sumu

  1. a sinner saved by Christ

    JamiiForums Tanzania Tumuombee Mchungaji **AMIELI KATEKELA** vita anayopitia kila mara wanajaribu kumuua kwa sumu /bunduki kwa yeye kuhubiri injili ya kweli.

    Kama kichwa kinavyojieleza watu wa Mungu tuzidi kumuinua kwenye maombi mchungaji AMIELI KATEKELA mara kwa mara amekuwa akiwekewa sumu na hata kutumiwa watu wenye silaha za moto bunduki kutafuta kumuua ,kwa sababu ya kuhubiri injili ya kweli ambayo kwa sasa haihubiriwi sana,mitume na manabii wa...
  2. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Samia: Vijana wanamezeshwa sumu kuchukia Serikali

    Samia amesema kuwa baadhi ya Mataifa makubwa duniani hayafurahishwi na kasi ya maendeleo ya Nchi zinazoendelea, huku wakiwalaghai Vijana kuhujumu Mataifa yao. Samia ameyasema hayo leo Julai 13, 2026, wakati akizungumza katika Mkutano Mkuu wa Chama cha Mawakili wa Serikali pamoja na Wakuu wa...
  3. Frank Wanjiru

    JamiiForums Tanzania Samia: Vijana wanamezeshwa sumu kuichukia Serikali.

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema kuwa baadhi ya Mataifa makubwa duniani hayafurahishwi na kasi ya maendeleo ya Nchi zinazoendelea, huku wakiwalaghai Vijana kuhujumu Mataifa yao. Rais Samia ameyasema hayo leo Julai 13, 2026, wakati akizungumza katika...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Kuna wimbi la kuwaaminisha vijana wa Kiafrika kuwa serikali zao hazifati haki za binadamu

    Tais Samia amesema kuwa Tanzania wanafuata haki za binadamu kikamilifu. Hayo ameyasema Rais Samia leo, 13 Julai, 2026
  5. H

    JamiiForums Tanzania Mtetezi wa Wanyonye adaiwa kupewa sumu

    Nimepokea taarifa kuwa kuna njama za kumdhuru kwa kumuwekea sumu kwenye chakula Mtetezi wa Wanyonge, Mwenyezi Mungu ni mwemba amnusuru. Kwa sasa siwezi kuthibitisha kwa undani kilichotokea, lakini naamini ukweli utajulikana. Kasi yake ya kukubalika kila Kona ya nchi imewatisha, wananchi wote...
  6. E

    JamiiForums Tanzania Sumu za kummaliza mtu bila ushahidi zinapatikana Russia!?

    Katika visa na Mikasa ya kijasusi nimesikia warusi Wana sumu kali ya kuwamaliza mahasimu wao ikiwemo wasaliti kwa sumu zisizokuwa na shaka
  7. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Mke adaiwa kumuua mumewe kwa sindano yenye sumu

    Queen Mbuba, Mkazi wa Kijiji cha Igunda, Wilaya ya Mbozi, Mkoani Songwe, anadaiwa kumuua mume wake baada ya kumchoma sindano inayodaiwa kuwa na sumu na baadaye kumshambulia kwa kitu chenye ncha kali. Taarifa iliyotolewa Mei 26, 2026 kwa vyombo vya habari na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe...
  8. T

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Kimenuka! mtawala wa Emirati alishwa sumu, tetesi kaaga!

    Amepachikwa jina la utani: "Shetani wa Waarabu", kutokana na uovu wake alioueneza nchi zote za Kiarabu. Mohammed bin Zayed, anapumulia mashine, na taarifa nyingine zinasema "kisha kitoa". Ulimwengu mzima wa Kiarabu uko katika shamra shamra za kufurahia, hata kama haijathibitishwa rasmi kifo...
  9. Red black

    JamiiForums Tanzania Kufanya mapenzi na mwanamke aliyekuzidi umri ni kama kuonja sumu

    Huo ndio ukweli...najua kuna raia mtakuja kuniattack na kusema mapenzi hayana umri. shame on you!!
  10. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Chuki juu ya mtu ni sawa na kuchukua sumu na kuiweka mdomoni mwako kisha unasubiri imuue mtu unayemchukia. Utakufa mwenyewe

    Hii ni tahadhari kwa watu wenye roho mbaya, roho za kichawi. Iwe unamchukia mtu kwakuwa alikutendea jambo baya, au alimtendea mtu mwingine jambo baya au umeamua tu kumchukia kwasababu za kisiasa au unamchukia mtu kwasababu ya ujinga uliokukandamiza. Yaani haupaswi kumchukia mtu. Nyie...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Ruvuma: Amchoma mkewe tumboni kisha kunywa sumu baada ya kugundua anatumia dawa za kufubaza virusi vya UKIMWI

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Ruvuma linamshikilia Mwanaume mmoja mkazi wa kijiji cha Tingi, wilayani Nyasa mkoani Ruvuma, kwa tuhuma za kumchoma mke wake tumboni kwa kutumia kitu chenye ncha kali baada ya kugundua kuwa Mke wake alikuwa anatumia dawa za kufubaza virusi vya UKIMWI (ARV) kwa siri...
  12. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Dalili za mtu aliyewekewa sumu kwenye chakula

    Dalili za mtu aliyewekewa sumu kwenye chakula hutegemea aina ya sumu iliyotumika, lakini kwa ujumla dalili kuu zinazoweza kuonekana ni: 1. Dalili za Haraka (dakika hadi saa chache): Kichefuchefu na kutapika sana Maumivu makali ya tumbo Kuharisha (wakati mwingine damu ikitoka) Kizunguzungu au...
  13. DeMostAdmired

    JamiiForums Tanzania Multiparty democracy ni sumu kwa mataifa masikini hasa ya Kiafrika

    Yes habari za masiku ndugu zangu na poleni nyote Kwa kadhia tuliyoipata kwa kusimamishwa Kwa muda Kwa platform yetu pendwa ila hope now tupo sawa. Happy new year pia nawatakiwa kila lakheri katika huu mwaka mpya wa 2026. Binafsi nimekaa nikafanya utafiti wa historia mbali mbali na kutafakari...
  14. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Picha ya uyoga unaosadikika kuwa na sumu

  15. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Watu maarufu jihadhari dhidi ya hatari ya kuwekewa sumu kwenye chakula na vinywaji

    Watu maarufu, hasa viongozi wa kisiasa au wanaharakati, huwekewa sumu mara nyingine kwa sababu ya misimamo yao, ushawishi mkubwa, au kuwa tishio kwa maslahi ya watu fulani wenye mamlaka au maslahi ya kisiasa, kiuchumi au kijeshi. Hapa kuna sababu kuu zinazochangia hali hii:* 1. Migogoro ya...
  16. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Mauaji ya Kim Jong Nam 2017 kwa sumu hatari zaidi duniani Nerve agent vx

    Kifo cha Kim Jong-nam mwaka 2017 Kim Jong-nam, ambaye alikuwa kaka wa kambo (nusu kaka) mkubwa wa kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un, aliuawa tarehe 13 Februari 2017 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kuala Lumpur, Malaysia. Alikuwa akiishi uhamishoni tangu mwaka 2003 baada ya...
  17. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Ikitokea umekula sumu bahati mbaya, nini cha kufanya?

    habari Natanguliza shukrani nauliza kama wataalamu mtatusaidia.
  18. Superbug

    JamiiForums Tanzania Leo nimeshauriwa nikatoe sumu kwa njia ya kuweka miguu kwenye beseni ( ya wachina) je hii ni kweli?

    Nimekuwa na unene kiasi nina kitambi kuna mtu kanishauri niende nikatoe sumu kwa Wachina ile unakiweka miguu halafu miguu inalowekwa kwenye beseni halafu kuna mashine Iko kama kafriji na kawaya flani wanakaweka mikononi. Hii kitu ilianza miaka ya mwishoni ya 2000 nikiwa kijana ila Sasa ni mtu...
  19. Pendaelli

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Onyesha sumu yako mapema watu wakujue wewe ni nani

    Ni msemo niliuona mahali kwamba onyesha sumu yako mapema nyoka asingekuwa na sumu watu tungemgeuza kamba! Kilicho tokea wakati wa kutangazwa mawaziri na manaibu wao alionyesha sumu yake mapema kabisa ili tujue yeye ni nani na kwamba si muoga wa maneno ya watu matamko na mijadala yao...
  20. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Frank Olson: Afisa wa CIA aliyekufa baada ya kuonjeshwa sumu yake Mwenyewe

    Wakati vita baridi ikianza kupamba moto miaka ile ya 1950s na 1960s, shirika la kijasusi la CIA lilianzisha program kadhaa zilizohusisha utengenezaji wa silaha za kibayolojia au tuseme silaha za sumu. Silaha hizi za sumu zilijumuisha utengenezaji na utumiaji wa kemikali za kudhibiti akili za...
Back
Top Bottom