Kero yetu sisi wafanyakazi wa Kampuni ya BCEG Construction. Tunaomba Waziri wa Ujenzi au Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam afike kwenye mradi wetu uliopo Mbezi Beach, karibu na Ramada au Whitesands—ni mradi wa waste water treatment. Kuna mambo mengi yanayoendelea hapa ambayo siyo sahihi, na hatuna...
Anonymous
Thread
beach
dar
haki
mbezimbezibeach
tusaidieni
ujenzi
wafanyakazi
walilia
waziri
waziri wa ujenzi
Habari,
Kwa takribani miezi miwili kwa vipindi tofauti tofauti maji ya DAWASA upande wa Mbezi Beach yamekuwa yakitoka na rangu nyeusi au yawe machafu ambapo ukikinga kwenye ndoo au tank baada ya muda kuna mchanga/ udongo “una-Settle” kwa chini kwa chombo ulichokikingia.
Mbali na hayo mimi...
Wakuu, ushaona foleni hadi bodaboda inakwama sehemu inabidi isubiri gari zisogee?
Sasa huku ni hizo gari chache ambazo zinatoka Mbezi juu, hali ya huko si ndio italuwa balaa? Na hii si asubuhi wala jioni, hakuna afadhali, ukizingatia barabara ni ndogo.
Yote haya ni kufanya ujenzi bila plan ya...
Naangalia aerial view ya Mbezi Beach naona pamepangiliwa vizuri
Kilichobaki ni
Kuweka barabara za lami mitaani kote
Kuweka taa za barabarani
Kuweka closed drainage system
Kila mtaa Tanzania ungepangika hivi ingependeza sana
Aerial view:
Katika hali isiyo ya kawaida, Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa, Ndumbwi, Mbezi Beach kata ya Kawe amefanya kitendo cha kijasiri kwa ku mobilize wananchi kuzima moto nyumba iliyokuwa inaungua.
Mwenyekiti huyo, Shabami Muya mara baada ya kusikia moto sehemu ya barabara ya kuelekea Baraza la...
Wakuu, nimejawa na hasira tu na hii foleni kuanzia Mikocheni mpaka Mbezi Beach, kumeshona balaa, ukisogea hatua moja ndo unalala hapo hapo mpaka unasahau kama upo kwenye chombo cha usafiri
Yote sababu Mwigulu na Lukuvi makazi yao ni Mbezi Beach. Hao wananchi kwenye majimbo yao wanahudumiwa saa...
Mbezi beach plot for sale
SQM 2800
Price. 400 millions
0742892195
Call WhatsApp
#tanzaniarealestate #mbezibeachplotforsale#viwanja#mbezibeachviwanja#plots#tanzaniaplots#realestates#viwanjambezibeach#viwanjavilivyopimwa#
#houseforsale
Nyumba ya Ghorofa inauzwa 📍IPO Mbezi Beach - Kilongawima
Location Nyumba inagusa lami ya Mbezi Beach ya chini kwa Mwamunyange
Nyumba ya Ghorofa Ina vyumba v6 vya kulala, v4 master bedrooms, study room, dining room, sitting room na public toilet.
Servant Quarter 1 Ina one...
#rent
#STAND_ALONE HOUSE
IKO-DAR-ES-SALAAM Tz
MAHALI- MBEZI BEACH UPANDE WA CHINI
———————————————————
KODI USD 1300$/=KWA MWEZI
________________
MALIPO YA MIEZI 6
————-
IKO PEKE YAKE KWENYE FENSI
_________________
KUBWA YA KIFAMILIA
______
YENYE:-
Vyumba vinne vya kulala, # Master #Ac...
#rent
#STAND_ALONE HOUSE
IKO-DAR-ES-SALAAM Tz
MAHALI- MBEZI BEACH UPANDE WA CHINI
———————————————————
KODI USD 1300$/=KWA MWEZI
________________
MALIPO YA MIEZI 6
————-
IKO PEKE YAKE KWENYE FENSI
_________________
KUBWA YA KIFAMILIA
______
YENYE:-
Vyumba vinne vya kulala, # Master #Ac...
#rent
#STAND_ALONE HOUSE
IKO-DAR-ES-SALAAM Tz
MAHALI- MBEZI BEACH UPANDE WA CHINI
———————————————————
KODI USD 1300$/=KWA MWEZI
________________
MALIPO YA MIEZI 6
————-
IKO PEKE YAKE KWENYE FENSI
_________________
KUBWA YA KIFAMILIA
______
YENYE:-
Vyumba vinne vya kulala, # Master #Ac...
Salaam Wakuu,
Ule mtaro uliokuwa umeziba maji wazibua, maji yalikuwa yametuama na kusababisha kero kubwa yameweza kwenda. Hii isiishie hapo.
Barabara ya eneo hilo itengenezwe, na njia za mitaani pia zifanyiwe kazi. Zege mtaani haliwashindi bwana. Yaani mvua ikinyesha kidogo tu tunataabika...
BEACH HOUSE FOR SALE
LOCATION: MBEZI BEACH, KIDIMBWI
Nyumba ina vyumba 8,
Vyumba vi4 juu, kitchen na sebule.
Vyumba vi4 chini, kitchen na sebule.
Vyumba vi4 master.
Kuna quota Ina vyumba viwili, (kimoja master), sebule, choo.
SQM 1,742
BEI; $Million 1.7
Hati miliki ipo.
Karibuni...
BEACH HOUSE FOR SALE
LOCATION: MBEZI BEACH, KIDIMBWI
Nyumba ina vyumba 8,
Vyumba vi4 juu, kitchen na sebule.
Vyumba vi4 chini, kitchen na sebule.
Vyumba vi4 master.
Kuna quota Ina vyumba viwili, (kimoja master), sebule, choo.
SQM 1,742
BEI; $Million 1.7
Hati miliki ipo.
Karibuni sana...
BEACH HOUSE FOR SALE
LOCATION: MBEZI BEACH, KIDIMBWI
Nyumba ina vyumba 8,
Vyumba vi4 juu, kitchen na sebule.
Vyumba vi4 chini, kitchen na sebule.
Vyumba vi4 master.
Kuna quota Ina vyumba viwili, (kimoja master), sebule, choo.
SQM 1,742
BEI; $1.7million mazungumzo yapo
Hati miliki...
GHOROFA LINA UZWA
LOCATION:KALIAKOO
MTAA WA KIUNGANI STREET
Kuna vyumba 10 floor no 1
Floor no 2 Ina vyumba 10
Ground floor Ina flem 10
Mbele zipo flem 3 nyuma zipo flem 7
Na kuna Godown 1
Eneo lite lina SQm 290
BEI NI Bilion 2.5 tish maongezi kidogo sana
Mtaa mzur sana kwa biashara yeyote ile...
Salam wanajukwaa..
Kichwa cha mada chajieleza!
Nahitaji kuhamisha mtoto wangu toka kwenye shule moja ambayo sifurahishwi nayo hata kidogo..haiwezekani shule ikaitwa English medium wakati watoto muda wote wanabonga lugha ya taifa shuleni na hawana uwezo kabisa wa kutema yai mpaka wanamaliza...
Mwana JF Steven Msaki ambaye ID yake siikumbuki ika najua ni member humu amefariki dunia
Kwa waliokulia masaki miaka ya 2000 kushuka chini,au Mbezi Beach miaka ya 2000 kuendlea wanamfahamu huyu mwamba
Alikulia familia ya kishua mboga saba tangu miaka ya 90s, mzee wake alikuwa Don sana lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.