ukweli

Ukweli Roach (born September 22, 1986) is an English actor best known for playing the role of FBI psychiatrist Dr. Robert Borden, on the American television series Blindspot.

View More On Wikipedia.org
  1. Frank Wanjiru

    JamiiForums Tanzania Hii kampeni OPOWAZ ya tarehe 8/8/2026 ina ukweli wowote?

    8/8/2026 utafanyika uzinduzi mkubwa sana wa kampeni ya OPOWAZ hii ni kampeni rasmi ya kuwaondoa wazanzibari Tanganyika na watanganyika warudi nyumbani kila mmoja akae kwake ajenge nchi yake hivyo basi kama umepangisha mzanzibar jiandae kumuondoa kwaamani kukwepa hasara , Nduguzetu watanganyika...
  2. SankaraBoukaka

    JamiiForums Tanzania Je, tunawezaje kuamini Biblia au Qur’an kama ukweli kamili ilhali ziliandikwa, zikakusanywa, na kutafsiriwa na wanadamu wasio wakamilifu?

    Je, tunawezaje kuamini Biblia au Qur’an kama ukweli kamili ilhali ziliandikwa, zikakusanywa, na kutafsiriwa na wanadamu wasio wakamilifu?
  3. Vien

    JamiiForums Tanzania Watu wengi hudhani Customer Care nzuri ni kuwa mnyenyekevu kwa wateja. Ukweli ni kwamba Customer Care ni uwezo wa kutatua tatizo la mteja.

    Happy Thursday wana JF. Katika somo la maadili tunafundishwa umuhimu wa kuwa na heshima, unyenyekevu, uvumilivu na lugha nzuri. Haya ni maadili muhimu sana iwe ni nyumbani, kazini, kwenye biashara au taasisi yoyote. Lakini kuna sehemu moja watu wengi wamechanganya sana. Wamedhani Customer Care...
  4. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Ukweli Kuhusu Michango ya Chadema: Niwape Data Kamili

    Chadema Tokea waanze kuchangisha ma michango yao asilimia kubwa ya hiyo michango haija timiza lengp. Waje hapa kubisha niwape data kamili
  5. Fbn

    JamiiForums Tanzania Ukweli unazibwa kwa nguvu yoyote ila ukifika mnaanza kulalamika kwa nini walio wasaidia ukweli wameshindwa kuwa saidia japo mlijitenga

    Show ya miaka 30 na muendelezo 24 mamba kuhusu mashoga kuzibiti ni kama kila mtu anaangalia maisha yake na muda wake. Dudu baya endelea na msimamo wako maana umri wako si wadunia ni bonus za mungu. Nimeshangaa wasanii wengi wakipewa muda na vipindi kuhusu swala la dudu baya na nani kawatuma na...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Natafta mganga wa kuagua wa ukweli.

    Sikubali haiwezekani mtoto afikishe miaka mitatu anaongea vizuri,alikua anabwabwaja maneno chungu nzima gafla tu akaanza kua na kigugumizi Toka hapo Yani anateseka sana kwenye kuongea hadi utamuonea huruma. Hua najiuliza ni nini kilitokea sijawahi pata jibu.Hivyo natafta mganga amuague pengine...
  7. Silent Echo

    JamiiForums Tanzania Ni uongo gani ambao jamii imeufanya uonekane kama ukweli?

    Tangu utotoni tunaambiwa mambo mengi ambayo tunayaamini bila kuyahoji. Kadri tunavyokua, tunagundua baadhi yake si ya kweli au hayafanyi kazi kwa kila mtu. Kwa maoni yako, ni imani au ushauri gani ambao jamii imeufanya uonekane kama ukweli, lakini uzoefu wako umeonyesha tofauti? Shiriki mawazo...
  8. passioner255

    JamiiForums Tanzania Ukweli ni upi kuhusu Heche?

    Ukweli ni kwamba CCM/Samia hayamtaki Heche awe kwenye nafasi yake kwa sababu ya misimamo yake ya kutokutaka maridhiano feki. Ukweli ni kwamba CCM au regime hii ovu hawatafanikiwa kwa sababu baada ya kufanya yale mauaji na kufanya uhuni kama utekaji,ulawiti,ufisadi Regime hii imelaaniwa kwa...
  9. Elevenn

    JamiiForums Tanzania Mzigo wa Kujua Ukweli wa Dunia

    Katika ulimwengu huu wenye siri na mambo machafu, omba Mungu sana kwako yasionekane. Omba Mungu uwe normal kama watu wengine, usiwe na uwezo wa kujua nini kiini cha maumivu, mateso, majivuno, chuki, na dhana potofu zinazo tawala huu ulimwengu. Haihitaji kusoma, ila tu ni mipango ya muumba...
  10. Yoda

    JamiiForums Tanzania Ukweli unaoogopwa na kufichwa na watawala; Wanaharakati ni bora kuliko wanasiasa.

    Unaweza kujiuliza nini kinasababisha tabaka tawala kushambulia na kuchukia sana wanaharakati. Jibu ni rahisi sana, wanaharakati wanatishia "status quo" ya watawala, popote pale Dunia katika Karne ya 20 na 21 hakuna mabadiliko makubwa ya kubadilisha au mageuzi ya utawala yaliyowezekana bila...
  11. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Enyi Makanisa ya kilokole mwanamke akipata mimba kabla ya ndoa msimtenge mnachochea abortion acheni wazae nyinyi siyo Mungu

    Wachungaji wa Makanisa ya kilokole punguzeni mashariti acheni kuwatenga mwanamke wanaopata mimba kabla ya ndoa, hii inapelekea ongezeko la utoaji wa mimba. Na ninyi wanawake mchungaji siyo Mungu ni binadamu kama binadamu wengine acheni kujieleza Kila kitu kwa wachungaji au mnalogwa? ...ongeeni...
  12. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Hizi tetesi kuwa wajumbe wa Kamati kuu Chadema wamehongwa ili kukisariti chama na kumeuka Heche na Lissu zina ukweli?

    Tetesi zimezagaa mitaani kuwa wapo wajumbe wa kamati kuu ya Cdm wamekula mlungula ili kumsaliti Lissu na Heche. Hii yote wanatala Chadema imeguke na msimamo wa Lissu na Heche uyeyuke Kama.ni kweli hatufiki mbali.
  13. K

    JamiiForums Tanzania Mbinu ya kisasa ya kupumbaza umma kisiasa—sura ya nje dhidi ya ukweli halisi nchini Tanzania

    Rais Samia Suluhu Hassan amejipambanua kuwa mmoja wa viongozi mahiri zaidi katika kusimamia taswira ya nje kwenye siasa za kisasa. Ziara yake ya hivi karibuni katika Hospitali ya Aga Khan kumfariji mchezaji wa Young Africans SC, Pacôme Zouzoua, ni mfano halisi Aga Khan Hospital. Kwa mtazamaji...
  14. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Heche na Madai ya Bei za Mafuta: Ukweli Wafichuka

    Ufafanuzi juu ya suala la uagizaji wa mafuta nchini kipindi cha Aprili - Juni, 2026. Tarehe 27 Juni 2026, kupitia akaunti ya Instagram ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, alichapisha taarifa akidai kuwa Kampuni ya Vitol imeiuzia Tanzania mafuta kwa gharama kubwa zaidi kuliko Uganda...
  15. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania David Hundeyin: Ukweli Kuhusu Kinachodaiwa kuwa "Colour Revolution" Tanzania

    Muda mrefu kabla ya uchaguzi wa urais wa Tanzania wa Oktoba 2025 kufanyika, vyombo vya habari vya Magharibi vilikuwa tayari vimejenga simulizi kwamba Rais Samia Suluhu Hassan angeshinda uchaguzi uliodaiwa kuwa wa udanganyifu, chama kikuu cha upinzani kingezuiwa kushiriki, na maandamano...
  16. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kuna Mgao wa Maji maeneo ya Shekilango Dar? Kama Ndio, Tuambiwe Ukweli

    Wakazi wa NHC Shekilango, Ubungo, na maeneo mengine mengi tumekuwa tukikumbwa na tatizo kubwa la upatikanaji wa maji tangu mgao wa mwezi Desemba. Kinachoshangaza ni kwamba zamani eneo la NHC Shekilango lilikuwa linapata maji kwa uhakika karibu kila siku. Leo hii maji yanaweza yasionekane kwa...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Tukiachana na sensa ambayo ni makadirio, kuna ukweli Kanda ya ziwa inaweza kuwa ni robo au zaidi ya population ya Tanzania ?

    Ni mikoa ambayo ya kanda ya ziwa birth rate ni kubwa sana, kuna uwezekano ni robo au 1/3 ya population ya Tanzania ? Kagera, Geita Mwanza, Shinyanga, Simiyu Mara
  18. Nusratt

    JamiiForums Tanzania Ukweli Humuweka Mtu Huru: Nimechoka Kujiuza, Nimechoka.

    Kuna wakati inabidi ukweli uwe wazi ili upate amani ya Moyo. Mimi Nusratt Mohamed, Nimechoka kuwa muuzaji. Nimechoka na hii kazi, Nimechoka kuwa dada poa, Nimechoka kudhalilika kwenye jamii, Nimechoka kunyooshewa vidole mtaani, Nimechoka kuingiliwa na kila aina ya dhakari. Inafikia mahali...
  19. UTPC

    JamiiForums Tanzania Ongezeko la Wanawake kujifungua kwa njia ya upasuaji ni fasheni, presha au sababu za kiafya?

    SAFARI ya uzazi, ambayo kwa familia nyingi hutarajiwa kuwa ya matumaini na furaha ya kumpokea mtoto imeanza kugubikwa na hofu, mashaka na maswali yasiyo na majibu katika baadhi ya hospitali nchini. Kwa baadhi ya wazazi, chumba cha kujifungulia kimegeuka kuwa eneo la shinikizo, maamuzi ya haraka...
  20. Hamissi Hamza Jr

    JamiiForums Tanzania Ukweli mchungu usioambiwa kwenye biashara za mijini

    Ndoto Za Wengi Ni kuwa Na Biashara Mijini Hasa Kwenye Frame Ila Ukweli Mchungu Biashara Nyingi Hasa za Uchuuzi Haziendi Zimebaki Ni Za Misimu, Biashara Nyingi za MIjini Hazina Faida ya Moja kwa Moja Zimebaki ni Sehemu Za kutunzia Mitaji/Pesa Kwasababu Ya Gharama kubwa Za Uendeshaji Kama Frame...
Back
Top Bottom