usiku

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. loose Nut

    JamiiForums Tanzania Hongera ARSENAL kwa kutwaa Ubingwa wa Premier League 2025/26 baada ya kupita Miaka 22

    Arsenal imetwaa ubingwa wa Premier League 2025/26 baada ya Manchester City kulazimishwa sare ya Goli 1-1 kutoka kwa Bournemouth, matokeo hayo yanamaanisha hakuna timu itakayoweza kufikia alama za Arsenal na zote zikiwa zimesaliwa na mchezo mmoja. Hadi sasa Arsenal ina pointi 82, Man City ni ya...
  2. dr namugari

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jirani yangu amefumaniwa usiku wa saa tatu na mume wake

    Wakuu vip hapo Nimepewa taarifa mbaya San kwamba jana majira ya saa tatu za usk jirani angu alimpost mchepuko wake aje ampige shoo fupi nje ya choo, choo Cha nje ya public Dad yule ni mpole sna jmn siku Dhani kama na yey angeweza kuwa na tabia mbaya ,binafsi niliwai mtaka lkn bas nikauchuna...
  3. R

    JamiiForums Tanzania Kibaha: Wanaodaiwa kuwa ni Polisi wavamia usiku wa manane na kuwakamata wananchi, watatu hawajulikani walipo

    Wakazi wa eneo la Lupaso, Vikawe wilayani Kibaha mkoani Pwani wameingiwa na hofu baada ya watu wanaodaiwa kujitambulisha kuwa polisi kufanya operesheni ya usiku na kuwakamata baadhi ya wananchi, siku nane tangu kutokee vurugu zilizohusishwa na mgogoro wa ardhi katika eneo hilo. Tukio hilo...
  4. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Watu waliovamiwa usiku pwani ni ipi hatma yao?

    Salama! Kuna taarifa niliiona kati ya Mei 1_5 mwaka huu watu wanaosadikika kuwa zaidi ya 300 Waliingia na coaster usiku na kuvamia eneo lililopo pwani na kuanza kubomoa nyumba za watu na kuwaamuru watoke na waondoe vitu vyao ili wabomoe. Kuna mama mmoja anasema mpaka kanga yake aliyokua amevaa...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Ukiwa na sehemu ya kulala usiku shukuru sana, usiku ni mrefu sana kama umekosa pa kulala

    Ukiwa na sehemu salama ya kulala usiku, shukuru sana hata kama unalalia mkeka. Kuna watu usiku ukiingia wanabaki na mawazo tu ya wataegemea wapi, watajisitiri wapi, au wataamkaje salama kesho yake. Usiku huwa mrefu sana kwa mtu asiye na pa kulala. Kile unachokiona cha kawaida, kwa mwingine ni...
  6. R

    JamiiForums Tanzania Sala ya Leo: Usiku Mwema Mungu atatenda

    Wote tusali kwa pamoja kadri ya maandishi kwenye picha hapa chini na wimbo wake. Mods niwekee hiyo clop vema
  7. M

    JamiiForums Tanzania Dah, hili kanisa too much, usiku kucha nyimbo tu

    Dah, hili kanisa too much, usiku kucha nyimbo tu. Saa 2 usiku hadi saa 12 asubuhi. Usingizi hauji kabisa , sijui wagonjwa wapo hali gani
  8. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simu ya mpenzi wako kuwa Bize usiku mnaitafsiri vipi wakuu?

    Hodi wana jamvi, Katika pirika za maisha japokua tunapambana kutafuta maokoto Kunamda tunahitaji faraja angalau kutibu stress.ndipo pale tunakua na binadamu eva(mwanamke) ili kuweka msawazo wa uumbaji Unakutana na binadamu ifikapo mida ya saa 3 usiku simu iko Bize,mbaya zaidi yupo kwao hana...
  9. Mocumentary

    JamiiForums Tanzania KERO: WATOTO KUFANYISHWA KAZI USIKU KAMA OMBAOMBA.

    Usiku huu maeneo ya Palm beach mataa kutokea Aga khan, watoto waili chini under 10, wanafanyishwa biashara na kuomba pesa huku wazazi wakiwa chini ya miavuli. Watoto wananyeeshewa na mvua baridi kali. Watoro ni wadogo kuna mmoja wa kike ni mdogo mno Serikali ustawi wa jamii ..
  10. H

    JamiiForums Tanzania Mpigie kura mwanamke kinara sekta ya elimu 2026 - Christiba Chacha

    MPIGIE KURA MWANAMKE KINARA SEKTA YA ELIMU 2026 - CHRISTINA CHACHA Mwisho wa kupiga Kura ni tarehe 20.04.2026 11.59 usiku. Andika jina kwenye comment katika akaunti ya Instagram ya Mwanamke Kinara (Jina Christina Chacha) au Piga kura kwenye Channel ya Whatsapp ya Mwanamke Kinara link SEKTA...
  11. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Foleni haitembei kati ya Tegeta na Mbezi Afrikana saa 5 za usiku

    Habari ndiyo hiyo, kama unatarajia kwenda popote, badili njia. Hata bodaboda hazipiti
  12. C

    JamiiForums Tanzania Nilichokiona kwenye kioo mida hii saa sita kasoro usiku

    Hii ilitokea leo usiku ambaop nimechelewa kutoka kwenye mihangaiko yangu ( hua naingia mihangaikoni ) niliingia magetoni kama kawaida, na kila kitu kilikuwa kawaida kabisa. nilikuwa nimechoka sana na nataka kulala tuu. lakini nilishapanga leo ni ratiba ya kuoga baada ya kutoiga kwa siku kadhaa...
  13. R

    JamiiForums Tanzania Trump atishia kuiangamiza Iran usiku wa leo kama hawatofanya maamuzi ya Makubaliano kabla ya muda uliowekwa kuisha

    Kupitia Mtandao wake wa Truth Social Rais wa Marekani Donald Trump amechapisha kuwa usiku wa leo inawezekana akaangamiza mji mzima wa Iran endapo hawatofanya maamuzi ya mapema ya Makubaliano ikiwa muda uliowekwa ukaisha, pia ametsihia Iran kufungua mlango wa bahari ya Hormuz Trump’s deadline...
  14. kimsboy

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Ndege nyingine yaangushwa usiku huu US A-10 warthog

    🚨 BREAKING: 🇮🇷🇺🇸 A second U.S. aircraft, an A-10 Warthog, went down near the Strait of Hormuz, though the pilot was recovered safely. This happened around the same time a F-15E was shot down over Iran. 🇮🇷 Bad day for the USAF Today's reported incidents: 🔸F-15E (48th Fighter Wing) — Shot down...
  15. The ghost writer

    JamiiForums Tanzania Pale ninapokosa mtu wa kuchati usiku huu. Mambo yanakuwa hivi...

    Meta AI and me with my broke English......
  16. amarina

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi unaishi kwa dadaako usiku jamaa akimchapa wewe unajisikiaje?

    Huwa napiga mtungi, wifi yenu ana mdogo ake 33yrs umri wake, asa sijui wakati wa mchenetu jamaa anakuwa katika hali gani, maana sielewi kwa umri huo lazima kichupa kinajaa sana
  17. A

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Stendi ya NaneNane – Mbeya taa haziwaki usiku, tunalazimika kutumia tochi za simu

    Watumiaji wa Stendi ya NaneNane Mkoani Mbeya tuna changamoto inayohusiana na usalama wetu, kwani nyakati za Usiku abiria wanaoshuka hapo wanakutana na giza kwa asilimia kubwa. Taa zipo ila haziwaki, tunateseka sana, tunalazimika kutumia mwanga wa simu, hatujajua shida nini. Tatizo hili...
  18. M

    JamiiForums Tanzania Michezo ya akili: Wakati uvumi wa kifo cha Netanyahu ukienea, Israel imefanikiwa kuwaua Katibu wa Baraza la Usalama la Taifa la Iran na mkuu wa Basij

    Uvumi wa kifo cha Netanyahu ulipoanza, Israel waliona taarifa hizo zinaweza kutumika kwenye vita. hawakupoteza muda, waligeuza uvumi huo kuwa silaha, kama msemo wa Wazungu unavyosema “ukipewa malimao, tengeneza juice ya lemonade.” Kwa ustadi wa hali ya juu, walitumia taarifa hizo kama chambo na...
  19. MK254

    JamiiForums Tanzania Malaika wa kwenye uislamu humlaani mwanamke usiku kucha akimnyima mumewe unyumba

    Ni kama hawa malaika hukaa mkao wa kusubiri kutazama show, ila sasa mke akigoma kumfuata mume kitandani, wanamlaani huyo mwanamke usiku kucha.... Sio maneno yangu ila andiko hili hapa.... sahih al-bukhari 3237 Allah's Messenger (ﷺ) said, "If a husband calls his wife to his bed (i.e. to have...
  20. Mad Max

    JamiiForums Tanzania KERO DAWASA kwanini mnafunga maji usiku, pakikucha mnafungua?

    Kuanzia Wakurugenzi, Mameneja, Bodi hadi mafundi wote mjitafakari. Mnazingua.
Back
Top Bottom