Ukweli Roach (born September 22, 1986) is an English actor best known for playing the role of FBI psychiatrist Dr. Robert Borden, on the American television series Blindspot.
Kwenye muvi huwa tunaona watu wanapokaatwa wanaweza kuvumilia mateso makali
Katika maisha halisi utaweza kukaa kimya baada ya mateso ?
kwa upande wangu naweza kuvumilia mateso kama ngumi, mateke, viboko, n.k. lakini kuna baadhi ya mateso nikishaona kuna dalili ya kutumika kwangu sioni nikitoboa
WARIOBA NI MTU WA HOVYO SANA...
Kuna muda tunajizuia sana kuongea juu ya huyu mzee lakini tunashindwa kabisa kwa kuwa ana mambo ya hovyo sana na amezanza huu uhovyo muda mrefu sana..
Jose yeye kila kitu kinachofanywa na serikali ni makosa na lazima awe na mawazo tofauti na kukosoa na...
Vyombo vya habari vya Kanisa Katoliki vimetakiwa kusimamia ukweli na kuepuka kujiingiza katika mtego wa kusambaza habari za uongo au zinazopotosha ukweli kwa maslahi binafsi na kutafuta umarufu wa kupata wasikilizaji na wasomaji au fedha.
Wito huo umetolewa na Mwenyekiti wa Kurugenzi ya...
MABINTI WAAMBIWE UKWELI SERIKALI HAITAKUWA NA MUDA WA KUSHUGHULIKIA UJINGA NA UZEMBE WAO WATAKAPOZALISHWA NA WANAUME WAPENDA UZINZI. HASA MABINTI MASKINI.
Anaandika, Robert Heriel Mtibeli
Baba
1. Hakuna cha huruma hapa. Binti Yangu hakuna wa kukuonea huruma dunia hii. Kama hutojionea huruma...
TUSIPOJITUMA TUTATUMWA: Ukweli Mchungu Kuhusu Mustakabali wa Afrika.
Kuna jambo la kutisha linaloendelea sasa hivi: Vijana wa Kitanzania na Waafrika kwa ujumla wanalegezwa taratibu na mambo yasiyo na tija. Kamari, uraibu wa michezo bila uzalishaji, na anasa za muda mfupi zimekuwa kipaumbele...
Shida ni kwamba hizi kampuni ambazo zinajihusisha na services za home internet zinakuwa kwanza hazisemiukweli interms of amount ya data unayopata, mfano unaweza kulipa unlimited kwa speed kiasi flani lakini unakuta kumbe limit ni 1tb, so wanakuwa wana advertise uongo na hawajulishi watumiaji...
Anonymous
Thread
data
internet
kampuni
kuhusu
mteja
nyumbani
ukweli
Katika dunia ya sasa, watoto wa kiume nao wanahitaji uangalizi na malezi ya karibu kama watoto wa kike. Changamoto za maisha, makundi mabaya, na ushawishi wa mitandao vinaweza kuwaathiri kirahisi. Malezi bora, maadili, na muda wa wazazi kwa watoto wao ni muhimu kwa kila mtoto bila kujali jinsia...
Hakuna hata idara yeyote inayo aminika imepongeza ripoti fake ya judge Chande. Ni mbaya kiasi kwamba imewaharibia hata washikiri wake kuaminika kimataifa hasa Sefue na Mwema wamekuwa wanajificha maana ni aibu kubwa.
Kusema vijana walikufa walichomwa na mikuki, utekaji ni mambo ya...
Baada ya kusikiliza hotuba za Goodbles Lema na Boniface Jacob walizozitoa mkoani Arusha kwenye mkutano mmoja wa hadhara hivi karibuni, napata mashaka kama watawala wataweza vumillia spana wanazopigwa na hawa makamanda.
Ninachokiona ni CCM na serikali yake kushindwa kuvumilia na kujibu hoja za...
TAARIFA KWA UMMA
Uongozi wa Wilaya ya Kilolo unapenda kutoa ufafanuzi kwa Umma kufuatia taarifa potofu inayosambaa katika mitandao ya kijamii kuhusu ubovu wa daraja linalopatikana katika kijiji cha Kiwalamo kilichopo kata ya Idete.
Taarifa hiyo haina ukweli na ina nia ovu ya kuchonganisha...
William Ruto aligopa kumualika Rais Samia nchini Kenya kuongelea refinery ya Tanga kwasababu aliogopa atazomewa na vijana Kenya na maandamano yangekuwepo. Lakini kwa akili yake ndogo haelewi kwasababu anaishi kwa kujidanganya danganya. Mama Samia kwasasa amekuwa na umashahuri wa utekaji, wizi wa...
1.Nazungumzia Kuhusu usafiri ,malazi na posho ni shilingi ngapi wanakunja?na nani anawalipa ?
2.Na tuzo za mwaka jana why hazikutolewa ! Ila pesa za waamuzi kutoka Morocco wanazo !
3.fedha za kwalipa waamuzi wanazitoa wapi wakati wameshindwa kuto tuzo za mwaka jana ?
Shikamoon wakubwa
Jamani,nimejaribu kuwaza kitu kwanini wanaume wengi hasa humu mtandaoni wa gubu sana na wanawaza ngono tu?
Kwa mfano ni juzi tu hapa nimepost mada ili kusaidiana Mawazo kuhusu maisha,kumbukeni nivyohitaji Mawazo humu si kwamba hizo aidia Mimi sina,Bali ni kwamba najaribu...
As expected, this “commission” glossed over a violent crackdown and the facts. I support the administration’s bilateral review and call for sustained pressure on Tanzania, including the release of Tundu Lissu. Waiting out scrutiny with a whitewashed report is a flawed strategy; it won’t restore...
Taifa liweze kupona msingi wake lazima huwe ukweli na uwajibikaji sasa hii Tume Jaji chande imejikita kwenye propaganda za kitoto Je kweli nyie mnataka kuliponya Taifa? Watanzania au wananchi wa karne hiii hamtaweza tena kuwadanganya kitoto tena...
Hoja Dhaifu za ‘Wheel Cover’: Kutoka kwa Maria Sarungi
Kwanza kabisa, hoja ya kuunganisha “wheel cover” kutoka kwa Maria Sarungi ni dhaifu sana kimantiki. Hii ni correlation fallacy kuona vitu vinafanana halafu unahitimisha vina uhusiano bila ushahidi wa moja kwa moja. Tanzania kuna maelfu ya...
Habari wanaJF .
Niende moja kwa moja kwenye mada kuu . katika kile kinachoendelea hasa huko south , ukweli ni kwamba lazima mkubali nyie ni wakimbizi , kuujua ukweli ni kupona: kwa nn ulazimishe kuishi kwa watu na wenyewe hawakutaki?
Kumekuwa na kasumba kwamba eti ni ''wapambanaji '' ukweli ni...
RIPOTI YA JAJI OTHMAN CHANDE NA DAMU YA TAIFA
JE, UKWELI UNAFICHWA?
Ninaona kuna juhudi za kuuficha ukweli, jambo linaloibua mashaka kwamba huenda lengo ni kulinda maslahi ya watu wachache pamoja na kuimarisha taswira ya uhalali wa serikali iliyoshika madaraka katika mazingira yenye utata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.