●Biometrical Engineering
Hapa soma diploma tu fanya kazi utapanda daraja kidogo kidogo
●clinical
●Nursing
●health laboratory
●physiotherapy
●Dental therapy and surgeon
●Environmental health
●Radiology
●Nutrition
●occupational therapy
● Technologist pharmacy
Kukimbia ni Bure
Kupiga pushup ni Bure
Mazoezi ya kukimbia ni Bure.
Kijana jitahidi usiwe na kitambi kwasababu kuwa na afya bora sio biashara...ni wajibu wako.
Six pack muhimu
Kifua kikubwa Muhimu
Muonekano wa mazoezi muhimu.
Haya
Tukomae
Kufanya ngono salama na yenye upendo huongeza maisha ya binadamu badala ya kuyafupisha, kwani tendo hili huboresha afya ya mwili na roho kwa wakati mmoja.
Kisayansi, watu wanaoshiriki tendo la ndoa mara kwa mara hupunguza hatari ya kufa mapema kwa asilimia 50 kutokana na .
kuimarika kwa afya...
Mamlaka ya maji safi na taka Mtwara mjini imeshindwa kutoa maji kwa wakazi wa shangani east, sijui na maeneo mengine kwa muda wa takriban miezi miwili.
Afya za watu hawa zipo hatarini kwani hakuna vyanzo vingine vya maji wanaweza kupata watu hawa.
Jitahidini kuja na majibu ya changamoto hii...
Anonymous
Thread
afya
hawana
kimya
maisha
maji
maji safi
mamlaka
miezi
miezi miwili
mjini
mtwara
mtwara mjini
muda
safi
taka
wananchi
Halmashauri ya Nyang’hwale ajira za july 2025 kada zingne zote wamepata hela yao ya kujikimu isipokuwa kada ya afya na tukiulizia kwa katibu wa afya anatufokea
Anonymous
Thread
afya
ajira
halmashauri
kada
kada ya afya
nyang'hwale
Kiongozi Mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe akifanya Mahojiano na Clouds Media leo Mei 28, 2026
"Inaonekana wazi kwamba mazingira yetu sasa hivi ya watu ambao bado wako active kwenye siasa mazingira ya siasa ni magumu. Mnaona sarakasi za msajili na na chama cha Chadema ambazo hazina...
Wanabodi
Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi la leo.
Sisi Watanzania tuna utamaduni wa kuchangiana kwenye sherehe au misiba,
hivyo ili Tanzania tuweze kupata maendeleo ya kweli, maendeleo endelevu, Watanzania ni lazima tubadilike sio tusichangie sherehe au misiba, bali tubadilike na...
Sisi watumishi wa afya tulioajiriwa mwezi Novemba 2024 katika Halmashauri ya Wilaya ya Siha tunaomba Ofisi ya Waziri Mkuu isimamie suala la kuthibitishwa kwetu kazini, kwani mpaka sasa hatujapatiwa barua za kuthibitishwa wala barua za kuongezewa muda wa probation period. Kutokana na hali hiyo...
Wahitimu wa Chuo cha Kilimanjaro College of Health and Allied Science (KICHAS) hatujapata vyeti lakini tukiulizia wanasema chuo chetu kilisahaulika.
Wahitimu wa Mwaka 2025, tumeuliza uongozi wa chuo wanasema kwenye vyuo vilivyopata vyeti chetu hakipo kwa sababu kilisahaulika wakati wanaprint vyeti.
Kwa muda mrefu sasa hatupati posho ya madaraka, tofauti kabisa na wenzetu wa sekta ya elimu—hasa wakuu wa shule za msingi—ambao wao wanalipwa posho hiyo, hadi kufikia laki mbili kwa mwezi. Sisi wafawidhi wa vituo vya afya, kuanzia ngazi ya hospitali hadi zahanati, hatupati chochote...
Ajira mpya wa sekta ya afya—tulioripoti kazini Januari 2026 katika Manispaa ya Singida Mjini na Wilaya ya Mkalama.
Mimi ni Tabibu Msaidizi Daraja la Kwanza. Tulitarajia kulipwa fedha za kujikimu kiasi cha shilingi milioni moja na laki mbili (1,200,000), lakini tulicholipwa ni shilingi laki sita...
Anonymous
Thread
afya
fedha
fedha za kujikimu
kujikimu
malipo
singida
watumishi
Ajira mpya wilaya ya chemba afya tuna mwaka sasa hatujapewa pesa ya kujikimu na hali ya maisha inazidi kuwa ngumu
Anonymous
Thread
afya
ajira
ajira mpya
hali
hali ya maisha
hatujapewa pesa ya kujikimu
kujikimu
maisha
mpya
mwaka
ngumu
pesa
pesa ya kujikimu
tuna
wilaya
wilaya ya chemba
Kaka yangu Nape, mapema mwaka huu aliwahi kusema, kama serikali isipodhibiti matumizi ya nguvu dhidi ya raia, Siku moja wananchi watakikataa chama chetu.
Kila mtu anaweza kuwa na mtazamo wake juu ya hili, lakini mimi napenda kuwakumbusha viongozi wangu uchaguzi wa 2010 Mbeya mjini kati ya Sugu...
Kero yangu ni Kituo cha Afya Kinyerezi kinatoza pesa kwa watoto upande wa chanjo yaani matone kwa watoto miezi 9 wanalipia elfu 5 na sindano wanachomwa bure bila malipo wakati chanjo yoyote kwa watoto ni bure hospitali ya serikali.
Mimi ni mfanyakazi wa kada ya afya katika Halmashauri ya Simanjiro, mkoa wa Manyara. Tangu Januari 2026 hadi sasa tumekuwa tukikumbana na changamoto nyingi, lakini kila tunapojaribu kuzungumza au kuuliza, tunaondolewa kwenye makundi ya mawasiliano (groups) na hata “kuremove” kabisa.
Inafikia...
Naomba kuwasilisha kilio cha wafanyakazi wa afya kutoka mikoa ya pembezoni kama Kigoma, Mara, Kagera, na Katavi, ambao wamepata nafasi ya kujiendeleza kimasomo lakini wanakutana na changamoto kubwa sana ya kifedha.
Wafanyakazi hawa, wakiwemo manesi, madaktari, na hata wanaosomea udaktari bingwa...
Anonymous
Thread
afya
changamoto
kero
kutoka
masomo
mikoa
mikoa ya pembezoni
serikalini
wafanyakazi
Serikali Imesema inatekeleza Sheria ya Afya ya Jamii ya Mwaka 2009 Kifungu Na.173 (1), ambacho kinamtaka mtoa maudhui, mada au matangazo yanayohusu afya ya jamii kupata kibali kutoka kwa waziri wa afya au ofisa aliyeidhinishwa na waziri.
Kauli hiyo imeolewa bungeni leo Na Naibu Waziri wa Afya...
Watu wengi wanajiuliza kama kweli inawezekana kuongeza muda wa kuishi kwa kutumia lishe bora, mazoezi, usingizi mzuri, na teknolojia za kisasa za afya. Dunia ya sasa imeanza kuzungumzia sana “Biohacking” — mbinu zinazotumia sayansi, technology, na lifestyle optimization kuboresha mwili na akili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.