yesu

  1. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Kwanini muujiza wa kwanza wa Yesu ulikuwa kubadilisha maji kuwa divai na sio kutengeneza Biblia?

    Kama pombe ni mbaya kwanini Yesu aliitengeneza kwanza na hakutengeneza Biblia? Nawakaribisha wana zuoni mliokomaa katika mjadala huu.
  2. Natty Bongoman

    JamiiForums Tanzania Ukitaka kutambua laghai, jiulize kwa nini jina la Yesu ndo pekee labadilishwa eti kuendana na lugha

    Jina tunalopewa halibadiliki uende Marekani, Uingereza na popote duniani. Mnaomini 'transliteration' eti Joseph aeza itwa Yusufu, mbona bongo hatuna hilo ng'o? hata ingekuwa ivo, jina la Yesu 'Yahusha' lingekuwa Joshua na sio Jesus ambalo kwa unaejua, linawakilkisha Ieosus... Juu ya hayo, hata...
  3. MSEZA MKULU

    JamiiForums Tanzania Kwa nini Yesu hakuwahi kuombea Mgonjwa?

    Ukiangalia katika biblia hakuna tukio la Yesu amefumba macho anaomba eti mtu flani apone. Mara nyingi alitamka tu neno katika mazungumzo yake sio maombi na kitu kikatokea. Au akakemea tu hali ikakaa sawa. Hii imekaaje na maombezi mengi ya kisasa?
  4. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kwa nini Waafrika hawawapi jina la Yesu watoto wao?

    Kwa nini Waafrika Wakristo wanaogopa kuwapa jina la Yesu watoto wao wa kiume? Ulaya, Marekani Kusini na Kaskazini watoto wanapewa Jina la Yesu, Waarabu na Waislamu wanawapa watoto jina la Issa, Waafrika Wagalatia tu ndio wanaogopa kuwapa hili jina watoto wao !
  5. Kiranja Mkuu

    JamiiForums Tanzania Yesu aliyerudi kwa mara ya pili anasota rumande huko KOREA KUSINI. Anaomba tumuombee aachiwe kwa kuwa yeye ni mzee na pia ni mgonjwa

    Man Lee Hee ambaye anadai yeye ni Yesu aliyekuja kwa mara ya pili ametiwa mahabusu kuanzia mwezi wa sita kwa makosa ya kuharibu uchaguzi wa rais na kwa kosa la kuwaandikisha waumini wake zaidi ya 50,000 kwenye chama cha kisiasa. Yesu huyo mwenye miaka 95 anaomba tumuombee aachiwe huru, kwa kuwa...
  6. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Hivi yesu alipaa paaje je aliota mbawa kama malaika au alipaa Kwa aina Gani?

    Naomba kuwasilisha swali hili kutoka kwenye Manispaa ya kichwa changu. Ili uweze kupaa lazima uwe na mbawa (mabawa) kama ndege mfano halisi ni malaika Wana mabawa. Hata hii ndege ya abiria Ina muundo wa ndege viumbe sasa yesu yeye alipaa paaje (Kwa aina ipi) ? Maana biblia haijasema kuhusu...
  7. U

    JamiiForums Tanzania hebu leo jaribu muuliza Msabato yeyote eti ni kweli Maria mamake yesu kabarikiwa kuliko wanawake wote halafu usikie jibu lake!

    wewe jaribu tu kumuuliza ila kuwa makini!
  8. Fbn

    JamiiForums Tanzania Watu ambao Yesu ana bifu nao siku ya kiama

    Hii ndio list ambayo ilimfanya yesu kuwekwa msalabani. 1.Dalali kwa jina Yuda. 2.Wasaliti kwa jina Yuda. 3.Hakimu. 4.Askari hapa mtajigawa wenyewe. 5.walio shabikia maovu Lucas Mwashambwa ChoiceVariable id moja . 6.Viongozi wa dini wasio kemea maovu. Kwa bahati mbaya CCM wangekuwepo kipindi...
  9. H

    JamiiForums Tanzania Hivi watu waliendaje mbinguni miaka ya nyuma kabla ya ujio wa yesu ambaye ndiyo njia ya kwenda mbinguni?

    Tujitafakari!!
  10. sepema

    JamiiForums Tanzania Yesu akamwambia, mbona unaniita mwema?

    Amani ya Bwana iwe juu yenu. Leo katika kusoma soma biblia nimekutana na maneno hayo hapo juu yakanitatiza kidogo. Nikutoka kitabu cha Luka 18:18-19. Natamani kujua kuwa Yesu alijipima kwenye mambo gani akajiona hata yeye sio mwema zaidi ya Mungu?. Tunajua aliishi maisha ya kibinadamu hapa...
  11. Fbn

    JamiiForums Tanzania Suzanne: Mwanamke Aliyekataa Kumkana Yesu na Kuonyesha Nguvu ya Msamaha

    Katika kijiji kimoja kaskazini mwa Nigeria, mwanamke aliyeitwa Suzanne alikumbana na jaribu kubwa la imani yake. Wakati wanamgambo wenye silaha waliposhambulia kijiji chao, walimpa chaguo gumu: aachane na imani yake ya Kikristo na akubali kubadili dini, au akabiliane na kifo. Suzanne alikataa...
  12. LIKUD

    JamiiForums Tanzania Je, Yesu anaweza kuwa Mungu ndani ya Qur'aan? The evidence says Yes 👇👇👇

    Usikute kuna kilaza anadhani swali langu limeuliza " Je ndani ya Qur'aan kuna Aya inayosema Yesu ni Mungu? ". Hiyo sio mantiki yangu. Analogy au mfanano wa mantiki yangu ni kama ifuatavyo. 👇👇👇 Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inamtambua Mwl. Julius Kambarage Nyerere kama Rais wa...
  13. C-C Daily Stories

    JamiiForums Tanzania Civilian-Coin: Yesu kristo sio MUNGU na alithibitisha yeye mwenyewe kuwa sio MUNGU lakini Afrika na Italia zimeng'ang'ania uongo.

    Yesu kristo sio MUNGU na alithibitisha yeye mwenyewe kuwa sio MUNGU lakini Afrika na Italia zimeng'ang'ania uongo. Biblia inatuambia "Yesu akakutana na kijana tajiri akamwita, Mwalimu mwema, yesu akajibu, Mimi sio mwema Bali mwema ni MUNGU peke yake" hapa yesu anakiri kuwa yeye sio MUNGU. Yesu...
  14. SankaraBoukaka

    JamiiForums Tanzania Kati ya Mathayo na Luka daktari wa Rafikiake na Paulo nani anadanganya kuhusu kifo cha Msaliti Yuda?

    Mathayo 27:5: Yuda akaenda akajinyonga. Matendo ya Mitume 1:18: Akanunua shamba kwa ujira wa uovu, akaanguka kifudikoni, akapasuka katikati, matumbo yake yote yakamwagika.
  15. Baba mtakatifu91

    JamiiForums Tanzania Jina la Yesu lina TBS kuzidi majina mengine yote

    Amani iwe nanyi wapendwa.......Back in days mimi ni under 30 leo nitatoa ushuhuda kidogo kuhusu huyu Yesu kristu aketiye mahali pa juu sana mbinguni 1. Niliitwa nikiwa chini kabisa · Zaburi 40:2 – "Akanitoa katika kisima cha uharibifu, na katika matope matepete; akasimamisha miguu yangu juu ya...
  16. Yesu Anajibu Songs

    JamiiForums Tanzania Wimbo: Sauti ya Yesu (audio + video vimetengenezwa kwa AI)

    Watu makini wa JF, kwa heshima kubwa napenda kuleta kwenu wimbo tuilioupatia jina "Sauti ya Yesu". Wimbo huu ni matokeo ya matumizi ya teknolojia ya akili unde (AI generated song). Hii ikijumuisha audio pamoja na video zote zimetengenezwa kwa kutumia akili unde. Yesu Anajibu Songs tunaamini...
  17. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Tanzania Kama Yesu anaponya Sasa mbona mnajazana hospitalini na kwa waganga wa kienyeji? Mtachanganyikiwa Hadi muombe msamaha Babu na Bibi zenu waliotangulia

    Kama Yesu anaponya Sasa mbona mnajazana hospitalini na kwa waganga wa kienyeji? Mtachanganyikiwa Hadi muombe msamaha Babu na Bibi zenu waliotangulia.
  18. Fbn

    JamiiForums Tanzania Binadamu wana tatizo moja ndio maana Yesu alikataa kuwapa nafasi japo walijifunza mengi.

    Nyerere kuna nukuu yake alisema " Yesu kuna mda hakutoa majibu ya maswali sababu Wanafunzi wake walikuwa kama marofa" Neno Rofa tumeliona mfano hapo bungeni angalia walivyokuwa wakimsifu magufuri baada ya kufa hata hawa elewi wanaanza kusifia samia. Kesho hakija mtu mwengine hata kwa mapinduzi...
  19. B

    JamiiForums Tanzania Video fupi: Yesu atoa ushauri kwa team kataa ndoa

    Katika video hii fupi, Yesu anatoa ushauri kwa team kataa ndoa kwa kuwaambia, "Kataeni dhambi, si lazima mkatae ndoa" Angalizo: Sura zinazoonekana katika video ni matokeo ya Sanaa na siyo uwakilishi halisi wa wahusika. https://m.youtube.com/watch?v=MfpPNr5Vujw&pp=ygUMWWVzdSBBbmFqaWJ1
  20. Marcy

    JamiiForums Tanzania Je, umewahi kutambua kwamba mfumo uleule uliomuuwa Yesu ndio uleule uliotengeneza dini ya kuzungumzia juu yake

    Viongozi waliopo katika mfumo walimuuwa Yesu, kisha wakaanzisha dini ili watu waendelee kumzungumzia tu badala ya kuishi kama alivyofundisha. Yesu hakuja ili aabudiwe, alikuja kufunua kitu—njia ya kuendesha na kuunda uhalisia. Lengo lake lilikuwa kutufundisha “code” au kanuni za jinsi ulimwengu...
Back
Top Bottom