kidogo

The Old Kerosene Store is located at Bathers Beach in Fremantle, Western Australia, adjacent to the ruins of the original Fremantle Long Jetty. It is a single-storey limestone building and forms part of the historic Arthur Head Reserve precinct.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    JamiiForums Tanzania Millennials tukaze buti, hawa Gen Z wanaijua pesa vizuri, bado wadogo lakini wako very sharp kwenye kutega pesa.

    Millennials tukaze buti 😅. Hawa Gen Z wanaingia kwenye game wakiwa na uelewa mkubwa wa kutengeneza pesa kuliko vizazi vilivyopita. Vijana wa 2000 wao bado wadogo lakini honestly wako very sharp kwenye kutega pesa na kuona opportunities . Wamekua kwenye era ya internet, apps na fast information...
  2. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Embu tutafakari kidogo

    Ukivuliwa tabaka zote za kumbukumbu ulizozikusanya kwa miaka mingi, ni kitu gani hasa kitabaki kukufanya uwe wewe? Embu tafakari kwa kina hapa… Huenda unachokiita akili si chochote zaidi ya maktaba ya mabaki ya jana iliyojificha ndani ya ubongo wako. Maana mwanadamu haishi kwa kile anachokijua...
  3. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Msichana, kubali kuwa wewe ni M-TAMISEMI, itakupunguzia maumivu kidogo

    Msichana Kubali Tu 😅 Afu weka Mikakati Yako Sawa 🥂 Mtaani kuna mengi yanazungumzwa kuhusu Watumishi wa Umma hasa hawa ndugu zetu wa Ajira Mpya ambao kila siku tunawaona wakilia kuhusu mazingira ya kazi na wengine wakiwemo wale wa Fedha za Kujikimu. Huyu dada Missywear amepost hii kitu huko...
  4. A

    JamiiForums Tanzania KERO Posho ya Kujikimu Singida DC: Watumishi tunahitaji Ufafanuzi

    Watumishi wapya wa Singida DC tunaomba ufafanuzi kuhusu posho ya kujikimu tuliyolipwa. Kiasi tulichopokea ni kidogo tofauti na tulivyotarajia kwa mujibu wa utaratibu unaofahamika, na hakuna maelezo yoyote yaliyotolewa kuhusu hilo wala kama kuna malipo mengine yatakayofuatia na lini. Kumekuwa na...
  5. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Tutafakari hili kwa akili kubwa kidogo!

    Huwa najiuliza sana akilini lakini sipati majawabu yake, Hivi katika vurugu za Oktoba 29, serekali yetu ingekaa kimya tu kwa kutuliza fujo huku wana wakichoma tu moto magari, sheli majumba ya watu kupora maduka,kuchoma mabasi ya mwendokasi,na serekali yetu ikawa inawaambia kufanya hivyo ni...
  6. Equation x

    JamiiForums Tanzania Ebu umiza kichwa kidogo?

    Elimu yako, inakusaidiaje au itakusaidiaje katika kujiajiri na kutengeneza ajira kwa wengine? Sema ukweli, achana na mambo ya kujimwambafai na wingi wa vyeti. Karibu kwa mjadala.
  7. R

    JamiiForums Tanzania Mchungaji Msigwa: Tujikumbushe kidogo

    "Ukweli ni Kuwa dereva wa Daladala anaweza kusimama na kukupakia mahali ambapo hakuna kituo cha Daladala. Lakini dereva huyo huyo atakataa kukushusha mahali ambapo hamna kituo cha Daladala. Hii inathibitisha watu wanakuhitaji pale tu wanapofaidika na wewe, Changamka."
  8. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania “Sh200 Kidogo, Mamilioni Makubwa! KEWOTA Yatikiswa na ‘Payroll Heist’ ya Walimu 95,000

    Kuna mambo imeanza kunuka kwa Kenya Women Teachers Association (KEWOTA) baada ya kufichuliwa sakata kubwa ya pesa. Inadaiwa zaidi ya walimu wanawake 95,000 walikuwa wanakatwa Sh200 kila mwezi bila consent yao – sasa ukifanya hesabu, hiyo ni over Sh228 million yearly! Investigations zinaonyesha...
  9. D

    JamiiForums Tanzania Miliki apartments hizi kwa kianzio kidogo tofauti na unavyofikiria

    APARTMENTS ZINAUZWA, LOC MSASANI BEACH. Mango tree residence ni mradi mpya unaojengwa hivi sasa eneo la Msasani beach nyuma ya nyumba ya mwalimu nyerere mikocheni. Mradi huu ni mradi mpya utakaokuwa na apartment za kisasa (Luxury apartments) Ni mradi Blocks 5 zenye gorofa 17 kila blocks Mradi...
  10. Red black

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kijana unaona umepata mafanikio kidogo channel zimeanza kufunguka unakimbilia kuoa unajichimbia kaburi mwenyewe

    Kijana unaona umepata mafanikio kidogo channel zimeanza kufunguka unakimbilia kuoa unajichimbia kaburi mwenyewe Stop this madness. Hilo kosa utalijutia maisha yako yote.
  11. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uzuri wa kiazi kitamu kidogo hauhitaji kukikatakata wakati wa kupika kwahiyo hakisumbui na wala hakiumizi kooni

    Uzuri wa kiazi kitamu kidogo hauhitaji kukikatakata wakati wa kupika kwahiyo hakisumbui na wala hakiumizi kooni Changamoto ya kiazi kikubwa lazima ukikatekate jambo ambalo linapoteza muda na mara nyingi vinashambuliwa na wadudu na kuoza ukilinganisha na viazi vidogo .. Faida yake tu ni kwamba...
  12. R

    JamiiForums Tanzania Nchi ya Rushwa hii, Nchi ya kitu kidogo hii, hata Hormuz ikifunguliwa mafuta yaka flow kawaida bei ya Mafuta hapa Tz haitashuka

    Mtakuja kuniambia. Time will tell! Nchi hii ya kijambazi, majizi , wala Rushwa hata Hormuz ikifunguliwa to 100 % functional to let tankers sail through, na bei ya dunia ikashukakuwa kama mwanzo, HAPA BEI YA MAFUTA HAITASHUKA. Akina Msoga and Co. Ltd, ndipo sasa wanakuwa trillionaires!
  13. A

    JamiiForums Tanzania Haiwezi kutokea hata kidogo urusi ,china , na korea kuingiza raia wao katika vita vya nuclia kisa iran

    Kuna watu wana comment kwa post hii kuwa usa akimpiga iran kwa nuclia sijui urusi, china , korea zitajibu Thubutu hakiwezi kutokea icho zaidi sana ni malalamiko urusi ,china na korea watalaumu usa sio kumshambulia maana katika hawa hakuna ambaye atakuwa tayari kupoteza raia wao pia kwasababu...
  14. Powell Gonzalez

    JamiiForums Tanzania JF wanaanga, Nina swali kidogo

    I'm not much of technologist lakini I'm confused. I can’t claim that the Apollo 17 mission in 1972 was fake, since I have no proof and that would just be an emotional argument. However, I’m curious: if humans were able to land on the Moon with the technology available in the 1970s, why is...
  15. R

    JamiiForums Tanzania Mbunge Jackson Kiswaga: Watanzania mkubali Serikali imeongeza bei za Mafuta kidogo. Punguzeni mambo ya Mitandao, hayana maana

    Mbunge wa Jimbo la Kalenga, Jackson Gidel Kiswaga akizungumza leo Aprili 2, 2026 kwenye Bunge la 13 Mkutano wa 3 kikao cha 3 Dodoma, ameeleza kuwa kulingana na hali ya kukosekana kwa mafuta duniana kufuatia mgoggoro unaondelea mashariki ya kati inabidi watanzania wakubali bei ya mafuta...
  16. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Ashukuriwe hata kwa hiki kidogo

    Amen! Hilo ni neno la hekima na shukrani ya kweli. Kuna baraka kubwa sana katika kuridhika na kutoa shukrani kwa kile ulichonacho mkononi, hata kama kinaonekana ni kidogo kwa macho ya kibinadamu.
  17. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Nikama baada ya kudakwa kule Kenya watekaji wamekula pozi kidogo

    -Aonaye haambiwi tazama. Baada ya wenzao kudakwa Kenya nikama kikosi cha watekaji na wauwaji wa watanganyika kipo likizo kidogo. Je hii inaashiria nini? Je nikwamba wamegundua project imeanza ku backfire? -Je malipo hamna? -Project imeisha?
  18. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kauli mbiu ya Rais gani iliwahi kufanikiwa hata kidogo tu?

    1. Ukweli na Uwazi-Mkapa 2. Maisha Bora kwa kila Mtanzania-JK 3. Tanzania ya Viwanda-Magufuli 4. Kazi na Utu-Samia
  19. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Utekaji Tanganyika! Kumepoa kidogo au!?

    Kwa kipindi kisichopungua miaka ishu na habari za utekaji zilianza kuoezwa kwenye masikio yetu.. Utekaji ukawa kama fashion! Ilikuwa haipiti siku mbili bila kusoma habari na matukio ya utekaji.. Kuteka watu mitaani.. Kuna walionusurika kutekwa Kuna waliotekwa kisha wakapatikana wakiwa hai...
  20. A

    JamiiForums Tanzania KERO Zahanati ya Kijiji cha Mbuchi haifai hata kidogo kutumika ila hatuna jinsi

    Wananchi wa Kijiji cha Mbuchi, Kata ya Mbuchi, Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti, Mkoa wa Pwani wanapitia katika kipindi kigumu kutokana na hali ya miundombinu ya Zahanati ya Kijiji cha Mbuchi kuwa mibovu hali. Hali hiyo inasababisha utoaji wa huduma katika kituo hicho kutokuwa rafiki hasa...
Back
Top Bottom