iran

  1. R

    JamiiForums Tanzania Mafuta yashuka bei baada ya makubaliano ya USS na Iran. Subiri, hapa Malawi yatapanda

    Ujumbe ni huo, hakuna zaidi Hapa yatapanda mara dufu
  2. Brother Depo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Israel Yaendelea Kufanya Mashambulizi Gaza na Lebanon, Iran Wanywea

    Ukumbuke kuwa Iran walipiga mikwara kuwa endapo Israel itashambulia Gaza basi Iran Watajibu kwa nguvu kubwa. Lakini tokea waseme hivyo hakuna walichowahi kufanya. Ilikua ni mikwara ya kwenye media. Leo Israel imeendelea na mashambulizi huko Gaza Wapo walisema Iran walimaanisha Beirut TU...
  3. V

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Aliewahi Kuwa Balozi Wa USA Amesema Kuwa Vita Na Iran Lilikuwa Ni Kosa Kubwa Sana Ambalo Limeifaidisha Zaidi Iran

    WASHINGTON D.C. — Aliyekuwa Balozi wa Marekani nchini Israel, Daniel Shapiro, ametoa tamko zito linalozua mjadala mpana, akidai kuwa vita dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vilikuwa kosa la kihistoria na ni lazima vifike kikomo mara moja ili kuepusha madhara zaidi. Katika tathmini yake ya...
  4. Ritz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Marekani na Iran zimeripotiwa kufikia makubaliano ya kihistoria

    Wanaukumbi. 🇺🇸🇮🇷 Marekani na Iran zimeripotiwa kufikia makubaliano ya kihistoria. Mambo muhimu ya makubaliano hayo ni pamoja na: ✅ Kukomeshwa kwa shughuli za kijeshi katika nyanja zote ✅ Kufunguliwa tena mara moja kwa Mlango-Bahari wa Hormuz ✅ Kuondolewa kwa kizuizi cha Marekani ✅ Iran...
  5. Ritz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Lapid: Makubaliano ya Iran na Marekani ni pigo kubwa kwa diplomasia ya Israel

    Wanaukumbi. Kiongozi wa upinzani nchini Israel na waziri mkuu wa zamani, Yair Lapid, amemkosoa vikali Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu kufuatia taarifa za kutiwa saini kwa hati ya maelewano kati ya Iran na Marekani. Kupitia ujumbe aliouchapisha kwenye mtandao wa X, Lapid alieleza makubaliano...
  6. 6 Pack

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baada ya makubaliano ya Iran na Marekani kufanikiwa. Italy, UK, France na German zakubaliana kuiondolea vikwazo Iran

    Niaje waungwana Dunia imebadilika aisee. Leo hii zayuni ( Netanyahu ) anaitwa muuaji anaetafutwa kufikishwa kwenye Criminal Court. Wakati nchi hizo zikiondoa vikwazo kwa Iran, hili zayuni liuaji Netanyahu haliwezi kutia mguu wake katika nchi yoyote hapo juu bila kutiwa nguvuni na kukabidhiwa...
  7. F

    JamiiForums Tanzania Trump atangaza makubaliano ya kuacha vita na Iran, je utakuwa utapeli kama ule wa Gaza?

    Rais Donald Trump ametangaza kuingia mkataba wa amani na Iran. Amefanya hivyo kwenye maadhimisho ya siku ya kuzaliwa kwake? Je, mkataba huu utafuatwa au kuvunjwa kama ilivyokuwa huko Gaza ambapo ni utapeli mtupu au DRC? Je, ni baada ya kushindwa kufikia malengo yake kisiasa au kuchapwa kimya...
  8. 6 Pack

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Iran yawataka raia wa Israel kukaa mbali na kambi za jeshi kwa ajili ya usalama wao. Yasema shambulio la Israel nchini Lebanon haliwez kuachwa ivi ivi

    Niaje waungwana Iran inajiamini sana, ndio maana haiwezi kufanya shambulio bila kutoa taarifa mapema ili kuepusha maafa kwa kina mama na watoto kama Gaza na Lebanon. Ila sasa taarifa hizi za kuwaepusha raia na maafa, hutumiwa na viongozi wa Israel kukimbilia kujificha kwenye bunker ili kuepuka...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Hivi sasa Iran inapendwa dunia nzima ikiwemo Tanzania

    Angalia bungeni
  10. Ritz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania UAE yaipa Iran dola bilioni 3, ikakubali kutoa dola bilioni 10 zaidi wasiwashambulie - Reuters

    Wanaukumbi. Falme za Kiarabu tayari zimewasilisha takriban dola bilioni 3 kwa Iran na kukubali kutoa mabilioni zaidi chini ya mpango unaolenga kusimamisha mashambulizi ya Iran dhidi ya taifa la Ghuba ya Uajemi, Reuters iliripoti ikinukuu vyanzo vinne. Vyanzo viwili vya kikanda vilisema UAE...
  11. Ritz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Iran wamesema hakuna makubaliano yeyote yaliyofikiwa kati yake na Marekani makubaliano yoyote lazima yakidhi mahitaji yake ya msingi,

    Wanaukumbi. 🇮🇷 Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imekataa madai ya Rais Trump kwamba pande zote zimeidhinisha makubaliano yaliyopendekezwa kati ya Marekani na Iran. Maafisa mjini Tehran walisema: ❌ "Hakuna makubaliano yaliyofikiwa." ❌ "Hakuna mtu aliyekubali makubaliano hayo." Iran inasema...
  12. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi ndivyo vipengele vya Iran vs Marekani

    Baadhi ya vipengele muhimu vya makubaliano hayo ni; Kusitishwa kwa mapigano kwa siku 60 katika nyanja zote, ikiwemo nchini Lebanon. Mlango bahari wa Hormuz kufunguliwa mara moja, bila Iran kutoza ada zaidi kwa meli, na usafirishaji kupitia mlango huo kurudi viwango vya awali kabla ya vita...
  13. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Trump Kainua Bendera Nyeupe Kama Kweli Kakubali Masharti Haya ya Iran

    Masharti ni haya yafuatayo 1 Aondoe sunction zote za Iran na aondoe maheshi yake karibu na Iran 2 Wasimamishe vita mpaa Lebanon (mimi naona hapo Israel akijidai mbabe wamwachilie Iran amtie adabu Israel hahaha) 3 Wasingile mambo ya ndani ya Iran 4 Waondoe sunction ya baharini 5 HORMUZ...
  14. Keyboard_Warrior

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Trump: Usiku wa leo tunaenda kuishambulia vibaya sana Iran.

    Trump anaenda kujitia kidole cha macho.
  15. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Kabla ya waislamu kuichukua kinguvu uajemi, je waajemi walikuwa ni watu wa dini ipi?

  16. U

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mzozo wa Mashariki ya Kati: Marekani yaishambulia upya Iran, na Iran yajibu mapigo!

    Hali si shwari kabisa huko Mashariki ya Kati, hususan kwenye mvutano kati ya Marekani, Israel, na Iran. Kwa wale ambao wamekuwa wakifuatilia, huenda mnajua kuwa kulikuwa na usitishaji vita (ceasefire) wa muda kuanzia mwezi Aprili, lakini mambo yamebadilika ghafla. Usiku huu, mambo haya...
  17. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Iran Yatangaza Maofisa Wake Wawili Kuuawa na Mashambulizi ya Israel

    Juzi Iran iliishambulia Israel ikidai ni kutokana na kitendo cha Israel kuendelea Kuwashambulia Hezbollah huko Lebanon. Baada ya shambulio la Iran nchini Israel, Rais Trump alimsihi Netanyahu asijibu mashambulizi ili mazungumzo ya kumaliza vita yasiharibike. Lakini Israel iliishambulia Iran...
  18. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Vita Vya Iran na Marekani: Zimetimu Siku 100

    https://youtu.be/X3fwMLuxl1Y?si=rLRYL_eeUQ-SpxJv
  19. Echolima1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Pamoja na Tishio la Iran kwa Israel isiipige Hezboullah magaidi hao wanapigika tu!!

    Baada ya Iran kuishambulia Israel usoku kuamkia leo na IDF kujibu mapigo sawasawa Iran imebwaga manyanya kwa kutangaza haitaishambulia tena Israel kama Israel nayo haitawashambulia magaidi hao!! Ombi hilo la Iran limekataliwa kwa vitendo ambavyo Israel imeendelea kuwashambulia Hezbollah ndani...
  20. U

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kundi la Hezbollah ladaiwa kuanza mashambulizi dhidi ya kambi za jeshi la Israel baada ya Iran kusitisha mapigano

    Ripoti mbalimbali za kimataifa zimedai kuwa ndani ya muda mfupi baada ya kusitishwa kwa mapigano kati ya Iran na Israel, kundi la Hezbollah lilianzisha mashambulizi dhidi ya malengo ya kijeshi ya Israel, hatua iliyoongeza hofu ya kuendelea kwa mvutano katika eneo la Mashariki ya Kati. Kwa...
Back
Top Bottom