Jeshi la Polisi Mkoa wa Mara linamshikilia Dickson Juma, mwenye umri wa miaka 32, mkazi wa Kiabakari, Wilaya ya Butiama, kwa tuhuma za kuingia bila kibali na kufanya fujo katika Kituo cha Afya Nyasho, Manispaa ya Musoma.
Tukio hilo limetokea Septemba 9, 2026 majira ya saa 4:00 asubuhi, baada ya...