bahati

David Bahati (born 8 June 1973) is a Ugandan accountant and politician. He is the State Minister of Finance for Planning in the Cabinet of Uganda. He was appointed to that position in a cabinet reshuffle on 1 March 2015, replacing Matia Kasaija. He is a Member of Parliament for the constituency of Ndorwa West in the Parliament of Uganda and is a member of the National Resistance Movement, the ruling party. He is chief of the Scout Board of Uganda.

View More On Wikipedia.org
  1. nipo online

    JamiiForums Tanzania Hivi duniani kuna bahati? Nini maana ya bahati?

    Nimewasikia watu Wakisema dah huyu jamaa ana bati sana, hii ni mara baada ya kufanikiwa katika jambo fulani. Hivi ni kweli watu wana bahati au ni kwa sababu ya kupambana
  2. Baba mtakatifu91

    JamiiForums Tanzania Nimenunua vocha ya 50,000 kwa bahati mbaya

    DFPEB1IXRZ Imethibitishwa. Tsh50000.00 imetumwa kwa J4U M-PESA tarehe 25/6/26 saa 4:38 PM. Salio lako la M-Pesa ni Tsh27,824.24. Nilikuwa naunga bundle la wiki 2 la 5000 ila cha ajabu nimezidisha 0 moja. Wakuu imeniuma sana.
  3. Moto wa volcano

    JamiiForums Tanzania Hakuna mtu anaongea neno kwa bahati mbaya

    Maneno huwa hayamtoki mtu bure ujue ni sehemu ya mawazo yake na moyo wake ulivyo. Ndioomaana ukisikia lugha za hatari kutoka kwa mtu chukua tahadhari naye mapema , mtu anapimwa kwa matendo na maneno yake. "KINYWA CHA MTU KINANENA YALE YA UJAZAYO MOYO WAKE " YESU
  4. N

    JamiiForums Tanzania Mti wa mdula/ndulele mzizi wake ukiweka mdomoni una leta bahati??

    Mti wa mdula/ndulele mziziwake ukiweka mdomoni una leta bahati??
  5. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Salio lako ndio huamua kama Serikali ni nzuri au mbaya

    Ukiwa na hela, ukiona watu wamejazana kwenye mahoteli wanakula bata unasema Uchumi unapiga hatua, watu wana pesa. Ukiwa huna hela unasema Hawa raia wanatoa wapi hela wakati hali ni mbaya hivi? Ukiwa na hela, mafuta yakipanda bei unasema Hii ni hali ya soko la dunia Ukiwa huna hela unakuwa na...
  6. Jack Daniel

    JamiiForums Tanzania Maisha mazuri hayaji Kwa bahati ni mipango na nidhamu

    Khaaah!! Yaani umekaa zako unadhani mafanikio ya watu ni bahati,siyo kweli. Ni kwamba bahati humkuta aliye tayari kwenye circle na angle sahihi. MAISHA siyo nadharia eti ujifunze mbinu za kutafuta pesa Kwa kusoma kitabu ulichonunua mtaani Kwa buku kumi.yaani mtu apoteze mamilioni ya Ada...
  7. ufalmedigital

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, Football Predictions ni bahati tu au ni Analysis ya Kitaalamu?

    Kila siku mamilioni ya watu duniani hufuatilia football predictions wakitumaini kupata ushindi mkubwa. Lakini ukweli ni kwamba bettors wengi wanaofanikiwa kwa muda mrefu hutegemea analysis, statistics, team form, injuries, motivation, na match trends badala ya kubashiri kwa bahati pekee. Soma...
  8. Stability

    JamiiForums Tanzania Ongezeko na video za shughuli za wadada kushereheshwa na mashoga sio ishu ya bahati mbaya, ni mpango mzima wa kudhalilisha uanaume halisia.

    Kumbuka zile shughuli zinafanywa na masingo maza, michepuko ya watu, wadada wanaojiuza, wadada wasio na kazi, etc na watu wa aina hii adui namba moja wao ni mwanaume kutokana na kila mmoja aliathrika vp na mwanaume katika pita pita zake. Sasa ikitokea kuna mashoga wanawafahamu wanahakikisha...
  9. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Mbunge Bahati Ndingo Aishinikiza Serikali Kuharakisha Fidia kwa Wananchi Walioathiriwa na Upanuzi wa Hifadhi

    Mbunge wa Mbarali, Bahati Ndingo, ameitaka serikali kuharakisha malipo ya fidia kwa wananchi wa jimbo lake walioathiriwa na upanuzi wa mipaka ya hifadhi ulioingia kwenye maeneo yao. Akichangia hotuba ya Wizara ya Maliasili na Utalii bungeni Dodoma, Ndingo amesema mchakato wa fidia kwa wananchi...
  10. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni Bahati Mbaya Wengi Hawajui Utimizo wa Unabii wa Biblia Kuhusu Matukio ya Dunia, Mfano hii Vita-Iran

    Niwakumbushe tu kuwa kama wewe unaiamini Biblia na Unabii wake, utakuwa umegundua kuwa inakubidi uijue historia ya matukio halisi ya wanadamu yalivyotokea hapo nyuma na kuhusisha na kile Biblia iliandika. Kuna Unabii ktk Agano la Kale zilitimizwa vipindi hivyo hivyo vya kale mfano Kuharibiwa...
  11. K

    JamiiForums Tanzania Rostam kunyamaza sio bahati mbaya!Analinda biashara zake

    Rostam kunyamaza sio bahati mbaya!Anaona mbali. Anajua mambo sio mazuri na asipokuwa makini naye anaweza kuhusishwa na kesi ya Mama ya mauaji huko EU. Lakini anaogopa kampuni zake zisiwekewe vikwazo akashidwa kuchukuwa mikopo au yeye binafsi bank account zake zinaweza kutaifishwa za huko nje...
  12. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimedumu naye kwenye Mahusiano miaka 3, leo anasema mwanaume atakayenioa ana bahati

    Habari wana JF, Kweli nimeamini kuna wakati tunatakiwa kuheshimu mawazo yetu ya awali hasa wakati tunapojaribu kufikiria jambo fulani linalotutatiza kiuhalisia. Katika maisha yangu niliamini kuwambali na wanaume kunaweza kunipa amani ya moyo na maisha kiujumla nikijikita katika kazi kujikimu...
  13. R

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Museveni: Wana bahati wafuasi wetu hawakupiga kura wote, vinginevyo kusingekuwepo na Upinzania Uganda

    Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, amejitetea juu ya ushindi wake katika uchaguzi wa urais, akisema kuwa ushindi wa asilimia 72 si ule aliyotarajia. Amefafanua kwamba chama chake kina wanachama zaidi ya milioni 21, kati ya hao milioni 18 wakiwa wapiga kura waliyojisajili, na kama wote wangepiga...
  14. R

    JamiiForums Tanzania Poppy H, ni mtu mwenye bahati sana kutibiwa hospitali Ile na kutoka salama

    Salaam! Kuna hospitali moja hapa mjini, hospitali hii hutibu watu special,wenye nguvu, Kuna baadhi wamewahi kuifananiasha hospitali hii na nyumba ya kuhifadhia wafu, sababu kuu ni kuwa, wachache sana waliingia humo kutibiwa wakiwa hai, hawakurudi wakiwa hai,bali wamekufa. Pongezi zimwendee...
  15. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Ikitokea umekula sumu bahati mbaya, nini cha kufanya?

    habari Natanguliza shukrani nauliza kama wataalamu mtatusaidia.
  16. Candela

    JamiiForums Tanzania Unaambiwa mauaji ya Oktoba 29 hayakuwa kwa bahati mbaya

    Mdau anasema yeye ni daktari aliekuwa likizo kabla ya uchaguzi. Alipokea SMS akielekezwa kurejea kazini kabla ya siku ya uchaguzi kwa ajili ya kujiandaa na wimbi kubwa la majeruhi litakalokuwepo siku hiyo. Mdau anaendelea kusema alikuwa akitoa risasi majeruhi na mda mwingine alilazimika...
  17. TIASSA

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna yeyote aliyewahi kushinda bahati nasibu ya Gesi ya Orxy?

    Ni miezi kazaa SASA tangu promosheni hii ya Gesi yente Kwangua ushinde imepita, ila sikuwa kusikia mtu kashinda hata kikombe, Kwa zile zawadi walizo weka pale kwenye ile sticker . Je, wakuu kuna yeyote aliyewahi kushinda?
  18. Fbn

    JamiiForums Tanzania Wanawake duniani mshapoteza bahati kuwa marais

    Hiyo ndoto kuwa mtakuja kuwa rahisi kaja kukatiza samuya. Msitarajie hata kwa bahati ya CDF mstaafu mabeyo. Kwa sasa tumeona nchi walizoshika wanawake na mwisho wa siku wengine wamehukumiwa kifo,jera na wengine wamaziua nchi kabisa. Kuna umuhimu sheria kuingiliwa upya maana uislamu uliona mbali.
  19. F

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Dr. Emmanuel Nchimbi ni mtu mwenye bahati sana

    Kwa kweli sitaongea mengi kuhusu jambo hili, ila itoshe kusema kuwa Dr. Emmanuel Nchimbi ni mtu mwenye bahati sana katika maisha yake na historia yake inaonesha nafasi nyingi kubwa za kiuongozi zimekuwa zikimfuata zenyewe bila yeye kufanya jitihada kubwa. Asanteni.
  20. Pakome

    JamiiForums Tanzania Kuna haja ya kuendelea kulinda Amani ya Taifa la Tanzania, Matatizo yanayotokea ni mkono unateleza bahati mbaya na kupelekea chupa ya Taifa kupasuka

    Kuna haja ya kuendelea kulinda Amani ya Taifa la Tanzania, Matatizo yanayotokea ni mkono unateleza bahati mbaya na kupelekea chupa ya Taifa kupasuka Tanzania ni Taifa bora sana duniani hasa pale linapolinganishwa kinidhamu, watu wake ni wapole na wakaribu na hii ndiyo sifa kubwa tuliyo nayo...
Back
Top Bottom