Habari za muda mrefu wa ukimya brother. Heri ya mapumziko ya sikukuu ya Maulid kitaifa.
Nimejiskia tu leo nikusabahi hadharani kaka. Nashukuru binafsi nasonga mbele vema.
Nakutakia majukumu mema brother ya kuwatumikia wananchi na waTanzania wote.🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Mwanamuziki mashuhuri nchini Tanzania, Ruby, ametangaza kuanza sura mpya ya maisha yake kwa kuamua kuacha muziki wa Bongo Fleva na kuwekeza maisha yake katika kumtumikia Mungu.
Akiwa mmoja wa waimbaji wa kike walioacha alama kubwa nchini kupitia sauti yake ya pekee na uwezo wa kutumbuiza...
Mafundisho makuu ya Yesu Kristo ni Upendo.
1. Kuwapenda jirani kama unavyojipenda mwenyewe
2. Kuwapenda na kuwaombea maadui zako.
3. Ukipigwa shavu moja ugeuze na lingine
4. Kusamehe saba mara sabini
5. Kutopenda kujikusanyia mali/ kuwa tajiri bali kusaidia masikini na wahitaji.
Haya...
Mafundisho makuu aliyofundisha Yesu mwenyewe mfano wa mafundisho ya akina Budha au Confucius ambayo ni ya kipekee (unique) yeye akiwa kama muasisi wake ni yapi ?
Yesu alimaanisha nini kwa kusema waache wafu wazike wafu wao
Tamko hilo lilitolewa na Yesu, kupitia kitabu cha Mathayo 8:21.
Ili kufahamu vizuri habari hii, twende kwenye historia ya Wayahudi/Waisraeli katika tamaduni zao kuhusu shughuli za mazishi.
Waisraeli walivyozika zamani siyo kama...
Taarifa
Kwa wafuatiliaji wetu katika mtandao wa video ujulikanao kama YouTube. Tunapenda kuwajulisha yafuatayo.
1. YouTube channel ambayo hapo mwanzo ilijulikana kwa jina la Yesu Anajibu, kwa sasa inafahamika kwa jina la Mazungumzo na Yesu.
2. Tumeanzisha pia YouTube channel kwa lugha ya...
Mbinguni ni dimension nyingine ambayo imetuzunguka hapa hapa kwenye mazingira yetu au ni eneo fulani kwenye ulimwengu au galaxy yetu. Kama ni dimension nyingine basi hakuna habari ya kupaa, ni kitendo cha kuingia humo na kutoka.
Kama ni sehemu fulani kwenye huu ulimwengu basi kuna uwezekano...
Aman iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU
Tumekombolewa kwa mateso makali sana ya mwana wa MUNGU YESU KRISTO ambaye alipitia katika tumbo la mama bikira isaya 7:14 na pia soma isaya 9:6
Mama huyu bikira alizaliwa katika mji wa daudi mnamo miaka 700 toka nabii isaya kuishi alizaliwa...
Taarifa ambazo zimetufikia mchana huu ni kuwa makundi makundi ya Walokole yamesukwa kufanya mauaji kwa Siri au hadharani ya kumuua Bw. Civilian-Coin Nalimi Kisandu almaarufu CIVILIAN-COIN taarifa nyeti tumezipata. Aidha wamejipanga kuua au kumbambika kesi yoyote ile Bw. Civilian-Coin.
Hata...
Nimekuwa nikisikia shuhuda nyingi redioni kuwa yesu amebadilisha maisha yangu, nilikuwa na madeni yote yamefutika. Mwingine alikuwa na magonjwa yaliyoshindikana lakini alipona.
Wadau, mbona kwangu haya mambo na hizi stori logically hazimake sense?
Wanafunzi wa Yesu waliambiwa "Enendeni ulimwenguni mkawafanye mataifa kuwa wanafunzi..."
Wafuasi wa kweli wa Yesu hawajahitimu hadi Yesu atakaporudi ndipo tunaambiwa atawapa taji.
Kuna hatari ya kujitengenezea theolojia na kuifuata kama ilivyo hata kama ina mapungufu.
Kanisa linapaswa kujua...
Jina tunalopewa halibadiliki uende Marekani, Uingereza na popote duniani.
Mnaomini 'transliteration' eti Joseph aeza itwa Yusufu, mbona bongo hatuna hilo ng'o?
hata ingekuwa ivo, jina la Yesu 'Yahusha' lingekuwa Joshua na sio Jesus ambalo kwa unaejua, linawakilkisha Ieosus...
Juu ya hayo, hata...
Ukiangalia katika biblia hakuna tukio la Yesu amefumba macho anaomba eti mtu flani apone.
Mara nyingi alitamka tu neno katika mazungumzo yake sio maombi na kitu kikatokea.
Au akakemea tu hali ikakaa sawa.
Hii imekaaje na maombezi mengi ya kisasa?
Kwa nini Waafrika Wakristo wanaogopa kuwapa jina la Yesu watoto wao wa kiume?
Ulaya, Marekani Kusini na Kaskazini watoto wanapewa Jina la Yesu, Waarabu na Waislamu wanawapa watoto jina la Issa, Waafrika Wagalatia tu ndio wanaogopa kuwapa hili jina watoto wao !
Man Lee Hee ambaye anadai yeye ni Yesu aliyekuja kwa mara ya pili ametiwa mahabusu kuanzia mwezi wa sita kwa makosa ya kuharibu uchaguzi wa rais na kwa kosa la kuwaandikisha waumini wake zaidi ya 50,000 kwenye chama cha kisiasa.
Yesu huyo mwenye miaka 95 anaomba tumuombee aachiwe huru, kwa kuwa...
Naomba kuwasilisha swali hili kutoka kwenye Manispaa ya kichwa changu.
Ili uweze kupaa lazima uwe na mbawa (mabawa) kama ndege mfano halisi ni malaika Wana mabawa.
Hata hii ndege ya abiria Ina muundo wa ndege viumbe sasa yesu yeye alipaa paaje (Kwa aina ipi) ?
Maana biblia haijasema kuhusu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.