Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,194
- 4,116
Kuna watu wamepoteza ari ya kupiga kura kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa na Uchaguzi Mkuu.
Wapo wanaosema waliacha kwa kuwa hawana imani kama kura wanazipiga ndizo zinaamua mshindi, wanaona kama uchaguzi ni kiini macho tu hivyo wamekata tamaa ya kushiriki.
Wengine wakidai wanajichosha kwenda kuwachagua, viongozi ambao hawatekelezi mambo waliyoahidi hivyo wameokata tamaa ya kwenda kuwachagua.
Kila mtu aliyakata tamaa ya kushiriki zoezi zima la uchaguzi anazo hoja, japo anahitaji kutafakari kwa kina kwani kususia zoezi la uchaguzi ni sawa na kuacha kubeba silaha katikati ya vita, inabidi watu waendelee kupiga kura kutokana na umuhimu wa zoezi hili kwani ni haki yao ya msingi ya kikatiba na pia kuimarisha Demokrasia nchini.
Je, wewe mara yako ya mwisho kupiga kura ilikuwa lini? Kwenye uchaguzi upi?
Ni sababu zipi zilikufanya ikawa ndio mara yako ya mwisho, na jeuna mtazamo gani juu ya zoezi hilo lililombele yetu?
Wapo wanaosema waliacha kwa kuwa hawana imani kama kura wanazipiga ndizo zinaamua mshindi, wanaona kama uchaguzi ni kiini macho tu hivyo wamekata tamaa ya kushiriki.
Wengine wakidai wanajichosha kwenda kuwachagua, viongozi ambao hawatekelezi mambo waliyoahidi hivyo wameokata tamaa ya kwenda kuwachagua.
Kila mtu aliyakata tamaa ya kushiriki zoezi zima la uchaguzi anazo hoja, japo anahitaji kutafakari kwa kina kwani kususia zoezi la uchaguzi ni sawa na kuacha kubeba silaha katikati ya vita, inabidi watu waendelee kupiga kura kutokana na umuhimu wa zoezi hili kwani ni haki yao ya msingi ya kikatiba na pia kuimarisha Demokrasia nchini.
Je, wewe mara yako ya mwisho kupiga kura ilikuwa lini? Kwenye uchaguzi upi?
Ni sababu zipi zilikufanya ikawa ndio mara yako ya mwisho, na jeuna mtazamo gani juu ya zoezi hilo lililombele yetu?