nyumba

  1. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania "Ukikimbia wanakupiga risasi, ukijificha wanachoma nyumba"

    "Ukikimbia kuingia chumbani, wanakichoma moto," anasema Fatima, akielezea shambulio la hivi karibuni katika kijiji chake Zamfara, kaskazini magharibi mwa Nigeria. "Ukitoka nje na kuanza kukimbia, wanakupiga risasi." Watu hao waliojihami kwa silaha, waliofanya shambulio hilo saa nane usiku (saa...
  2. bless on

    JamiiForums Tanzania Ugonjwa wa ajabu: watu wanacheza mziki mpaka wanakufa

    Fikiria unatembea mtaani, kisha unamwona jirani yako anatoka nje na kuanza kucheza muziki katikati ya barabara. Hakuna spika, hakuna radio, wala hakuna wimbo wowote unaopigwa... lakini anacheza kwa kasi kubwa huku akivuja jasho. Baadaye jirani wa pili anajiunga naye, wa tatu, na ndani ya siku...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Nyumba kama hii inaweza kugharimu kiasi gani mpaka ikamilike? Pamoja na finishing

    Habari wakuu, naomba msada kujua hii nyumba inaweza kugharimu kiasi gani mpaka ikamilike. Vyumba 3, viwili master na public toilet, laundry, store, prayer room, sitting na dining. Dimensions 17x17 Natanguliza shukrani.
  4. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Ramani ya nyumba bei nafuu

  5. Titicomb

    JamiiForums Tanzania Waliouwa Oktoba 2025 walikwenda kuzima nyumba ya udongo kutumia gari ya maji ya zimamoto

    Unazima moto kuzuia moto usiharibu nyumba inayo waka na kuokoa mali zilizomo ndani. Tatizo walisahau nyumba ya udongo ukimwagia maji mengi inaporomoka na kuta zake zinaharibika, zinaporomoka kabisa. Baadhi ya Mali zinaharibika pia. Kuna wakati inaonekana afadhali uache nyumba iungue kisha moto...
  6. Izato

    JamiiForums Tanzania Siri nyuma ya namba 666

    Katika kitabu cha Ufunuo 13:16-18 tunasoma, Naye awafanya wote... wapokee chapa katika mkono wao wa kuume, au katika vipaji vya nyuso zao... na hesabu yake ni 666. Katika maandiko matakatifu inaonyesha kuwa "alama ama chapa" ina maanisha ishara ya utii na mamlaka ya kiroho juu ya wanadamu...
  7. Design Your Idea

    JamiiForums Tanzania Mfiwa aanguka kwa mshituko baada ya mdada kuja na watoto wawili msibani na Lawyer akionesha WILL kuwa mdada na watoto hao wamegawiwa ardhi na nyumba

    Mahusiano ni jambo zito sana ila ndoa ni nuclear ya mambo mazito mnoo. Wengi wapo na wenzi wao physically kwa sababu inambidi tu kutokana labda ndoa au watoto wanao share pamoja ila kihisia yupo na mtu mwingine kabisa mwanamke inamuuma kuwa walivitafuta pamoja na mmewe na hata kuna kipindi...
  8. Dalali_wa_kimataifa

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nyumba inauzwa ipo Ada estate- Kinondoni

    NYUMBA INAUZWA Eneo: Ada Estate, Kinondoni (Mbele ya mtaa, eneo tulivu) Ukubwa wa Kiwanja: SQM 2,950 Umiliki: Hati Safi (Title Deed) Bei: TZS Bilioni 6.5 (Sawa na USD Million 2.5) — Maongezi yapo kidogo
  9. Dalali_wa_kimataifa

    JamiiForums Tanzania Nyumba inauzwa ipo Ada Estate, Kinondoni. Bei ni Bilioni 6.5

    Ipo Ada Estate, Kinondoni, mbele ya mtaa, katika eneo tulivu Umiliki: hati safi Ukubwa wa kiwanja: sqm 2,950 Bei: TSh bilioni 6.5, sawa na USD milioni 2.5 Bei inazungumzika kidogo. 🇹🇿 Call/WhatsApp: +255 758 844 417
  10. Alexido jz instagram

    JamiiForums Tanzania Wabongo bwana, eti huyu alikua anamtumia hela baba yake amjengee NYUMBA, akiwa afrika kusini

    Video imepatikana kijana wetu aloewauwa baba yake na baba yake mdogo kisa walikula hela zake za kumjengea NYUMBA alipo kua afrika kusini, huyu kijana ndio yule wa mwananyamala. Hivi huyu niwakutuma kweli hela Kwa unavo muona
  11. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Nyumba iliyokuwa na mgogoro ikidaiwa hati imebadilishwa bila ridhaa ya wahusika yabomolewa Kikuyu Dodoma

    Nyumba hiyo iliyopo katika Mtaa wa Image, Kata Kikuyu Kusini (South extension), Plot no 42 Jijini Dodoma imebomolewa Agosti 18, 2026. Kusoma hoja ya awali bofya hapa ~ Hati ya Kiwanja imebadilishwa bila ridhaa yetu, TAKUKURU wamebaini ‘mchezo’, aliyepewa hati na Ardhi Dodoma anakuja kutuvunjia...
  12. A

    JamiiForums Tanzania KERO Ucheleweshwa kwa mchakato wa usajili wa hati ya nyumba ya mirathi katika Ofisi ya Usajili wa Hati

    Naomba kuwasilisha kero kuhusu kucheleweshwa kwa mchakato wa usajili wa hati ya nyumba ya marehemu katika Ofisi ya Usajili wa Hati, Wizara ya Ardhi. Mimi ni msimamizi wa mirathi ya marehemu baba yangu. Nyumba hiyo ipo Kigamboni, Dar es Salaam, ina ukubwa wa SQM 1,122 na hati yake imesajiliwa...
  13. Soul21

    JamiiForums Tanzania Bashe alimchoma Mpina mbele ya Rais huku nyumba uhalifu ulifichwa?

    Nakosa majibu kati ya Bashe na Mpina nani alikuwa mwalifu? Nimekosea heading!!
  14. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Kampeni ya kumtafuta Humphrey Polepole Nyumba kwa Nyumba

    Kwakuwa serikali dhaifu na haramu ya Samia imeshindwa kumtafuta ndugu yetu Humphrey polepole, tutaanza kampeni nyumba kwa ngumba mpaka tumpate ndugu yetu. Nyumba tunazotilia shaka: Nyumba zote zinahohusianishwa na Daudi Albert Bashite, nyumba zote zinazo husishwa na Abduli, nyumba ya Muliro na...
  15. radhiya

    JamiiForums Tanzania Nyumba Inauzwa Goba Lilian Kibo

    Nyumba inauzwa Goba, Dar es Salaam. Mahali: Lilian Kibo kwa Mwakifulefule. Sifa za Nyumba: *Nyumba haijakamilika, imefikia kwenye hatua ya umaliziaji. *Iko mita chache kutoka barabara ya Goba. *Iko upande wa kushoto ukitokea mbezi beach, na upande wa kulia ukitokea mbezi stendi ya Magufuli...
  16. Olivia olivia

    JamiiForums Tanzania Nimeipenda sana hii ramani ya hii nyumba

    Before sijaenda kuilipia niambieni mapungufu yake ? Ili yarekebishwe
  17. a sinner saved by Christ

    JamiiForums Tanzania NYUMBA HII HAIUZWI

    KUNA CHA KUJIFUNZA HAPA https://youtu.be/P6-WiDCm3QU?si=a0TlslZqFwtu5787 https://youtu.be/leKDEB8NPrA?si=x8u8dpSBmDbUP1Zk
  18. stabilityman

    JamiiForums Tanzania wewe msomi usikae nyumba isiyo na fensi

    yes nyumba Bilal fensi ni risk kubwa kubadili ukatae ukweli uko hivyo
  19. Dalali_wa_kimataifa

    JamiiForums Tanzania Nyumba inauzwa, ipo Mbezi Beach Ramada. Bei ni Dola milioni 1.3

    Nyumba Ya Gorofa 4 bedroom all ensuite Swimming pools, GymSolar Servants quarter CCTV Camera Electrical Fence Plot area 1,800 sqm With clean title deed Hati safi ya wizara Asking Price USD 1.3M Call/WhatsApp +255758844717
  20. Dalali_wa_kimataifa

    JamiiForums Tanzania NYUMBA INAUZWA,IPO MAKUMBUSHO,BEI NI TSH BILLION1.5

    Eneo linauzwa Square meters 371 Location Dar es salaam - makumbusho Bei Billion 1.5 Maongezi yapo ofisini Hiyo nyumba ina family house 2 ziko hivi unaingia sitting room, dining, kitchen, choo na store kisha unapanda ngazi juu kuna vyumba vitatu vya kulala vyote master ila chumba kimoja ni...
Back
Top Bottom