Hivi mtu Ulisikia neno ngono, nini cha kujia kichwani.....
Wengi husema ni kufanya tendo la ndoa, bila ya Koa au kuolewa sio?
Ni umalaya, ni kuharibu utaratibu, kuchepuka, uzinzi
Ngono imekuwa kitu kibaya sana...
Wengi tume I demonize ngono. Imekuwa kama means to an end, watu hatufurahii...