ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 19,728
- 28,284
Poleni sana kwa dhahama mliyokutana nayo jana. Tuseme tu ukweli Simba hawana timu ya kumfunga Ahly.
Hapa bongo huwa mna struggle sana kuzifunga timu pinzani.
Ukweli ni kwamba mna bidii lkn hamna wachezaji wenye viwango
Baada ya kusema hayo sasa angalieni kaka zenu kimpira watakachomfanya mamelodi leo. Mpira mkubwa kelele kidogo.
Hapa bongo huwa mna struggle sana kuzifunga timu pinzani.
Ukweli ni kwamba mna bidii lkn hamna wachezaji wenye viwango
Baada ya kusema hayo sasa angalieni kaka zenu kimpira watakachomfanya mamelodi leo. Mpira mkubwa kelele kidogo.