taarifa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Tanzania Railways Corp

    JamiiForums Tanzania TRC limeongeza treni ya Mchongoko (EMU) kwa siku ya Ijumaa Juni 12, 2026 kati ya Dodoma na Dar es Salaam

    TAARIFA KWA UMMA ONGEZEKO LA TRENI YA EMU KATI YA DODOMA NA DAR ES SALAAM Dar es Salaam, Juni 12, 2026. Shirika la Reli Tanzania (TRC) linapenda kuuarifu umma kuwa, kufuatia ongezeko la mahitaji ya huduma ya usafiri, limeongeza treni ya Mchongoko (EMU) kwa siku ya Ijumaa Juni 12, 2026 kati ya...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Je, kuna haja ya kusambaza taarifa za Wazanzibari wanaomiliki Ardhi na Biashara Tanganyika?

    Hivi karibuni Wazanzibari wamekuwa wakionyesha ubaguzi wa hali ya juu sana. je maandamano yajayo mali zao zitakuwa salama? Je huko mbele Wazanzibari watakuwa na amani kukaa na Watanganyika kama majirani
  3. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Taarifa kama hizi potofu lengo lake linakua nini? Tuwe na imani na jeshi

    MNAKUMBUKA NILISEMA, HIZI NI SAA NA HAKUNA KESI HAPA Kwanza nitakuwa wa kwanza Leo kuugana Mwamposa kwamba hapa hakuna mmasai , hebu angalia hizi picha na sura hawa ni wamasaia ? Okey hata kama ni wamasaia bado inakataa kabisa kuingia akilini. Ipo hivi Jeshi la Polisi ambalo, Kwa miaka zaidi...
  4. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Je Taarifa Hii Iliyochapishwa na Jarida la Mambo ya Intelijensia Afrika Ina Ukweli Wowote Kuhusu Namba Samia na Nchimbi. Serikali Ikanushe

    My Take Jarida Maarufu la Habari za Intelijensia na Usalama Afrika "The African Report" limechapisha habari hii kuhusu Wakuu wetu. Kama sio ukweli na chokochoko za kibeberu kutia chumvi basi ni vyema Serikali ikakanisha. Mjumbe Hauwawi...
  5. A

    JamiiForums Tanzania Kwa shule na vyuo binafsi, je umeandaa na kuwasilisha taarifa zako za fedha zilizokaguliwa za mwaka 2025 kwenda TRA?

    Kama umekuwa ukivutana na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) sababu ya kodi inayotokana na uandaaji wa hesabu za shule au chuo chako…Basi soma mpaka mwisho… UKWELI USIOPINGIKA…Zipo shule pamoja na vyuo mbalimbali hadi leo hii wamelemewa na madeni makubwa yatokanayo na kodi kutoka TRA. Hili siyo...
  6. ufalmedigital

    JamiiForums Tanzania Je, uko salama mtandaoni au unatoa taarifa zako kwa wahalifu wa mtandao bila kujua?

    Kila siku mamilioni ya watu duniani hutumia simu, kompyuta na intaneti kwa mawasiliano, biashara, masomo na huduma za kifedha. Hata hivyo, kadri matumizi ya teknolojia yanavyoongezeka, ndivyo hatari za uhalifu wa mtandao, wizi wa taarifa na udanganyifu wa kidijitali zinavyoongezeka pia. 🛡️ Kozi...
  7. Ghazwat

    JamiiForums Tanzania BAGAMOYO: Maiti sita zaokotwa mtoni zikiwa ndani ya viroba

    Maiti sita ambazo hazijatambulika zimekutwa zikielea katika Mto Ruvu eneo la Bagamoyo, Mkoa wa Pwani zikiwa zimehifadhiwa kwenye mifuko ya Sandarusi maarufu viroba vya uzito wa Kilogramu 200, huku zikiwa zimeharibika vibaya Diwani wa Kata ya Makurunge, Paul Kabile alisema maiti hizo ambazo ni...
  8. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Uhamiaji: Mfumo ulisumbua na sasa umekaa sawa, taarifa za walioomba Passport zipo, hawatakiwi kulipa mara 2

    Idara ya Uhamiaji nchini imefafanua kuwa huduma zake za kimfumo zimerudi katika hali ya kawaida baada ya changamoto iliyosababisha ucheleweshaji wa baadhi ya maombi ya wananchi, na kueleza kuwa mbombaji hatakiwi kulipia huduma mara mbili. Akizungumza kuhusu suala hilo, Msemaji Mkuu wa Idara ya...
  9. figganigga

    JamiiForums Tanzania Full Text: Taarifa ya Luhaga Mpina kuhusu Tume ya Chande ya Kuchunguza yaliyotokea 29.10.2025

    BURIANI MASHUJAA WETU YANA MWISHO HAYA Bonyeza HAPA kupakua Hotuba yake Hapa Chini nimeweka Video ni Mapendekezo yake.. MAONI NA MAPENDEKEZO KWA UFUPI Baada ya kufanya uchambuzi hapo juu ninatoa Maoni na mapendekezo kama ifuatavyo:- (i) Kuundwa Tume Huru chini ya Umoja wa M ataifa...
  10. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania TAARIFA YA ONYO LA USALAMA WA UMMA KWA WAZAZI NA WALEZI

    Kuna ongezeko la kutisha la matukio ya watoto wa shule kupotea wakati wa kwenda na kurudi kutoka shuleni. Wazazi, walezi, walimu, waendesha boda boda, viongozi wa bodi za shule na jamii kwa ujumla mnahimizwa kuwa waangalifu sana na kuchukua tahadhari kubwa. Matukio mengi yanaripotiwa kutokea...
  11. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wiki tatu bila maji: Wananchi wa Unyinga, Mamise na Unyakumi tunataka ufafanuzi kutoka SUWASA

    Tunapenda kufichua kero kubwa inayowakabili wananchi wa maeneo ya Unyinga, Mamise na Unyakumi na maeneo mengine mjini Singida kutokana na ukosefu wa huduma ya maji takribani wiki tatu sasa Kwa kipindi cha hivi karibuni, maeneo haya yamekuwa yakikumbwa na ukosefu wa maji kwa siku nyingi...
  12. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Rais Samia apokea Taarifa ya Sensa ya Wanyamapori

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye kikao cha kupokea Taarifa ya Sensa ya Wanyamapori iliyofanyika nchi nzima mwaka 2024 – 2025 iliyowasilishwa na Waziri ya Maliasili na Utalii Dkt. Ashatu Kijaji kupitia Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori...
  13. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO TAKUKURU-Tabora, toeni taarifa kwa umma juu uchunguzi wa mhakiki mali (Muuzaji wa minada ya serikali ya Tabora) kuhusu kuficha baadhi ya magari

    Siku ya tarehe 26 mwezi 5, 2026 mhakiki mali wa Tabora au dalali wa Serikali ambaye ni mtumishi wa Serikali chini ya hazina kaficha baadhi ya magari taktibani 5 ya mnada uliokuwa Tabora kama Land Cruiser ya OCD Tabora (lot no 4), Land Rover puma n.k zilizokuwa kwenye mnada ambayo ni kwa maslahi...
  14. A

    JamiiForums Tanzania KERO DART imepandisha Nauli ya Mabadi Mapya MBEZI-KIVUKONI/GEREZANI bila taarifa

    Kwa muda mrefu wananchi wa Dar es Salaam tumekuwa tukitegemea huduma za mabasi ya UDART kwa usafiri wa kila siku. Awali, nauli ya kutoka Mbezi hadi Kimara ilikuwa Tsh 500 kwa umbali wa takribani kilomita 12, huku safari ya Kimara hadi Kivukoni/Gerezani ikiwa Tsh 750 na baada kupandishwa...
  15. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania Waziri Kombo: Kote tulikokwenda nimeulizwa, "Kwanini hamkuja mapema? Tumedanganywa sisi, taarifa tulizoletewa siyo alizoandika Samia"

    Hivi Kombo anatuchukulia sisi watani zake eeeeh? :BearLaugh::BearLaugh: Halafu hapo hapo anakwambia tumewaalika Maseneta waje wahakikishe kama hatuuani kidini! Sasa kama walielewa somo kwanini mmewaalika? Halafu hivi Maseneta walisema nchini kuna vita ya kidini? Serikali kuambiwa mnakandimiza...
  16. ufalmedigital

    JamiiForums Tanzania Je, unatakiwa kuamini kila taarifa unayoiona mtandaoni?

    Kila siku tunazungukwa na maelfu ya taarifa kutoka TikTok, Instagram, Facebook, YouTube, Google, WhatsApp, blogs, na AI tools. Tatizo kubwa ni kwamba sio kila taarifa ni ya kweli, sahihi, au yenye manufaa. Watu wengi wanaathiriwa na fake news, propaganda, misinformation, scams, na information...
  17. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Kushiriki Mkutano wa Nishati ya Nyuklia, Rwanda

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo anaondoka nchini kuelekea Kigali, Rwanda, kushiriki Mkutano wa Uvumbuzi wa Nishati ya Nyuklia barani Afrika (NEISA 2026). Mkutano huo utakutanisha viongozi wa Serikali, watunga sera, wawekezaji, wadhibiti na wadau...
  18. L

    JamiiForums Tanzania Unahitaji Taarifa Hizi Wakati wa kuomba leseni ya biashara

    Habari mjasiriamali kama wewe umesajiki biashara au Kampuni Brela unahitaji Taarifa Hizi kuomba leseni halmashauri/tausi. 1. TIN Unahitaji TIN number ambayo utaitumia kufungulia akaunti tausi 2. Mkataba wa upangishaji, unaweza kuwa wa ofisi au wa nyumbani kwako. 3. Certificate of...
  19. A

    JamiiForums Tanzania KERO Hatuna maji mtaani mwezi mzima, idara ya maji Arusha (AUWSA) hawashughulikii

    Huku Arusha kata ya Lemara mtaa wa Kikwakwaru B tuna shida ya maji yapata mwezi mmoja sasa hatuna maji kabisa! Tukapata taarifa kwamba kuna bomba limeharibika na linafanyiwa kazi lakini mpaka leo hii hakuna maji au yanatoka kwa pressure ndogo sana tena usiku wa manane. Cha ajabu ni kwamba...
  20. Marcovicsavic

    JamiiForums Tanzania Unafanya biashara gani , je unahitaji mfumo kutunza taarifa

    Habari za leo wandugu kijana wenu nime rudi , Nina mifumo mingi y kutunza rekodi za biashara kama Mining Ofice management office Spare Store Management Systerm Loan Ofice Managenent System POS for supermarket and all size shop Nakadhalka Je unahitaji mfumo wowote ambahaupo hapo na una miss...
Back
Top Bottom