Wakati Netanyahu atumia mistari ya biblia kuhalalisha vita ndani ya Gaza, Erdogan asema Hamas ni chama cha ukombozi wa Wapalestina

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,186
10,922
Tuombe waungaji mkono wa Israel wakubali kusitisha vita haraka kwani dunia inaelekea kuwa nyeusi kutokana na vita vitakavyoleta majonzi kwa kila mtu.

Hali hiyo imedhihirika katika kuchanganyikiwa kwa viongozi wa Israel,Marekani na Uiengereza na kushindwa kutambua kuwa wao ni watawala tu wa nchi zao lakini sio watawala wa dunia.

Benjamini Netanyahu kama kwamba hajui yuko eneo gani la dunia amesoma mistari ya biblia kuonesha jinsji walivyo na haki ya kuwaangamiza Hamas japo kwa kufanya hivyo anaangamiza wapalestina kwa jumla.

“It is my responsibility” to lead Israel to “a crushing victory over our enemies,” he said.

“We will realise the prophecy of Isaiah 60:18 – ‘Violence shall no more be heard in your land’.”

“Light will defeat darkness,” he added.


Wakati akisema hayo ,raisi wa Uturuki amesema kwa uchungu kuwa chama cha Hamas si cha kigaidi bali ni chama cha kuwakomboa wapalestina.

Uturuki ni moja ya nchi zenye nguvu kubwa za kijeshi miongoni mwa mataifa ya kiislamu,ipo katikati ya Ulaya na ni mwanachama wa NATO

Turkey's Erdogan says Hamas is not terrorist organisation, cancels trip to Israel

1698407571275.png
 
Nani aombe, wakati Hamas wanajitia hamnazo hawakujua hayo?

Israel wakati wanawapiga na kuwanyanyasa wapaleatina hawakujua hayo?

Wacha vita ipigwe baba, hawa ni wajinga waache watulia wenyewe!!!
 
Ila Israel hii ina makando kando sana hivi hata ukisema uitazame kwa jicho la dini kwamba wewe mdini sanaaa ,hivi pale kuna watu wa dini au wahuni tu? Nilisikia kutapika kabisa nilipoona eti wameruhusu mapenzi ya jinsia moja kweli,hakuna Taifa teule pale labda wamejiteua wenyewe
 
Nani aombe, wakati Hamas wanajitia hamnazo hawakujua hayo?

Israel wakati wanawapiga na kuwanyanyasa wapaleatina hawakujua hayo?

Wacha vita ipigwe baba, hawa ni wajinga waache watulia wenyewe!!!
Tuombe sana.Marekani,israel na UK wamejisahau sana na kujiona ubabe wote uko kwao.Mwaka huu watajua wao na kama wengine katika hii dunia.
 
Ila Israel hii ina makando kando sana hivi hata ukisema uitazame kwa jicho la dini kwamba wewe mdini sanaaa ,hivi pale kuna watu wa dini au wahuni tu? Nilisikia kutapika kabisa nilipoona eti wameruhusu mapenzi ya jinsia moja kweli,hakuna Taifa teule pale labda wamejiteua wenyewe
Usiliseme taifa teule la mungu
 
Tuombe waungaji mkono wa Israel wakubali kusitisha vita haraka kwani dunia inaelekea kuwa nyeusi kutokana na vita vitakavyoleta majonzi kwa kila mtu.

Hali hiyo imedhihirika katika kuchanganyikiwa kwa viongozi wa Israel,Marekani na Uiengereza na kushindwa kutambua kuwa wao ni watawala tu wa nchi zao lakini sio watawala wa dunia.

Benjamini Netanyahu kama kwamba hajui yuko eneo gani la dunia amesoma mistari ya biblia kuonesha jinsji walivyo na haki ya kuwaangamiza Hamas japo kwa kufanya hivyo anaangamiza wapalestina kwa jumla.

“It is my responsibility” to lead Israel to “a crushing victory over our enemies,” he said.

“We will realise the prophecy of Isaiah 60:18 – ‘Violence shall no more be heard in your land’.”

“Light will defeat darkness,” he added.


Wakati akisema hayo ,raisi wa Uturuki amesema kwa uchungu kuwa chama cha Hamas si cha kigaidi bali ni chama cha kuwakomboa wapalestina.

Uturuki ni moja ya nchi zenye nguvu kubwa za kijeshi miongoni mwa mataifa ya kiislamu,ipo katikati ya Ulaya na ni mwanachama wa NATO

Turkey's Erdogan says Hamas is not terrorist organisation, cancels trip to Israel

View attachment 2794619
Ungekuwa mkweli usingeongea habari za Edogan katika swala hili, Edogan ni muuaji wa Wakurdi amewafukuza katika ardhi yao, anawaua kama kunguni. Ni unafiki tu kuishutumu Israel.
Netanyau ni wajibu wake yeye kama kiongozi wa Taifa lake ,anao wajibu wa kuwaeleza nini anatakiwa kukifanya na kwa sababu gani. Nani hajui wayahudi kitabu chao ni Bible.
Waislamu wanaoua watu wanatumia aya za Quran ni kwa mujibu wa imani yao.
Labda utuambie ulitaka atumie kitabu gani kama siyo Bible.
Binafsi kwa swala hili aliyefanikiwa ni Iran.
Kwa nini nasema hivyo:
Miaka ya karibuni serikali ya Israel ilshaanza kuwa na uhusiano mzuri na baadhi ya nchi za kiislamu, hilo halikumpendeza kabisa Iran.
Njia bora ya kusambaratisha uhusiano au kuua ilikuwa moja tu ,ni kundi la Hamas ambalo kinafadhiliwa na Iran,kuishambulia Israel na kufanya mauaji, huku Iran ikijua kabisa Israel atalipiza kisasi na kusababisha mauaji ya wasio na hatia,kwa kuwa miundombinu za kijeshi za Hamasi zipo katika makazi ya watu,na ni chini ya ardhi,ili kuwafikia lazima uuwe waliopo juu,kuvunja majumba , mahospitali n.k, kwa kitendo hicho nchi zilianza kuwa na uhusiano na Israel zitasitishwa uhusiano huo kwa mshikamano wa kidini.
Tumesikia Saudia, Morocco, Jordan na hata Misri.
Iran amecheza kete ya ushindi.
Sasa anawachonganisha waarabu na Marekani kwa kutumia makundi anayoyaongoza kushabikia maslahi ya Marekani huko mashariki ya kati,ili Marekani ajibu tu, tayari waarabu wataungana dhidi yake na kuunganisha na swala la Israel na palestina. Hongera Iran.
 
Ila Israel hii ina makando kando sana hivi hata ukisema uitazame kwa jicho la dini kwamba wewe mdini sanaaa ,hivi pale kuna watu wa dini au wahuni tu? Nilisikia kutapika kabisa nilipoona eti wameruhusu mapenzi ya jinsia moja kweli,hakuna Taifa teule pale labda wamejiteua wenyewe
Netanyau mwenyewe ukimuangalia kwa jicho la kiuchambuzi,japo anaonekana ni Mzee, lakini ni aina ya wazee wale wanaopatikana kariakoo, au kwenye vijiwe vya draft na bao
Imani yangu inanituma nisiwahukumu islaer lakini Kuna mambo mengine ni ngumu kumeza.
Mola nisamee kama nimekengeuka,
 
Netanyau mwenyewe ukimuangalia kwa jicho la kiuchambuzi,japo anaonekana ni Mzee, lakini ni aina ya wazee wale wanaopatikana kariakoo, au kwenye vijiwe vya draft na bao
Imani yangu inanituma nisiwahukumu islaer lakini Kuna mambo mengine ni ngumu kumeza.
Mola nisamee kama nimekengeuka,
Kwa kweli mzee wa " mia nne leo wamechinjwa" umeandika sahihi kama ni kweli Mungu atusamehe tu lakini wale watu wale mmmh
 
Back
Top Bottom