Mbezi is an administrative ward in the Kinondoni District of the Dar es Salaam Region of Tanzania. According to the 2002 census, the ward has a total population of 32,641.
JF
Nasikiliza hapa mpoto anawaelekezea wana Dar es Salaam, kuwa katika Ilani mpya ya CCM, chama kinatarajia kujenga barabara ya chini ( subway road ) kutokea Posta kuibukia Mbezi
Yaani unadumbukia Posta, unajikuta Mbezi
Kwa kweli MAMA mitano tena , nani kama CCM
Muwe na jioni njema
kama uko maeneo hayoo tuwasiliane kuna jamaa anahitaji madirisha makubwa matatu ya aina hii
Piga kwenye hii namba
0792797806
Robinson
Mulize kuna Magriill ya kutengeneza kibaha kwa Mathias akuelekeze jinso ya kufika
Habari wataalam.
Baada ya kujidunduliza sasa nimeamua niingie kwenye biashara yaani busines.
Naomba nipate japo ushauri kabla sijayamwaga haya mamilioni yangu.
Biashara ipi inalipa hapa Mbezi ya Magufuli - na eneo lote kwa ujumla?
Wadau, nikiwa na milion 60 mbezi mwisho au kibaha baada ya mbezi naweza jenga nyumba yenye chumba n seble yenye vyumba nane,kiwanja bei pembeni. Nisaidieni mawazo wakuu
Wakuu,
Naomba kuwasilisha kero inayowakabili wananchi wanaotumia usafiri wa daladala kutoka Mbezi kupitia Goba - Kawe na zile zinazoelekea Makumbusho.
Nyakati za asubuhi, kuna changamoto kubwa ya upatikanaji wa daladala. Magari yaliyopo kwenye ruti hii yanaonekana kuzidiwa uwezo, kiasi kwamba...
Mbezi beach plot for sale
SQM 2800
Price. 400 millions
0742892195
Call WhatsApp
#tanzaniarealestate #mbezibeachplotforsale#viwanja#mbezibeachviwanja#plots#tanzaniaplots#realestates#viwanjambezibeach#viwanjavilivyopimwa#
Kama unatafuta Social media manager nipo Dar es salaam, Mbezi
- nasimamia mitandao ya kijamii pia naweza kusimamia tovuti (website)
Mawasiliano: 0756704145
Unahitaji programu gani ya kompyuta nikupe (Windows OS peke yake)
Napatikana mkoa wa Dar es salaam, Mbezi
Mawasiliano: 0756704145
Kwa mahitaji ya kuweka Windows 10 OS Genuine gharama yake ni 20,000 Tsh
#rent
#STAND_ALONE HOUSE
IKO-DAR-ES-SALAAM Tz
MAHALI- MBEZI BEACH UPANDE WA CHINI
———————————————————
KODI USD 1300$/=KWA MWEZI
________________
MALIPO YA MIEZI 6
————-
IKO PEKE YAKE KWENYE FENSI
_________________
KUBWA YA KIFAMILIA
______
YENYE:-
Vyumba vinne vya kulala, # Master #Ac...
#rent
#STAND_ALONE HOUSE
IKO-DAR-ES-SALAAM Tz
MAHALI- MBEZI BEACH UPANDE WA CHINI
———————————————————
KODI USD 1300$/=KWA MWEZI
________________
MALIPO YA MIEZI 6
————-
IKO PEKE YAKE KWENYE FENSI
_________________
KUBWA YA KIFAMILIA
______
YENYE:-
Vyumba vinne vya kulala, # Master #Ac...
#rent
#STAND_ALONE HOUSE
IKO-DAR-ES-SALAAM Tz
MAHALI- MBEZI BEACH UPANDE WA CHINI
———————————————————
KODI USD 1300$/=KWA MWEZI
________________
MALIPO YA MIEZI 6
————-
IKO PEKE YAKE KWENYE FENSI
_________________
KUBWA YA KIFAMILIA
______
YENYE:-
Vyumba vinne vya kulala, # Master #Ac...
BEACH HOUSE FOR SALE
LOCATION: MBEZI BEACH, KIDIMBWI
Nyumba ina vyumba 8,
Vyumba vi4 juu, kitchen na sebule.
Vyumba vi4 chini, kitchen na sebule.
Vyumba vi4 master.
Kuna quota Ina vyumba viwili, (kimoja master), sebule, choo.
SQM 1,742
BEI; $Million 1.7
Hati miliki ipo.
Karibuni sana...
Habari Wana JF,
Kunajambo niliiona pale kituo kikuu Cha mabasi Cha magufuli mbezi kwanza nilikipenda kisha kikanishangaza ila kimenishawishi kukifanyia kazi.
Kuna siku nilikuwa safarini kuelekea mkoani nikiwa na kisimu changu mwenyewe maisha yanaenda nilipofika Mbezi nilikuwa nimechelewa sana...
Habari wakuu.
Eneo linauzwa Luguruni
Eneo linaangalia barabara kuu ya Morogoro Road.
Sqm 2789
Title Deed
Milion 550
Uwekezaji wowote unafaa sababu eneo linaangalia barabarani (MAIN ROAD)
📱0754693556
Mvua ambayo imenyesha maeneo mengi ya Dar es Salaam tangu jana (Mei 8, 2025) imesababisha foleni sehemu nyingi, hapa ni maeneo ya Kimara Mwisho, Stop Over hadi Ubungo Kijazi, kuna foleni kubwa na tumekaa hapa kwa zaidi ya saa moja sasa.
Hali hii sijui itaisha lini hata kama hakuna mvua kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.