Hakika nimehudhuria ndoa nyingi ila hii ndoa ya jana ilikuwa ni kiboko sana, baada ya rafiki yetu kuwa mgumu sana kwenye kuoa, hatimaye tulifanikiwa kumshawishi aoe, maana ilikuwa kila siku anasema anajipanga kujitafuta yeye kwanza ili awe na maisha mazuri, tulimshinda kwa hoja ya msingi kuwa...