Kwanini Mbezi beach imepoteza umaarufu wake iliyokuwa nao miaka ya nyuma?

6 Pack

JF-Expert Member
Apr 17, 2022
1,826
4,074
Habari wana jamii forum?

Kuanzia miaka ya elfu mbili kushuka chini, eneo la Mbezi beach lilikuwa ni kati ya maeneo machache ya jiji la Dar es salaam ambayo yalikuwa na umaarufu mkubwa kama vile ilivyokuwa Masaki, Osterbay, Sinza nk.

Hii ilipelekea watu wengi hasa wa mikoani wakisikia neno Mbezi, basi akili au mawazo yao yanaenda moja kwa moja kwenye Mbezi beach. Japo Mbezi ya Kimara ilikuwepo, lakini watu hawakuwa wakiifahamu kivile kama inavyofahamika leo.

Sasa hali imekuwa ni tofauti, Mbezi ya Kimara imetokea kuwa na umaarufu mkubwa hadi kupelekea Mbezi beach kusahaulika. Leo hii mfano ukiwa mikoani ukazungumzia neno Mbezi bila kuweka hilo neno beach mbele basi kila mtu akili na mawazo yake yataenda kwa Mbezi ya Kimara kama vile mbezi luis, mbezi mwisho, mbezi magufuli nk.

Je, ni nini chanzo cha umaarufu wa mbezi kuibuka ghafla tofauti na hapo zamani?

Nawasilisha
 
Sio kweli,katika sehemu ambazo zimepoteza ushawishi ni masaki.masaki kuna jina kubwa lakini uhalisia ni tofauti.majengo ya kizamanu na hayashtui.
Lakini mbezi bado ni ya moto,ina jina linaendana na uhalisia,kumetulia na kumekaa kishua.

Japo kwa sasa,sehemu ambayo inakoroma ni mbweni,kule kama una ugonjwa wa moyo sikushauri ufike.
 
Sio kweli,katika sehemu ambazo zimepoteza ushawishi ni masaki.masaki kuna jina kubwa lakini uhalisia ni tofauti.majengo ya kizamanu na hayashtui.
Lakini mbezi bado ni ya moto,ina jina linaendana na uhalisia,kumetulia na kumekaa kishua.

Japo kwa sasa,sehemu ambayo inakoroma ni mbweni,huku kama una ugonjwa wa moyo sikushauri ufike.
Mitaa niliyokuwa naiyogopa ni kunduchi na msasani nadhani mpaka sasa inakimbiza..
 
Sio kweli,katika sehemu ambazo zimepoteza ushawishi ni masaki.masaki kuna jina kubwa lakini uhalisia ni tofauti.majengo ya kizamanu na hayashtui.
Lakini mbezi bado ni ya moto,ina jina linaendana na uhalisia,kumetulia na kumekaa kishua.

Japo kwa sasa,sehemu ambayo inakoroma ni mbweni,huku kama una ugonjwa wa moyo sikushauri ufike.
Mkuu ufafanuzi, Mbweni kuna nini? Na kwann mgonjwa wa moyo asifike??
 
Habari wana jamii forum?

Kuanzia miaka ya elf mbili kushuka chini, eneo la Mbezi beach lilikuwa ni kati ya maeneo machache ya jiji la Dar es salaam ambayo yalikuwa na umaarufu mkubwa kama vile ilivyokuwa Masaki, Osterbay, Sinza nk.

Hii ilipelekea watu wengi hasa wa mikoani wakisikia neno Mbezi, basi akili au mawazo yao yanaenda moja kwa moja kwenye Mbezi beach. Japo Mbezi ya Kimara ilikuwepo, lakini watu hawakuwa wakiifahamu kivile kama inavyofahamika leo.

Sasa hali imekuwa ni tofauti, Mbezi ya Kimara imetokea kuwa na umaarufu mkubwa hadi kupelekea Mbezi beach kusahaulika. Leo hii mfano ukiwa mikoani ukazungumzia neno Mbezi bila kuweka hilo neno beach mbele basi kila mtu akili na mawazo yake yataenda kwa Mbezi ya Kimara kama vile mbezi luis, mbezi mwisho, mbezi magufuli nk.

Je ni nini chanzo cha umaarufu wa mbezi kuibuka ghafla tofauti na hapo zamani?

Nawakilisha
hapo dar kuna sehemu inakuja kuvunjwa yote bado mipango miji wanavuta kasi
 
Habari wana jamii forum?

Kuanzia miaka ya elf mbili kushuka chini, eneo la Mbezi beach lilikuwa ni kati ya maeneo machache ya jiji la Dar es salaam ambayo yalikuwa na umaarufu mkubwa kama vile ilivyokuwa Masaki, Osterbay, Sinza nk.

Hii ilipelekea watu wengi hasa wa mikoani wakisikia neno Mbezi, basi akili au mawazo yao yanaenda moja kwa moja kwenye Mbezi beach. Japo Mbezi ya Kimara ilikuwepo, lakini watu hawakuwa wakiifahamu kivile kama inavyofahamika leo.

Sasa hali imekuwa ni tofauti, Mbezi ya Kimara imetokea kuwa na umaarufu mkubwa hadi kupelekea Mbezi beach kusahaulika. Leo hii mfano ukiwa mikoani ukazungumzia neno Mbezi bila kuweka hilo neno beach mbele basi kila mtu akili na mawazo yake yataenda kwa Mbezi ya Kimara kama vile mbezi luis, mbezi mwisho, mbezi magufuli nk.

Je ni nini chanzo cha umaarufu wa mbezi kuibuka ghafla tofauti na hapo zamani?

Nawakilisha


Maskini wameish mbezi mda wote
 
Habari wana jamii forum?

Kuanzia miaka ya elf mbili kushuka chini, eneo la Mbezi beach lilikuwa ni kati ya maeneo machache ya jiji la Dar es salaam ambayo yalikuwa na umaarufu mkubwa kama vile ilivyokuwa Masaki, Osterbay, Sinza nk.

Hii ilipelekea watu wengi hasa wa mikoani wakisikia neno Mbezi, basi akili au mawazo yao yanaenda moja kwa moja kwenye Mbezi beach. Japo Mbezi ya Kimara ilikuwepo, lakini watu hawakuwa wakiifahamu kivile kama inavyofahamika leo.

Sasa hali imekuwa ni tofauti, Mbezi ya Kimara imetokea kuwa na umaarufu mkubwa hadi kupelekea Mbezi beach kusahaulika. Leo hii mfano ukiwa mikoani ukazungumzia neno Mbezi bila kuweka hilo neno beach mbele basi kila mtu akili na mawazo yake yataenda kwa Mbezi ya Kimara kama vile mbezi luis, mbezi mwisho, mbezi magufuli nk.

Je ni nini chanzo cha umaarufu wa mbezi kuibuka ghafla tofauti na hapo zamani?

Nawakilisha
Mtu unaanzaje kuishi Mbezi Beach? Umekuwa mvuvi?
 
Back
Top Bottom