iran

  1. zitto junior

    JamiiForums Tanzania Uturuki ilivyozuia mpango wa siri wa Mossad na CIA kupindua serikali ya Iran

    Gazeti la New York Times imeripoti mpango uliokuwa umesukwa na Mossad kwa ushirikiano wa karibu na CIA wa kutumia vikundi vya waasi wa kikurdi huko Iran na Iraq ili kushambulia na kupindua serikali ya Iran. Mipango hii pia ilihusisha kumtumia Rais mstaafu wa Iran Mohammed Ahmedinejad kama...
  2. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Vita Vya Iran na Marekani: Maandamano Kuwait

    https://youtu.be/9Tu2kZDvP70?si=c4sXeugiSESEo-V3
  3. L

    JamiiForums Tanzania Iran imepiga jengo la CIA Uarabuni, Marekani yailaumu Urusi kuwa imeisadia Iran Taarifa za kupiga

    Kulia kupokezana,kutesa kwa zamu,ukikwaga ugali,namwaga mboga,ulikua hili wenzako wanajua lile. Marekani anajifanyaga anajua sana uhuni,kumbe Kuna wahuni kama yeye. Makao ya majasusi wa Marekani CIA yamepigwa na dogo Iran,Marekani anamlaumu Mzee Urusi kua yeye ndio kampa connection. Hivi...
  4. Ritz

    JamiiForums Tanzania Egypt, Turkey. Canada, Panama, United States, hawa wote kupita kwao lazima ulipe Tozo kwa nini Marekani hawataki Iran walipwe Tozo

    Wanaukumbi. Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Arakçi: "Misri inatoza kati ya $200,000 na $700,000 kwa kila njia inayopitia Mfereji wa Suez; kwa meli kubwa za makontena au meli za mafuta, takwimu hii inaweza kuzidi dola milioni 1. Uturuki inatoza ada ya njia kwa Mlango-Bahari wa Istanbul...
  5. Brother Depo

    JamiiForums Tanzania AL Jazeera wanahoji kwanini Iran inashambulia nchi za Kiarabu lakini wanaogopa kuishambulia Israel na Meli za Kivita za Marekani?

    Siku chache niliweka Uzi wenye kuhoji kama hivi ambavyo al Jazeera wamehoji. Wairan wa tandale walikuja na maneno mengi, haya Al Jazeera nao wamekuja na huo mshangao. Kwenye hii taarifa ya al Jazeera wanaohoji kwa Nini Iran wanaikwepa Israel ikiwa Kuna ndege za marekani zinaruka kutokea Ben...
  6. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Trump anajuta na kulia kuhusu Iran

    Mashambulizi ya Iran yamejeruhi takriban wanajeshi 100 ndani ya wiki mbili - Pentagon Chanzo cha picha,Getty Images Wizara ya Ulinzi ya Marekani, Pentagon, imesema takriban wanajeshi 100 wa Marekani wamejeruhiwa katika mashambulizi ya Iran ndani ya kipindi cha wiki mbili zilizopita, hali...
  7. Fbn

    JamiiForums Tanzania Iran muda mwingine ukimfikiria kama kichekesho. USA ndio anakupiga wazi wazi we unaenda kuwatisha majirani zako

    Majigambo yake sijui ana makombora ya kufikia marekani mbona kama hizi story tumezichoka. Sasa unataka kumpiga kuwait kakukosea nini. Naona iran inaelekea kuwa uhuru sio mda.waarabu wenyepesa washafika dau.
  8. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Vita Vya Iran na Marekani: Inashangaza Marekani Haikubaini Kuipiga Iran Ni Kujiangamiza Yenyewe

    https://youtu.be/nm46OkiaHl0
  9. upupu255

    JamiiForums Tanzania MPYA Nimeona video hii inahusishwa kuwa ni Shambulizi la Marekani nchini Iran. Je, ni kweli?

  10. dronedrake

    JamiiForums Tanzania Makombora ya balistiki ya Iran yakatiza juu ya anga la Israel Kusini yakielekea Jordan

    Israel imewatahadharisha wananchi wake waishio kusini, juu ya hatari ya makombora kadhaa ya balistiki yaliyokatisha angani kuelekea jiji la Aqaba, nchini Jordan Ving'ora vya kuashiria hatari vililia miji kadhaa ya kusini mwa Israel ikiwemo Eliat, na wananchi wote kuamrishwa waingie kwenye...
  11. L

    JamiiForums Tanzania Muunganiko wa vita kubwa mbili,Urusi v Ukraine na Iran v USA pamoja na Israel,ni Wazi Sasa tuko kwenye vita kuu ya tatu ya Dunia

    Wanajamvi,vita kubwa mbili tofauti zinazohusisha ma Supapawa wa asili,hivi Sasa zinapiganwa hapa Dunia. Vita ya kwanza ni Urusi dhidi ya Ukraine. Vita ya pili ni Iran dhidi ya USA pamoja na Israel. Vita hizi mbili zimeigawa Dunia mara mbili yaani Urusi inapigana na Ukraine,ambapo Ukraine...
  12. X

    JamiiForums Tanzania Marekani imechapika hapo M.E mpaka Maafisa wa Marekani wanashuku kuwa China au Urusi huenda wanasaidia Iran

    Iran yazidi kuimarisha uwezo wa makombora, ikiweka changamoto mpya kwa mifumo ya ulinzi ya Marekani. Iran imeboresha makombora yake ya ballastic missiles kwa kuongeza uwezo wa mambo mawili muhimu: Kasi kubwa (High Speed) Makombora yanapokaribia shabaha yanaweza kufikia kasi kubwa sana...
  13. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Vita Vya Iran na Marekani: Hatma

    https://youtu.be/CXFCWTBb08Y?si=SQN0YF8100KeZblJ
  14. Pulchra Animo

    JamiiForums Tanzania THE ASSOCIATED PRESS: US military says 2 troops are dead and 1 is missing after Iran attacks a base in Jordan

    DUBAI, United Arab Emirates (AP) — The U.S. military on Saturday announced its first troop deaths due to direct Iranian fire since the opening days of the war, with two killed and another missing in an attack on a base in Jordan after days of intensifying exchanges of fire. Friday’s drone and...
  15. dronedrake

    JamiiForums Tanzania CENTCOM imekiri kuuliwa kwa baadhi ya wanajeshi wa kimarekani kadhaa nchini Jordan baada ya mashambulizi ya makombora balistiki ya Iran usiku wa Jana

    Wanajeshi wawili waliokuwa wanatumikia jeshi la Marekani chini Jordan, wameuwawa kwa makombora ya balistiki ya Iran yaliyovurumishwa usiku wa jana kwenye kambi kadhaa za Marekani Mmoja wa wanajeshi hao haonekani alipo mpaka muda huu Ikumbukwe, jeshi la ulinzi la Jordan ilisema lilifanikiwa...
  16. bless on

    JamiiForums Tanzania Kashfa ya Mafuta Iran: Mossadegh na CIA

    Zamani, mafuta yote ya Iran yalikuwa mikononi mwa kampuni ya Waingereza Leo inaitwa BP. Waingereza walikuwa wanachukua faida kubwa, huku Wairani wenyewe wakiambulia patashika na umaskini. Mwaka 1951, akatokea mshua mmoja anaitwa Mohammad Mossadegh, akachaguliwa kuwa Waziri Mkuu. Huyu mzee...
  17. Brother Depo

    JamiiForums Tanzania Israel Inatisha, Inaogopesha. Wairan Watoa Ya Moyoni Kwa Nini Israel Inaogopwa Sana na Iran

    Baada ya Watu wengi kuhoji uoga wa Iran kuigusa Israel, wairan walipo ndani ya Iran wale ambao hawataki tawala ya Hawa mamullah wametoa ya moyoni. Wanasema Marekani hata ashambulie vipi bado hawaoni kama vita imerudi, wanaamini na wanatamani Israel iingie kati sababu Israel huwa hawana utani...
  18. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Mlango Bahari wa Hormuz ukiwa chini ya Majeshi ya Marekani. Iran mabaki kubwabwaja tu.!!

    Wakati Magaidi wa Iran wakibwabwaja Mlango wa Bahari wa Hormuz uko mikononi mwa majeshi ya Marekani
  19. A

    JamiiForums Tanzania Iran intercontinental ballistic missile kupiga USA

    Iran itaishambulia America kwenye ardhi yake very soon kwa kutumia ICBM vitu vinasubiri amri mpaa USA aseme maji uji
  20. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Walipokusanyika wanajeshi wao ndipo tulipopiga makombora yetu.- Iran 🇮🇷

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) limedai kufanya mashambulizi ya pamoja kwa kutumia makombora na ndege zisizo na rubani (drones) dhidi ya rada ya mfumo wa ulinzi wa C-RAM katika Kambi ya Ali Al Salem nchini Kuwait, pamoja na eneo lililodaiwa kuwa mahali pa mkusanyiko wa...
Back
Top Bottom