afya ya akili

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Unawezaje kufurahia watu kutekwa ,mauaji, watu kupotezwa?

    Kuna watu humu JF wana matatizo ya afya ya akili kabisa unakuta mtu anafurahia au kulinganisha Uhai wa binadamu na vitu unakuta mtu anafurahia mauaji, watu kutekwa kupotezwa huyu hawezi kua binadamu wa kawaida lazima ana matatizo ya Afya ya akili...
  2. Chachu Ombara

    JamiiForums Tanzania Dkt. Kweka: Wafundishe watoto kuepuka gadgets, wajenge social skills za lazima

    Ushauri Dkt. Garvin Kweka kwa wazazi ili kuwasaidia watoto kukabiliana na msongo wa mawazo na changamoto za afya ya akili katika umri mdogo. Dkt. Kweka anashauri wazazi kuwafundishwa watoto kuepuka matumizi ya gadgets kwa muda mrefu ili wapate skills nyingine. Anasema mtoto anaweza kupata...
  3. Chachu Ombara

    JamiiForums Tanzania Dkt. Kweka: Kuna mtu anafikiri bila yeye kazini hakutatokea chochote, ukimpa likizo anarudi kuwasalimia - Tambua pengo lako kazini linazibika

    Haya ni baadhi ya madini ya Dkt. Garvin Kweka, anayesisitiza umuhimu wa kuwa na social skills ili kusaidia kukabiliana na msongo wa mawazo na changamoto za afya ya akili. Anasema si vyema kukaa na maumivu au uchungu kwa muda mrefu, kwani huathiri afya ya mtu. Kutokana na hali hiyo, baadhi ya...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kama kweli tunaipinga Israel, tuache kutumia iPhone. Vinginevyo ni sawa na kulaani kitimoto ila tukijifungia vyumbani twala hadi kujilamba vidole

    Israel imehusika kwa kiwango kikubwa katika teknolojia ya chips (ubongo wa simu) nyingi zilizotumika kwenye iPhone kwa miaka mingi, hasa kupitia vituo vya utafiti vya Apple Inc. nchini Israel Hata iphone 17e chip yake kwa kiasi kikubwa sana imekuwa designed Israel, Mitandaoni imekuwa gumzo...
  5. Chachu Ombara

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Inakuwaje wananchi wanachagua Jenerali Moses Ali ambaye nimzee na kuonekana ana changamoto ya afya ya akili!

    Hili limenisikitisha sana, nimeona video ya Mbunge mwenye umri wa miaka 87, Naibu Waziri Mkuu wa Kwanza, Jenerali Moses Ali, aliyetetea kiti chake cha Ubunge wa Jimbo la Adjumani West baada ya kushinda uchaguzi wa mwaka 2026 akihangaika sana kuwasiliana na watu, lakini pia akionekana kuwa mwenye...
  6. VERIFY

    JamiiForums Tanzania Vijana wa kiume dhidi ya afya ya akili

    Kilio Kisichoonekana Afya ya Akili ya Vijana wa Kiume Katika dunia ya leo, kuna kilio kikubwa kinachotokea kila siku… lakini hakuna anayekisikia Ni kilio cha vijana wa kiume. Kijana wa kiume amefundishwa tangu utotoni kuwa mwanaume halisi halii, hasemi shida zake, haonyeshi udhaifu, na...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Kauli ya Dkt. Dugange (Miaka 3 bila Uhamisho), Kilio cha Watumishi, Afya ya Akili na Ndoa zilizo Hatarini. Nini Kifanyike?

    Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (TAMISEMI), Dkt. Festo Dugange, ametoa agizo kuwa waajiriwa wote wapya wa Serikali lazima wafanye kazi kituo kimoja kwa muda usiopungua miaka mitatu (3) kabla ya kuruhusiwa kuomba uhamisho, isipokuwa kwa changamoto za kiafya zilizothibitishwa na jopo la...
  8. Informer

    JamiiForums Tanzania Ugonjwa wa Hisia Mseto (Bipolar Disorder): Elimu ya Kina kwa Watanzania na Wadau wa Afya ya Akili

    Siku ya Bipolar Duniani huadhimishwa kila mwaka mnamo Machi 30, tarehe ambayo ni kumbukumbu ya kuzaliwa kwa mchoraji mashuhuri Vincent van Gogh, ambaye aligundulika baada ya kifo chake kuwa aliishi na ugonjwa huo. Maadhimisho haya yanatumika kama jukwaa la kimataifa la kuongeza uelewa, kuondoa...
  9. Kahama- shy

    JamiiForums Tanzania Ipime afya ya akili yako hapa

    Mtu akipelekwa hospitali ya Milembe kwa mara ya kwanza, hasa akiwa na dalili za kuchanganyikiwa, hupelekwa kwenye chumba maalum. Ndani ya hicho chumba hakuna vitu vingi Ni ukimya tu na ukuta mmoja wenye picha hii. 👇 Picha yenyewe inaonekana ya ajabu kidogo… kama kitu kilichochorwa kwa namna...
  10. Chakaza

    JamiiForums Tanzania Hatua Gani Zinachukuliwa Igundulikapo Tatizo la Afya ya Akili kwa Kiongozi?

    Hebu tusaidiane uelewa, nini kinapaswa kufanyika itokeavyo hayo? Viongozi ni binadamu kama mimi au wewe na hali hiyo yaweza kumtokea yeyote!
  11. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Afya ya Akili Katika Familia Migogoro Midogo Inageuka Mauaji

    Familia moja huko Tongaren Constituency, Bungoma County iko kwa maombolezo baada ya kijana wa miaka 24 kudaiwa kuuawa na ndugu yake wa miaka 21 following a dispute over gumboots. The deceased, Joshua Wafula Furaha, alichomwa kisu mara kadhaa kichwani, shingoni na kifuani, akapoteza damu nyingi...
  12. Prof Phraoh AI

    JamiiForums Tanzania Watu wasio na shida ya akili waliingizwa kwenye hospitali ya afya ya akili lakini madaktari wakashindwa kuwatambua

    ‎Mwaka 1973, utafiti mkubwa ulionyesha kuwa madaktari wa magonjwa ya akili hawakuweza kutofautisha kwa uhakika kati ya mwenye akili timamu na mwenye tatizo la afya ya akili, jambo ambalo lililosababisha mageuzi makubwa katika huduma za afya ya akili. ‎ ‎Mwaka 1973, mwanasaikolojia David Rosenhan...
  13. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Ila tuwe serious, pesa ndio uhai, pesa ndio afya ya akili

    Ni kipi kilichowahi kuridhisha nafsi ya mwanadamu? Ni kipi kilichowahi ponya moyo wa mwanadamu for good? HAKUNA, Ila ni kipi kinakupa faraja ya kuendelea ku-survive, ni pesa. Manung'uniko na msongo ni sehemu ya maisha ila kwa mwenye pesa inakuja bila mwendelezo katika episodes tofauti...
  14. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Hivi aliyemteua Mwigulu alichunguza changamoto,Sijui kama wenzangu huwa mnamuelewa

    Huwa simuelewi mwigulu. Nikimuelewa huwa sijui kama anajielewa au kuelewa asemacho. Sijui kama wenzangu huwa mnamuelewa. Anaongea kana kwamba mdomo na ubongo havina mawasiliano. Wakati mwingine inakuwa vigumu kumtofautisha na hamnazoo aongeapo. Anaongea sana kuliko bosi wake. Anaongea kama...
  15. Akilindogosana

    JamiiForums Tanzania Kama Kiongozi ni mgonjwa wa Afya ya Akili. Nini kinapaswa kufanyika?

    Kama Kiongozi ni Mgonjwa wa Afya ya Akili, Nini kinapaswa kufanyika? Madaktari wa Afya ya akili na wataalam wa saikolojia mtusaidie! Nini kinapaswa kufanyika ili kuepusha madhara zaidi? Kama kiongozi ni psychopath, sadist, nini kinapaswa kufanyika? Mtu akishakuwa Psychopath/sadist anapenda...
  16. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Crescentius Mgori: Kuna Viongozi wana matatizo ya Afya ya Akili ndani ya Simba SC

    “ Kuna watu wanajiona bila wao baadhi ya Mambo ndani ya Simba hayawezi kwenda nadhani wanatatizo la afya ya akili . Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi Simba Sc Crescentius Mgori, akizungumza kupitia Crown Fm Novemba 27,2025.
  17. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Kwanini Diaspora wa USA huwa wengi wao ni kama wana matatizo ya afya ya akili?

    Inasikitisha sana kuona watu waliosoma elimu ya juu ni kama wamechanganyikiwa na kuwa na msongo wa mawazo hali inayowafanya kuwa na hasira muda wote. Kuna tatizo gani huko Marekani? Kuna ndugu yetu alienda kama mwanamichezo mwaka 1990 ila kila akijaga bongo likizo mwonekano wake ni kama kibaka...
  18. Kitimoto

    JamiiForums Tanzania Je, Kuna Umuhimu wa Viongozi wa Juu wa Kisiasa Kuangaliwa Afya ya Akili?

    Afya ya Akili inahusu hali ya mtu kiakili na kihisia, ikiwa ni pamoja na uwezo wake wa kufikiri, kujieleza, kudhibiti hisia, na kujihusisha na watu wengine katika njia za afya. Ni hali ambapo mtu ana uwezo wa kukabiliana na changamoto za kila siku, kutatua matatizo, na kufanya maamuzi ya busara...
  19. 6By6 Miguno

    JamiiForums Tanzania Je, Ni changamoto ya afya ya akili?

    Mfano mdogo ni hawa watu humu ambao kila kukicha wanaunga mkono serikali hii yenye makandokando, Serikali hii waiungayo mkono imeifungia JF, Lakini wao wanatumia VPN kuendelea kubangaiza humu.... Sasa unajiuliza huyu mtu gani ambae anashindwa kuitii hata serikali anayoiunga mkono!!? Mtandao...
  20. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania Ugumu wa maisha ni miongoni mwa sababu kuu zinazochangia ongezeko la changamoto za afya ya akili

    Ikiwa leo ni Siku ya Afya ya Akili Duniani, Msaikolojia Tiba wa Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe, Arafa Ali Arajiga, amesema ugumu wa maisha ni miongoni mwa sababu kuu zinazochangia ongezeko la changamoto za afya ya akili, hususan kwa watu wenye umri wa kati ya miaka 20 hadi 50...
Back
Top Bottom