Je umewahi kumsikia mtu aliyepata ajali mbaya au kusimama moyo hospitalini, madaktari wakamtangaza amefariki, lakini baada ya dakika chache moyo ukaanza tena kudunda na akazinduka? Anapozinduka, anakupa kisa cha ajabu cha pale alipokuwa kwa hizo dakika chache!
Kitendo hiki huitwa Near-Death...