JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
  • Sticky
Kumekuwa na mada nyingi kuhusu mambo yote yahusuyo magari, nikaona basi na sisi tuwe na Uzi huu ambapo habari zote zihusuzo magari kuanzia kuchagua, kuagiza, kuuza, kubadili nyaraka, matengenezo...
67 Reactions
7K Replies
1M Views
  • Sticky
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU WA JF Twende pamoja kwa waliotumia na wanaotumia pikipiki tuu. Kati ya hizi pikipiki unaipenda sana ipi na kwanini(based katika matumizi binafsi)? 1. Boxer...
5 Reactions
628 Replies
182K Views
  • Sticky
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU KUHUSU GARI HII Wakuu rafiki yangu mmoja yupo interested na hizi gari aina ya Subaru Forester lakini kabla hajaingiza maamuzi mzima mzima alitaka kujua yote...
5 Reactions
413 Replies
169K Views
  • Sticky
wadau naomba mwenye uelewa au uzoefu wa gari aina ya Land Rover Discovery 4, anipe maelezo.. specifications, bei, fuel consumption, upatikanaji wa spare parts, na kama inafaa sana kwa barabara zetu..
7 Reactions
260 Replies
99K Views
  • Sticky
Nilikuwa naangalia mitandao mbalimbali ya magari ambayo wanaleta magari used hapa Tanzania. Bahati nikapata mtandao ambao umenivutia, una magari yanayoonekana ni mazuri kwa picha, lakini kwa kuwa...
15 Reactions
501 Replies
261K Views
Hii trend ya kuuza gari mtu anaangalia usajili wa namba namba ya gari ni ya lini mfano EEM, DYL, DME ndo atamke bei ni ushamba sana unaendekezwa na washamba, Kwamba gari nzuri ni yenye namba...
5 Reactions
22 Replies
2K Views
Wadau na wataalamu wa Magari naombeni ushauri gari yangu ninapowasha AC inatumia mafuta mengi sana. Kwa mfano nisipowasha AC ninaweza tembea 12km/L mpaka 13km/l hapa mjini,Lakini nikiwasha AC...
1 Reactions
7 Replies
225 Views
Habari great thinkers Nina boxer bm 150 niliyoitumia kwa takribani miaka 7 (84,000km mileage) sasa kuna mtu katokea anaitaka kwa 1,700,000/= Sasa nilikuwa nafikiria nikiuza ninunue Shineray...
2 Reactions
29 Replies
484 Views
Wakuu. Mapenzi ya Watanzania kwa SUV pendwa Mazda CX-5 yanazidi kujionesha kwa Mtandao maarufu wa kuingiza Magari kutoka Japan kuiweka katika magari 10 yanayoingizwa sana Tanzania na kushika...
13 Reactions
56 Replies
2K Views
Hatujawahi kosa jibu ama solution humu. Nimeona magari yanakuwa na Plate Number Nyeusi zikiwa na format ya namba na herufi za kawaida Mfano T 747 DFY Ila kibao kinakuwa cheusi. Humaanisha nini ?
3 Reactions
18 Replies
4K Views
Hii ndio habari ya mjini Kwa wale wapenda magari mazuri Hizi ni gari shindani kwa sababu zote zipo kundi moja la COMPACT SUV. Zinafanana sifa katika utendaji kama vile: 1. Ukubwa wa umbo 2...
4 Reactions
20 Replies
2K Views
Wakuu, tukubali magari ya umeme yanazidi kuongezeka kwa kasi sana ndani ya hii miaka mitano. Na inavoelekea yatazidi kuongezeka maradufu. Mfano tu angalia hii chart nimeitoa Wikipedia. Sasa kwa...
22 Reactions
66 Replies
1K Views
Kwa muda sasa redio yangu haina remote kitu ambacho hunifanya ili nibadilishe njia ya matumizi ya redio au tv kunilazimu nisimame nikabonyeze button. Je, ninaweza kupata remote yenye uwezo wa...
0 Reactions
2 Replies
56 Views
1. Prado (ubora na wingi) 2. Subaru (ubora na wingi) 3. Rav4 (wingi) 4. Vitz (wingi) 5. IST (wingi) Usichanganye bajaji na IST, IST ni gari.
4 Reactions
13 Replies
384 Views
Wakuu kuuliza sio ujinga.
2 Reactions
15 Replies
478 Views
Naomba msaada Gari yangu aina ya ist inazima nikiwa kwenye mwendo mdogo tatizo litakuwa nini wadau?
1 Reactions
1 Replies
96 Views
Nimekuwa nikiona zinatangazwa online na nipo mkoani, je zinapatikana kwenye maduka yetu huku mikoani?
0 Reactions
1 Replies
80 Views
Jamani nimetafakari kuhusu biashara zangu nikaona bila kuwa na usafiri wangu binafsi nitaendelea kuteseka mno kwa kudandia dandia za watu. Nimeamua kutafuta usafiri wangu binafsi kutoka kwa mtu...
3 Reactions
33 Replies
747 Views
Mwisho wa mwaka huu ndio ushafika. Wengine huwa tunapambana mwaka mzima siku za mwisho kama hizi ndio tunapumzika. Wale wa road trips ndio wakati wetu huu kupiga masafa mafupi, marefu na ya Kati...
89 Reactions
22K Replies
999K Views
habari ndugu naomba kujua vizuri kuhusu bmw 3series gt 2013 - 2015 au 5series gt uzuri wake na ubaya pia
1 Reactions
20 Replies
457 Views
Habari wakuu hii gari aina ya toyota hizi toleoo la mwaka 2020 kama sikoseii nigari bora zaidi kutolewa kwenye matolea ya landcruiser prado ndomana hata serkali yetu inayaagiza kwakasi sasa...
2 Reactions
21 Replies
3K Views
[emoji599]: Unajua XT Kwenye Subaru Forester Inamaanisha nini? T” inamaanisha “Turbo Charger” na X ni “maximum traction” ni sawa na kusema all-wheel-drive,na pia inauwezo mkubwa wa kutembea...
9 Reactions
27 Replies
3K Views
What is the technical challenge of Subaru Forester XT Subaru challenge
3 Reactions
9 Replies
186 Views
Ndinga moja matata sana.
4 Reactions
17 Replies
2K Views
Back
Top Bottom