Byblos (Arabic: جبيل Jubayl, locally Jbeil; Greek: Βύβλος; Phoenician: Gbl, probably Gubal) is the largest city in the Mount Lebanon Governorate of Lebanon. It is believed to have been first occupied between 8800 and 7000 BC and continuously inhabited since 5000 BC, making it one of the oldest continuously inhabited cities in the world. It is a UNESCO World Heritage Site.
Mm nasema hamna kama kuna mwenye aya au ushahidi wowote aje nao nimpe 300,000 usiku huu
Muhammad (60) kwa Aisha ilikua sahihi
Na Joseph (63) kwa bikira Maria ni sawa
Hiyo 18 ni mbwembwe za waja, kama unaushaid iweke mbele weka lipa namba
Je, unatafuta njia rahisi na ya kisasa ya kuwa karibu na Neno la Mungu kila siku? Programu ya Biblia Takatifu imekamilika na kila kitu unachohitaji kwa ajili ya ukuaji wako wa kiroho. Inapatikana Google play store kwa jina "Swahili Bible: Biblia Takatifu"
Kwa nini upakue Biblia hii leo?
Agano...
Hili swali huwa najiuliza sana. Kwanini shetani hamkugusa kabisa mke wa Ayubu? Ikumbukwe shetani aliua hadi watoto wote wa Ayubu lakini mke hakuguswa kabisa. Shetani huwa ana double standards kwenye kazi zake?
Mwanzo 38:9
Lakini Onani alijua kwamba hao watoto wasingekuwa wake. Kwa hiyo, alipolala na mke wa nduguye, alimwaga chini mbegu ya uzazi, asije akampatia nduguye watoto.
Hongera sana mama kwa kuapishwa kuwa Rais wa Sita wa Tanzania.
Sasa baada ya Tanzania kupata uzoefu wa kutosha kutokana na awamu zake za uongozi, na tukaona mazuri na mapungufu yake, na wewe pia kupata uzoefu wa kutosha chini ya Mzee Magufuli ninakuomba haya yafuatayo:
Kwanza, usiturudishe...
𝐍𝐀𝐁𝐈𝐈 𝐈𝐒𝐀𝐘𝐀 𝐀𝐋𝐈𝐓𝐎𝐀 𝐔𝐍𝐀𝐁𝐈𝐈 𝐊𝐔𝐖𝐀 𝐁𝐀𝐁𝐄𝐋𝐈 𝐇𝐀𝐈𝐓𝐀𝐉𝐄𝐍𝐆𝐖𝐀 𝐓𝐄𝐍𝐀.
Alitoa unabii huu takribani mwaka 700 KK hadi 689 KK, yaani zaidi ya miaka 150 kabla Babeli haijaanguka.
Akasema
“Babeli... itakuwa kama Sodoma na Gomora... haitakaliwa kamwe kizazi baada ya kizazi.”
(Isaya 13:19-20)
𝐌𝐚𝐚𝐧𝐚 𝐲𝐚𝐤𝐞: si...
Mbunge wa Jimbo la Chato Kaskazini Paschal Lutandula akichangia hoja katika bajeti ya Wizara ya madini amesema kuwa kuwa ' Kama Biblia ingeandikwa leo, inawezekana ingeandika hivi, Marais wengi wamefanya kazi nzuri, lakini wewe daktari Samia umefanya kazi vizuri zaidi'
Ameongeza kuwa huenda ni...
Katika video hii, mchambuzi anajaribu kutumia tukio la Neil Armstrong kukataa kushika Biblia na kuapa kama ushahidi wenye mashiko kwamba kutua mwezini (Moon Landing) lilikuwa uwongo.
Mchambuzi alipoona jina la Neil Armstrong akajua moja kwa moja huyu jamaa ni mkristo. Armstrong hakuwa...
Salaam Wakuu,
Watu wazima miaka 60 biblia bado hawaielewi, vipi watoto wadogo?
Je, Biblia inaweza kuwwjenga watoto au kuwabomoa?
Watoto wadogo wasome mambo Ufunuo, Walawi, Waamuzi, Ruth Samweli, Wimbo ulio bora nk.
Kwa upande wangu naona si sahihi watoto kuachiwa Biblia wajisomee bila...
Biblia ilitabiri zamani sana kuhusu siku tunazoishi leo. Katika Danieli 12:4 imeandikwa: “Lakini wewe, Ee Danieli, yafunge maneno haya, ukakitie mhuri kitabu, hata wakati wa mwisho. Wengi wataenda mbio huku na huko, na maarifa yataongezeka.”
Unabii huo tumeona ukitimia waziwazi kwa macho yetu...
Niwakumbushe tu kuwa kama wewe unaiamini Biblia na Unabii wake, utakuwa umegundua kuwa inakubidi uijue historia ya matukio halisi ya wanadamu yalivyotokea hapo nyuma na kuhusisha na kile Biblia iliandika. Kuna Unabii ktk Agano la Kale zilitimizwa vipindi hivyo hivyo vya kale mfano Kuharibiwa...
Uchambuzi wa maandiko matakatifu ya Biblia na Quran unaonyesha kuwa neno Israel lina mizizi ya kina na ya wazi katika vitabu vyote viwili, huku neno Palestina likikosekana kama jina la nchi au taifa ndani ya maandiko hayo ya asili.
Katika Biblia, neno Israel linatokea zaidi ya mara 2,500. Jina...
Huu ndio ukweli usio na shaka yoyote Ile.
Wachungaji pamoja na ma father wetu wanajua fila tukioa wanawake wawili au hata watatu wane hivi watakakoswa sadaka na Zaka na michango kedekede wanayoiunda makanisani.
Maana wanajua hela zetu zitakuwa zinatumika kwa matumizi mengi hivyo kulizibiti...
HATARI: SIRI ZILIZOFICHWA ZINAZOENDELEA KUBADILI BIBLIA :-
LAZIMA USOME IKIWA WEWE NI MWFUASI WA KWELI WA KRISTO
Ni ushuhuda wa ajabu na wa kugusa sana. Tafadhali chukua muda wako na uusome hadi mwisho
MABADILIKO YA MISTARI YA BIBLIA
( MISTARI YA BIBLIA ILIYOCHAKAKULIWA )
Na Amina Hassan
▪️...
Wapo watu wasijua historia ya Ukristo, mara kadhaa wamepotosha, na wengine hata kuthibutu Kueleza Kuwa Yesu Hakusulibiwa Msalabani kam biblia inavyoeleza. Na wengine hata kusema kuwa huenda hakuwahi kuwepo.
Watu wanaoyanena hayo ni kwa vile wamekosa maarifa. Leo nawawekea
maelezo yanayotoka...
Leo nimekutana na mwanazuoni mmoja mbobevu kwenye masuala ya dini amenihakikishia kuwa hakuna hata mtu mmoja mitaani mwenye Biblia au Quran halisi.
Mwanazuoni huyo kaniambia mitaani kuna nakala tu za vitabu hivyo wala si vitabu halisi. Kaniambia ni uchochezi wa kidini tu kuzitakatifusha hizo...
Nimekuwa nikifanya tafakari sana za juu ya suala la Yesu. Nimefunguka pakubwa sana sina shaka hata kidogo juu ya Uana wa Mungu wa Yesu. Wengi wanapomfikiria Yesu wanajenga kichwani hisia za Picha na Sanamu za Mzungu flani hivi wa Ulaya au Marekani.
Yesu hakuwa mzungu.
Kihistoria na...
Jina la Quran na Biblia tumetohoa toka lugha zake za asili. Ni kawaida kwa mambo haya ya lugha.
Jee Kwa kiswahili hivyo vitabu vinatafsiriwaje. Neno Biblia na Quran kwa kiswahili ni nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.