Kila siku tunazungukwa na maelfu ya taarifa kutoka TikTok, Instagram, Facebook, YouTube, Google, WhatsApp, blogs, na AI tools. Tatizo kubwa ni kwamba sio kila taarifa ni ya kweli, sahihi, au yenye manufaa. Watu wengi wanaathiriwa na fake news, propaganda, misinformation, scams, na information...