biblia

Byblos (Arabic: جبيل‎ Jubayl, locally Jbeil; Greek: Βύβλος; Phoenician: Gbl, probably Gubal) is the largest city in the Mount Lebanon Governorate of Lebanon. It is believed to have been first occupied between 8800 and 7000 BC and continuously inhabited since 5000 BC, making it one of the oldest continuously inhabited cities in the world. It is a UNESCO World Heritage Site.

View More On Wikipedia.org
  1. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Kumbe mitaani hakuna Biblia Wala Quran halisi!

    Leo nimekutana na mwanazuoni mmoja mbobevu kwenye masuala ya dini amenihakikishia kuwa hakuna hata mtu mmoja mitaani mwenye Biblia au Quran halisi. Mwanazuoni huyo kaniambia mitaani kuna nakala tu za vitabu hivyo wala si vitabu halisi. Kaniambia ni uchochezi wa kidini tu kuzitakatifusha hizo...
  2. Guru Master

    JamiiForums Tanzania Nilivyomuona Yesu nachanganyikiwa, nashindwa kuelezea, lakini leo ngoja niseme liwalo na liwe

    Nimekuwa nikifanya tafakari sana za juu ya suala la Yesu. Nimefunguka pakubwa sana sina shaka hata kidogo juu ya Uana wa Mungu wa Yesu. Wengi wanapomfikiria Yesu wanajenga kichwani hisia za Picha na Sanamu za Mzungu flani hivi wa Ulaya au Marekani. Yesu hakuwa mzungu. Kihistoria na...
  3. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Kwa Kiswahili Quran na Biblia zinaitwaje?

    Jina la Quran na Biblia tumetohoa toka lugha zake za asili. Ni kawaida kwa mambo haya ya lugha. Jee Kwa kiswahili hivyo vitabu vinatafsiriwaje. Neno Biblia na Quran kwa kiswahili ni nini?
  4. comrade_kipepe

    JamiiForums Tanzania Kuanzia kesho natulia, sitaki mchepuka nitaisoma biblia kwa moyo wangu wote

    Eee Mwenyezi Mungunisaidie No pombe No ngozi
  5. U

    JamiiForums Tanzania Wasabato je mnakubali vipi Biblia iliyoidhinish na Papa e Damasus I askofu Mkuu wa Kanisa katoliki la Rumi 382?

    Naomba Moderator iache uzi huu uwe huru tafadhali. Je kuikubali na kuitumia Biblia hiyo siyo kukubali alama ya Mnyama kwa mujibu wa kitabu cha Ufunuo wa Yohana? Karibuni tujifunze
  6. J

    JamiiForums Tanzania Watu 40 walioandika Biblia

    Watu 40 walioandika Biblia Biblia, kitabu kikamilifu na kitakatifu, kimeandikwa na waandishi zaidi ya 40, kwa uvuvio wa Roho Mtakatifu. Ndani ya biblia kuna taarifa zinazohusu maisha ya watu zilizobeba sauti ya Mungu nyuma yake. Pia, kuna taarifa za mataifa mbalimbali, pia zenye kubeba sauti...
  7. R

    JamiiForums Tanzania Kozi hizi za Biblia utazipata hapo hapo ulipo kwenye simu yako bila kuathiri ratiba zako kwa ada rafiki, miezi sita tu

    DARASA LINGINE LINAANZA FEBRUARY 2026 Raphael Mtui 0762731869 UTASOMA KOZI HIZI HAPA: 1)KUITAMBUA BIBLIA (INTRODUCTION TO THE BIBLE) Hii ndiyo kozi ya kwanza, ambapo tutaona vipengele vifuatavyo: a) Biblia ni nini hasa. (Definition and origin of the word Bible) b)Biblia ilipatikanaje. (How...
  8. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania Ungepewa nafasi ukutane na mtu mmoja kutoka kwenye BIBLIA na umuulize swali, ungependa ukutane na nani na umuulize swali gani?

    Nasoma Comment! Ungepewa nafasi ya kukutana na mtu mmoja tu kutoka kwenye BIBLIA na umuulize swali, ungependa ukutane na nani na umuulize swali gani? haya twende kazi
  9. figganigga

    JamiiForums Tanzania Pamoja na watu kusoma vyuo vya biblia, bado hali ya kiroho ni mbaya kwenye makanisa ya kiroho!

    Swali kwenu watumishi wa mungu maaskofu mitume manabii wainjilist walimu wachungaji nk! Utafiti unaonyesha pamoja na watumishi mungu wengi wa maaskofu mitume manabii wainjilist walimu wachungaji nk kusoma vyuo vya biblia bado hali ya kiroho ni mbaya kwenye makanisa ya kiroho! Sasa je tatizo...
  10. J

    JamiiForums Tanzania Nusu ya Agano Jipya limechakachuliwa, asema msomi wa Biblia

    Mwanaume dhaifu ameketi akiwa amefungwa kwa minyororo ndani ya seli ya gereza yenye unyevunyevu na baridi. Amewahi kuponyoka kifo hapo awali, lakini sasa anatambua kwamba kuuawa kwake kunakaribia. “Ninakwisha kumiminwa kama sadaka ya kinywaji, na wakati wa kuondoka kwangu umefika,” anasema...
  11. J

    JamiiForums Tanzania Je Biblia Tuliyonayo Sasa Hivi haina Makosa Kabisa?

    Wakristo tofauti na Waislamu wanaodai bila kufikiri kuwa Kurani haina makosa, hatubishi kuwepo kwa makosa katika Biblia. Je hilo linamaanisha kuwa Mungu wa Biblia alishindwa kuilinda Biblia isihujumiwe? La hasha!HEKIMA YA MUNGU WA BIBLIA imezidi kifani kulinganisha na hekima ya Viumbe vyake...
  12. J

    JamiiForums Tanzania Biblia Isemavyo Kuhusu Umri wa Kuishi

    Biblia Isemavyo Kuhusu Umri wa Kuishi Katika biblia mtu aliyeishi miaka mingi kuliko wote, ni Methusela, mwana wa Henoko aliyetwaliwa na Mungu. Biblia inasema Methusela aliishi miaka 969, na hakuna mwingine aliyerekodiwa kuishi miaka mingi kuliko yeye. Mwanzo 5:25 “Methusela akaishi miaka mia...
  13. wa stendi

    JamiiForums Tanzania Kumbe hata "mashehe' wako kwenye biblia

    Nehemia 4:14 Nikatazama, nikaondoka, nikawaambia wakuu, na mashehe, na watu wengine waliobaki, Msiwaogope; mkumbukeni Bwana, aliye mkuu mwenye kuogofya, mkawapiganie ndugu zenu, na wana wenu, na binti zenu, na wake zenu, na nyumba zenu.
  14. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Nimeamua Kuachana na USABATO Nikiwa na akili timamu , Biblia inaonyesha Manabii walionya Wafalme WAOVU, Vijana wanauliwa, Viongozi SDA wako Kimya

    Mungu wangu Nitamsoma kwenye Biblia tu ,nitasaidia Masikini, nitatoa sadaka zangu huko . Kupelekwa Sadaka na Dhaka Kanisan ziliwe na Viongozi wa Dini ambao Taifa linapitia maumivu, Mauaji ,ukosefu wa Haki ,wao wako Kimya, Nilkujikosea mwenyewe. MUSA aliua Mmisiri ili aokoe Wana Israel. Joshua...
  15. S

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mungu wa biblia na quran anapewa sifa ambazo hana?

    Ni Mungu mwenye huruma... Ni Mungu mwenye nguvu.... Kweli huyu ni Mungu wa mchongo.
  16. Just Pray

    JamiiForums Tanzania GE2025 Sugu: Mnawaua kwa risasi watanzania halafu fasta mnaenda kujiapisha kwa kushika Biblia Takatifu na Quran Tukufu KWELI?

    "Yaani mnawaua kwa risasi WATANZANIA wengine wengi wakiwa wamejituliza ndani na familia zao, kwenye sebule zao wanaangalia TAMTHILIA na kadhalika! Halafu fasta mnaenda kujiapisha kwa kushika Biblia Takatifu na Quran Tukufu!KWELI?" - Joseph Mbilinyi (Sugu) Mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Nyasa
  17. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Mussa, Daudi, Yesu na Wayahudi wengine wengi wa kwenye Biblia walikuwa Waislamu!

    Ad-Darr” (ٱلضَّارّ) ni moja ya majina 99 ya Allah (Asmaul Husna). 🔹 Maana yake: “Yule Mwenye Kudhuru” au “Mleta Madhara.”
  18. Kitimoto

    JamiiForums Tanzania Madhara ya Uongozi wa Mabavu Kulingana na Biblia Takatifu

    Katika historia ya kibinadamu, kiongozi wa kweli anapaswa kuwa mfano wa huruma, haki, na upendo kwa watu wake. Hata hivyo, wakati mwingine tunashuhudia viongozi wanaotumia mabavu na nguvu ili kujimilikisha madaraka, na hii mara nyingi husababisha madhara makubwa kwa taifa, familia, na hata...
  19. H

    JamiiForums Tanzania Watanzania: Je, Mungu wa kwenye Quran na Biblia ameshindwa kutulinda dhidi ya wasiojulikana?

    Manabii akina Mwamposa, Lusekelo, Kakobe nk mko wapi watu wenu wanaowatajirisha wakiangamia? Masheikh kama Sule, Kishiki nk mko wapi watu wenu wanaowapa pesa wanaangamia? Ni wazi Mungu wenu wa uongo wa vitabuni hayupo kabisa. Tunaomba viongozi wa kimila kusanyikeni kwa maombi kwa Mungu wa...
  20. R

    JamiiForums Tanzania Chuo cha Biblia hapo hapo kwenye simu yako, bila kuathiri ratiba yako

    Tangazo muhimu. Chuo cha biblia hapo hapo kwenye simu yako, bila kuathiri ratiba zako Bwana yesu asifiwe sana watumishi wa mungu. Mbarikiwe kwa kuendelea kuwa sehemu ya kazi hii. Safari hii tumewaandalia mpango mkubwa kabisa wa baraka utakaoanza rasmi mwezi wa kumi 2025. Sikiliza kwa makini...
Back
Top Bottom