Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,152
Nimejaribu kuwasiliana kiofisi nikahisi kuna marekebisho yanafanywa, sasa naona imekuwa kero.
Wananchi wa makazi mapya Mbezi Beach wanateseka na maji ya udongo mwezi sasa.
Kila bomba ukichota ndoo imejaa udongo, kutumia maji ni mpaka usubiri yatulie uchuje.
Mnatupeleka wapi maana hatujui yanakuja na fungus ama typhoid ama mengineyo
Tokeni ofisini mje kuona wananchi wanavyoteseka.
Mwanzoni nilihisi kwetu nenda kwa jirani maji ni yaleyale mpaka uchuje.
Manager Kawe tokeni ofisini tembelea wateja chunguza shida nini tutakufa na magonjwa kuna wazee wasije ondoka mapema na magonjwa hatarishi.
Mbarikiwe.....
Wananchi wa makazi mapya Mbezi Beach wanateseka na maji ya udongo mwezi sasa.
Kila bomba ukichota ndoo imejaa udongo, kutumia maji ni mpaka usubiri yatulie uchuje.
Mnatupeleka wapi maana hatujui yanakuja na fungus ama typhoid ama mengineyo
Tokeni ofisini mje kuona wananchi wanavyoteseka.
Mwanzoni nilihisi kwetu nenda kwa jirani maji ni yaleyale mpaka uchuje.
Manager Kawe tokeni ofisini tembelea wateja chunguza shida nini tutakufa na magonjwa kuna wazee wasije ondoka mapema na magonjwa hatarishi.
Mbarikiwe.....