yesu

  1. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Kwa mujibu wa Paulo alisema kila mtu atabeba mzigo wake (dhambi zake) kama ni hivyo yesu alikuwa kwa dhambi za nani?

    Yesu alituhakikishia dhambi zetu alizifia msalabani je nani mkweli? Karibuni
  2. J

    JamiiForums Tanzania Yesu aliwezaje kuchukuliwa na shetani juu ya kinara cha hekalu kujaribiwa

    Yesu aliwezaje kuchukuliwa na shetani juu ya kinara cha hekalu kujaribiwa Wakati shetani anamjaribu Yesu, biblia inasema alimchukua na kumpandisha kwenye kinara cha hekalu. Swali ni je! alikuwa anachukuliwaje mahali pale, ni njia gani ilikuwa inatumika? Ni muhimu kufahamu kuwa Bwana Yesu...
  3. Dr Adam Francis

    JamiiForums Tanzania Safina ya Nuhu ni mfano bora wa ukombozi kupitia kwa Yesu Kristo

    Wanadamu wote wametenda dhambi na wanastahili hukumu ya Mungu. Katika Mwanzo 6:5-7 twasoma "BWANA akaona ya kuwa maovu ya mwanadamu ni makubwa duniani na kwamba kila kusudi analowaza moyoni mwake ni baya tu sikuzote. BWANA akaghairi kwa kuwa amemfanya mwanadamu duniani, akahuzunika moyo. BWANA...
  4. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Hivi kati ya Yesu na ancestors wetu ni nani aliteseka zaidi kwa ajili yetu?

    Hivi kati ya our ancestors ambao, walifanywa watumwa na wakauawa wakipinga utumwa na ukoloni kwa miaka na miaka Na yesu, aliyeuawa msalabani ndani ya jioni moja tu Nani aliteseka zaidi kwa ajili yetu Kwa nini hatuwaenzi ancestors wetu the way tunavyomuenzi Yesu?
  5. J

    JamiiForums Tanzania Yesu Alipopanda Mlimani Kuomba kwa Nini Alitokewa na Musa na Eliya?

    Yesu Alipopanda Mlimani Kuomba kwa Nini Alitokewa na Musa na Eliya? Katika ule mlima mrefu, aliopanda Yesu na wanafunzi wake kuomba, kwa nini atokewe na Musa na Eliya na siyo manabii wengine, kama vile Isaya au Samweli? au Ezekieli? Kutokewa na wale watu halikuwa kwa lengo lake. Bali lilikuwa...
  6. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Yesu anasema hatokunywa Pombe ya Duniani anasubiri pombe ya peponi

    Mathayo 26:29 Lakini nawaambieni, Sitakunywa kabisa tangu sasa uzao huu wa mzabibu, hata siku ile nitakapokunywa mpya pamoja nanyi katika ufalme wa Baba yangu. Yesu anasema hataki pombe ya duniani anasubiri pombe ya peponi Au Kuna mgalatia yoyote anayepinga kuwa uzao wa mizabibu sio pombe?
  7. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Yesu anasema watakao mafuta watapata mabikira 100 peponi

    Mathayo 19:29 Na kila mtu aliyeacha nyumba, au ndugu wa kiume au wa kike, au baba, au mama, au watoto, au mashamba, kwa ajili ya jina langu, atapokea mara mia, na kuurithi uzima wa milele. Andiko lipo wazi waliomfuata watapokea mara 100 peponi Neno Nyumba hapo linawakilisha mke Kama ulikuwa...
  8. adriz

    JamiiForums Tanzania Picha ya Trump akijifananisha na Yesu yapata ukusoaji mkubwa mitandaoni

    Moja kwa Moja.. Leo Rais wa Marekani Donald Trump katika post yake amejipost picha yake ya kutengeneza na AI ikimuonyesha yeye akiwa katika nafasi ya Yesu . Picha hiyo imepata ukosaaji mkubwa mitandaoni baadhi wakisema anafanya kufuru kwa kuleta mzaha kwenye dini , kujipa nafasi ya Mungu na...
  9. a sinner saved by Christ

    JamiiForums Tanzania Dini haiokoi ila Yesu. Mtafute na kumshika Yesu na siyo dini

    Dini ni utaratibu aliouanzisha mwanadamu katika kumtafuta na kumuabudu Mungu wake.. ila YESU ni Mungu aliyejinyenyekeza kujishusha kuvaa mwili wa mwanadamu,kuzaliwa kimasikini katika zizi la ng'ombe,kaishi maisha ya duniani na kuwa rafiki na kukaa pamoja na wanadamu wenye dhambi(Emmanuel) ili...
  10. a sinner saved by Christ

    JamiiForums Tanzania Usaliti kumchomesha kumchoresha, kumuuza ndugu yako; Yuda Eskareote alimchomesha Yesu auawe

    Mtu akishakuwa msaliti once a coward always a coward,hafai kuaminika popote hata kwa familia yake hashindwi kumchomesha hata mwanafamilia yake hata kumuuza mke wake. Dhambi ya usaliti ni kama kula nyama ya mtu, ina laana ni roho ..inayokupelekea kusaliti tena ni roho chafu sana ya shetani ya...
  11. Zee la madawa

    JamiiForums Tanzania Kwahiyo kila mwaka Mungu Yesu anakufa na kufufuka?

    Kuna dini zina mambo ya ajabu sana aisee yaani kila mwaka tunasikia Mungu wa wakristo Yesu anafufuka huu ni usanii aisee kwahiyo Mungu anayewezakana vp kila mwaka anakufa na kufufuka tu kwahiyo hizi siku zingine wakati amekufa nani ana control ulimwengu?
  12. U

    JamiiForums Tanzania Swali kwa ndugu zenu Waislamu Sawa Yesu hakufa msalabani , Je yule aliyekuwa msalaba badala yake hatima ya mwili wake ilikuwaje? Aliz Alifufuka?

    Wenye elimu kubwa na Wanazuoni naomba majibu
  13. J

    JamiiForums Tanzania Neno Amina linatofautisha matamko ya Yesu na wengine

    Neno Amina linatofautisha matamko ya Yesu na wengine Maandiko, katika kitabu cha Ufunuo 3:14, yanasema, kama ifuatavyo: “Na kwa malaika wa kanisa lililoko Laodikia andika; Haya ndiyo anenayo yeye ‘ALIYE AMINA’, Shahidi aliye mwaminifu na wa kweli, mwanzo wa kuumba kwa Mungu”. Neno Amina maana...
  14. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Mwamposa anawaaminisha Waumini wake wamtazame yeye kama Mkombozi, huku akiwatenga mbali na Yesu

    Moja ya kitu alichofanyikiwa Jamaa ni kuwaamnisha Waumini wake wajinga wajinga kua Uponyaji Wokovu Utajiri Kufanikiwa Ni Matokeo ya kutumia Mafuta, Udongo, Keki, na blah blaaah Jamaa hafundishi kua "YESU Alikuja DUNIANI, akafa msalabani, na Kwamba KIFO chake kilitangaza uhuru dhidi ya Dhambi...
  15. J

    JamiiForums Tanzania Waliokufa kabla ya Yesu kuja duniani wataokolewaje?

    Waliokufa kabla ya Yesu kuja duniani wataokolewaje? Waliokufa kabla ya Yesu kuja, yaani watu wa Agano la Kale, wataokolewaje? Swali hili linaulizwa na baadhi ya watu kwa sababu tunajua kuwa kuokolewa ni kupitia damu ya Yesu tu, ndiyo tunapata ukombozi wa hakika wa dhambi. Sasa waliokuwa...
  16. J

    JamiiForums Tanzania Je wakati Yesu anazaliwa shetani alikuwa amefungwa?

    Je wakati Yesu anazaliwa shetani alikuwa amefungwa? Kulingana na Mathayo 12:29, je, Yesu alikuwa amemfunga shetani wakati wa kuzaliwa kwake? Ili kupata jibu, ni vizuri turejee Mathayo 12:29: “Ama awezaje mtu kuingia ndani ya nyumba ya mtu mwenye nguvu na kuviteka vyombo vyake, asipomfunga...
  17. a sinner saved by Christ

    JamiiForums Tanzania Kwa nini Yesu alisema, “Nenda na usitende dhambi tena,” ikiwa hilo haliwezekani? Je, Yesu alimaanisha alichosema kweli?

    mbaya, na kutamani, ndiyo ibada ya sanamu.” Wakolosai 3:5. "Na hao walio wa Kristo Yesu wamesulubiwa mwili Pamoja na Mawazo yake mabaya Pamoja na tamaa zake." Wagalatia 5:24. Ni wazi kwamba ikiwa tunataka kuwa wa Kristo tunahitaji kufanya hivi hasa: “Mkinipenda, mtazishika amri zangu.” Yohana...
  18. Tajiri Tanzanite

    JamiiForums Tanzania Shetani kama ni kidume avae mwili kama Yesu kristo aje Duniani alete hizi tabia zake za kipumbavu

    Hapo vip! Nimetafakari sana juu ya Shetani anavyojificha katika ulimwengu wa roho na kuwatenda watu kwa hila kwa maarifa na kujificha...hii ni ishara ya uwoga,udhaifu,unafiki na uwongo. Sidhani kama akija Duniani na kwa wanadamu walivyokuwa na hasira naye kama watamuacha ata akae kwa amani kwa...
  19. a sinner saved by Christ

    JamiiForums Tanzania Hii ni sehemu maalumu kwa ajili yako msomaji uweze kutoa ushuhuda wako jinsi Yesu amekuokoa,amekusaidia,amekuponya..amekutendea mema,matendo makuu

    Karibu mtu wa Mungu uweze kutoa ushuhuda wako utushirikishe ushuhuda wako wa jinsi ambavyo BWANA wetu YESU KRISTO amekuokoa kutoka katika nguvu za giza na kukuhamisha kukuingiza katika ufalme wa mwana wa pendo lake. Jinsi amekuokoa kutoka katika hatari mbali mbali..ambapo unaweza kushuhidia...
Back
Top Bottom