floor ni Apartment ya Pande Mbili
upande mmoja ni Vyumba viwili na upande mwingine ni vyumba Vitatu
na iko hivo Floor...
NYUMBA IPO NARUNG'OMBE NA LUMUMBA
PRICE 4 BILLIONS na Milioni 500
Building Ina Floor 5
Ground Kuna Frame Tatu Ikiwemo Restaurant
First Floor ni Godown
Second Floor ni Apartment ya Pande Mbili
upande mmoja ni Vyumba viwili na upande mwingine ni vyumba Vitatu
na iko hivo Floor...
🏠 MDau ameuliza:
“Nianze na nyumba ndogo ya kuanzia maisha, au nianze moja kwa moja na dream house yangu?”
Jibu langu kama mtaalamu wa ujenzi ni hili 👇
Kama tayari una ramani na maono ya nyumba unayotaka kuishi kwa muda mrefu, usikimbilie kujenga nyumba nyingine pembeni ya kiwanja.
Kwa nini...
Mtaa wa Nzasa, eneo lililo karibu na nyumba za walimu wa UDSM, kuanzia Barabara ya Kitambaa Cheupe hadi kwa Mama Ngoma, unakabiliwa na tatizo la mara kwa mara la mifumo ya maji taka kuziba na chemba kujaa.
Hali hii imekuwa kero kubwa kwa wakazi, hasa ikizingatiwa kuwa watoto hupita katika njia...
Ili Nyumba/apartment iitwe Airbnb Apartment, ni lazima itangazwe kwenye official platforms za Airbnb (website au App), otherwise ni Nyumba ya kupanga tu.
Sahivi ukiingia Insta, Facebook, TikTok watu wanageuza maghetto yao kua ya kupanga na wanayaita Airbnb, ukiwaomba link ya profile yao kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.