Kelele za Serikali ya mama Samia ni nyingi kuliko maendeleo

Kahtan Ahmed

JF-Expert Member
Aug 24, 2011
758
473
Imefika wakati tupigeni kelele mambo ya ajabu yatokomee

1. Vyombo vya habari vimekuwa na uhuru tu wa kusifia Serikali ya mama Samia pekee ila huwezi kukuta chombo cha habari kikihoji maendeleo ya kijamii kama kukatika katika ya umeme, uhaba wa maji, mafuta, vyakula bei juu, kuadimika kwa dolla,

2. Nchi inaumizwa walafi hujinufaisha kwa vyadhifa zao ripoti ya CAG imekuwa kama nyimbo ambayo haina maana

3. Kila Jambo imekuwa ni fursa kwa kisiasa, Afya, uchumi, michezo, sanaa, Elimu vyote vinaendeshwa kisiasa na sio kwa weledi ndio maana hatuwezi kufika mbali

4. Watu ambao hawana taaluma na uwezo kupewa nafasi kisa tu ni waasisi wa chama.

Taifa linapotea na kiukweli mama kazidiwa maarifa maana kila akifungua kituo cha habari ni kelele tu kusifiwa ila haelewi hali mtaani ni ngumu mno.
 
Wabongo tupo vzuri sana mdomoni. Vitu vingine tutumie macho tu, sio lazima kuwa n uwezo mkubwa wa kufikia.

Kwa uwezo wangu finyu, ninampongeza mama kuendelea n juhudi za kuendelea n ujenzi wa mwendo kasi n amemtafuta hadi mwekezaji serious atakayeiboresha iyo huduma, kuendelea n sgr, nyerere dam, ndege mpya ikiwemo za mizigo, ujenzi wa barabara ninauona kila kukicha, shule nyingi sana za msingi n seko zimeonfezewa madarasa, ameendelea kuvipanua n kuongeza bajeti ya vituo vya afya, hoima tanga boma limeanza kujengwa rasmi, nk.

Cjajua tunanufaika vipi bandari ila nina uhakika faida ni kubwa sana tunayoipata. Ila kusema ukweli, hivyo hapo juu nimeviona kwa macho yangu n ninampongeza rais wangu kwa hili maana iyo ni miradi yamabilioni ya pesa. Haya nimeyaona n ninajivunia serikali yangu kutekeleza hio miradi ya kimkakati.

Nikizingatia maisha niliyoyaona kwa majirani zetu africa mashariki, Tanzania tupo vzuri kinyama. Mwisho, bado nipo chuo so sihusiki n uchawa wala kufaidika kwa njia yeyote ile n serikali yangu. Hayo niliyoyasema ni facts, serikali yetu inahitaji pongezi
 
mbona unajistukia
Wewe shule ya msingi uliyoisomea haijaongezewa majengo, hospitali? Huoni barabara zinavyojengwa, masoko, vituo vya mabasi n daladala??? Kipo hata kimoja nilichodanganya?? Sasa nijishtukie kwa lipi haswa? Embu nisaidie kwenye hili professor
 
Mama nchi imemshinda hii ndio maana Leo kaingia mitini
Mama ana cabinet ya kusifu. Hao wakina Millard wanalambishwa asali
Kwa hiyo ni auto-pilot?Tufumbe macho tuombe dua njema!😎🙏
Millard ayo
Mtu asiye na uwezo wa kufanya katika vitendo maneno huwa ni mengi.

Ndivyo ilivyo.
Ngoja Waje Sasa CCM And Company Lumumba Buku Saba FC Usikie Che Che
 
Wewe shule ya msingi uliyoisomea haijaongezewa majengo, hospitali? Huoni barabara zinavyojengwa, masoko, vituo vya mabasi n daladala??? Kipo hata kimoja nilichodanganya?? Sasa nijishtukie kwa lipi haswa? Embu nisaidie kwenye hili professor nakupa kitu kimoja kijadili "UMEME"
 
Imefika wakati tupigeni kelele mambo ya ajabu yatokomee

1. Vyombo vya habari vimekuwa na uhuru tu wa kusifia Serikali ya mama Samia pekee ila huwezi kukuta chombo cha habari kikihoji maendeleo ya kijamii kama kukatika katika ya umeme, uhaba wa maji, mafuta, vyakula bei juu, kuadimika kwa dolla,

2. Nchi inaumizwa walafi hujinufaisha kwa vyadhifa zao ripoti ya CAG imekuwa kama nyimbo ambayo haina maana

3. Kila Jambo imekuwa ni fursa kwa kisiasa, Afya, uchumi, michezo, sanaa, Elimu vyote vinaendeshwa kisiasa na sio kwa weledi ndio maana hatuwezi kufika mbali

4. Watu ambao hawana taaluma na uwezo kupewa nafasi kisa tu ni waasisi wa chama.

Taifa linapotea na kiukweli mama kazidiwa maarifa maana kila akifungua kituo cha habari ni kelele tu kusifiwa ila haelewi hali mtaani ni ngumu mno.
Uchawa ni shida mojawapo kubwa hawa kina Mwashambwa hawa ni tatizo kwa maendeleo ya Nchi
 
Imefika wakati tupigeni kelele mambo ya ajabu yatokomee

1. Vyombo vya habari vimekuwa na uhuru tu wa kusifia Serikali ya mama Samia pekee ila huwezi kukuta chombo cha habari kikihoji maendeleo ya kijamii kama kukatika katika ya umeme, uhaba wa maji, mafuta, vyakula bei juu, kuadimika kwa dolla,

2. Nchi inaumizwa walafi hujinufaisha kwa vyadhifa zao ripoti ya CAG imekuwa kama nyimbo ambayo haina maana

3. Kila Jambo imekuwa ni fursa kwa kisiasa, Afya, uchumi, michezo, sanaa, Elimu vyote vinaendeshwa kisiasa na sio kwa weledi ndio maana hatuwezi kufika mbali

4. Watu ambao hawana taaluma na uwezo kupewa nafasi kisa tu ni waasisi wa chama.

Taifa linapotea na kiukweli mama kazidiwa maarifa maana kila akifungua kituo cha habari ni kelele tu kusifiwa ila haelewi hali mtaani ni ngumu mno.
Tanzania chini ya Comrade Dr Samia Suluhu Hassan imepiga hatua kubwa mno mathalani kwenye maeneo uliyoyataja.....

kilichopo ni dosari, kasoro na changamoto ndani yake vitu ambavyo ni vya kawaida kabisa.

Hata hivyo hurekebishwa na kusahihishwa na mambo hukaa sawa na tunasonga mbele...

na ndio maana upotoshaji kama huu unaishia humu humu mitandaoni.

Field unachezea makofi bila wasiwasi wowote kwasabb huwezi wafunga kamba wanainchi wanao nufaika kwa mipango na jitihada kubwa sana zinazo fanywa na huyu Mama kiuchumi, kijamii na kisiasa 🐒
 
Back
Top Bottom