mbezi beach

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. figganigga

    Dar: Risasi zinarindima Mbezi beach muda huu

    Risasi zinarindima Mbezi beach muda huu karibu na kwa Dr. Hiza. Yaani mitutu inalia hadi raha. Utadhani 29.10.2025. Je, ni Polisi au Majambazi.. Yaani jamaa wanapiga mtutu hata hawaogopi..
  2. A

    Wafanyakazi wa BCEG Mbezi Beach tunashukuru Mamlaka Kufanyia Kazi Malalamiko yetu

    Siku chache zilizopita tuliwasilisha malalamiko kuhusu changamoto tulizokuwa tunakumbana nazo katika eneo letu la kazi la BCEG Mbezi Beach, ikiwemo madai ya makato ya michango ya NSSF kutowasilishwa pamoja na masuala mengine ya ustawi wa wafanyakazi. Hoja ya awali ~ Waziri wa Ujenzi na RC wa...
  3. Kitomai

    NYUMBA YA GHOROFA INAUZWA – MBEZI BEACH

    Je, unatafuta nyumba yenye eneo kubwa na fursa ya kuikamilisha kulingana na mahitaji yako? Hii ndiyo nafasi yako! ✅ Eneo: Mbezi Beach ✅ Ujenzi umekamilika kwa 80% ✅ Ukubwa wa kiwanja: Square mita 1,400 💰 Bei: TSh 600,000,000 (Mazungumzo yapo) Usikose fursa hii ya kupata nyumba katika eneo lenye...
  4. A

    RESOLVED KERO Waziri wa Ujenzi na RC wa Dar tusaidieni Wafanyakazi BCEG Mbezi Beach tunakatwa NSSF lakini hazipelekwi

    Kero yetu sisi wafanyakazi wa Kampuni ya BCEG Construction. Tunaomba Waziri wa Ujenzi au Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam afike kwenye mradi wetu uliopo Mbezi Beach, karibu na Ramada au Whitesands—ni mradi wa waste water treatment. Kuna mambo mengi yanayoendelea hapa ambayo siyo sahihi, na hatuna...
  5. complex31

    KERO DAWASA, Maji yana viambatanisho gani?

    Habari, Kwa takribani miezi miwili kwa vipindi tofauti tofauti maji ya DAWASA upande wa Mbezi Beach yamekuwa yakitoka na rangu nyeusi au yawe machafu ambapo ukikinga kwenye ndoo au tank baada ya muda kuna mchanga/ udongo “una-Settle” kwa chini kwa chombo ulichokikingia. Mbali na hayo mimi...
  6. P

    KERO Hii foleni Mbezi Beach barabara ya chini ni kiboko, hadi bajaji na baiskeli zinakwama!

    Wakuu, ushaona foleni hadi bodaboda inakwama sehemu inabidi isubiri gari zisogee? Sasa huku ni hizo gari chache ambazo zinatoka Mbezi juu, hali ya huko si ndio italuwa balaa? Na hii si asubuhi wala jioni, hakuna afadhali, ukizingatia barabara ni ndogo. Yote haya ni kufanya ujenzi bila plan ya...
  7. Traxtion

    Mbezi Beach pamepangiliwa vizuri. Wizara ya Ardhi kwanini hamuwezi kusimamia maeneo mengine yakapangika hivi?

    Naangalia aerial view ya Mbezi Beach naona pamepangiliwa vizuri Kilichobaki ni Kuweka barabara za lami mitaani kote Kuweka taa za barabarani Kuweka closed drainage system Kila mtaa Tanzania ungepangika hivi ingependeza sana Aerial view:
  8. Jidu La Mabambasi

    Mwenyekiti Serikali ya mtaa Mbezi Beach Ndumbwi aongoza wananchi kuzima mto kwenye nyumba iliyokuwa ikiungua

    Katika hali isiyo ya kawaida, Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa, Ndumbwi, Mbezi Beach kata ya Kawe amefanya kitendo cha kijasiri kwa ku mobilize wananchi kuzima moto nyumba iliyokuwa inaungua. Mwenyekiti huyo, Shabami Muya mara baada ya kusikia moto sehemu ya barabara ya kuelekea Baraza la...
  9. P

    Mwigulu na Lukuvi wangekuwa wanaishi majimboni mwao kusingekuwa na foleni ya kufa mtu leo Mikocheni, Mbezi Beach!

    Wakuu, nimejawa na hasira tu na hii foleni kuanzia Mikocheni mpaka Mbezi Beach, kumeshona balaa, ukisogea hatua moja ndo unalala hapo hapo mpaka unasahau kama upo kwenye chombo cha usafiri Yote sababu Mwigulu na Lukuvi makazi yao ni Mbezi Beach. Hao wananchi kwenye majimbo yao wanahudumiwa saa...
  10. figganigga

    Kuna milio kama risasi inasikika Mbezi beach

    Kuna milio kama risasi inasikika Mbezi beach Kuna nini au ni baruti?
  11. Bosspraise

    Mbezi beach plot for sale

    Mbezi beach plot for sale SQM 2800 Price. 400 millions 0742892195 Call WhatsApp #tanzaniarealestate #mbezibeachplotforsale#viwanja#mbezibeachviwanja#plots#tanzaniaplots#realestates#viwanjambezibeach#viwanjavilivyopimwa#
  12. Dalali_wa_kimataifa

    Kiwanja cha ufukweni kinauzwa Mbezi beach, Dar es Salaam, Tsh milioni 1.5 (punguzo lipo)

    #beachplotforsale Beach plot inauzwa ipo mbezi beach barabara ya chini - Plot size 3,600 sqm - Ina hati miliki - Panafaa kujenga apartments, villas, hotel - Bei Usd 1.5mil 🇹🇿Call/WhatsApp +255758844717
  13. Dalali_wa_kimataifa

    House for sale in Tanzania

    #houseforsale Nyumba ya Ghorofa inauzwa 📍IPO Mbezi Beach - Kilongawima Location Nyumba inagusa lami ya Mbezi Beach ya chini kwa Mwamunyange Nyumba ya Ghorofa Ina vyumba v6 vya kulala, v4 master bedrooms, study room, dining room, sitting room na public toilet. Servant Quarter 1 Ina one...
  14. Dalali_wa_kimataifa

    NYUMBA INAPANGISHWA,IPO MBEZI BEACH🇹🇿

    #rent #STAND_ALONE HOUSE IKO-DAR-ES-SALAAM Tz MAHALI- MBEZI BEACH UPANDE WA CHINI ——————————————————— KODI USD 1300$/=KWA MWEZI ________________ MALIPO YA MIEZI 6 ————- IKO PEKE YAKE KWENYE FENSI _________________ KUBWA YA KIFAMILIA ______ YENYE:- Vyumba vinne vya kulala, # Master #Ac...
  15. Dalali_wa_kimataifa

    4BEDROOM FOR RENT,LOCATED AT MBEZI BEACH 🇹🇿

    #rent #STAND_ALONE HOUSE IKO-DAR-ES-SALAAM Tz MAHALI- MBEZI BEACH UPANDE WA CHINI ——————————————————— KODI USD 1300$/=KWA MWEZI ________________ MALIPO YA MIEZI 6 ————- IKO PEKE YAKE KWENYE FENSI _________________ KUBWA YA KIFAMILIA ______ YENYE:- Vyumba vinne vya kulala, # Master #Ac...
  16. Dalali_wa_kimataifa

    4bedroom for rent, located at Mbezi Beach

    #rent #STAND_ALONE HOUSE IKO-DAR-ES-SALAAM Tz MAHALI- MBEZI BEACH UPANDE WA CHINI ——————————————————— KODI USD 1300$/=KWA MWEZI ________________ MALIPO YA MIEZI 6 ————- IKO PEKE YAKE KWENYE FENSI _________________ KUBWA YA KIFAMILIA ______ YENYE:- Vyumba vinne vya kulala, # Master #Ac...
  17. P

    Mtaro mbele ya Shule ya Talantah International (Mbezi Beach) umezibuliwa, TARURA boresheni na barabara za mtaani

    Salaam Wakuu, Ule mtaro uliokuwa umeziba maji wazibua, maji yalikuwa yametuama na kusababisha kero kubwa yameweza kwenda. Hii isiishie hapo. Barabara ya eneo hilo itengenezwe, na njia za mitaani pia zifanyiwe kazi. Zege mtaani haliwashindi bwana. Yaani mvua ikinyesha kidogo tu tunataabika...
  18. Dalali_wa_kimataifa

    House4Sale Nyuma inauzwa (Beach House) Mbezi Beach Kidimbwi

    BEACH HOUSE FOR SALE LOCATION: MBEZI BEACH, KIDIMBWI Nyumba ina vyumba 8, Vyumba vi4 juu, kitchen na sebule. Vyumba vi4 chini, kitchen na sebule. Vyumba vi4 master. Kuna quota Ina vyumba viwili, (kimoja master), sebule, choo. SQM 1,742 BEI; $Million 1.7 Hati miliki ipo. Karibuni...
  19. Dalali_wa_kimataifa

    Beach House for sale, located at Mbezi Beach Kidimbwi, Price $1.7M Negotiable

    BEACH HOUSE FOR SALE LOCATION: MBEZI BEACH, KIDIMBWI Nyumba ina vyumba 8, Vyumba vi4 juu, kitchen na sebule. Vyumba vi4 chini, kitchen na sebule. Vyumba vi4 master. Kuna quota Ina vyumba viwili, (kimoja master), sebule, choo. SQM 1,742 BEI; $Million 1.7 Hati miliki ipo. Karibuni sana...
  20. Dalali_wa_kimataifa

    Beach haouse for sale,located at Mbezi beach tanzania, price 💲1.7m, negotiable

    BEACH HOUSE FOR SALE LOCATION: MBEZI BEACH, KIDIMBWI Nyumba ina vyumba 8, Vyumba vi4 juu, kitchen na sebule. Vyumba vi4 chini, kitchen na sebule. Vyumba vi4 master. Kuna quota Ina vyumba viwili, (kimoja master), sebule, choo. SQM 1,742 BEI; $1.7million mazungumzo yapo Hati miliki...
Back
Top Bottom