biblia

Byblos (Arabic: جبيل‎ Jubayl, locally Jbeil; Greek: Βύβλος; Phoenician: Gbl, probably Gubal) is the largest city in the Mount Lebanon Governorate of Lebanon. It is believed to have been first occupied between 8800 and 7000 BC and continuously inhabited since 5000 BC, making it one of the oldest continuously inhabited cities in the world. It is a UNESCO World Heritage Site.

View More On Wikipedia.org
  1. MKATA KIU

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Maneno ya Mungu kwenye biblia yanasema kama unataka kuepuka matatizo Usioe ama kuolewa. Kwa nini Mungu aone ndoa inaleta matatizo ?

    Mungu ameshauri watu wasioe / kuolewa ili kuepuka matatizo kwenye kitabu chake kinachoitwa biblia 1 Wakorintho 7:27-28 inasema Ikiwa hujaoa, usitafute mke. Lakini ukioa, wala hujatenda dhambi. Na msichana ambaye hajawahi kuolewa akiamua kuolewa, hajafanya dhambi. Lakini wale wanaooa au...
  2. CHAGOSI GERALD

    JamiiForums Tanzania "Wamisionari walileta Biblia na kutuambia tufumbe macho tuombe. Tulipoyafumbua tena, tayari walikuwa wamechukua ardhi yetu."

    Kwa kweli, muunganiko wa viongozi wa kisiasa na wa kidini mara nyingi si wa bahati mbaya—ni wa kimkakati. Unalenga kudhibiti fikra, hisia, na nguvu ya watu kwa pamoja. Tukiitazama kwa jicho la kifalsafa, hapa ndipo tunakutana na kile wanazuoni wanakiita: “Ushirikiano kati ya upanga na...
  3. Surya

    JamiiForums Tanzania Kama wewe ni msomaji wa biblia hata kidogo

    Yani ukiwa Mkristo ukisema uachage ujinga wa kudhalau kusoma neno la Mungu, Unaamua unasoma na wewe biblia kidogo. Japo wengi hawajasoma biblia wakamaliza lakini walau unakuwa na kakitabu kako kamoja umesoma story Yote ukamaliza. Wengi utakuta Kasoma kakitabu ka Yona. 😂 kana sura Nne tu, na...
  4. Setfree

    JamiiForums Tanzania Biblia ni Kitabu cha Vitabu (The Book of Books). Sababu hizi hapa:

    1. Imesambazwa kwa wingi kushinda vitabu vyote duniani. Zaidi ya nakala bilioni 5 za Biblia zimechapishwa na kusambazwa ulimwenguni kote. Rekodi hii haijafikiwa na kitabu chochote kingine. 2. Imetafsiriwa zaidi ya kitabu chochote duniani. Biblia nzima imeishatafsiriwa katika lugha zaidi ya...
  5. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Ndugu Covax unahangaika sana kupaka matope Biblia kila siku. Tuanze na wewe utakubali kumpa mtoto wako wa miaka 9 muislam mwenzako aoe?

    Au unasemaje kuhusu kuchinja watu ili ufurahie mabikra 72??? Vp majini wazuri umeshaanza kuwatumia? Una ushahidi gani mtume wako alitumwa na Mungu ana akapaa kwenda mbiguni?
  6. Setfree

    JamiiForums Tanzania Je, unaijua "Biblia" ya Shetani? Pita hapa nikujuze!

    Katika siku hizi za mwisho, wapinga Kristo wameanza kutumia njia mbalimbali kuwapotosha waumini wa kweli. Mojawapo ya njia hizo ni kuzalisha Biblia potofu au tafsiri potofu za Biblia. Kama huna habari kuna kitabu kinaitwa "The Satanic Bible" (Biblia ya Shetani), kilichoandikwa na Anton LaVey...
  7. S

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kujua Toleo la Biblia ni la kweli au uongo angalia Mwanzo 1:1 ukiona haisemi Mungu aliumba au God Created jua ya uongo

    Jinsi ya kujua Toleo la Biblia ni la kweli au uongo angalia Mwanzo 1:1 ukiona haisemi Mungu aliumba au God Created jua ya uongo Kuumba ni making something out of nothing witthout any tangible material Ukiona inasema hapo mwanxo Mungu alitengeneza Mbingu na nchi au he made heavens and Earth...
  8. Setfree

    JamiiForums Tanzania Ni Ajabu na Kweli: Mauzo ya Biblia Yaongezeka Duniani

    Kama hujui, basi habari ya mjini ndio hii: mauzo ya Biblia yanaendelea kupanda kwa kiwango cha kushangaza duniani kote. Kwa mujibu wa ripoti ya Global Bible Society (2024), zaidi ya nakala milioni 38 za Biblia nzima zilisambazwa mwaka huo pekee. Mbali na nakala hizo za Biblia nzima, zaidi ya...
  9. Setfree

    JamiiForums Tanzania Kwanini ishara, maajabu na miujiza mikubwa inafanywa na watu wanaoiamini Biblia tu?

    Katika historia ya ulimwengu, tumeshuhudia matendo makuu yasiyoelezeka kwa akili ya kibinadamu, kama vile wagonjwa kupona, viwete kutembea, mabubu kuongea, vipofu kuona, wafu kufufuka, na bahari kugawanyika. Jambo la kushangaza ni kwamba, ishara hizi kubwa zimefanywa tu na watu wanaoiamini...
  10. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Hivi wanaosema katiba ni kijitabu tu wanaweza kudiriki kusema Quran ni kijitabu tu ama Biblia ni kijitabu?

    Kuna mambo yanatosha kuitwa uhaini, kama kudharau wimbo wa taifa ama bendera ya taifa ni kosa la kukuweka behind bars iweje aliyekashifu katiba ni kijitabu tu. Madhaifu ya kiuungozi yaditifanye tukose kauri wakati wa kutoa hoja. Leo wakati nikipita mtandaoni nimekutana na kauli ya kuwa katiba ni...
  11. Setfree

    JamiiForums Tanzania Una habari? Wanasayansi "wameiona" Safina ya Nuhu wa Biblia

    Safina ya Nuhu ni moja kati ya habari maarufu zilizoandikwa kwenye Biblia na zinazochunguzwa sana na wanasayansi. Sasa baada ya karne nyingi za mijadala, kejeli, na mashaka, matokeo mapya ya kisayansi yameanza kugeuza mtazamo wa ulimwengu kuhusu Safina ya Nuhu. Katika milima mirefu mashariki...
  12. C

    JamiiForums Tanzania Kati ya hizi Biblia ipi ni sahihi yenye ufunuo wa kweli wa Mungu?

    Tofauti hizi zinadhihirisha kuwa kanuni ya Biblia haikushuka moja kwa moja kutoka kwa Mungu, bali ilifanyiwa maamuzi na wanadamu hasa viongozi wa kidini katika karne za kwanza. Mfano: Biblia ya Kiprotestanti ina vitabu 66 tu. Biblia ya Wakatoliki ina 73. Waaorthodoksi wana zaidi ya 76...
  13. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Je, tupo kwenye dakika za lala salama unabii wote wa biblia umeshatimia ?

    Kulingana na unabii kulikuwa na falme nne katika danieli 7 zilizotabiriwa kuwa baada ya hizo ufalme watapewa watakatifu na ndipo mwisho wa dunia. wafalme hao waliotabiriwa ni babeli, umedi na uhajemi, uyunani na rumi. je, tawala hizi zina uthibitisho na ushahidi wa kihistoria nje ya biblia ili...
  14. African Geek

    JamiiForums Tanzania Mtazamo wa biblia ya scofield kuhusu Israel ya sasa ukilinganishwa na biblia ya asili

    Biblia ya Scofield ni tafsiri ya King James Version (KJV) iliyoambatana na maelezo ya kina kutoka kwa Cyrus Ingerson Scofield, mchungaji wa Kimarekani aliyekuwa na ushawishi mkubwa katika karne ya 20. Biblia hii ilichapishwa kwa mara ya kwanza mwaka 1909 na ikawa ya msingi kwa Wakristo wengi wa...
  15. Surya

    JamiiForums Tanzania Aina mbili za Wakristo (wasoma Biblia)

    Katika kueleza makundi haya mawili ya waamini wa imani ijulikanayo kama Wakristo (maana yake wafuasi wa Yesu) kumekua bado na mzozo mkubwa hadi leo hii kuhusu mambo Muhimu sana kuhusu imani au dini hii. 1. Sheria (Torati) 2. Neema (Kuokolewa kwa imani) Binafsi nimefatilia sheria sana sheria...
  16. M

    JamiiForums Tanzania Biblia imeandika wazi kuhusu wajane na wagane kwelikweli. Si kama hawa wa siku hizi wahuni tu

    Pomoja na biblia kutowa mwongozo kuhusu wajane wa kweli na wagane wa kweli.Lakini kumekuwa na tatizo kubwa la watoto na watu wazima ombaomba jambo ambalo linatafakarisha na kudhalilisha. Kuna watu wanaoombaomba wanaviungo vyote,au wanaupungufu wa akili kidogo lakini unaona kunashida ktk...
  17. GoldDhahabu

    JamiiForums Tanzania Hekima za Biblia katika Uongozi

    "A ruler with no understanding will oppress his people, but one who hates corruption will have a long life" (Proverbs 28:16) Kwa Kiswahili: MTAWALA ASIYE NA AKILI HUTESA WATU WAKE, LAKINI ACHUKIAYE RUSHWA HUONGEZA SIKU ZAKE ZA KUISHI "A just King gives stability to his nation, but one who...
  18. Setfree

    JamiiForums Tanzania Kwanini Herod Antipas aliitwa Mbweha na kwanini watu wa Mataifa wanaitwa Mbwa?

    Majina ya wanyama katika Biblia ni lugha ya picha iliyotumiwa kama kielelezo cha tabia, nafasi, au hali ya kiroho. Ni muhimu kuyasoma kwa muktadha sahihi wa kitamaduni na wa kimaandiko. Hii inasaidia kuelewa vizuri mafundisho ya Biblia na jinsi Mungu anavyowasiliana na watu kwa lugha...
  19. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Ukisoma Quran vizuri, unagundua kuwa ilidukua mambo mengi toka kwenye Biblia na hivyo Biblia ni mzazi wa Quran

    Kusema ukweli, bila Biblia, Quran isingekuwapo, na ni bahati mbaya sana kuwa watu wengi hawalioni wala kulijua au kulisema hili. Ukisoma vizuri vitabu vyote kwa weledi na umakini bila kuvaa hijabu ya imani na uhafidhina, utajua kuwa Quran ilidukua Biblia. Mfano ni kuumbwa kwa Adam na Eva...
  20. Mudawote

    JamiiForums Tanzania Yezebeli na kifo cha aibu

    GTs, Naona mambo yanaenda kuwa mabaya. Yezebeli alitumia vyombo vyake vyote kuhakikisha anaangamiza waliotumwa na Mungu kumletea ujumbe, ila mwisho wa siku yeye alivyofariki mwili wake ulikuwa chakula cha mbwa na jamaa zake wote waliliwa kama mizoga. 1 Wafalme 21:23-24. Ukiwa na madaraka ni...
Back
Top Bottom