The Old Kerosene Store is located at Bathers Beach in Fremantle, Western Australia, adjacent to the ruins of the original Fremantle Long Jetty. It is a single-storey limestone building and forms part of the historic Arthur Head Reserve precinct.
Nina list yangu (Top 5) ya Magari kutoka JP, yaliyotengenezwa kuanzia 2005 hadi 2015, yenye utumiaji mzuri wa mafuta na Reliable. Mnaionaje?
1. Toyota Vitz /Yaris 2010 - 2013.
Hapa naongelea 2nd na 3rd generation, especially engine ya 1.3L petrol (1NR FE), rahisi sana kupata 14 km/L hadi 16...
Mtandaoni wana-hubiri fedha ila ukija kwenye maisha ya kawaida mambo ni tofauti sana
👇👇👇
Ukienda uswahilini utashangaa watu wanamaisha magumu na bado wake zao hawawakimbii ukija mtandaoni unahubiriwa utafute fedha kabla hujaingia kwenye mahusiano au ndoa- sasa mbona huku mtaani watu wanakipato...
AKILI: NI NYINGI, NDOGO, AU IPO TU?
Bujibuji Simba Nyamaume
Watu wengi husema, "Yule ana akili nyingi, yule ana akili ndogo." Lakini je, ni kweli akili hupimika kwa wingi?
Mjadala huu una pande mbili.
Upande wa Kwanza: Akili ni moja. Unayo au hauna.
Wanaosema hivi wana hoja nzito. Kila mtu...
AKILI: NI NYINGI, NDOGO, AU IPO TU?
Bujibuji Simba Nyamaume
Watu wengi husema, "Yule ana akili nyingi, yule ana akili ndogo." Lakini je, ni kweli akili hupimika kwa wingi?
Mjadala huu una pande mbili.
Upande wa Kwanza: Akili ni moja. Unayo au hauna.
Wanaosema hivi wana hoja nzito. Kila mtu...
Katiba hii inatoa nafasi kubwa sana za nafasi za utendaji muhimu sana kwa maisha ya wananchi na maendeleo ya nchi kwa kuteua teua tu.
Ukweli ni kwamba hii inawafanya watu wazembe wawekeza sana kwenye kujipendekeza kusifia na kupiga majungu kwa sababu wana uhakika mteuaji ana nafasi kubwa ya...
Kuna nini hapo dasilamu mujini?..Nani kanyakuliwa na Mnyezi Mungu kwenda kuungana na Muumba..Huku nilipo limeibuka shangwe n vigelegele baada ya tangazo la yule msaidizi wake mwenye kichwa mviringo.!
Watu wanasema hii ni kosakosa, ngoma imegonga besela imerudi ground. Lakini haiwazuii kushukuru...
Kuna jambo ambalo nimekuwa nikijiuliza kwa muda mrefu. 🤔
Watu wawili wanaweza kula chakula kinachofanana, lakini matokeo yakawa tofauti kabisa.
Mmoja anakula wali, nyama, chipsi, soda, vitafunwa na hata kula usiku, lakini miaka inapita bado ni mwembamba na hana kitambi. 😂
Mwingine anajitahidi...
Leo nimeacha chombo changu sehemu fulani, nikatembea kwa miguu kwa muda mrefu. Kwa kweli nilichokutana nacho njiani kimenifanya nitafakari sana kuhusu usalama wa watembea kwa miguu.
Nilipofika sehemu ya kuvuka barabara, nilihisi wasiwasi mkubwa. Pikipiki zinakuja kwa kasi, magari nayo yanapita...
Wahusika tatueni hii stimulus (salary advance) haraka Kuna watu wamefyekwa salary yote (jokes)🤣
Kupitia mitandao ya kijamii mbalimbali naona watu... wanasubiri salary advance kama vile wanasubiri mshahara, Tunaomba mabenk fanyieni KAZI suala hili mapema au toeni kauli kwa uwazi ambayo itawapa...
NO CASE TO ANSWER
kwa msaada wa AI
Wote tuliskilza ushahidi wa prosecution, je ulikidhi vigezo hivi kuruhusu kesi iendelee?
Katika kesi maarufu ya R v Galbraith (1981), mahakama ilitoa mwongozo unaotumiwa na jaji (au mahakama) kuamua kama upande wa mashtaka umeshindwa kabisa kuleta ushahidi...
No Case to Answer
In English criminal law, no case to answer refers to a situation in a trial where the defence argues that the prosecution's evidence is so weak or lacking that a reasonable jury, properly directed by the judge, could not convict the defendant. It allows the defence to...
Dj Choka kwa sasa anasumbuliwa na figo, hivyo anahitajika mara kwa mara kufanya dialysis kusudi aweze kuishi.
Kumchangia afanyiwe dialysis ni jambo zuri sana pia ni thawabu kwa Mwenyezi Mungu.
Ila shida ya huyu jamaa omba yake ni kama ana lazimisha , hana ile hekima ya kumuomba mtu na mara...
Hello
Njegere sio mboga ni kiungo tu cha chakula kama vile nyanya na matumiz yake ni
Una weza pikia kwenye
Ubwabwa
Samaki
Nyama
Ndizi
Ivyo wengi mna geuza matumizi badaal yake mna ifanya mboga mna unga na nazi mna kosea ile ni kiungo cha nakshi nakshi kwenye chakula kuleta mvuto katika...
Uyu dada namfaham sabab alisoma nami shule Level nlimwacha kidogo madrasa. Akaja olewa na mshkaji ambaye tulikuwa naye ofisi moja. Kwenye harakati za mtu mweusi.
Wamefanikiwa kupata watoto watatu saSA. Katika watoto watatu hao mmoja tu ndo wa jamaa wawili wa mtu mwingine.
Jamaa kagundua kube...
Awali ya yote ashukuliwe Mungu Mkuu atoaye pumzi na afya.
Wadau najua wataalamu na wafanyabishara wamo humo ndani naombeni ushauri kama nilivyoeleza hapo juu kuwa kipato changu na nahitaji kufungua biashara ya kuuza juisi je hiyo pesa inatosha kwa mtaji na ni vitu gani hasa vinahitajika ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.