Borjana Krišto (née Krželj; born 13 August 1961) is a Bosnian Croat politician serving as the 11th Chairwoman of the Council of Ministers of Bosnia and Herzegovina since January 2023. She previously served as the 8th president of the Federation of Bosnia and Herzegovina from 2007 to 2011. She is the first woman to hold both positions.
Krišto holds a degree in law from the Faculty of Law in Banja Luka. Following the 2006 general election, she became president of the Federation of Bosnia and Herzegovina in February 2007, serving until March 2011. In June 2011, Krišto was one of the candidates for nomination to the office of Chairwoman of the Council of Ministers. Ultimately, she was not nominated.
A member of the Croatian Democratic Union since 1995, Krišto was the party's candidate for a seat in the Bosnian Presidency as a Croat member in the 2010 and 2022 general elections. However, she failed to get elected in both elections. She was a member of both the national House of Peoples and House of Representatives as well.
In January 2023, Krišto was appointed Chairwoman of the Council of Ministers, following the 2022 general election.
Ndugu zangu Watanzania,
Kilichopatikana kwa Maombi hulindwa kwa Maombi na kilichopatikana kwa uchawi na makafara hulindwa kwa uchawi na makafara yakiambatana na matambiko yasiyo kwisha. Kwa kuwa Mwamba Mwenyewe Makonda amekuwa akipata vyeo na nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya serikali na...
Hii kauli ya "Ndoa ni Mwili mmoja" Kuna la kujifunza Kupitia hii mifano.
Hawa Ni waimbaji wa nyimbo za Injiri na walisema hayo Maneno.
Ikumbukwe wazi kua ndoa Nyingi za kikristo zinashida kutokana na hiyo kauli. Mwanamke Ni kiumbe Mwenye roho ya tofauti Kuliko viumbe Vyote Duniani.
Ndoa za...
Kwa kasi hii ya Dunia I hope 50 yrs later wanaume ndio watakuwa wanachumbiwa na kuolewa na wanawake.
Ile mamlaka ya Kiungu na kiuongozi ndani ya mwanaume inapotea taratibu.
Inafika wakati sms tu ya kawaida ambayo haina ushahidi wa 100% kuwa mume wake anaishi kimapenzi na mwanamke mwingine...
HISTORIA YA KRISHNA ILIKUWEPO MIAKA 2900 ILIYOPITA KABLA YA KRISTO
Uhindu na Ukristo una mambo mengi yanayofanana
Licha ya tofauti zao, uhindu na ukristo una mfanano mkubwa.
na hii ni muhimu sana katika suala la maisha na mafundisho ya watu wawili wakuu wa dini hizi za ulimwengu - kristo na...
Kanisa halibariki Dhambi! Bali linabarki wadhambi huku likitumai kwamba REHEMA ya Mungu itawasaidia wadhambi ku-convert!.
Niambie ama nionyeshe sehemu yoyote Ambapo kanisa linataka Makasisi wa wabariki "Dhambi?.
Righteous Catholics and non Catholics wanalishambulia Kanisa pengine kwa bahati...
Salaam , Shalom!!
Wakati wengine wakiacha Majina waliopewa na wazazi wao na kujiita Samaki PAPA Ili tuwaogope, wengine wakijiita Bulldozer, wengine caterpillar, wengine wakijiita Sugunyo, kumbe ni Majina FAKE.
Wanapitia na magari ya matangazo wakisema njoo Kwa mungu wa Katapila bila kumtaja...
Habari jf ,
Vyanzo mbalimbali vinaonesha Biblia ilianza kuandikwa mwaka wa 1513 Kabla ya kristo na ilikamilishwa baada ya zaidi ya miaka 1,600, katika mwaka wa 98 wakati wa kristo.
Vitabu vingi vinaelezea habari za uwepo wa Israel na mpaka Ramani ikiwekwa.
Kwa haya mazingira Unawezaje kusema...
Wadau hamjamboni nyote?
Swali Kwa Ndugu zangu Je Yesu Kristo au Issa Bin Mariamu alikaa tumboni kwa Mamake Bi Mariamu kwa muda gani hasa kabla ya kuzaliwa?
Je ni miezi 9 au 6 au 3 au 1 au siku 1?
Naombeni majibu kwa mujibu wa maandiko rasmi na sio vinginevyo
Lugha zisizo na staha...
Leo nimekaa na kujiuliza. Kwa wakristo tunaambiwa baada ya Yesu kurudi na kuwachukua wateule wake hao wateule watakaa mbinguni kwa miaka 1,000 wakijifunza hukumu ya wenye dhambi. Hiyo miaka 1,000 ni sawa na masaa 8,760,000. Na katika kujifunza hiyo hukumu hao wateule watakuwa wanaangalia "video"...
Mungu aliamua kuwapa wayahudi nchi ya Kanani ufalme wenye nchi zaidi ya Tano baada ya kuwa wenyeji wa nchi Ile walikuwa wakiabudu mizimu.
Pale ilitengenezwa uadui mkubwa na hasa kosa la Wana Israel waliambiwa na Mungu kuwa wawafutie mbali Yale makabila yenye kuabudu miungu mingine .
Mungu...
Naomba niweke hili wazi kabla sijaendelea na hiii mada kwenye kurasa huu, sipo hapa kuhukumu wala kukosoa imani ya mtu yeyote yule kuanzia kwenye madhehebu na iman na dini tofauti
Moja ya vitu ambavyo wakristo wengi wanapambana navyo kwenye kipindi hiki cha mwisho wa kufunga historia ya...
Mchungaji ☝️☝️na mwimbaji wa injili ndugu Mbarikiwa Mwakipesile
Mtoto ☝️☝️wa Mch Mbarikiwa Mwakipesile anayedaiwa kuuliwa na aliyekuwa mkuu wa TISS akishirikiana na RSO wa Mbeya..
==================================================
Huyu mchungaji ni kiongozi wa huduma ya kutangaza injili...
Kabla sijaenda kwenye lengo kuu la mada hii nielezee kwanza Worldcoin ni nini ?
Cypto/Cryptocurrency ni nini ?
na mahusiano yake na AI robot.
Baadhi ya member wa JF nimeona wakigusia mada hii kwa sehemu ndogo..
Worldcoin ni nini?
Worldcoin ni jukwaa la utambuzi wa kidijitali ambalo linalenga...
Kwenye majukwaa ya hadhara utasikia Bwana Yesu Asifiwe, Tumsifu Yesu Kristo
Tofauti hapo ni nini ?
Au utasikia "Asalam Aleikum, Bwana Asifiwe, Tumsifu Yesu Kristo.
Zinatumika salamu za dini zote mbili ili kuleta balance, sasa kwa nini za Wakristo ziwe mbili? Na mbili zenyewe ni kitu kile...
Makala Iliyopita:
Baada ya kuona kuwa Carbon-14 inathibitisha umri mdogo wa Dunia kwasababu ya:
1) Kupatikana kwa Carbon-14 kwenye mabaki yaliyo kwenye miamba inayodaiwa kuwa na mamilioni ya miaka (Carbon-14 haikupaswa kuwepo).
2) Kupatikana kwa Carbon-14 kwenye makaa ya mawe yanayodaiwa kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.