nyumba

  1. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Wafuga Midevu na Majini wauana kwenye nyumba ya IBADA huko Khyber Pakhtunkhwa Pakistan

    Pakistan: Takriban watu 31 wamepoteza maisha, wakiwemo maafisa 16 wa polisi na majeruhi wasiopungui 100, katika shambulio la kujitoa mhanga kwa gari lililokuwa na vilipuzi kwenye msikiti ulioko ndani ya kambi ya polisi ya Kohat (Kohat Police Lines) huko Khyber Pakhtunkhwa wakati wa sala ya...
  2. Expensive life

    JamiiForums Tanzania Uchawi kwenye ujenzi wa majumba upo, umeshawahi kukutana nao?

    Kule kijijini kwetu Singida ukijenga nyumba nzuri, lazima ujipange kweli kweli kama ni mlonzi basi loga sana, kama ni mcha Mungu basi omba sana. Unaweza maliza nyumba yako na ukadanja ukaiacha, husda ni hatari kule.
  3. Gunner11

    JamiiForums Tanzania Natafuta Apartment DSM: Ghorofa, AC, Jiko <300K

    Nataka ni sake apartment kabisa, hiyo 200k sio shida tena kwangu. Labda ni waambie tu. Mazingira unayoishi yanaku shape in subtle ways ambazo wewe mwenyewe huwezi kujua Nataka ni sake apartment, Wajuvi ni ipi bei chee kwa DSM na iwe below 300k yaani iwe ghorofani, iwe na air condition, na...
  4. Jannatul Firdaus

    JamiiForums Tanzania Aliomba Iphone kwa wapenzi wake 20, kisha akaziuza na kununua nyumba

    Mwanamke mmoja nchini China, aliyetambulishwa kwa jina bandia la Xiaoli, alizua gumzo mtandaoni mwaka 2016 baada ya kuripotiwa kuwa aliwaomba kila mmoja wa wapenzi wake 20 kumnunulia simu aina ya iPhone 7. Kwa mujibu wa ripoti zilizochapishwa na vyombo mbalimbali vya habari wakati huo, Xiaoli...
  5. Kinoamiguu

    JamiiForums Tanzania Kingai aliyejenga nyumba ya Mungu kijijini kwao kesho anakwenda kuchuma dhambi

    Amejenga msikiti mkubwa kwao bumbuli kama sehemu ya toba kwa mola wake kesho anakwenda kujichumia madhambi kwa kuongea vya uongo ili Lissu anyongwe
  6. Jannatul Firdaus

    JamiiForums Tanzania RC Chalamila; Kila nyumba Dar iwe na Dustbin

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Bw.Albert Chalamila, ameagiza kila nyumba kuwa na kifaa cha kuhifadhia taka (dustbin) angalau mbili kama sehemu ya juhudi za kuhakikisha Jiji la Dar es Salaam linakuwa safi na mazingira yanatunzwa. Akizungumza na wahariri wa vyombo vya habari leo Septemba 17...
  7. Wizara ya Ardhi

    JamiiForums Tanzania FAHAMU MFUMO WA BARAZA LA ARDHI NA NYUMBA LA WILAYA

    https://m.youtube.com/watch?v=8Mw7LJ6EwEc&t=1764s[/URL]
  8. Mla Bata

    JamiiForums Tanzania Tusiibomoe nyumba kwa sababu ina kasoro, lakini pia tusikatae kuikarabati kwa sababu tumeizoea

    Wasalaam, kuna msemo mmoja ambao naamini una nafasi kubwa sana katika mjadala wa siasa za Tanzania. “Tusibomoe nyumba kwa sababu ina kasoro. Lakini pia tusikatae kuikarabati kwa sababu tu tumeizoea.” Tanzania ni kama nyumba ambayo imejengwa kwa miaka mingi. Ina historia yake, imepitia vipindi...
  9. Wizara ya Ardhi

    JamiiForums Tanzania Haki za mlalamikiwa katika baraza la ardhi na nyumba la wilaya

    https://youtu.be/8SBsWi-SQHE?si=UWsuLLh2v3L1dOzq
  10. Gunner11

    JamiiForums Tanzania Mwenye Nyumba Mkorofi na Majungu Yake

    Baada ya kumlipa pesa yake ya miezi 6,pamoja na hela za taka na maji.. Naona amenikasirikia sana, Huwa anajaribu kujenga mazoea na mm ila namkwepa. Kajaribu mara kibao sana nimkope hela, ila na kataa maana najua ni hatanirudishia na tutasumbuana tu. Sasa majuzi nimekuja na mtoto mkali...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Nyumba Inauzwa

    Habarini za asubuhi wana Jamii Forum Naomba kutangaza Nyumba inauzwa Maeneo ya Fadhili Bucha Kiwanja namba 512 Kitalu C Nyumba ni Mbili kwa Moja (2 in 1) Kila upande zinafanana Sifa ya Nyumba Master bedroom Male Room Female Room Choo Jiko Pande zote nyumba zinafanana Aidha kuna Nyumba ya...
  12. Dalali_wa_kimataifa

    JamiiForums Tanzania NYUMBA ya KUBOMOA 🔥*INAUZWA*🔥 Ipo KAWE karibu na MAGHOROFA ya SAMIA hapo Inatazama OLD BAGAMOYO Ipo MAIN ROAD Umiliki L/MAKAZI ENEO. *

    NYUMBA ya KUBOMOA 🔥INAUZWA🔥 Ipo KAWE karibu na MAGHOROFA ya SAMIA hapo Inatazama OLD BAGAMOYO Ipo MAIN ROAD Umiliki L/MAKAZI ENEO. (SQM 732) Price Mill 700 maongezi 🇹🇿Call/WhatsApp +255758844717 #property #realestate #instagram #tiktok #viral
  13. Dalali_wa_kimataifa

    JamiiForums Tanzania NYUMBA ya KUBOMOA 🔥*INAUZWA*🔥 Ipo KAWE karibu na MAGHOROFA ya SAMIA hapo Inatazama OLD BAGAMOYO Ipo MAIN ROAD Umiliki L/MAKAZI

    NYUMBA ya KUBOMOA 🔥INAUZWA🔥 Ipo KAWE karibu na MAGHOROFA ya SAMIA hapo Inatazama OLD BAGAMOYO Ipo MAIN ROAD Umiliki L/MAKAZI ENEO. (SQM 732) Price Mill 700 maongezi 🇹🇿Call/WhatsApp +255758844717 #property #realestate #instagram #tiktok #viral
  14. Dalali_wa_kimataifa

    JamiiForums Tanzania Nyumba ya kubomoa inauzwa Kawe, karibu na Maghorofa ya Samia — ipo Main Road, inatazama Old Bagamoyo

    NYUMBA ya KUBOMOA 🔥INAUZWA🔥 Ipo KAWE karibu na MAGHOROFA ya SAMIA hapo Inatazama OLD BAGAMOYO Ipo MAIN ROAD Umiliki L/MAKAZI ENEO. (SQM 732) Price Mill 700 maongezi 🇹🇿Call/WhatsApp +255758844717
  15. Dalali_wa_kimataifa

    JamiiForums Tanzania NYUMBA IPO NARUNG'OMBE NA LUMUMBA PRICE 4 BILLIONS na Milioni 500 Building Ina Floor 5 Ground Kuna Frame Tatu Ikiwemo Restaurant

    NYUMBA IPO NARUNG'OMBE NA LUMUMBA PRICE 4 BILLIONS na Milioni 500 Building Ina Floor 5 Ground Kuna Frame Tatu Ikiwemo Restaurant First Floor ni Godown Second Floor ni Apartment ya Pande Mbili upande mmoja ni Vyumba viwili na upande mwingine ni vyumba Vitatu na iko hivo Floor...
  16. Dalali_wa_kimataifa

    JamiiForums Tanzania NYUMBA IPO NARUNG'OMBE NA LUMUMBA PRICE 4 BILLIONS na Milioni 500 Building Ina Floor 5 Ground Kuna Frame Tatu Ikiwemo Restaurant

    NYUMBA IPO NARUNG'OMBE NA LUMUMBA PRICE 4 BILLIONS na Milioni 500 Building Ina Floor 5 Ground Kuna Frame Tatu Ikiwemo Restaurant First Floor ni Godown Second Floor ni Apartment ya Pande Mbili upande mmoja ni Vyumba viwili na upande mwingine ni vyumba Vitatu na iko hivo Floor...
  17. Dalali_wa_kimataifa

    JamiiForums Tanzania NYUMBA IPO NARUNG'OMBE NA LUMUMBAPRICE 4 BILLIONS na Milioni 500Building Ina Floor 5Ground Kuna Frame Tatu Ikiwemo Restaurant

    NYUMBA IPO NARUNG'OMBE NA LUMUMBA PRICE 4 BILLIONS na Milioni 500 Building Ina Floor 5 Ground Kuna Frame Tatu Ikiwemo Restaurant First Floor ni Godown Second Floor ni Apartment ya Pande Mbili upande mmoja ni Vyumba viwili na upande mwingine ni vyumba Vitatu na iko hivo Floor...
  18. Kicheche mkali

    JamiiForums Tanzania Nianze na nyumba ndogo ya kuanzia maisha, au nianze moja kwa moja na dream house yangu?

    🏠 MDau ameuliza: “Nianze na nyumba ndogo ya kuanzia maisha, au nianze moja kwa moja na dream house yangu?” Jibu langu kama mtaalamu wa ujenzi ni hili 👇 Kama tayari una ramani na maono ya nyumba unayotaka kuishi kwa muda mrefu, usikimbilie kujenga nyumba nyingine pembeni ya kiwanja. Kwa nini...
  19. G

    JamiiForums Tanzania KERO Mtaa wa Nzasa, eneo lililo karibu na nyumba za walimu wa UDSM, mifumo ya maji taka inasumbua sana

    Mtaa wa Nzasa, eneo lililo karibu na nyumba za walimu wa UDSM, kuanzia Barabara ya Kitambaa Cheupe hadi kwa Mama Ngoma, unakabiliwa na tatizo la mara kwa mara la mifumo ya maji taka kuziba na chemba kujaa. Hali hii imekuwa kero kubwa kwa wakazi, hasa ikizingatiwa kuwa watoto hupita katika njia...
  20. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Kwanini mtu anatangaza kwenye Social Media anakodisha Nyumba yake hafu anaiita Airbnb?

    Ili Nyumba/apartment iitwe Airbnb Apartment, ni lazima itangazwe kwenye official platforms za Airbnb (website au App), otherwise ni Nyumba ya kupanga tu. Sahivi ukiingia Insta, Facebook, TikTok watu wanageuza maghetto yao kua ya kupanga na wanayaita Airbnb, ukiwaomba link ya profile yao kwenye...
Back
Top Bottom