dini

  1. H

    JamiiForums Tanzania DKT MWIGULU: SERIKALI KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA TAASISI ZA DINI KATIKA MAENDELEO YA TAIFA

    DKT MWIGULU: SERIKALI KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA TAASISI ZA DINI KATIKA MAENDELEO YA TAIFA Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu taasisi za dini likiwemo kanisa Katoliki katika kuimarisha huduma za kijamii, maendeleo na ustawi wa wananchi...
  2. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya Dini Katika Mgawanyo wa Madaraka

    https://youtu.be/Q_j7NyVC3YY?si=-X0zBb0EkA17D6K0
  3. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Mbinu 7 makini za kulea mtoto mazingira ya mjini

    MBINU 7 MAKINI ZA KULEA MTOTO MAZINGIRA YA MJINI Malezi ya mtoto katika mazingira ya mjini yamekuwa changamoto kubwa kwa wazazi wengi. Mtoto wa Mjini anakua katika dunia yenye mchanganyiko wa tamaduni, mitazamo, teknolojia, mitandao ya kijamii na makundi mbalimbali ya watu.Hii Tofauti na zamani...
  4. R

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Huu ndio uraia wake na dini yake

    Anasema, Ni mzanzibari na wala si Mtanganyika wa Dodoma, and therefore si Mgogo according to this information from this chap! With this information if true, ana sifa za kuwa na nafasi aliyopewa
  5. THE FIRST BORN

    JamiiForums Tanzania Kuanzia leo nisikie kiongozi wa dini anasema utawala hutoka mbinguni.

    Walah najiapiza siku hio nitajulikana.. Kama kweli uongozi unatoka kwa Mungu inawezekanaje yule mtu ambae..Mungu aliwaidhinisha wote akawapa kibali cha kuongoza leo analazimishwa kujiondoa!! How comes!! How is that possible?? AU kibali cha uongozi Mungu ambacho hua anatoa ni kwa Rais tu...
  6. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kabla ya maendeleo ya mitandao watu dini bongo walikuwa na chai za ajabu sana za kutisha watu

    Tukiwa Sekondari enzi mitandao ya kijamii haijasambaa sana Wanafunzi Waislamu maustadh kutoka Dar walileta kwa ushupavu mkubwa shuleni story ya watoto waliobadilika na kuwa mijusi wakubwa au viumbe wa ajabu baada ya kukojolea Quran. Walikuja na picha kabisa za hao viumbe waliobadilika kuwa...
  7. Yoda

    JamiiForums Tanzania Dini zina maelezo gani kuhusu binadamu wa jamii tofauti kuwa na rangi tofauti?

    Sijawahi kusikia au kusoma maelezo yoyote kuhusu kwa nini binadamu wengine wamekuwa Waafrika, Wazungu, Waarabu, Wahindi n.k ikiwa wote tulitoka kwa Adamu na Hawa.
  8. Kubwa la Maadui

    JamiiForums Tanzania Dini ilianza pale mjanja wa kwanza alipokutana na mjinga wa kwanza.

    Dini biashara yenye faida kubwa sana nje ya teknolojia, mafuta na madawa ya kulevya Wanafaika ni viongozi wa dini na kondoo ndo wateja wazuri na wakubwa Zinduka bado hujachelewa Taikuni la kuwastua wanaotapeliwa kiimani hasa wakristo Kubwa la Maadui
  9. de Gunner

    JamiiForums Tanzania Nafsi imesahaulika. (a rant).

    Ni hakika wote tunajua kuhusu utatu mtakatifu... Yaani the father, son and the holy spirit. Also hii ina direct coleration na Body, mind and soul.. Hizi ni dhana tu za kujaribu kuelezea kitu ambacho kimejulikana for millenials.. Body and mind huwa ni kama kitu kimoja maana zote zina operate...
  10. T

    JamiiForums Tanzania Ardhi yetu itufaidishe sisi kwanza kabla ya dini au wakoloni

    Angalia hii video
  11. a sinner saved by Christ

    JamiiForums Tanzania Lissu katika kutetea haki ni amewazidi, zaidi ya maaskofu, mapadre, wachungaji, mitume na manabii(viongozi wa dini)

    Katika kutetea IMANI yake ,Lisu ni muumini wa HAKI ,utawala wa sheria na katiba. Katika hili amewazidi viongozi wote wa dini. Kwa tafsiri yangu isiyo rasmi amewazidi UTAKATIFU hao wanaojiita mitime na manabii ,na MAFARISAYO WOTE waliokalia kiti cha Musa na kubeba fimbo ya HARUNI na kukaa viti...
  12. K

    JamiiForums Tanzania Dini ilivumbuliwa pale tapeli wa kwanza alipokutana na mjinga wa kwanza

    Habari za wakati huu Wakuu, Kuna usemi maarufu sana unaozunguka mtandaoni unaosema: "Religion was invented when the first con man met the first fool" (Dini ilivumbuliwa pale tapeli wa kwanza alipokutana na mjinga wa kwanza). Mara nyingi msemo huu unanasibishwa na mwandishi Mark Twain, lakini...
  13. BabaMorgan

    JamiiForums Tanzania Unakuta mtu ana roho mbaya na tabia za hovyo afu anajifanya mtu dini

    Watu wa namna hii wanashangaza Sana na kuumiza how come unajifanya innocent kumbe ni devil inside
  14. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Ripoti ya Utafiti: Dini ya Kikristo yapungua Duniani, Uislamu wafikia 26%

    Wale wenye dini zenu za Wazungu na Waarabu nawaletea utafiti Kwa mujibu wa ripoti ya BBC. Uislamu wakua kwa kasi duniani huku Ukristo ukipungua - Utafiti mpya === Utafiti mpya wa kituo cha Utafiti cha Pew umebaini kwamba Afrika ya jangwa la Sahara imelipiku bara Ulaya kama sehemu ilio na...
  15. Design Your Idea

    JamiiForums Tanzania Mzee Said, unaforce kutengeneza tatizo ambao halipo. Tz ilijijenga katika misingi ya kuheshimiana dini zetu. Wewe ni udini ndio unakusumbua.

    Mohamed Said Unatamani sana nchi hii ingekuwa chini ya caliphate, sasa kwa kuwa misingi ya dini katika siasa iliminywa na sera za nyeerere ili isipelekee taifa kugawanyika kidini na kugeuka kuwa lebanon sasa inapelekea kukuumiza sana kwa kudanganya watu kuwa TANU na nyerere waliua historia na...
  16. MIHAYO1710

    JamiiForums Tanzania Je, dini inaweza kuimarisha ujinga na umaskini?

    Wakuu, heshima kwenu. Lengo langu siyo kushambulia wala kudhalilisha, bali nikujaribu kuangalia uhalisia wa masuala ya ibada katika maisha halisi na matokeo yake. Tangu nikiwa kijana mdogo kabisa, nimeshiriki ibada fulani kila mwaka. "Ibada ya kubariki mbegu" Kwenye dhehebu langu. Kwenye...
  17. OMKEIT 93

    JamiiForums Tanzania Je, uwepo wa Dini ni sababu ya Afrika kutokuendelea?

    Kumekuwa na hoja inayorudiwa mara kwa mara kwamba Afrika imechelewa kimaendeleo kwa sababu watu wake wana dini nyingi, hasa Uislamu. Lakini je, hoja hiyo ina uzito wa kutosha, au ni njia rahisi ya kuficha sababu halisi za changamoto za maendeleo? Kwanza kabisa, ni muhimu kutofautisha kati ya...
  18. Miguel Felix Gallardo

    JamiiForums Tanzania Kungekuwa hakuna dini, binadamu walio wengi wangewehuka

    Ukifatilia kwa ukaribu dini zilianzishwa na GREAT ELITES purposefully kuja kuneutralize na kutoa hope kwenye mikwamo ya kila iitwayo leo kwenye maisha ya mwanadamu. Siku kama ya Ijumaa,jumamosi na jumapili watu wapo bize na kupayuka,wengine wanaimba kwa nguvu kwa matarajio na imani kwamba mambo...
  19. H

    JamiiForums Tanzania Kwanini waumini masikini wasitibiwe au kusoma bure kwenye hospitali na shule za dini

    Habarini, Yaani waumini wa kiafrika waliowengi ni maskini lakini wanajitoa kwa sadaka ili kujenga hospital8 na zhule za makanisa na miskiti ila wanalipia juduma zote kwa 100%. Kwanini watu wa Mungu hao wasio na uwezo wasitibiwe bure wakati makanisa na miskiti hailipi kodi? Wajinga ndiyo waliwao!!
  20. H

    JamiiForums Tanzania Kuna ujinga uko ndani ya Waafrika juu dini za kuja hadi inakera

    Habarini, Hata hili la muombaji kusoma biblia kwa kutumia miwani kwaajili ya kumponya mjongwa wa macho/kipofu hamulioni?
Back
Top Bottom