Byblos (Arabic: جبيل Jubayl, locally Jbeil; Greek: Βύβλος; Phoenician: Gbl, probably Gubal) is the largest city in the Mount Lebanon Governorate of Lebanon. It is believed to have been first occupied between 8800 and 7000 BC and continuously inhabited since 5000 BC, making it one of the oldest continuously inhabited cities in the world. It is a UNESCO World Heritage Site.
Kanuni kumi na tatu za imani zimejumuishwa katika kila kitabu cha maombi cha Kiyahudi, na husomwa kama wimbo wa kiliturujia mwishoni mwa ibada. Usomaji huu unajulikana kama kiashiria cha ufafanuzi wa maandishi cha Yigdal na unaangazia nguzo za msingi za imani ya kitamaduni ya Kiyahudi, kama vile...
Huwa nashangaa sana Watanzania wengi wanaokuja na rejea za Biblia au Quran katika kujenga hoja kwa mijadala ya kijamii/ umma inayobishaniwa au kujadiliwa.
Nafikiri hii ni mojawapo ya ishara ya akili ndogo na ujinga mwingi katika taifa.
Habari wadau
Kwa wakristo waliompokea Yesu kama neno linavyosema kwamba kufa chini ya 70 inaonekana sio mpenzi ya Mungu hasa maisha ya sasa ambayo RIP ZA vijana zimekuwa nyingi sana
Karibu tujadili
Hivi kweli akili zenu zimefungwa na kufuli la Wazungu mpaka mmeshindwa kuona ukweli ulio wazi? Yaani hapa duniani hakuna kitu kinachochanganya na kuvuruga akili za watu kama hiki kitabu cha Wazungu!,
Yaani Biblia!.
Inakuwaje Mungu aliyeumba mbingu na ardhi, mwenye akili na mamlaka, aandike...
👉Warumi 5:8 Yesu alikufa kwa dhambi zetu
👉Yeremia 31:30 Kila mmoja atakuja kwa kwa dhambi zake
👉Ezekiel 18:20 Dhambi ya mwana hataibeba baba na dhambi ya baba hataibeba mwana
Nimefikiri na kutafakari kwa muda mrefu baada ya matukio ya ukiukwaji wa haki, utu na dhuluma dhidi ya uhai wa binadamu yaliyotokea tarehe 29 Oktoba 2025. Siwezi kuendelea kuishi katika huzuni na ukimya tena.
Kwa dhamira yangu binafsi, leo nimejiondoa rasmi kutoka CCM na kurejea CHADEMA kwa...
Kulingana na imani za kidini, hasa kwa kurejelea Biblia Takatifu na Qur'ani Tukufu, jibu la msingi ni kwamba shetani anaweza kutumia uganga na uchawi kusababisha magonjwa au madhara, lakini hawezi kufanya hivyo kwa mamlaka yake mwenyewe—lazima kuwe na ruhusa au makadirio ya Mungu.
Katika vitabu...
Mm nasema hamna kama kuna mwenye aya au ushahidi wowote aje nao nimpe 300,000 usiku huu
Muhammad (60) kwa Aisha ilikua sahihi
Na Joseph (63) kwa bikira Maria ni sawa
Hiyo 18 ni mbwembwe za waja, kama unaushaid iweke mbele weka lipa namba
Je, unatafuta njia rahisi na ya kisasa ya kuwa karibu na Neno la Mungu kila siku? Programu ya Biblia Takatifu imekamilika na kila kitu unachohitaji kwa ajili ya ukuaji wako wa kiroho. Inapatikana Google play store kwa jina "Swahili Bible: Biblia Takatifu"
Kwa nini upakue Biblia hii leo?
Agano...
Hili swali huwa najiuliza sana. Kwanini shetani hamkugusa kabisa mke wa Ayubu? Ikumbukwe shetani aliua hadi watoto wote wa Ayubu lakini mke hakuguswa kabisa. Shetani huwa ana double standards kwenye kazi zake?
Mwanzo 38:9
Lakini Onani alijua kwamba hao watoto wasingekuwa wake. Kwa hiyo, alipolala na mke wa nduguye, alimwaga chini mbegu ya uzazi, asije akampatia nduguye watoto.
𝐍𝐀𝐁𝐈𝐈 𝐈𝐒𝐀𝐘𝐀 𝐀𝐋𝐈𝐓𝐎𝐀 𝐔𝐍𝐀𝐁𝐈𝐈 𝐊𝐔𝐖𝐀 𝐁𝐀𝐁𝐄𝐋𝐈 𝐇𝐀𝐈𝐓𝐀𝐉𝐄𝐍𝐆𝐖𝐀 𝐓𝐄𝐍𝐀.
Alitoa unabii huu takribani mwaka 700 KK hadi 689 KK, yaani zaidi ya miaka 150 kabla Babeli haijaanguka.
Akasema
“Babeli... itakuwa kama Sodoma na Gomora... haitakaliwa kamwe kizazi baada ya kizazi.”
(Isaya 13:19-20)
𝐌𝐚𝐚𝐧𝐚 𝐲𝐚𝐤𝐞: si...
Mbunge wa Jimbo la Chato Kaskazini Paschal Lutandula akichangia hoja katika bajeti ya Wizara ya madini amesema kuwa kuwa ' Kama Biblia ingeandikwa leo, inawezekana ingeandika hivi, Marais wengi wamefanya kazi nzuri, lakini wewe daktari Samia umefanya kazi vizuri zaidi'
Ameongeza kuwa huenda ni...
Katika video hii, mchambuzi anajaribu kutumia tukio la Neil Armstrong kukataa kushika Biblia na kuapa kama ushahidi wenye mashiko kwamba kutua mwezini (Moon Landing) lilikuwa uwongo.
Mchambuzi alipoona jina la Neil Armstrong akajua moja kwa moja huyu jamaa ni mkristo. Armstrong hakuwa...
Salaam Wakuu,
Watu wazima miaka 60 biblia bado hawaielewi, vipi watoto wadogo?
Je, Biblia inaweza kuwwjenga watoto au kuwabomoa?
Watoto wadogo wasome mambo Ufunuo, Walawi, Waamuzi, Ruth Samweli, Wimbo ulio bora nk.
Kwa upande wangu naona si sahihi watoto kuachiwa Biblia wajisomee bila...
Biblia ilitabiri zamani sana kuhusu siku tunazoishi leo. Katika Danieli 12:4 imeandikwa: “Lakini wewe, Ee Danieli, yafunge maneno haya, ukakitie mhuri kitabu, hata wakati wa mwisho. Wengi wataenda mbio huku na huko, na maarifa yataongezeka.”
Unabii huo tumeona ukitimia waziwazi kwa macho yetu...
Niwakumbushe tu kuwa kama wewe unaiamini Biblia na Unabii wake, utakuwa umegundua kuwa inakubidi uijue historia ya matukio halisi ya wanadamu yalivyotokea hapo nyuma na kuhusisha na kile Biblia iliandika. Kuna Unabii ktk Agano la Kale zilitimizwa vipindi hivyo hivyo vya kale mfano Kuharibiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.