injili

  1. petro matei

    JamiiForums Tanzania Waimbaji wa nyimbo za injili wengi wao ni aibu kwa Kristo (NENO) wanaliabisha kanisa

    1 WAKORINTO 6 1 Je! Mtu wa kwenu akiwa ana daawa juu ya mwenzake athubutu kushitaki mbele ya wasio haki, wala si mbele ya watakatifu? 2 Au hamjui ya kwamba watakatifu watauhukumu ulimwengu? Na ikiwa ulimwengu utahukumiwa na ninyi, je! Hamstahili kukata hukumu zilizo ndogo? 3 Hamjui ya kuwa...
  2. Setfree

    JamiiForums Tanzania Rubani wa Artemis II ahubiri Injili akiwa anga za juu!!

    Tukio la ajabu limetokea katika anga za juu na kuwaacha watu midomo wazi. Tukio gani hilo? Endelea kusoma... Wakati dunia nzima ikifuatilia safari ya Artemis II, rubani wa misheni hiyo, Victor Glover, akiwa katika anga za juu, badala ya kutoa ujumbe wa kisayansi, ametoa ujumbe wa kiroho...
  3. ngara23

    JamiiForums Tanzania Prophet IPM anahubiri injili gani?

    Naona ukimya wetu wakristo wameingia virus na kuharibu taswira ya ukristo Yaani wakristo manyumbu nao wanamwita huyu bwana prophet na kumpelekea sadaka 1. Kujipa cheo cha Mwenyekiti wa wanaume, Tanzania Hivi kuhani au nabii utajipa cheo cha hivi 2. Kupotosha uhalisia katika ndoa. Kwamba ndoa...
  4. T

    JamiiForums Tanzania Muimbaji Maarufu wa Nyimbo za Injili Miriam Chirwa Aolewa Rasmi

    Huyu hapa ndo mume Mtarajiwa wa Muimbaji wa nyimbo za injili, Miriam Chirwa. Na hapa ni alivyo fika kwenye send off nyumbani Kwa akina Miriam. Ndoa ni furaha ndugu zangu si mnajionea wenyewe Kwa Wana ndoa hapa.
  5. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Injili ya Barinaba chapter 39 Aya ya 2

    Yesu akajibu: "Ni kwamba mtu ambaye hataiamini kweli kwa wokovu wake anapaswa kuamini uwongo kwa laana yake. Kwa hiyo nawaambia, kwamba ulimwengu umewahi kuwadharau manabii wa kweli na kuwapenda waongo, kama inavyoonekana katika siku za Mikaya na Yeremiakwa maana kila mtu kama wake hupenda mfano...
  6. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Nani amewahi kuziona Torati na Injili halisi?

    Neno Injili ni neno lenye asili ya kiarabu ambalo shina lake linatokana na neno "euangelion" lenye asili ya kigiriki lenye kumaanisha "habari njema" ambalo liliingizwa kwenye lugha ya Kiarabu toka kwa wakristo wa Syria. Na Torati ni neno linalotokana na neno la Kiyahudi "Torah" ambalo...
  7. J

    JamiiForums Tanzania Uongo wa Injili ya Yohana

    Kwa hakika! Hebu tuchambue "Uongo wa Injili ya Yohana" kwa mtazamo wa kikanuni na kihistoria, bila kupendelea au kupinga kwa upande wowote. Muktadha wa kihistoria na uandishi Injili ya Yohana inatofautiana sana na injili za Matiu, Marko, na Luka (zinazoitwa Synoptic Gospels). Inahusu maneno...
  8. J

    JamiiForums Tanzania Uongo wa Injili ya Marko

    Hapa kuna mifano muhimu inayoonyesha kuwa Injili ya Marko ina makosa, migongano, na uhariri wa kibinadamu, hivyo si historia safi wala ufunuo wa Mungu: 1. Marko si shahidi wa macho Marko hajitambulishi kama shahidi wa macho, wala Yesu hamtaji kama mfuasi. 👉 Injili ya kwanza kabisa haijatoka...
  9. J

    JamiiForums Tanzania Uongo wa Injili ya Luka

    Uongo wa Injili ya Luka Hapa kuna mifano muhimu inayoonyesha kwamba Injili ya Luka si historia sahihi, bali ina makosa, upotoshaji, na hadithi zilizorekebishwa: 1. Luka hakuwahi kuwa shahidi wa macho (Luka 1:1–4) Luka 1:1–2 👉 Tatizo: Luka anakiri wazi hakuwa shahidi wa macho Anategemea...
  10. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Quran inadai Mussa alitabiri kuwa Mtume ataandikwa kwenye Injili

    Anzia kusoma Quran 7 : 155 - 157 Ila nakuwekea mstari mmoja ambao ndio una hoja yangu. Quran inasema kuwa Mussa alimtabiria Mohamed kuwa ataandikwa katika Torati na Injili. Je Mussa alijua kutakuwa na Injili?. 100% Mohamed kabun hiki kitabu kwa kutumia janja janja tu. Kaunganisha unganisha...
  11. Mi mi

    JamiiForums Tanzania Wimbo mwingine wa ukombozi kutoka kwa Malkia wa nyimbo za Injili Rose Muhando linaitwa Achia.

    Rose Muhando alikuwa mbele ya muda. Ukisikiliza hili jimbo na kwa yanayo endelea nchini shetani anaye zungumziwa humu ni rahisi sana kumjua na Rose Muhando anasisitiza shetani aachie kila kitu katika nchi yetu. Ukiachana na lile jimbo la vibe ya maandamano la makomborero linalotamba kwa sasa...
  12. Damaso

    JamiiForums Tanzania Makisio ya ibada ya Jumapili – Injili na Imani Katika Umoja

    Jumapili ijayo itasimama kama tukio la kipekee la ibada, ambapo waumini wa kanisa letu watakusanyika kwa moyo wa unyenyekevu na shukrani. Misa ya pili itaongozwa kwa upekee na kwaya ya Mtakatifu Muhammad Hussein, ambao sauti zao zimekuwa faraja na kuinua mioyo ya wengi. Wakati huo huo, jukumu la...
  13. comrade_kipepe

    JamiiForums Tanzania Wimbo wa Roma Mkatoliki -Teremsha Bunduki 🎵🎶

    Huu wimbo mkali sanaa, sidhani kama hapa Tanzania atakuja msanii wa hiphop mwenye upeo kama huyu jamaa. NAAMINI PIA HUYU JAMAA ATAKUJA KUA KWENYE NYADHIFA ZA JUU SANA HAPO BAADAE PATAKAPOKUA NA TUME AMBAYO HAINA UPENDELEO KWA CHAMA CHA KIJANI (HUU UZI KUNA SIKU UTAFUFULIWA HATA USIPOONEKANA KWA...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Injili igeuzayo Roho ni nani ? Je, ni kweli ametekwa?

    Napita huko mitandaoni ya kijamii nakutana na post kibao juu ya huyu jamaa. Je huyu ni nani na kwa nini ametekwa? Je, ni mwanasiasa?
  15. Setfree

    JamiiForums Tanzania Wanaosema Vitabu vya Injili vina makosa/vinapingana — kwanini wanatumia muda mwingi kuvisoma?

    Ni jambo la kushangaza sana kuona watu wanaosema kwamba vitabu vya Injili vina makosa, vimejaa contradiction, na haviaminiki — lakini hao hao ndio wanatumia muda wao mwingi kuvisoma, kuvichambua, na kunukuu mistari ya Injili. Kama mtu haamini kitabu fulani, kwa nini anakisoma kwa bidii kila...
  16. D

    JamiiForums Tanzania Tumeihubiri injilii imeitika, Tunawashukuru wenyeji wetu kanisa la KKAM kwa kutusitiri wakati huu wa mpito: Sisi ni jeshi mbinguni duniani

    Hakika Tunawashukuru sana ndugu zetu katika kristo! Kanisa la KKAM kwa ukarimu wao kufurahi pamoja nasi katika kuitangaza injili leo. Waswahili husema jirani yako ndiye nduguyo, Nyumba ya mwenzio ikiwaka moto basi msitiri kwa muda! Tunawashukuru sana KKAM leo kwa kuwa pamoja nasi! Sisi...
  17. Yoda

    JamiiForums Tanzania Naweza kupata wapi vitabu original vya Torati, Zaburi na Injili ambavyo havijapotoshwa/kuchakachuliwa?

    Inasemekana kwamba hivi vitabu vya sasa vya Taurat, Injil na Zabur wanavyotumia Wakristo ni nakala zilizopotoshwa na kuchakachuliwa na wajanja kwa kuingiza mambo yao. Ni wapi vinakopatikana vitabu original/halisi ambavyo havijachakachuliwa au kupotoshwa?
  18. D

    JamiiForums Tanzania Msiogope wauwao mwili peke yake bali mwogopeni Mungu auwaye mwili na roho ,Twendeni kwenye ibada pale pale ubungo maji injili lazima isonge mbele

    Injili lazima ihubiliwe kwa viumbe wote! Yesu alisema; Msiogope hawa wanaowatishia kuuwa mwili peke yake, Bali mwogopeni sana Mungu ambaye anauwa vyote yaani Mwili na roho na hao wanaowatisha! Shetani kazi yake ni kutisha na kuuwa mwili peke yake! LAKINI mwenye mamlaka ya MWILI NA ROHO ni...
  19. c_alphonce

    JamiiForums Tanzania Nimesikitishwa sana na kifo cha Mhubiri wa Marekani Jimmy Swaggart

    Jimmy Lee Swaggart muhibiri kutoka Nchini Marekani na Mjuzi wa muziki. Nilichelewa kumjua Jimmy Swaggart lakini Punde baada ya kumfahamu uelewa wangu juu ya maandiko Matakatifu, juu ya msalaba na Juu ya wokovu uliabadilika kabisa. Moto wa kuhubiri injili uliwaka ndani yangu. Niliamua kuanza...
  20. R

    JamiiForums Tanzania Injili ya uamsho imeshaanza kuhubiriwa kutokea Tanzania kwenda Dunia nzima!

    Salaam, Shalom! Kama ikivyotabiriwa tangu msimu mpya ulivyoanza 2021-2030, kwamba injili ya ufalme itahubiriwa duniani kote. Mwanzo injili hii ilihubiriwa tokea Israel kwenda ulaya, ikasambaa Dunia nzima, Sasa wakati wa mwisho umewadia, na kabla ya unyakuo, ni lazima kanisa la Mungu...
Back
Top Bottom