Probox ni gari maarufu sana East Africa, nadhani ni kwasababu ya durability, space kubwa ya kubeba mizigo na abiria etc.
Sasa ndugu zetu Wakenya sijui wanazitumia vibaya? Maana kwenye page ya Wikipedia imeonekana kama madereva wake ni reckless na hawafuati sheria, pia inatumiwa na corrupt...
Habari Wakuu...
Kwanza nianze kwa kusema mimi ni mgeni kwenye field hii ya magari ila natamani kupata usafiri siku kadhaa mbele.
Chaguo langu ni toyota (kwa sababu ni gari yangu ya kwanza naamini sitosumbuka sana).
Nimewaza gari ya kifamilia zaidi na ngumu ambayo pia ni fuel economy. Katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.