de Gunner nimeona reply yako , unasema mimi ni daktari nisiye na kitu , nikitoka kazini napitia bar kulewa tu , ndio nasumbua jf🤣
Mimi kweli asili yangu ni nurse, mimi ni muuguzi na mkunga , MD ndio nimeanza kusoma juzi tu , kwa sababu nilipata gs f tu , same boys kipindi hicho😅
Kitu...