JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
  • Sticky
wadau naomba mwenye uelewa au uzoefu wa gari aina ya Land Rover Discovery 4, anipe maelezo.. specifications, bei, fuel consumption, upatikanaji wa spare parts, na kama inafaa sana kwa barabara zetu..
7 Reactions
244 Replies
90K Views
  • Sticky
Nilikuwa naangalia mitandao mbalimbali ya magari ambayo wanaleta magari used hapa Tanzania. Bahati nikapata mtandao ambao umenivutia, una magari yanayoonekana ni mazuri kwa picha, lakini kwa kuwa...
15 Reactions
499 Replies
250K Views
  • Sticky
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU WA JF Twende pamoja kwa waliotumia na wanaotumia pikipiki tuu. Kati ya hizi pikipiki unaipenda sana ipi na kwanini(based katika matumizi binafsi)? 1. Boxer...
5 Reactions
611 Replies
154K Views
  • Sticky
Kumekuwa na mada nyingi kuhusu mambo yote yahusuyo magari, nikaona basi na sisi tuwe na Uzi huu ambapo habari zote zihusuzo magari kuanzia kuchagua, kuagiza, kuuza, kubadili nyaraka, matengenezo...
65 Reactions
7K Replies
1M Views
  • Sticky
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU KUHUSU GARI HII Wakuu rafiki yangu mmoja yupo interested na hizi gari aina ya Subaru Forester lakini kabla hajaingiza maamuzi mzima mzima alitaka kujua yote...
4 Reactions
396 Replies
148K Views
Wanajamvi Salaam. Nahitaji kununua gari kwa mara ya kwanza, naomba kufahamu kati ya Toyota Allex, wish na subaru impreza ipi ni gari bora na kwasababu zipi. Natanguliza shukrani za dhati kwa...
1 Reactions
37 Replies
4K Views
Je, zina range bei gani za mwaka 2008 hadi 2012? Je zipo zenye Automatic Transmission? Vipi kuhusu ulaji wake wa mafuta? Karibuni ndugu.
1 Reactions
6 Replies
131 Views
Mwisho wa mwaka huu ndio ushafika. Wengine huwa tunapambana mwaka mzima siku za mwisho kama hizi ndio tunapumzika. Wale wa road trips ndio wakati wetu huu kupiga masafa mafupi, marefu na ya Kati...
84 Reactions
21K Replies
851K Views
Habari, Kuna mnada wanauza gari zilizokufa za serikali namba SM na STG. Ninataka kujua taratibu za kubadili umiliki. Je, hatua gani za kufuata? Na Je, Kuna ukweli Kuna uwezekano kulipia ushuru...
0 Reactions
6 Replies
335 Views
Mchina Nampa Hongera sana sana kwa kuangalia nini kinachotufaa sisi Watanzania. Naangalia bei ya hizi Howo, Faw , schacman naoni bei zao ziko reasonable price ukilinganisha na haya mascania ambayo...
13 Reactions
160 Replies
7K Views
Wakuu salama? Nipo dilemma hapa nataka kufanya wheel balance & allignment. Kuna THE WHEEL na EVOLUTION watu wanaziongelea sana kwa haya masuala. Wapi wapo vizuri kwa wataalam mliowai zitumia...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu Nmejichanga changa nikapata milion 12 za kuvuta kausafiri, nategemea kuvuta kutoka mkononi mwa mtu. Sina hela yakuongezea kuagiza gari mpya sina uwezo huo. ili niondokane na...
2 Reactions
44 Replies
7K Views
Ndugu JF wenzangu nami nataka niingie kwenye ukoo wa kumiliki chombo cha moto, gari ninazo zipenda ni hizo, nataka kuagiza moja wapo toka Japan, hivyo naomba ushauri kwa wenye uzoefu juu ya magari...
0 Reactions
42 Replies
12K Views
Wakuu kumeibuka fashion ambayo naiona ina trend sana mjini. Huu mtindo wa kuweka urembo wa manyoya katika dashboard mpaka almost dashboard kama yote inafunikwa! Wanaojua faida ya hii kitu tunaomba...
1 Reactions
21 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu, namshukuru mwenyezi Mungu panapo majaaliwa mwezi wa nane mwanzoni nitaipokea hii gari ambayo nimekua na ndoto nayo kwa muda sasa. Kiukweli sijawahi kuendesha gari ndo nakula...
0 Reactions
0 Replies
54 Views
Habari zenu. Kama ambavyo nimeandika hapo juu naulizia nani anafahamu kampuni wanaotengeneza seat za magari, sio seat covers, ni seat zenyewe.
0 Reactions
2 Replies
129 Views
Wakuu kuna gari Toyota Ist cc 1290, jumamosi iliyopita imeanza tabia ya kujipiga resi na kupandish RPM hadi 2 ukiwa unapark baada ya mizunguko na kuweka P ama ukiamua kuweka N neutral. Ukiwa...
0 Reactions
10 Replies
249 Views
Ndugu wana JF kulingana na utafiti wangu mdogo nimeona kuna uhitaji wa uzi wenye kujuzana wapi unaweza pata vitu kama vilivyotajwa hapo juu na vingine vinavyohitajika katika magari au mashine...
3 Reactions
84 Replies
2K Views
Wadau habari, ili na mimi nisinyeshewe na mvua nina ka mkweche kangu ka vitz old model. Ni spana mkononi ila kananisave. Sasa block ilikuwa imepasuka, nilipopata nyingine fundi akakata cylinder...
2 Reactions
3 Replies
159 Views
Wakuu naomba kufahamu wataalamu wa magari, je ni wazo jema mtu kutaka kuuza Vanguard ya mwaka 2011 na kutaka kununua Nissan Extrail ya mwaka 2016. Naomba uzoefu na ujuzi wenu wakuu. Gari zote...
3 Reactions
18 Replies
657 Views
Hello bosses and roses... Humu watu baadhi wananijua kama computer programmer ila mie ni fundi magari pia. Kiukweli hizi gari za MAN wamejitahidi sana upande wa umeme, wiring iko organized vizuri...
13 Reactions
43 Replies
1K Views
Kwa wenye uzoefu na gari tajwa hapo juu. Ni ya 2012 Cc 1200 Kiufupi sina uzoefu na magari zaidi ya kuendesha ya watu,nmetokea kuipenda muonekano wa hii gari na kuna mtu anaiuza,sasa kabla...
5 Reactions
28 Replies
757 Views
Habari Nina Corolla XE 111 ambayo ipo sawa safari popote na haijawahi kuniweka njiani nashukuru katika safari zangu za Tanga to Dar. Hii ina 4E engine Cc 1330. Nataka walau kusogea sogea kidogo...
0 Reactions
5 Replies
445 Views
Jamaa yangu huyu alikuwa na Nissain Xtrail ile new model. Akanunua na Toyota Premio kwa ajili ya Mkewe. Anasema kwa Uzoefu wake baada ga kuzitumia zote kwa safari ndefu amegundua Toyotw Premio...
6 Reactions
162 Replies
17K Views
Kukosa mtu sahihi wa kurekebisha tatizo la gari lako. Moja kati ya makosa ambayo nimeyaona kwa kipindi kirefu ni hili. Mtu anakuwa na mawazo kichwani kwamba Fundi mmoja anaweza kufix matatizo...
7 Reactions
15 Replies
409 Views
Back
Top Bottom