ripoti ya cag

  1. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Jumuiya ya wanafunzi CHADEMA: Ripoti ya CAG, imeonesha madudu yaliyopitishwa na wasomi, waliyakubali bila kuangalia athari

    Jumuiya ya wanafunzi wa Chadema (CHASO) kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, imewajia juu wasomi nchini kwa kile walichokiita "uchawa wa wasomi," wakidai kuwa hali hiyo inaliangamiza taifa. Akizungumza kwa niaba ya jumuiya hiyo, msemaji wao ameeleza kuwa wasomi wengi wameacha weledi na kugeuka...
  2. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania Suala la watu kupoteza nyeti, tumesahau Ripoti ya CAG, kupanda bei ya Mafuta na Ripoti ya Chande. Fungua macho Mtanganyika!

    Aweeee, Ila serikali na CCM huwa wanajua kuchagua mambo ya kututoa kwenye reli, wanajua wakigusa nyeti na hivi wanaume 'wanadai' wao ni wachache na ongezeko la ushoga jambo litakuwa hot topic fastaaaaa! Afu jambo limesambazwa sehemu ambako litafika fasta, nimeshangaa hadi ukanda wa Gaza nao...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Mwabukusi: Tunapoteza nguvu kushughulika na upinzani kuliko Ripoti ya CAG

    Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Wakili Boniface Mwabukusi, ametoa kauli nzito kuhusu Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), akidai kuwa ripoti hiyo imeendelea kuwa "kumbukumbu ya kila mwaka" isiyo na matokeo ya kisheria kwa wabadhirifu wa mali za umma...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Bila uwajibikaji wa kweli, hizi ripoti ni kelele tu. Huu si wakati wa kusoma ripoti ya CAG na kusahau

    Ripoti ya CAG si habari mpya ni uthibitisho wa uzembe na ufisadi uliokithiri. Fedha za umma zinapotea, wananchi wanabaki na hospitali zisizo na dawa, shule duni, na miradi hewa. Bila uwajibikaji wa kweli, hizi ripoti ni kelele tu.Huu si wakati wa kusoma ripoti na kusahau.
  5. mr mkiki

    JamiiForums Tanzania Hivi Jeshi la Polisi/Mahakama hawajawahi kuona jinai kwenye ripoti ya CAG, au jela ni maalum kwa Wakosoaji wa serikali tu?

    Maeneo mengine mengi watu wanavunjaga katiba na wala hawajali!! Lakini kwanini kwenye report ya CAG kuwekwa hadharani ufisadi wanaofanya hapa huwa nini kinatokea? Sawa ni takwa la kikatiba, but kwani wao huwa wanajali kuvunja katiba?
  6. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Kwa ripoti hii ya CAG kama kuna kiongozi wa CCM hajawa tajiri basi atakuwa Mjinga sana

    Ukisikia Kauli ya Gerson Msigwa kuhusu kupigwa kwa Mihela kwenye ujenzi wa uwanja wa soka wa Arusha utashangaa sana kama Kuna Kiongozi wa serikali ya ccm Ambaye hajatajirika Na kama yupo Kiongozi wa namna hiyo basi atakuwa fala sana! Nchi inaliwa vibaya mno, tena inaliwa huku kukiwa hakuna...
  7. Penguinelli Cactussini

    JamiiForums Tanzania Nimefurahi TAKUKURU kuokoa Shilingi milioni 259.2 kati ya mabilioni kwenye ripoti ya CAG

    Hii inaonyesha ni kwa namna gani TAKUKURU wamejipanga kukabiliana wezi wa mali za umma. Yamepotea mabilioni na mikataba ya magumashi ila WAMEFANIKIWA kuokoa Shilingi milioni 259.2 lazima tuipongeze ni hatua kubwa.
  8. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mdau: Bilioni 151 zilizozidi kwenye ujenzi wa Uwanja wa Arusha zingeweza kujenga Barabara ya lami Kilometa 151

    Huu hapa uchambuzi wa Mdau kuhusu ripoti ya CAG akidai Tsh. Bilioni 151 zilizozidi kwenye ujenzi wa Uwanja wa Arusha zingeweza kujenga Barabara ya lami Kilometa 151 Ripoti ya CAG: CAG: Mradi wa ujenzi wa Uwanja Arusha ulikadiriwa bilioni 187, mkataba ukasainiwa bilioni 338
  9. M

    JamiiForums Tanzania Ripoti ya CAG: TANESCO kudai madeni makubwa Kwa Taasisi za serikali

    Kwa mujibu wa Ripoti ya CAG ya mwaka 2025/2026, imeainisha Moja kati ya Madeni wanayodai Tanesco Kwa Taasisi za serikali, madeni hayo ni ya muda mrefu madeni hayo ni kama yafuatavyo. ZECO: Tsh 292 billion, DAWASA : Tsh 35 billion ,Mamlaka za maji za mikoa : Tsh 21 billion , TPDF: Tsh 14...
  10. H

    JamiiForums Tanzania Sababu ya Rais kupewa ripoti ya CAG kila mwaka ni muhimu sana kwa uwajibikaji na uendeshaji mzuri wa Serikali

    . Hizi ndizo sababu kuu: 1. Uwajibikaji wa fedha za umma Ripoti ya CAG inaonyesha jinsi fedha za serikali zilivyotumika. Rais anapewa ili ajue kama fedha zimetumika vizuri au kuna ubadhirifu. 2. Kugundua makosa na ufisadi CAG huchunguza matumizi mabaya ya fedha, wizi, au ukiukwaji wa sheria...
  11. passioner255

    JamiiForums Tanzania Kuhusu madudu ya ufisadi kutokana na ripoti ya CAG

    Ukweli ni kwamba hatuwezi kuona matokeo mengine tofauti kwa sababu watu wanaotuongoza ni walewale. Kila mwaka mambo yatakuwa hivihivi tu.
  12. K

    JamiiForums Tanzania Tatizo la ripoti ya CAG: Watekelezaji wanapata madaraka kwa wizi, leo eti tuwaamini kutekeleza

    Mama Samia anaona kama anapotezewa muda tu kwasababu anachofikiria ni makusanyo ya pesa ili wapige deal na marafiki na ndugu zake! Mfano deal ya Kia na miradi mingi. Hakuna hata nia ya kupambana na rushwa. Wizi wa kura, utekaji, uzuiaji wa wapinzani yote haya yanaonyesha hatuna wazalendo...
  13. Mindyou

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aagiza PPRA kutekeleza sera ya ‘Name and Shame’: Watajeni wanaofanya vibaya kwenye ripoti ya CAG wajisikie aibu

    Wakuu, Akizungumza Ikulu jijini Dar es Salaam leo Machi 30, 2026, Samia Suluhu Hassan ameiagiza Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) kuanza utaratibu wa kuyaanika hadharani mashirika na taasisi za umma zinazofanya vibaya katika usimamizi wa fedha na ununuzi, akisema hatua hiyo...
  14. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Ripoti ya CAG: Bwawa la Mwalimu Nyerere limesababisha hasara ya Tsh. Trilioni 1.48

    Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), CPA Charles E. Kichere amegusia changamoto za Mradi wa Kufua Umeme wa Bwawa la Mwalimu Nyerere na kueleza kuwa umesababisha hasara ya Tsh. Trilioni 1.48 kutokana na kushindwa katika Baraza la Usuluhishi. Ameeleza hayo katika Ripoti ya ofisi...
  15. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Ripoti ya CAG: Bwawa la Mwalimu Nyerere limesababisha hasara ya Tsh. Trilioni 1.48

  16. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Rais Samia anapokea Ripoti ya CAG na Taarifa za TAKUKURU na PPRA, Ikulu Dar es Salaam, Machi 30, 2026

    https://www.youtube.com/live/QA0TJ67CiXI?si=4XzdYqPxyfSkdAiX Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akipokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya Mwaka 2024/2025; Taarifa ya Utendaji wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU)...
  17. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Kanisa la wa Sabato Tanzania lakanusha taarifa za kuvunjwa kwa bodi ya wadhamini, lasema halijapokea ripoti ya CAG

    Uongozi wa Kanisa la Waadventista wa Sabato Tanzania unapenda kutoa ufafanuzi kufuatia taarifa iliyosambazwa na vyombo vya habari kuhusu Bodi ya Wadhamini wa Kanisa, yenye kichwa cha habari kisemacho, "Bodi ya wadhamini ya Kanisa la Waadventista wa Sabato yavunjwa kwa tuhuma za ubadhilifu."...
  18. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Ally Hapi: Ripoti ya CAG sio hukumu ya mahakama

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Wazazi CCM, Ally Hapi amesema ripoti ya CAG sio hukumu ya Mahakama kwamba wanaotajwa wote moja kwa moja huwa ni Mafisadi au Wezi bali ripoti husomwa kisha kuwapa nafasi Watumishi na Taasisi kutoa vielelezo ambavyo havikuwasilishwa wakati wa ukaguzi. Akiongea...
  19. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Kigwangalla: Watumishi wanaotajwa na CAG wawajibishwe, Ripoti iwasilishwe Bungeni kudhibiti Madaraka makubwa ya Watendaji

    Mbunge wa Nzega Vijijini, Dkt. Hamisi Kigwangalla amependekeza maazimio na mapendendekezo yanayotolewa na Bunge kuhusu ripoti ya Mkaguzi wa Hesabu za Serikali CAG yasiishie tu hewani bali wanaotajwa kwenye ripoti wawajibishwe huku akisisitiza kanuni zitakazoboreshwa zizingatie mfumo wa...
  20. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania ACT Wazalendo yafanya Uchambuzi wa Ripoti ya CAG 2023/2024, leo Mei 10, 2025

    ACT Wazalendo wanafanya Uchambuzi wa Ripoti ya CAG 2023/2024 Mei 10, 2025 https://www.youtube.com/live/Ltw_Nm2uc64?si=u_-wloQzSYNSmXcg UCHAMBUZI WA ACT WAZALENDO RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MWAKA WA FEDHA UNAOISHIA MWEZI JUNI 2024 “Ubadhirifu, Uozo na Ufisadi...
Back
Top Bottom