mwigulu

Mwigulu Lameck Nchemba (born 7 January 1975) is a Tanzanian CCM politician and Member of Parliament for Iramba West constituency since 2010.In December 2015, he was appointed as the Minister of Agriculture, Livestock and Fisheries.
In July 2018 he was sucked down by Magufuli due to poor performance as the Minister of Home Affairs

View More On Wikipedia.org
  1. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Mwigulu Nchemba akagua maandalizi ya Siku ya Mashujaa - Dodoma

    Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Julai 17, 2026 amekagua na kupokea taarifa ya maandalizi ya Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa yanayotarajiwa kufanyika Julai 25, 2026 katika Viwanja vya Mashujaa, Mtumba, jijini Dodoma. Katika ukaguzi huo, Waziri Mkuu ameridhishwa na hatua zilizofikiwa na...
  2. USSR

    JamiiForums Tanzania Waziri mkuu Dkt Mwigulu Lameck Nchemba awasili Ufaransa kumwakilisha Rais katika siku ya Kiswahili

    WAZIRI MKUU AWASILI UFARANSA KUMWAKILISHA RAIS SAMIA KWENYE MAADHIMISHO YA SIKU YA KISWAHILI DUNIANI Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, amewasili jijini Paris, Ufaransa leo, Julai 6, 2026, kumwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Maadhimisho ya Siku...
  3. Mohamed Ismail

    JamiiForums Tanzania Uzalendo wa Mwigulu ni tunu kwa taifa

    Anaandika Mo Mlimwengu Uzalendo ni hali ya mtu kuipenda, kuithamini na kujitolea kwa ajili ya nchi yake. Mwandishi na mwanafalsafa mmoja wa kifaransa ajulikanaye kama François-Marie Aroue(Voltaire) anasema anasikitika kuona mtu ambaye ni mzalendo anakua na maadui wengi.Kati ya jambo kubwa...
  4. L

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu Dkt Mwigulu Nchemba Aunguruma. Apiga Marufuku Na kutoa Maagizo ya Kukamatwa na kufuatiliwa viongozi Wanaojadili kuhusu Uchaguzi Wa 2030

    Ndugu zangu Watanzania, Waziri Mkuu wetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mwigulu Lameck Nchemba Mr CLEAN Amepiga Marufuku Na kutoa Maagizo Mazito kwelikweli ya kufuatiliwa na kukamatwa wale Viongozi Wote Ambao wamekaa maofisini na kwenye makundi ya Wasapu wakifanya kazi ya kujadili kuhusu Uchaguzi...
  5. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Mwigulu Nchemba, Kauli zako zinahatarisha Usalama wa Nchi

    "Wamepanga kupiga Risasi Waandamanaji ili Waseme ni Serikali " Hiii Kauli haikupaswa kutolewa na Mtu wa aina yako kiuongozi hata km ni Serikali Haramu. Hii ni Kauli inayovua Nguo Vyombo vya Usalama na wakati huohuo kuweka Usalama wa NCHI hatarini.
  6. M

    JamiiForums Tanzania John Mnyika: Siyo kweli kwamba Mwigulu na Serikali hawana Mgogoro na Sisi, ndiyo maana wamezuia ruzuku ya mil. 500

    Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema chama hicho kinakataa kauli ya Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba kuwa Serikali haina mgogoro na vyama vya siasa(ikiwemo CHADEMA), akidai kuwa kauli hiyo sio ya kweli. Mnyika amesema kauli ya serikali kupitia Waziri wa Mambo ya Ndani, Patrobas Katambi...
  7. Parabolic

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mwigulu; Kama wanaharakati ni tatizo, kwanini wanaowaua waandamanaji hawakamatwi?

    Tangu yalipotokea machafuko ya Oktoba 29, 2025, Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba amesikika mara kadhaa akiwalaumu wanaharakati hasa wanaoishi nje ya nchi, akidai kuwa wao ndio waliochochea na wanafanya hivyo kwa kuwa wanalipwa fedha na mataifa waliyokimbilia. Miongoni mwa kauli hizo ni ile aliyoitoa...
  8. J

    JamiiForums Tanzania Serikali imeshikwa pabaya!! Ndani ya wiki moja, Mwigulu amelazimika kuhutubia katika ngome za Lissu na Heche

    Hakika Lissu na Heche wameishika serikali pabaya. Vinginevyo mnieleze kwanini Mwigulu Nchemba anatapatapa na mikutano Ikungi na Nyamongo. ..Na ziara hiyo imetanguliwa na kuzuiwa kwa mikutano aliyokuwa akifanya John Heche. ..Je, Mwigulu anaogopa kufanya mikutano huku Heche naye akifanya ya...
  9. econonist

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa Mwigulu: Tofautisha Uwaziri Mkuu na Ukatibu mwenezi wa CCM

    Kwako Mheshimiwa Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba, Nina ushauri Mmoja tu kwako. Naomba nikushauri ya kwamba tofautisha nafasi ya Uwaziri Mkuu na nafasi ya ukatibu mwenezi wa CCM. Ushauri wangu ni kwamba Kuna kauli ambazo hutakiwi kuongea kwa nafasi uliyonayo ya Waziri Mkuu. Wewe ni kiranja wa...
  10. H

    JamiiForums Tanzania DKT. MWIGULU ATUA MARA KWA KISHINDO AANZIA SERENGETI

    DKT. MWIGULU ATUA MARA KWA KISHINDO AANZIA SERENGETI ATAKA JENGO JIPYA LA HALMASHAURI LIKAMILIKE KWA WAKATI AANZA KUNGURUMA LEO KWA KUSIKILIZA KERO VIWANJA VYA SOKOINE Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba ameanza ziara yake ya kikazi kwa kishindo katika Mkoa wa...
  11. figganigga

    JamiiForums Tanzania Nchi 10 zenye amani Afrika, Tanzania haimo. Salaam kwa Samia na Mwigulu

    Nafasi ya amani Afrika Chanzo cha picha,ABI Kwa mujibu wa Global Peace Index 2026, Tanzania ipo katika nafasi ya 17 barani Afrika kwa kiwango cha amani, huku ikiwa ya 98 duniani. Inazidiwa hadi na Zambia MY TAKE Kila siku wanadai eti wanalinda amani. Wanalindaje amani ambayo haipo? Wanalinda...
  12. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Je, anatambua uzito wa dhamana ya madaraka yake kweli huyu? Na Je, hujipa nafasi ya kufikiri kwanza kabla ya kusema neno? Something is wrong with him!

    Ni sifa au dongo?👇👇👇 "...Natoa PONGEZI kwa Serikali kwa kugundua MIPANGO MIBAYA dhidi ya nchi yetu. Ili kuendelea KUIMARISHA USALAMA nchini, naiomba Serikali IWALIPE VIJANA FEDHA NYINGI ILI WASIANDAMANE. Nina UHAKIKA, vijana WAKILIPWA hata TZS 20,000 TU kwa kila mtu, HAKUNA KIJANA...
  13. Nyani Ngabu

    JamiiForums Tanzania Mwigulu Nchemba acha uongo wewe!

    Wewe Mwigulu Nchemba ni muongo sana. Na inavyoelekea, kusema uongo ni asili yako [pathological liar]. Unadanganya kipumbavu sana. Na kufanya hivyo ni moja ya dalili za kuwa pathological liar. Unaropoka tu kuwa watu wamepewa hela waandamane. Hutoi ushahidi wowote ule. Ukibanwa kidogo tu...
  14. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba: Kuna watu wamepanga kuwapiga waandamanaji

    Waziri Mkuu Lameck Nchemba, amefichua kuwepo kwa njama za siri zinazosukwa na baadhi ya watu kuwalipa watu wengine ili wawapige watakaoshiriki maandamano, kwa lengo la kuichafua Serikali. Dkt. Mwigulu ameyasema hayo leo, Juni 27, 2026, wakati akihutubia wananchi katika mkutano wa hadhara...
  15. R

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Vyombo vya Ulinzi Msiogope, Mtu yeyote anayetaka kuvunja amani ya nchi yetu msimchekee

    Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Juni 27, 2026 akizungumza na wananchi wa Ikungi, Mkoani Singida ametoa amri kwa Vyombo vya usalama kutoogopa wala kutomchekea Mtu yeyote anayetaka kuvunja amani ya nchi. "Na vyombo vya ulinzi na usalama, sikilizeni, wala msiogope. Mtu yeyote anayetaka...
  16. mwanamwana

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mwigulu: Wamelipwa ili wawapeleke Vijana wa kitanzania Barabarani na Wameleta watu wa kuwapiga hao vijana ili ionekane ni serikali

    Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Juni 27, 2026 akizungumza na wananchi wa Ikungi, Mkoani Singida amesema Pia soma > Waziri Katambi apiga marufuku mikutano ya siasa kwa vyama vyote Kuna watu wanataka kuwatumia vijana wa Kitanzania kwa maslahi yao binafsi. Kama serikali ambayo tuna wajibu...
  17. H

    JamiiForums Tanzania Ziara ya Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba Wilaya ya Ikungi, Singida

    Ni Singida Tena Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 📆 27 Juni, 2026. 🕰️4:00 Asubuhi
  18. R

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Tunawaambia wanaowatuma na wanaotumwa hatuwezi kutetereka kuilinda nchi yetu na rasilimali zake

    "Niwaase Watanzania wote kuheshimu misingi ya utawala bora na kuhakikisha kwamba shughuli mbalimbali za kijamii, shughuli mbalimbali za kijamii, kiutamaduni, kidemokrasia za kiuchumi zinazingatia sheria, taratibu, mila, desturi na katiba yetu ya nchi. Tunayo katiba ya nchi yetu ndiyo...
  19. R

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Zipo tetesi baadhi ya viongozi wapo kama wamepigwa ganzi wanasubiri teuzi, tutawatoa

    "Mheshimiwa Spika, zipo tetesi katika baadhi ya maeneo kwamba viongozi wapo kama wamepigwa ganzi. Wanasubiri nini PDF, mkeka, teuzi. Haya ni mambo ya ajabu. Mambo ya ajabu. Kuwa ofisini na kusubiri teuzi ni mambo ya ajabu. Haya haya ni mambo ya ajabu ajabu tu. Niendelee kuwaelekeza; mmepewa...
  20. R

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Masharti ya hati za nyumba kwa bodaboda, mama lishe na watu wenye ulemavu wanapohitaji mikopo ziondolewe. Watumie NIDA

    "Aidha, kupitia utaratibu mpya wa utoaji wa mikopo inayotokana na asilimia 10 ya mapato ya ndani ya halmashauri, ninazieelekeza taasisi za fedha na waratibu wa mikopo hiyo, kuondoa masharti magumu yanayowakwamishe wajasiriamali kunufaika na mikopo hiyo. Mfano, ulazima wa wahitaji kwa upande wa...
Back
Top Bottom