afya

  1. A

    JamiiForums Tanzania HOJA Ni lini muundo mpya wa Kada ya afya hasa Wauguzi utaanza kutumika? Ni mwaka sasa tangu ahadi itolewe

    Naomba kuwasilisha kero hii Ni takribani mwaka mmoja sasa tangu kuahidiwa kwa muundo mpya wa kada za afya, hususan kada ya uuguzi, lakini utekelezaji wake bado haujaanza. Tunaomba mamlaka husika kuliangalia suala hili na kutupatia majibu kuhusu ni lini muundo mpya utaanza kutumika, kwa kuwa...
  2. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Kujichua ni kawaida na afya. Watu wengi huendelea nayo hadi utu uzima ila pale inapokuwa uraibu hadi kususia sex na majukumu basi shida unakuta ni hii

    Sio kwamba eti ni punyeto ndio imefanya umeaanza kuona hakuna utamu katika sex , no , ni afya ya akili ndio director wa hii movie, unakuta mtu anachakata mikono kila muda kwa kutumia energy zake zote na akifanya hivi akili yake hutulia tuli kuliko kama angepata jagina. Usicheze na kitu kinaitwa...
  3. H

    JamiiForums Tanzania Sielewi kwanini Bima ya Afya kwa wote inashindikana Tanzania!!

    Habarini, Kwanini lakini kitu cha muhimu kama hiki hakitiliwi maanani? Watu wanapanga kuandamana kwaajili ya masilahi ya wanasiasa badala ya maandamano kwaajili ya BIMA YA AFYA KWA WOTE kwani ndiyo shida ya Watanzania walio wengi. Ni bora wapinzani mkawekeza kwenye matatizo ya wananchi siyo...
  4. lagon

    JamiiForums Tanzania KERO Kuchelewa kwa Madaktari kutoa huduma Muhimbili, wengi wanaanza kuhudumia wagonjwa saa 5 Asubuhi

    Nimekuwa nikihudhuria Muhimbili kwa takribani mwezi sasa. Ukweli wagonjwa wanachukua muda mrefu sana kumsubiria Daktari afike. Madaktari wengi wanaanza kusikiliza wagonjwa kuanzia SAA TANO asubuhi wakati kuna watu wamefika toka saa kumi na moja asubuhi. Nashindwa kuelewa wanakuwa wapi alafu ni...
  5. A

    JamiiForums Tanzania KERO Ajira mpya Momba DC kada ya afya wa Januari 2026, bado hatujalipwa fedha zetu za kujikimu

    Habari za majukumu, JF. Sisi watumishi wa ajira mpya wa Januari 2026 katika Halmashauri ya Wilaya ya Momba (Momba DC) bado hatujapokea fedha zetu za kujikimu hadi leo, wakati watumishi wa halmashauri nyingine tayari wamelipwa. Jambo linalotusikitisha zaidi ni kwamba tunapofuatilia stahiki zetu...
  6. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kituo cha Afya Makurumla (Dar) hatulipwi malipo ya overtime pia tunaambiwa tuwatoze wajawazito

    Napenda kuwasilisha malalamiko kuhusu yanayoendelea katika Kituo cha Afya Makurumla (zamani Mianzini) kilichopo Mburahati, Dar es Salaam. Kwanza, kuna changamoto kubwa ya malipo ya overtime kwa watumishi. Tulilipwa mara ya mwisho mwezi Oktoba 2025, na tangu Novemba hadi sasa hatujalipwa kabisa...
  7. A

    JamiiForums Tanzania KERO Watumishi wa Afya tunalazimishwa kuchangia pesa ya Mwenge, Halmashauri ya Wilaya Buhigwe - Kigoma

  8. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe uchunguze Idara ya Afya

    Kumekuwa na changamoto nyingi sana za kiutumishi kwa uongozi uliopo, watumishi kunyanyaswa na kukosa haki zao za kiutumishi na kupelekea utendaji kazi kudhoofika kwa baadhi ya watumishi na hali hii imesababisha kutokuelewana katika kutimiza majukumu ya kazi ya kila siku na kufanya utendaji kazi...
  9. Zirconium

    JamiiForums Tanzania Je unasumbuliwa na matatizo ya meno Kama kuoza / Kutoboka !?

    Iwapo meno yako yametoboka/ kuoza kuna huduma ya kuziba meno ( Teeth Filling / Restoration) Faida Zake -Jino Litadumu kwa mda mrefu -utazuia kuharibika zaidi kwa jino -Utatafuna Chakula Vizuri Utalinda meno mengine yasiharibike Utakuwa na Muonekano mzuri wa meno yako Nimeambatanisha...
  10. GUZMAN CHAPO

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwa ufaulu huu wa 99.9% mamlaka husika zitazame upya kozi za afya na uhitaji wake

    Kulingana na ufaulu wa kidato cha sita kuendelea kupanda na kuwa juu kadri miaka inavyozidi.Ni muda muafaka sasa mamlaka husika zikafanya jitihada za kimakusudi kutanua wigo wa masomo ya kozi za afya nchini. Katika nchi ya Tanzania bado wahitimu wengi wa kidato cha sita tahasusi ya PCB...
  11. E

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kozi ya afya ya kusoma kwa ufaulu huu

    Habari ndugu zangu ! Mdogo wetu wa kike amepata ufaulu huu hapa chini na tungependa kupata ushauri kwa next step. GS - S Physics - D Chemistry- C Bio - C Bam - C Anapenda mambo ya afya sana, sasa je ufaulu utamruhusu ? Chuo gani bora kwa kozi hizo hapa Tanzania ? Gharama / mkopo nini kifanyike...
  12. S

    JamiiForums Tanzania Ni ujinga kwa Watanzania kushangilia msaada wa afya wa USA wa USD 1.3b bila kujua masharti yake yote; Zambia, Ghana, na Zimbabwe wayamekataa!

    Hivi karibuni, kumekuwa na ushabiki wa kipumbavu sana, hasa kutoka kwa wakereketwa wa CCM, pale waliposikia USA wataipatia Tanzania msaada wa huduma za afya wa USD 1.3 ndani ya miaka mitano ijayo. Sasa hawa wenzetu wasio na uwezo wowote wa kufikiri wameshangilia sana kusikia hili, hata wakibeza...
  13. de Gunner

    JamiiForums Tanzania Ngono: Kwanini tumei-demonize?

    Hivi mtu Ulisikia neno ngono, nini cha kujia kichwani..... Wengi husema ni kufanya tendo la ndoa, bila ya Koa au kuolewa sio? Ni umalaya, ni kuharibu utaratibu, kuchepuka, uzinzi Ngono imekuwa kitu kibaya sana... Wengi tume I demonize ngono. Imekuwa kama means to an end, watu hatufurahii...
  14. backbenchers

    JamiiForums Tanzania KERO Kituo cha afya cha Magoma wilayani Korogwe mazingira yake sio safi Wala salama kwa jamii inayohudumiwa

    Kituo cha afya cha Magoma wilayani Korogwe mazingira yake sio safi Wala salama kwa jamii inayohudumiwa kwenye kituo hichi. Wagonjwa wanalalamika hali chafu ya mazingira ya kituo, mda wa kazi manesi hawapo eneo la kawaida kuhudumia wagonjwa na kero ya maji safi na salama hamna kwenye kituo cha...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Mchanyaniko wa Kitunguu swaumu, kituu maji ,karafuu una faiga gani kwa afya ?

    Nasikiia watu wanatumia sana hii kitu. Je inafaida zozote kwa afya ya binadamu? Naomba ushauri wenu.
  16. A

    JamiiForums Tanzania HOJA Ipi hatma ya fedha za Basket Fund(HSBF) kwa vituo vya kutolea huduma za Afya?

    Fedha za basket fund ambazo huwa zinaingizwa kwenye vituo vya kutolea huduma za Afya kila baada ya robo mwaka haijaingia tangu mwezi disemba 2025. Hii imepelekea changamoto ya uendeshaji wa vituo hivi vya Afya kwani fedha hizi hutumika kununua dawa na vifaa tiba, kulipa bili za umeme na maji...
  17. A

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini watumishi wa huduma afya wakiwa kazini wanavaa sana yeboyebo je ndio utaratibu rasmi wa wizara ya afya?

    Nipo katika hospital ya Wilaya ya Mkalama muda huu. Naona kila mhudumu wa afya anapita kavailia uniform nadhifu lakini cha kushangaza chini wanavaa yeboyebo tena za shilingi elfu tano tano. Je, ndio utaratibu rasmi wa Wizara ya Afya?
  18. funaku

    JamiiForums Tanzania Tanzania na Marekani wasaini makubaliano ya bilioni 3.1 katika sekta ya Afya

    KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!! Nchi yetu imesaini makubaliano muhimu ya sekta ya Afya yenye thamani ya bilioni 3.1. Hili sio jambo dogo hususani ukiangazia mwenendo wa ufadhili wa USA kwa Tanzania kwenye sekta ya Afya. Vile vile hili ni pigo kubwa kwa wapinzani wapinga maendeleo ambao...
  19. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Chalamila: Wananchi wa Dar kufanyiwa vipimo vya afya bure kuanzia Julai 3 hadi Julai 8, 2026

    Albert Chalamila, leo Julai 2, 2026, amezungumza na waandishi wa habari na kutangaza kuwa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa imeandaa kampeni maalum ya upimaji wa afya na utoaji wa matibabu bure kwa wananchi kwa muda wa siku sita. Akitoa taarifa hiyo, Chalamila amesema kampeni hiyo itaanza Julai 3 hadi...
  20. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Serikali itusaidie Watumishi wa Kituo cha Afya Yombo Vituka, kuna mambo ya Uongozi hayapo sawa

    Mimi ni mmoja wa watumishi wa Kituo cha Afya Yombo Vituka, na ninaomba kufikisha kilio chetu kuhusu mazingira ya kazi ambayo kwa muda mrefu yamekuwa magumu kutokana na mwenendo wa katibu wa kituo chetu. Sisi watumishi tunafanya kazi kwa muda wa ziada (overtime), lakini malipo yake hayafanyiki...
Back
Top Bottom