dini

  1. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Tanzania Ila hizi dini bhana! 😀 Wanajua kabisa sina kazi, nauza pombe; lakini kanisani wanataka nitoe sadaka na zaka. Kwao, zaka si haramu?

    Ila hizi dini bhana! 😀 Wanajua kabisa sina kazi, nauza pombe; lakini kanisani wanataka nitoe sadaka na zaka. Kwao, zaka si haramu? 😆
  2. Kachina95

    JamiiForums Tanzania Wakati mwingine hizi dini zinatumika vibaya

    Wanajukwaa, 1.nimeshuhudia viongozi wa dini wakikemea zinaa na kusifia mauaji. Uhuni sio uhuni? 2. Waislamu walijinadi kuwa dini yao ni dini ya haki, baada ya kuona uvunjwaji wa haki umetamalaki na wao hawawezi kukemea, hivi sasa wanajiita dini ya amani, hawataki tena haki. Wahuni sio wahuni? 2...
  3. Marcy

    JamiiForums Tanzania Je, umewahi kutambua kwamba mfumo uleule uliomuuwa Yesu ndio uleule uliotengeneza dini ya kuzungumzia juu yake

    Viongozi waliopo katika mfumo walimuuwa Yesu, kisha wakaanzisha dini ili watu waendelee kumzungumzia tu badala ya kuishi kama alivyofundisha. Yesu hakuja ili aabudiwe, alikuja kufunua kitu—njia ya kuendesha na kuunda uhalisia. Lengo lake lilikuwa kutufundisha “code” au kanuni za jinsi ulimwengu...
  4. ngara23

    JamiiForums Tanzania Waislam, kwanini mnawafanya watu mediocre na laymen kuwa viongozi wa dini yenu tukufu?

    Dini ya uislam pamoja na kuwa na mafunzo mazuri ila Bado watu makini hawataki kuwa viongozi wa dini hiyo Kwanini hao mashehe wasijielimishe ili kupata haiba na kutoa maoni yanayoendana na uelewa na ustaarabu Jiulize Muislam kama Bakhresa anakaa kwenye zulia anamsikiliza Shehe Mazinde😂...
  5. K

    JamiiForums Tanzania Unaamini katika dini Uislam/Ukristo budha/indu/wayahudi kuwa ukifa wewe sio dini flani hautaingia mbinguni

    Yess Kuna ile dini zinaamini kuwa wewe kama ukifa kama sio dini fulani hautaingia mbinguni, hautamuona M/Mungu na utaangamia milele motoni How dini zina ubaguzi kiasi hichi yaani waislamu pekee ndio wataingia peponi au wakristo/waisrael pekee ndio wataingia mbinguni, mtu wa dini tofauti...
  6. Yoda

    JamiiForums Tanzania Wanauza kitimoto viwanjani kombe la dunia! Mpira ni zaidi ya dini.

    Kitimoto kimeuzwa na kimelika kiwanjani World Cup Mexico kwenye game ya Tunisia na Sweden! Hakika mpira ndilo jambo la kuwaunganisha binadamu wote duniani, tuheshimu sana nguvu ya football. Huenda ndio maana hata wapinzani wameshindwa kuondoa akili za raia katika Simba na Yanga.
  7. Zee la madawa

    JamiiForums Tanzania Mufti aomba mapumziko mwaka mpya wa kiislamu,naam uislamu ni dini ya haki

    Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Sheikh Dkt. Abubakari Zubeir Ally, amemuomba Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi, kumshawishi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ili siku ya mapumziko ya Mwaka Mpya wa Kiislamu (Hijriyya) itambuliwe Tanzania nzima. Mufti Zubeir...
  8. T

    JamiiForums Tanzania Je, Dini ni Sawa na Vyama?

    Chama chochote kiwe cha Siasa au kikundi katika Jamii kinakuwa na Katiba na miongozo yake, na iwapo unahitaji kuwa mwanachama wake inabidi ufuate masharti, taratibu na miongozo yake, na kinyume cha hapo inabidi ujitoe na usipojitoa watakufukuza. Katika Dini, upande wa sisi wakristu iwapo...
  9. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Kabla ya waislamu kuichukua kinguvu uajemi, je waajemi walikuwa ni watu wa dini ipi?

  10. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Jinsi Wazungu wanavyotumia sinema zao kuichafua dini ya Kiafrika ya Voodoo

    Voodoo (pia huandikwa Vodou, Vodun au Vodun) ni dini na mfumo wa imani ulioanzia Afrika Magharibi, hasa katika maeneo ya Benin na Togo. Baadaye uliendelea na kuenea katika maeneo ya Karibiani, hasa Haiti, kupitia biashara ya utumwa. Baadhi ya vipengele vya Vodou ni: Imani katika Mungu mkuu...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Watoto hawawezi kuchagua dini, ni wazazi au walezi huamua! Kwanini baadhi ya dini hukataza kuhama na hutoa vitisho vya adhabu kali ikiwemo KIFO?

    Watoto hawawezi kuchagua dini ipi inawafaa; mara nyingi ni wazazi au walezi ndio huamua. Mtoto hukua akipokea anachoambiwa bila nafasi kubwa ya kuuliza au kuchambua kwa kina. Anapofikia utu uzima na kuanza kuelewa maisha kwa undani zaidi, wakati mwingine hutambua kwamba imani aliyopewa...
  12. Victor Mlaki

    JamiiForums Tanzania Watu wamechoshwa na Serikali, Dini na Siasa: Wanataka kuwa huru

    Katika hali ya kipekee sana Jamii ya Binadamu leo katika maeneo mengi Duniani inaonesha kuchoshwa sana na Serikali , Dini na Siasa. Taasisi hizo ziliiaminisha Jamii kuwa zitaleta utaratibu katikakati ya vurugu " to bring order out of chaos". Watu waliipokea imani hiyo na kukasimisha mamlaka yao...
  13. Jeremiah Stephin

    JamiiForums Tanzania Watu wa dini wanaamini wasichokijua

    Labda na wewe utaongeza kitu hapo chini. 1. Binafsi siwezi kuamini kitu ambacho sikielewi. Watu wa Sayansi walikataa kuamini wakachagua kuelewa na ndio wameleta ustaarabu duniani. Hii ni tofauti na watu wa dini. 2. Dini ni Chombo cha kijamii(social agency) Chenye kazi ya kuhimiza Maadili, na...
  14. ChoiceVariable

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania China: Marufuku kwa walio chini ya Miaka 18 kushiriki Mambo ya Dini

    Dini ni sehemu kubwa sana ya maisha ya mwanadamu. Katika jamii zetu nyingi za Kiafrika, mtoto anapozaliwa tu, huanza kufundishwa misingi ya imani ya wazazi wake. Lakini je, ushawahi kujiuliza inakuwaje pale Taifa linapoamua kwamba masuala ya imani yasiwahusishe kabisa watoto mpaka wafikishe umri...
  15. Mbepo yamba

    JamiiForums Tanzania Namba moja na mbili hawapeani mikono; Ndio kama inavyosemwa AU ni dini?

    Kama ni dini mbona alimpa mkonio Putin?ZILONGFA NA ZITENDA
  16. OMKEIT 93

    JamiiForums Tanzania Je, hii ndiyo sababu ya Afrika kutokuendelea

    Kumekuwa na kauli inayorudiwa mara kwa mara kwamba sababu ya Afrika kutokuendelea ni dini, na mara nyingi hoja hiyo hulenga zaidi Uislamu. Lakini je, hoja hiyo ina uzito wa kutosha inapochunguzwa kwa kina? 1. Kwanza, tujiulize: maendeleo ni nini? Maendeleo si suala la dini pekee wala kutokuwa...
  17. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Kwanini baadhi ya waislamu wako obsessed sana na dini ya kikristo angali wakristo wengi hawana shida na wao?

    Hawa jamaa ni kama manifesto yao inasoma nusu ni mafundisho nusu ni kushambulia wakristo. Yani wanakereketwa sana na amani waliyonayo wakristo, sasa ili kushare nao maumivu yao lazima watafute hoja mavi. Yani ni kama una mke lakini kuanzia asubuhi hadi jioni mara kwa mara unamzungumzia mke wa...
  18. R

    JamiiForums Tanzania Dini Pro - Kurani app ya Kiswahili

    Nimetengeneza app ya Kurani ya Kiswahili inaitwa Dini Pro Unaweza kufanya yafuatayo kwenye app yangu Kurani Tukufu (Soma na Usikilize): Soma Surah zote kwa urahisi na usikilize sauti popote ulipo. Mwelekeo Sahihi wa Qibla: Pata mwelekeo wa Qibla kwa haraka na usahihi mkubwa haijalishi uko...
  19. Echolima1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Israel inawapenda sana wapalestina Tatizo dini yao inawapotosha sana!!!!

    Mwimbaji wa Israeli Idan Raichel alishiriki katika mahojiano jinsi alivyopokea picha yake hivi karibuni kutoka Gaza. Askari wa Israeli alimtumia picha ya zamani ya Idan akiwa na baba kutoka Gaza na mtoto mchanga kwenye kitanda cha mtoto. Raichel alielezea kwamba hii ilipigwa wakati wa kazi...
  20. Stability

    JamiiForums Tanzania Dini haiendani na uhalisia wa mwandamu, mfano inaweza kukupelekea uwe kukutengana na wasioamini lakini kiuhalisia hao hao ndio waaajiri au wateja wako

    Only fools fall for religion traps.
Back
Top Bottom