tatizo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Naxria abdalla

    Tatizo la wingi wa damu

    Natumai hamjambo nina tatizo la damu nyingi mwilini pia damu ni chafu naomba maelekezo nn cha kufanya niweze kupunguza damu mwenyewe kabla sijaenda kuchangia. Ahsanteni
  2. M

    Heri uishi na mke mchafu au mwenye kiburi?

    Na wengi wao huwezi kuwajua kabla ya ndoa, Drama inaanza baada ya ndoa
  3. Samia atosha tukutane2030

    Tatizo sio mfumo wa ELIMU, tatizo ni asili ya watu

    Watanzania wengi Mimi nawaita vichaa kwasababu hawana uwezo wa kuhoji mambo ndani ya nafsi zao. Ikutokea mtu mwenye ushawishi katika jamii ameongea jambo, jambo hilo kwa 100% wataliunga mkono na kuliona liko sahihi. Kuna hoja ilitolewa na wapinzani na baadhi ya watu kuwa mfumo wa Elimu yetu ni...
  4. A

    KERO TANESCO Mwanza, huku Nyamhongolo Stand, Ilemela tuna tatizo la umeme mdogo (low voltage)

    Tunaiomba mamlaka husika hasa TANESCO kutatua tatizo la umeme mdogo (low voltage) katika eneo la Nyamhongolo Stand, Wilaya ya Ilemela, Mwanza. Wananchi na wafanyabiashara wa eneo hili tunaendelea kupata hasara kubwa kutokana na umeme kuwa mdogo muda mwingi. Mashine za kazi haziwezi kufanya kazi...
  5. A

    Tatizo la vichomi upande wa kushoto

    Habari Wakuu, nina tatizo la Vichomi upande wa Kushoto, nikikaa kwa mda mrefu sana, kichomi kinauma, nikilala au kupumzika vinaacha kuuma. Nilienda kupima nikaambiwa sina titizo, Sijui shida ni nini hapa?
  6. S

    Tatizo la nchi nyingi ni vyombo vya ulinzi na usalama na sio wanasiasa

    Hili ndio tatizo: Kulinda wauaji, majizi na mafisadi hata kama yanagharimu nchi na watu wake Huu mfumo una nguvu katika nchi za hovyo hovyo na kidogo umedhibitiwa katika nchi zilizostaarabika zinazoheshimu raia wake na zenye mifumo inayolinda maliasili za nchi dhidi ya ujambazi wa viongozi...
  7. Traxtion

    Hivi hili tatizo la njaa Afrika hatuwezi kulimaliza sisi wenyewe?

    Mara nyingi tunaona nchi kama Sudan South Sudan Chad Somalia Burundi Madagascar And some parts of Nigeria Kenya Ethiopia Kila mwaka lazima usikie kutoka hizi nchi kuwa millions wanaface hunger. Kwa nini AU wasijadili jinsi ya kumaliza hili tatizo? Mfano Tanzania huku huwezi kusikia...
  8. Al maktoum

    Mkono wa kushoto wa rais Museveni una tatizo gani?!

    Kwanini mkono wa kushoto wa Museveni haunyooki vizuri, au ni bandia?
  9. Al maktoum

    Mkono wa kushoto wa rais Museveni una tatizo gani?!

    Kwanini mkono wa kushoto wa Museveni haunyooki vizuri, au ni bandia?
  10. tpaul

    Vibinti vya 2000 ni tatizo; mdau kapigwa huku!

    Onyo! Kaa mbali na vitoto vya 2000; visipokutegua nyonga vitakufilisi! Sitaki kuwapotezea muda, hebu msikilize mhusika mwenyewe alichotendewa na kinda wa 2000: MAONI YANGU Jamani hawa watoto wa 2000 sio wa kuhongwa vitu vikubwa kama fedha (e.g. Tsh 400,000) au smartphone. Hawa saizi yao ni...
  11. K

    Tatizo kubwa CCM haijiamini kama Chama tena! ndiyo maana wanatumia dola

    Tatizo kubwa CCM haijiamini kama Chama tena! ndiyo maana wanatumia dola . Yaani wameshidwa kushindana kwa hoja za maendeleo na makada na viongozi wengi hawana vipaji vya kushinda kwa hoja. Kingine wamempa nguvu sana mwenyekiti kiasi kwamba sasa wanawekwa machawa na ndugu watupu na kwasababu...
  12. Kipenzi Changu

    Kamati ya kumfungia Diara mko wapi? Kama tatizo ni posho nitawalipa

    Huwezi kutoka kwenu Mali kuja hapa kutukana watu na kukoromea marefa. Afungiwe haraka sana kuanzia mechi tano. Mnasuburi nini mpaka muda huu? Kama hamna posho za kikao, semeni mimi nitawalipa
  13. Vincenzo Jr

    Vodacom kuna tatizo gani?

    Wakuu kwa ambae kanunua umeme,luku jana na leo kwa kutumia voda simshauri kuna tatizo kubwa sana huko voda watu tulionunua umeme jana leo tunalia na kusaga meno pesa zetu hazijarudishwa kampuni ishaanza wizi hii
  14. M

    Je, hili linaweza kuwa tatizo gani la saikolojia?

    Hivi ili linaweza kuwa tatizo gani la saikolojia? Mtu kuwa uuongo sana yaani anadanganya kupitia kiasi. Kushindwa kujitambua ( yaani kuwa mtu ambaye anashindwa kudadavua mambo yake mwenyewe au kujisimamia ) Kuwa mtu mwenye wivu wa kupita kiasi, Mchonganishi, Mpenda sifa sana na kuongea kupita...
  15. A

    KERO Tatizo la Ukosefu wa Maji Kibaha kwa Mfipa; Mtaa wa Simbani

    Tatizo la maji kwa sisi wakazi wa Kibaha – Mfipa, mtaa wa Simbani limekuwa kubwa sana. Maji yanatoka mara moja au mbili tu kwa wiki tena usiku wa manane wakati tumelala , na wakati mwingine hayatoki kabisa. Hii inaleta usumbufu mkubwa kwa wananchi. Maji ni hitaji la msingi kwa maisha ya kila...
  16. Traxtion

    Sababu kwa nini Ulaya ina tatizo dogo sana la ajira

    Hizi ndio sababu kwa nini tatizo la ajira sio kubwa sana Ulaya 1. Ulaya ina makampuni mengi sana Nchi nyingi za Ulaya kama Germany, United Kingdom, France nkzina makampuni mengi sana makubwa kama BMW, Siemens, Volkswagen nk Makampuni haya yanatoa mamilioni ya ajira, direct na indirect 2...
  17. Tundusami

    Mwanamke anavaa shanga na hajui kukatika ni matumizi mabaya ya shanga

    Raha ya shanga mwanamke ajue kuzungusha kiuno asa unakuta mwanamke kavaa shanga afu kitandani gogo miuno zero.
  18. Godoro la kioo

    Ikifika Hatua kama hii ujue Tatizo ni kubwa kuliko kawaida

  19. Solo Traveller

    Msaada: Nimepata majanga ya majina ajira portal

    Jina langu katika cheti cha kuzaliwa ni BAHATI NJEMA DAIMA JINA LANGU KWENYE KITAMBULISHO CHA NIDA NI BAHATI NJEMA DAIMA. JINA LANGU KWENYE CHETI CHA FORM FOUR NI BAHATI N DAIMA JINA LANGU KWENYE CHETI CHA FORM SIX NI BAHATI N DAIMA JINA LANGU KWENYE CHETI CHA SHAHADA NI BAHATI N DAIMA...
Back
Top Bottom