reli

Reli (also spelt as Relli) are an ethnic group, who reside in Indian states of Andhra Pradesh and Odisha.

View More On Wikipedia.org
  1. X

    JamiiForums Tanzania Marekani ina mradi wa reli uliokwama zaidi ya miaka 10 + Daraja lililoanguka | China inajenga mtandao mpya wa miundombinu kila kukicha

    Tangu 2008 serikali ya Marekani kupitia jimbo la California, iliidhinisha ujenzi wa California High Speed Rail (San Francisco–Los Angeles) mpaka leo miaka 18 mradi haujakamilika. Zimejengwa km 192 tu kwa zaidi ya USD 100 billion. USD 100 billion China wanaweza kujenga km 1600-4000 ikitegema...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Sweden na Tanzania kutia saini makubaliano ya ufadhili kwa Lots 3 na 4 reli ya Standard Gauge mjini Dodoma, Aprili 28, 2026

    Leo ni siku muhimu katika ushirikiano kati ya Sweden na Tanzania. Utiaji saini wa makubaliano ya ufadhili kwa Lots 3 na 4 za Standard Gauge Railway mjini Dodoma unaonesha dhamira yetu ya pamoja ya kuendeleza miundombinu endelevu, kuimarisha muunganiko, na kukuza ukuaji wa kiuchumi wa muda mrefu...
  3. A

    JamiiForums Tanzania Wakati Uswiss katika kupunguza uchafuzi wa Mazingira wanajenga Reli kwenda Italia , Sisi tunakwamisha Miradi yetu ya Reli.

    Switzerland sustainability goals in usage of Rail transport more than road transport Switzerland has adopted an ambitious long-term climate strategy to achieve net-zero greenhouse gas emissions by 2050, with a core focus on shifting traffic from road to rail, particularly for freight and...
  4. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Reli Imekuwa Dumpsite? Nairobi Inanuka!

    Wadau, hii ni serious! Residents wa Nairobi wamechoka kabisa na garbage situation imezidi kuwa worse especially along railway line near Nairobi City Stadium pale Lusaka Road. Ati imagine, sehemu ambayo trains hupita sasa imegeuka rubbish site full time. Trash imejaa hadi inakaribia kufunika...
  5. Tanzania Railways Corp

    JamiiForums Tanzania Tanzania yaandika Historia mpya kwenye Sekta ya Reli!

    Kuanzishwa kwa uundaji na ukarabati wa vichwa vya treni za MGR (Meter Gauge Railway) nchini ni hatua kubwa kwa maendeleo ya Shirika la Reli Tanzania (TRC) na Taifa kwa ujumla. Kiteknolojia Hatua hii inaashiria mwanzo wa kujitegemea kiteknolojia. Tanzania inaanza kujenga uwezo wa ndani wa...
  6. C

    JamiiForums Tanzania Nilivyokasirishwa nikaenda tazara nikang'ata reli nikarudi nyumbani

    wakuu kutoka kwenye stori yangu kunakitu unaweza kujifunza kwangu ukachukua na kukitumia siku fulani: Siku moja nilikasirika sana. Sio ile hasira ya kawaida. Ilikuwa ile hasira ambayo unahisi kama kichwa kinataka kupasuka na mtu akikuuliza swali dogo tu unaweza kujibu vibaya au umpige. Nilikaa...
  7. L

    JamiiForums Tanzania Ushirikiano kati ya China na Tanzania Waendelea kwa Kipaji cha Mafunzo kwa Wafanyakazi wa Reli

    Kwa miaka mitatu na nusu, Amina Ally Sauko amesaidia kuratibu operesheni za treni za Shirika la Reli la Tanzania (TRC) kutoka kwenye Kituo chake cha Usimamizi wa Operesheni kilichoko jijini Dar es Salaam, ambako uhakika na kufanya kazi pamoja kama timu ni muhimu. Amina, ofisa usafiri wa TRC...
  8. stakehigh

    JamiiForums Tanzania Ulipofikia ujenzi wa reli ya SGR Morogoro mpaka makutupora

    https://youtu.be/GyaJZGMF0a4
  9. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Hii ni njia mpya ya kuwatoa Watanganyika kwenye reli?

    Kuna mikakati mingi sana inapangwa ili. 1. kuwasahaulisha Watanganyika na mauaji ya October 29 2. Kufubaza harakati za Gen Z 3. Kuzoezwa uongo ili kuutambua uongozi batili 4. Kuacha kujadili kupanga na kuchambua mambo muhimu ya Tanganyika Kabla ya October 29 walikuwa wameshawapumbaza vizuri...
  10. Mangi wa Rombo

    JamiiForums Tanzania Kitendawili cha "mkono wa kwaheri": Kilio cha Wastaafu 600 wa Shirika la Reli (TRC)

    Inasikitisha na kutia simanzi kuona wazee wetu, waliotumikia nchi hii kwa uaminifu kwa zaidi ya mimiaka 30, wakisota mtaani bila kupata stahiki zao za kisheria. Hali ya wastaafu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) walioajiriwa na kustaafu kati ya mwaka 2012 na 2022 ni ya kuhuzunisha mno. Hoja za...
  11. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania 2026, kuna viakaunti vingi humu vitachangia mambo ya kuudhi au pengine yasio kuwa na utu. Visikutoe katika reli, utu wako ni zaidi ya mitandao.

    🎉Cheer up. LIVE TO THE FULLEST🎊
  12. M

    JamiiForums Tanzania Kujenga SGR Tanga hadi Musoma kusafirisha mizigo hadi Uganda ni pigo kwa Wakenya, Kenya itafanya lolote kujaribu kuizuia, Tanzania imejipanga vipi ?

    Hii SGR iliyopo kwenye mipango ya kujengwa ni tishio kubwa sana kwa Kenya. Itagusa moja kwa moja maslahi yake, si kiuchumi tu bali pia kwenye ushawishi na udhibiti wa biashara Afrika Mashariki. Mradi huu unapunguza utegemezi wa Uganda kwa miundombinu ya Kenya, jambo linalotishia nafasi ya...
  13. REJESHO HURU

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 GEN Z tuacheni na drama za Majizo asitutoe kwenye reli, focus yetu maandamano endelevu

    Yeye si ana vyombo vya habari na ana majukwaa ya kisasa, basi aendelee kupromoti mziki na wanamuziki wake. Hatuna muda wa kujadili mambo yake tena issue yake ikifika jioni tujihidi abaki anajadili yeye na mkewe. Mbona hasemi ndugu zetu waliopoteza uhai anaona kipato cha wanamuziki wake bora sana...
  14. L

    JamiiForums Tanzania Kuhuishwa kwa reli ya TAZARA kutahimiza maendeleo ya uchumi wa eneo la SADC

    Tarehe 4 Septemba 2024, kwenye mkutano wa kilele wa Baraza la Ushirikiano kati ya China na Africa (FOCAC) uliofanyika mjini Beijing, China, makubaliano kati ya China, Tanzania na Zambia kuhusu kuihuisha reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) yalisainiwa mbele ya marais wa nchi hizo tatu. Hatua hiyo...
  15. Nyani Ngabu

    JamiiForums Tanzania Kuweni makini… msitolewe nje ya reli!

    Naona baadhi yenu mko excited na huyo Samia kutangaza baraza lake haramu la mawaziri. Binafsi sina muda wa kuzungumzia na walio haramu wanajipa vyeo gani halafu nikasahau maelfu ya vijana na watoto waliowaua kikatili sana. Kulenga kumjadili Samia na baraza lake haramu ni kuanza kumpa uhalali...
  16. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 BAKWATA, Watanganyika tunajua mnatumika kupandikiza hoja ya Udini. Jueni tu hamtaweza kututoa kwenye reli

    Rais Magufuli alikuwa mkristo na mkatoliki lakini bado Kanisa Katoliki lilimsema kwa kukiuka haki za binadamu na kukataa uwepo wa korona. Rais Magufuli alikuwa Mkristo na Mkatoliki lakini bado KKKT walitoa nyaraka mbalimbali kumsema na kuituhumu Serikali yake kwa ukandamizwaji wa haki za...
  17. Its Tesha

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kijana usikubali huu UPUUZI chapati isikutoe kwenye reli huyu ametumwa

    Moja ya silaha waliyonayo nikuwatumia watu maarufu kama hili boya Mwijaku ambaye anapata kidogo chake kutoka kwa watawala eweee kijana usikubali kurubuniwa kwa chapati, msitoke kwenye reli wapo wengi wametumwa kuna yule na wimbo wake wa nani potezeeni.
  18. darautobroker

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Toyota Hilux A.K.A Chuma cha reli ipo sokoni

    Bei/Price TSH 21.5M Call +255 747 999 927 TOYOTA HILUX Year: 1996 Engine: 3 L Mileage: 120K Fuel: DIESEL Transmission: MANUAL Sport Rims Am/Fm Radio Android Radio Clean Interior In Good Condition Exchange Possible
  19. M

    JamiiForums Tanzania Mtwara ilipaswa kuwa Business Center nchi hii na je kilichomfanya ndugu Nyerere aiondoe Reli ya Mtwara ni nini?

    Naamini hilo bila shaka Mtwara ndiyo ilipaswa kuwa makao makuu ya nchi hii na business center kwa nchi hii ila tu uroho,ubinafsi na chuki ya viongozi wa nchii hii kutokana na ukanda wao tu hivi kitu gani ambacho kwenye nchii hii Mtwara hakuna madini mtwara yapo,eneo la Bahari lenye kina kirefu...
  20. K

    JamiiForums Tanzania Pongezi kwa Shirika La Reli Tanzania (TRC)

    Nimewiwa kutoa pongezi za dhati kwa shirika la reli Tanzania (TRC) kwa huduma nzuri. Kwa wale mliopata bahati kusafiri na tren ya mwendokasi na dhani mmejionea hudumazao. Yani kuanzia kujali muda, mazingira na hata kutoa taarifa. Ukweli mmekidhi viwango vya kimataifa. Kwa mara zote...
Back
Top Bottom